Skip to search.

Breaking News Visit Yahoo! News for the latest.

×Close this window

jifunzeuislamu · JIFUNZE UISLAMU

The Yahoo! Groups Product Blog

Check it out!

Group Information

  • Members: 1973
  • Category: Tanzania
  • Founded: Mar 8, 2003
  • Language: English
? Already a member? Sign in to Yahoo!

Yahoo! Groups Tips

Did you know...
Message search is now enhanced, find messages faster. Take it for a spin.

Messages

Advanced
Messages Help
Messages 175 - 209 of 2676   Oldest  |  < Older  |  Newer >  |  Newest
Messages: Show Message Summaries Sort by Date ^  
#175 From: "musaammary" <musaammary@...>
Date: Tue Feb 3, 2004 8:58 am
Subject: Lengo
musaammary@...
Send Email Send Email
 
Kila jambo linatofanywa lazima liwe na lengo kamili. Kufanya jambo
kwa mazoeya huwa haisaidii kumpandisha daraja mkusudiwa. Hivyo kuha
haja ha kutazama kila jambo tunalolifanya lina lengo gani. Pia lazima
pia kutazama jambo hilo kwa macho yetu halisi,yaani macho yenye kuona
mambo na kuhoji mambo bila uwoga na ushabiki. Swala la uislamu sio
swala la mazoeya bali ni swala linalotakiwa kwa kutumia akili na
busara zaidi kuliko ushabiki na uoni wa Watu wengine.

Wa bilah tawfiq


Musa a.

#176 From: "skm583" <sk_mosavi@...>
Date: Sat Jan 31, 2004 4:05 am
Subject: IMAM KHOMAINI ( R ) BOOKS
skm583
Send Email Send Email
 
MOUSAWI  ISLAMIC  LIBRARY
P.O. BOX: 583, QOM-37185
Islamic Republic of Iran
http://www.geocities.com/mousavi_il
skm583@...
mousawi_library@...
/Fax: 0098-251-6612257
Tel    0098-251-2915830
IMAM KHOMAINI ( R )  WORKS
1- The Narrative Of Awakening.
       Imam Khomaini's ideal, scientific & political biography from
birth to Ascension.
       376 pages   2 $
2-  Imam Khomaini (r) & the Culture of Ashura.
       Abstracts of papers .  164 pages  2 $.
3- Reunion With The Beloved.
       Letters of Holiness Imam Khomaini to His  Son Haj Seyyed Ahmad
Khomaini.
       145 pages  2 $
4- STANDPOINTS. A selection of Stances assumed by Hajjatul-Islam
Seyyed Ahmad
      Khomaini.  239 pages  3 $
5- FATHER    O Standard Bearer of Islam.  By Seyyed ahmad khomaini
about his noble father Imam Khomaini (r ).   39 pages  1 $.
6- PITHY APHORISMS    Wise Sayings & Counsels.
     210 pages   3 $
7- The Last Message  The Political & Divine Will of His Holiness
      Imam Khomaini (as).  99 pages 2 $.
8- KAUTHAR  3 volumes An anthology of the speeches of Imam Khomaini
     including an account of the events of the Islamic Revolution 1962-
1978.
     Each vol. 10 $.
9- Fundamentals of The Islamic Revolution.
      Selections from the thoughts & opinions of Imam Khomaini (r).
      658 pages  10 $.
10- Adab Assalat .
                        10 $
11- 40 hadiths.
                        10 $.
12- The Position of Women From the Viewpoints of Imam Khomaini.
        299 pages  5 $.
13- The Life of Imam Khomaini (a.s).
                          10 $

#177 From: "salim mrisho" <s_mrisho@...>
Date: Thu Feb 5, 2004 5:12 pm
Subject: muisilam ni mtu gani?
s_mrisho@...
Send Email Send Email
 
Asalam aleykum
Napenda nichukue nafasi hii kuelezea mambo mawili ambayo asilimia nyingi tunapotoka hususwan hawa wezetu wakristan,Mambo hayo ni.
A:Muisilam ni mtu gani?
 Ninavyo fahamu mimi muisilam ni yule ambae anafata mafundisho aliotuachia Mtume wetu muhamad swalalwah alehi wasalam,Kuswali swala tano na mengine mengi tu.
Kama nilivyo sema hapo juu kuwa wakirsto wanadhani muisilamu niyule anaitwa jina Salim yakub yusuf abdulaah nawengine wengi tu wenye majina ya kiisilamu kumbe la hasha uisilam sio jina uisilamu ni matendo yako yanayo kubalika katika dini,Na wala sio pia kwa mavazi kazukubwa
utakuta muisilam mrevi basi hawa wezetu utawasikia waisilamu wanasema pombe haramu mbona yule anakunywa Uisilamu nakataa sio jina.Kuitwa jina la kiisilamu sio tiketi ya kuidhiniswa kuwa wewe muisilamu Laa hasha.
B:Napenda nizungumzie huu wakati tulio nao tunapo elekea kubaya waisilam tunadanganyika na dunia mambo mengi tunakosa mvua hamna jua ndio hilo jamani tukumbushane Hakuna apasae kuabuiwa isipokuwa mola tukimfata vile navyo taka tutaishi kwa amani haswa sisi waisilamu tunajisahau
Wabilahi taufiq
Masalaam
 


Plan your next US getaway to one of the super destinations here.

#178 From: lulu kitoi <itqam@...>
Date: Mon Jan 12, 2004 8:52 am
Subject: Fwd: FW: Signs of Weak Imaan
itqam@...
Send Email Send Email
 




Note: forwarded message attached.


Do you Yahoo!?
Yahoo! Hotjobs: Enter the "Signing Bonus" Sweepstakes
>From: "Salum Kassim" <salum1982@...>
>To: othman198114@..., sanaass@..., m_tajo@...
>Subject: FW: Signs of Weak Imaan
>Date: Fri, 09 Jan 2004 14:49:04 +0000
>
>
>
>
>>From: "abdulla othman" <amossnoufal@...>
>>To: nadyr83@..., zajuza2000@..., salum1982@...
>>Subject: FW: Signs of Weak Imaan
>>Date: Thu, 08 Jan 2004 15:32:33 +0300
>>
>>
>>
>>
>>>From: "Said Mohammed" <sssst31@...>
>>>To: amossnoufal@..., hmohammed15@...,
>>>kichunasherry@..., ida66us@...
>>>CC: mujjahid@...
>>>Subject: FW: Signs of Weak Imaan
>>>Date: Fri, 02 Jan 2004 10:40:03 +0000
>>>

_________________________________________________________________
STOP MORE SPAM with the new MSN 8 and get 2 months FREE*
http://join.msn.com/?page=features/junkmail






May Allah bless you
Wasaalam
S.Elkindy


Signs of Weak Imaan

  • Committing sins and not feeling any guilt.
  • Having a hard heart and no desire to read the Quran.
  • Feeling too lazy to do good deeds, e.g. being late for Salat
  • Neglecting the Sunnah.
  • Having mood swings, for instance being upset about petty things and
    bothered and irritated most of the time.
  • Not feeling anything when hearing verses from the Quran, for
    example when Allah warns us of punishments and His promise of glad
    tidings.
  • Finding difficulty in remembering Allah and making dhikr.
  • Not feeling bad when things are done against the Shariah.
  • Desiring status and wealth.
  • Being mean and miserly, i.e. not wanting to part with wealth.
  • Ordering others to do good deeds when not practicing them
    ourselves.
  • Feeling pleased when things are not progressing for others.
  • Being concerned with whether something is Haraam or Halaal only; and
    not avoiding makroo (not recommended) things.
  • Making fun of people who do simple good deeds, like cleaning the
    Masjid.
  • Not feeling concerned about the situation of Muslims.
  • Not feeling the responsibility to do something to promote Islam.
  • Being unable to deal with calamities, for instance crying and
    yelling in funerals.
  • Liking to argue just for the sake of arguing without any proof.
  • Becoming engrossed and very involved with duniya, worldly things,
    i.e. feeling bad only when losing something in terms of material
    wealth.
  • Becoming engrossed and obsessive about ourselves.
  • Liking to hang around people of opposite sex.

 









 

Signs of Weak Imaan

  • Committing sins and not feeling any guilt.
  • Having a hard heart and no desire to read the Quran.
  • Feeling too lazy to do good deeds, e.g. being late for Salat
  • Neglecting the Sunnah.
  • Having mood swings, for instance being upset about petty things and
    bothered and irritated most of the time.
  • Not feeling anything when hearing verses from the Quran, for
    example when Allah warns us of punishments and His promise of glad
    tidings.
  • Finding difficulty in remembering Allah and making dhikr.
  • Not feeling bad when things are done against the Shariah.
  • Desiring status and wealth.
  • Being mean and miserly, i.e. not wanting to part with wealth.
  • Ordering others to do good deeds when not practicing them
    ourselves.
  • Feeling pleased when things are not progressing for others.
  • Being concerned with whether something is Haraam or Halaal only; and
    not avoiding makroo (not recommended) things.
  • Making fun of people who do simple good deeds, like cleaning the
    Masjid.
  • Not feeling concerned about the situation of Muslims.
  • Not feeling the responsibility to do something to promote Islam.
  • Being unable to deal with calamities, for instance crying and
    yelling in funerals.
  • Liking to argue just for the sake of arguing without any proof.
  • Becoming engrossed and very involved with duniya, worldly things,
    i.e. feeling bad only when losing something in terms of material
    wealth.
  • Becoming engrossed and obsessive about ourselves.
  • Liking to hang around people of opposite sex.

 





#179 From: "sameja" <sameja@...>
Date: Tue Feb 24, 2004 3:02 am
Subject: website www.uislamu.org
sameja
Send Email Send Email
 
Nimepata e-mail hii kutoka kwa webmaster@..., nahisi ni
muhimu kwa wasomaji wote :

Ndugu Wasomaji,

Tumeweka makala mepya pamoja na makala ya mwaka mpya.

Tunawaomba radhi pia wasomaji wetu kwa kupotea kwa kwa forum yetu,
kwani imebidi tubadilishe kampuni ya web hosting kwa kuwa website
ilipotea ghafla kwa siku mbili na hatukuweza kufanya backup
(kuhifadhi maswali na wasomaji waliojiandikisha) na tukapoteza kila
kitu chetu. Ni bahati kuwa makala zetu tulikuwa nazo kwenye mashine
zetu na tukaweza kuziweka kwenye web site mpya.

Tunawaomba radhi wasomaji kwa usumbufu wowote uliotokana na hayo.

Asanteni na tunawatakieni heri ya mwaka mpya, Mwenyezi Mungu aufanye
wenye faida na nusra kwa Uislamu na waislamu ulimwenguni kote, na
awafikishe waislamu kutekeleza maamrisho yake na wawe mbali na
makatazo yake.

Webmaster -www.uislamu.org

#181 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Sat Mar 20, 2004 7:51 pm
Subject: TUJIFUNZE"25th Muharram 1425, 17th March 2004"
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 

Last Update : 25th  Muharram 1425, 17th March 2004 
Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
Makala Maalum- Mwaka mpya wa kiislamu 1425
Himda na thanaa njema ni stahiki yake Allah aliyesema: “BILA SHAKA IDADI YA MIEZI (ya mwaka mmoja) MBELE YA ALLAH NI MIEZI KUMI NA MBILI KATIKA ILMU YA ALLAH (Mwenyewe tangu) SIKU ALIPOUMBA MBINGU NA ARDHI. KATIKA HIYO IMO ILIYO MITUKUFU KABISA (nayo ni Rajab, Dhul-Qa’adah, Dhul-Hijjah na Muharram)...” 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

Sharti zingatiwa katika mali ya shirika kuwa moja  
Ili kuweza kuizingatia zakah katika mali shirika kama lau ingelikuwa ni mali moja inayomilikiwa na mtu mmoja, kuna makundi mawili ya sharti kama yafuatavyo: KUNDI LA KWANZA:
Hizi ni sharti zinazoyahusisha makundi yote mawili ya mali shirika kama tulivyoyataja katika somo tangulizi. Yaani ule ushirika enevu na mjiranikiano, sharti hizo ni pamoja na:  Endelea ...
Mambo yenye kuokoa : Kuwa na nia njema na mtakasie Allah 
Tunapenda ufahamu kwa mapenzi ya Allah kwamba nia njema na kumtakasia Allah amali/matendo (ikhlasi) ni katika jumla ya ibada za moyo zenye uokovu kwako. Allah Taala anatuambia: “...WAKO MIONGONI MWENU WANAOPENDA DUNIA NA WAKO MIONGONI MWENU WANAOPENDA AKHERA...” [3:152] Mahala pengine akasema: “NA ANAYETAKA AKHERA NA AKAZIFANYIA JITIHADA AMALI ZAKE, NA HALI YA KUWA NI MUUMINI, BASI HAO JITIHADA YAO (hiyo) ITAKUWA NI YENYE KUSHUKURIWA”. [17:19]  Endelea .....
Sulhu ya Hudaybiya
Ilikuwa ni fursa na wakati muafaka wa kuizuru nyumba ya Allah (Al-Ka’abah), Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-akaazimia kufanya ziara hiyo pamoja na wafanya ziara wengine miongoni mwa Waarabu. Ni katika mwaka huu wa sita pia, ndimo ilimofaradhishwa nguzo ya tano ya Uislamu; ibada ya Hijjah sambamba na ile ya Umrah. Usiku mmoja Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-aliona ndotoni kwamba yeye na maswahaba wake wanaingia katika nyumba tukufu ya Allah.  Endelea .....
Ashiki
Ashiki ni huba/penzi lililochupa mipaka ambalo huwa kwa kujiepusha na haramu na wala haliwi katika ufasiki. Yaani ashiki sio jambo ovu na chafu, kwani mtu anaweza kuwa na ashiki na bado akajiepusha na haramu na mwingine ashiki yake ikamtumbukiza kwenye lindi la ufasiki. Kama tulivyotaja wakati tukilielezea huba, ashiki nayo ni katika jumla ya matendo ya moyo ambayo mwanadamu hana utawala nayo.
Endelea ...

 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an
Jifunze Kiarabu

Aya ya Wiki

“ENYI MLIOAMINI! TOENI KATIKA VILE TULIVYOKUPENI KABLA HAIJAFIKA SIKU AMBAYO HAPATAKUWA KUJIKOMBOA WALA URAFIKI (wa kusaidiana) WALA UOMBEZI. NA WALIOKUFURU NDIO WALOJIDHULUMU (kweli kweli)”. [2:254]

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Mwanamke atakapo

Þ         Swali swala zake tano (za fardhi),

Þ         Ufunga mwezi wake (wa Ramadhani),

Þ         Ihifadhi tupu yake (na haramu) na

Þ         Mtii mume wake, ataingia peponi”. Al-Bazzaar-Allah amrehemu.

 
Dua ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-anasema: “Ni amani kwa umati wangu kutokana na gharika wanapopanda (baharini) kusema: BISMILLAAHI MAJREEHAA WA MURSAAHAA INNA RABBIY LAGHAFUURUR-RAHIYM. WAMAA QADARULLAAH HAQQA QADRIHI”. Ibn Sinaa, Ibn Murdawayhi & Twabaraaniy-Allah awarehemu.

MAANA: “Kwa jina la Allah kuwe kwenda kwake na kusimama kwake. Hakika Mola wangu ni Mwingi wa kusamehe (na) Mwingi wa kurehemu”.

Katazo la Wiki
Wewe mtoto ni lipi khasa linalokujasirisha kufungua kinywa chako na kuinua ulimi wako kuwakemea, kuwakaripia na hata kuthubutu kuwatukana wazazi wako?! Unaipata wapi jeuri hiyo na ilhali Mola wako amekwishasema: “NA MOLA WAKO AMEKWISHAHUKUMU KUWA MSIMUABUDU YE YOTE ILA YEYE TU. NA (ameagiza) KUWAFANYIA WEMA (mkubwa) WAZAZI. KAMA MMOJA WAO AKIFIKIA UZEE (naye yuko) PAMOJA NAWE, AU WOTE WAWILI, BASI USIWAAMBIE HATA AAH! WALA USIWAKEMEE NA USEME NAO KWA MSEMO WA HISHIMA (kabisa)”. [17:23]
Swali la Wiki

SWALI: Ni siku zipi ambazo ni karaha kufunga ndani yake?


| Tuandikie |

:



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#182 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Sat Mar 20, 2004 7:53 pm
Subject: KILA MTU ATAJUTA .
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 
 
 
Asalam Aleykuom Warahamatullahi Wabarakatuuh .        
                           KILA MTU ATAJUTA .

     Kulikuwa na kundi la watu likisafiri pamoja. Wakafika pahali penye ardhi ya mawe na ilikuwa usiku wa kiza kinene. Ghafla wakasikia sauti kali isiyojulikana itokapo ikiwaeleza kwamba atakayeokota mawe kwa  usiku ule atajuta; vilevile na asiyeokota pia atajuta. Watu wote wakahamanika na kuchanganyikiwa. Itakuwaje hivi? Uokote au usiokote mawe utajuta tu  ??!!! Kwa hiyo, baadhi yao waliokota mawe hayo, na wengine hawakufanya  hivyo. Walipoamka asubuhi baada ya kufika makwao; wakaona yale mawe  yamegeuka na kuwa almasi. Wale wasiookota mawe yale wakaanza kujuta, "Yalaiti ningeokota na mie pia." Na wale waliookota pia nao walijuta, "Yalaiti ningeokota mengi zaidi."

   Ndugu yangu Mwislamu, huu ni mfano tu; lakini mfano huu ndivyo hivyo itakavyokuwa siku yako ya kuondoka duniani kwenye maisha ya muda tu na kuelekea Akhera kwenye maisha ya milele kwa namna vile Hadith ya Mtume wetu (S.A.W.) inayotuelezea kwamba kila mtu atajuta wakati pale anapokata roho. Akiwa ni mwovu basi atajuta kwa maovu aliyoyafanya na atatamani arudi tena duniani ili afanye mema apate kuepukana na adhabu inayomkabili mbele yake ambayo wakati ule ndio inajidhihirisha   wazi mbele yake (kwani mtu anapotolewa roho yake basi Mola humwonyesha wapi mafikio yake kabla ya kufikishwa huko, hapo haihitajiki tena imani yako ya kuamini kama kunaadhabu). Na kama akiwa ni mwema basi pia atajuta kwa nini hakuzidisha mema yake akapata daraja ya juu zaidi ya ile anayoonyesha pale.

     Ndugu yangu Mwislamu, nakuusia pamoja na kuiusia nafsi yangu, tumche  Mwenyezi Mungu (S.W.). Tuutumie muda wetu katika mambo ya kheri yatakayotusaidia huko tuendako kwenye maisha ya milele. Hebu kaa kitako ufikiri, ni masaa mangapi kwa siku unayatumia katika kufanya mambo ya kheri na masaa mangapi unayatupa bure kwa mambo maovu au hata ya upuuzi na wala hayatokusaidia chochote akhera. Je katika siku kamili; ni kiasi gani umekumbuka Mola wako kwa kusoma kitabu chake kitukufu na kumtaja? Na mara ngapi umemwomba msamaha (maghfira) kwa  maovu unayoyatenda kila kukicha? Na mara ngapi umemtakia Rehma kipenzi chake Mtume wetu mtukufu(S.A.W.)?

Ndugu yangu Mwislam, ni sababu gani inayotufanya tusimwabudu Mola  wetu na wakati mtu hujijui na wala huna hakika kabisa ni wakati gani kifo kitakubishia hodi? Kifo kifo kipo nyuma yako, kwani kinapowadia huna pa kukimbilia. Kila unavyopitisha siku uelewe wazi kuwa ndivyo unavyopiga hatua mbele na kukaribia kifo chako. Hujijui kamwe ni miaka mingapi au ni siku ngapi au hata ni dakika ngapi zimebaki za wewe kuishi duniani. Kwa hiyo tujitahidi sana kujiandaa na safari hii ya ghafla isiyo na miadi wala wakati maalum kwa kufuata amri za Allah  (S.W.).

  Ndugu yangu Mwislamu, saa hii tuliyonayo hapa, basi jua kwamba katika saa hii hii kuna wenzetu wanaumwa mahututi hata kauli hawana; kuna wenzetu wanaiaga hii dunia; kuna wenzetu wanafukiwa na udongo. Tumshukuru Mola wetu mimi nawe tu wazima tunavuta pumzi, basi kwa nini tuupoteze wakati huu? Tujitahidini sana kufanya ibada, tuzilainishe nyoyo yetu kwa kumtaja Allah na Mtume Muhammad (S.a.w), tuhifadhi Qur'ani katika nyoyo zetu kwani kila unapoihifadhi kifuani kwako ndio kadiri itakavyozidi kukuombea mbele ya Mola siku ya kiyama.
    Ndugu yangu Mwislam, kwa ushahidi wa Hadith za Mtume (S.A.W.), huko tendako si pa kufanya dharau kabisa. Kuna adhabu za pale unapotolewa roho ambazo ni kwa kadiri ya matendo yako mbali na uchungu wa roho yenyewe pale inapotolewa uchungu ambao hata Mtume wetu (S.A.W.) ambae
ni kiumbe bora duniani na kipenzi cha Mola (S.W.) ameupata pia. Pia kuna adhabu za kaburi ambazo pia ni kwa kadiri ya matendo yako, mojawapo ni kubanwa na kaburi hadi mbavu zinapishana. Vilevile kuna adhabu ya siku ya mwisho, siku ya malipo, siku itakayopimwa mizani yako kwa yote uliyoyafanya na utavuna kile ulichokipanda katika dunia hii , siku ambayo utakayosimama mbele ya Mola wako na mbele ya umati  na kusoma kitabu cha amali zako bila kuficha kitu, kwani hutoweza kuongopa wala kuficha chochote. Na adhabu ya siku hii ya mwisho huanza tu baada ya kufufuliwa hadi pale tutakaposimama mbele ya Mola kuhesabiwa, na adhabu hii ni kubwa sana kiasi ambacho mtu ataomba arudi kaburini kuliko kukumbana na adhabu ya siku ya mwisho. Pia adhabu hii ni kwa kadiri ya matendo ya mtu, kuna waja wema Mola atawanusuru na adhabu hii. Adhabu itadumu mpaka itafikia kuanzia watu  wa umati zote zilizopita hadi umati wetu watafikia kumwomba kiumbe bora wa viumbe wote na mpenzi wa Mola Muumba naye ni Mtume wetu (S.A.W.) akawaombee kwa Allah (S.W) ili watu wahesabiwe na wajijue wanakwenda wapi; kama ni peponi basi na aende na kama ni motoni pia bora aende kuliko adhabu ya hapo uwanjani pamoja na kuwa hata huo moto wenyewe haujui ukali wake hata chembe.
Ninachokuomba ndugu yangu Mwislam, tujihesabu kabla ya kuhesabiwa kama Mtume alivyotuusia. Kaa ujihesabu ni yepi mema uliyoyatekeleza na mangapi maovu uliyoyafanya katika kila siku yako moja unayoishi.
   Tunamuomba Mola Sub-haanahu Wataalaa atuepushe na adhabu zake, na atusameh madhambi yetu, na atanusuru na moto wake, na atujaaalie tuipate pepo yake kwa Rehma zake Inshaallah.
               AMIN YA RABBIL-ALAMIM.

 Created  By:mahmoud.sh.khamis

          Tafadhali wapelekee Waislam wengine
 
 
Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#183 From: webmaster@...
Date: Tue Oct 28, 2003 8:30 pm
Subject: [Forum - Uislamu:] Re: unaruhusiwa kuangalia tupu za mkeo
webmaster@...
Send Email Send Email
 
The following new message has been posted on Forum ya Uislamu at
<http://www.uislamu.org/cgi-bin/uislamu.pl>.

***************************************************************************

   MESSAGE:  (#141) Re: unaruhusiwa kuangalia tupu za mkeo
             <http://www.uislamu.org/cgi-bin/uislamu.pl?rev=141>
   AUTHOR:   lazarous pa....
   DATE:     Tuesday, 28 October 2003, at 3:30 p.m.

   Reply To: (#139) Re: unaruhusiwa kuangalia tupu za mkeo
   Author:   dafydd
   Date:     Saturday, 25 October 2003, at 10:35 a.m.

Nafiri swali hili tumejitahidi sana kujibu lakini bado kina hatujakipata kwani
siyo vyema kuona uchi wa mkeo mpaka kwa sababu maalumu na tendo la kuangalia
tupu ya mkeo ni moja ya kupunguza pendo kwa mkeo kwani aweza kuwa hajajiweka
katika khari ya usafi ukaanza kumchunguza chunguza ikakuletea khari siyo
nzuri. kwani kitendo hiki mimi nasema kisifanyike
Ahanteni.

***************************************************************************

This is an automatically-generated notice.  If you'd like to be removed from
the mailing list, please visit Forum ya Uislamu at
<http://www.uislamu.org/cgi-bin/uislamu.pl>, or send your request to
webmaster@....  If you wish to respond to this message, please post
your response directly to the board.  Thank you!

#184 From: webmaster@...
Date: Fri Oct 10, 2003 3:28 pm
Subject: [Forum - Uislamu:] Re: unaruhusiwa kuangalia tupu za mkeo
webmaster@...
Send Email Send Email
 
The following new message has been posted on Forum ya Uislamu at
<http://www.uislamu.org/cgi-bin/uislamu.pl>.

***************************************************************************

   MESSAGE:  (#130) Re: unaruhusiwa kuangalia tupu za mkeo
             <http://www.uislamu.org/cgi-bin/uislamu.pl?rev=130>
   AUTHOR:   sitta lazar....
   DATE:     Friday, 10 October 2003, at 11:28 a.m.

   Reply To: (#127) Re: unaruhusiwa kuangalia tupu za mkeo
   Author:   Makambajek
   Date:     Monday, 6 October 2003, at 12:38 a.m.

Mimi ni mtanzania natoka [w] meatu nasema kuwa hiyo mambo ya kuangalia uchi ya
mwenzako siyo vizuri hata mungu hakusema mambo ya kuangaliana isipo kuwa
kukiziana haja basi. mimi nipohapa canada kwa masomo.

***************************************************************************

This is an automatically-generated notice.  If you'd like to be removed from
the mailing list, please visit Forum ya Uislamu at
<http://www.uislamu.org/cgi-bin/uislamu.pl>, or send your request to
webmaster@....  If you wish to respond to this message, please post
your response directly to the board.  Thank you!

#185 From: "webmaster" <webmaster@...>
Date: Fri Mar 26, 2004 1:15 pm
Subject: Emailing: www.uislamu
webmaster@...
Send Email Send Email
 
 

Last Update : 5th  Safar 1425, 26th March 2004 
Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

Kutokuiakhirisha Zakah  
Mali itakapofikia/kuzidi kiwango-anzia cha zakah na ikapitiwa na mwaka, bila shaka zakah imekwishakuwa wajibu ndani yake mali hiyo. Na imekwisha wathibitikia wastahiki wake na kume muwajibikia mmiliki kutoa kile kiasi cha wajibu haraka bila kuchelewa. Hivi ni iwapo zimepatikana na kukamilika sharti mbili hizi za msingi:  Endelea ...
Mambo yenye kuokoa : Kuwa mkweli kwa Allah 
Ndugu mwema-Allah aturehemu-makala hii ya leo ndio inayofunga mfululizo wa makala hizi zilizokuwa zikikujia chini ya anuani: Wasia maridhawa kwa kila muislamu. Katika makala yetu hii ya mwisho, tunakuusia kwa mapenzi ya Allah ufahamu kuwa katika jumla ya mambo yenye kuokoa na yenye daraja tukufu. Ni kuwa mkweli kwa Allah, kumchungachunga Allah, kuwa na tafakari sawia, kuwa na mipango michache na kukithirisha kuyakumbuka mauti na kujiandaa nayo. Ama kuhusiana na suala la ukweli kwa Allah, tunasoma:  Endelea .....
Makureishi washikilia msimamo wao wa kutokumruhusu Mtume
Makureishi walipandwa na mori/hamasa za kijahilia pale zilipogonga ngoma za masikio yao khabari za ujio wa Mtume wa Allah. Wakashika msimamo wa kutokumruhusu Mtume kuingia Makah kwa namna yo yote iwayo na wakaanza kujiandaa kwa vita ikiwa atang’ang’ania kuingia bila ya ridhaa yao. Wakamtuma Khaled Ibn Al-Waleed na Ikrimah Ibn Abu Jahli kuliongoza kundi la mashujaa wao mia mbili, kwenda “Kuraail-Ghamiym” kuwazuia waislamu wasiingie Makah. Wakawatolea wito wa kutoka pamoja nao washirika wao katika Wahabeshi na watu wa Thaqiyf. Wakatoka wakaenda mpaka wakafika mahala paitwapo “Baldahi”, nje kidogo ya Makah wakapiga kambi hapo.  Endelea .....
Sharti za kifungo cha ndoa
Tayari kupitia masomo yaliyotangulia umekwishajua maana na hukumu ya ndoa. Katika somo hili tunakusudia kutaja sharti za kifungo cha ndoa zinazotakiwa kisheria ili ndoa iweze kusihi. Pia kwa msaada wa Allah tutataja hukumu zinazoziandamia sharti hizo. Kifungo cha ndoa ni ibara inayoyahusisha matamko mawili maalumu yanayoashiria kuridhia na kukubali kufungwa kwa ndoa baina ya pande mbili husika. Matamko mawili haya yanajulikana kama “Ijaabu” na “Qabuuli” katika Istilahi za Kifiq-hi. Endelea ...

 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an
Jifunze Kiarabu

Aya ya Wiki

“ENYI MLIOAMINI! MSIHARIBU SADAKA ZENU KWA MASUMBULIZI NA UDHIA; KAMA YULE ANAYETOA MALI YAKE KWA KUWAONESHA WATU, WALA HAMWAMINI ALLAH WALA SIKU YA MWISHO. BASI HALI YAKE NI KAMA HALI YA JABALI AMBALO JUU YAKE PANA UDONGO, KISHA IKALIFIKIA (jabali hili) MVUA KUBWA (ikasukuma udongo wote huo) NA IKALIACHA TUPU. BASI HAWATAKUWA NA UWEZA (wa kupata) CHO CHOTE KATIKA WALIVYOVICHUMA; NA ALLAH HAWAONGOZI WATU MAKAFIRI”. [2:264]

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Tajeni mema ya maiti wenu na jizuieni na (kutaja) mabaya yao”. Tirmidhiy-Allah amrehemu.

Dua ya Wiki
Mwanamke anaposhikwa na uchungu unaoashiria kukaribia kujifungua, msomee Aayatul-Kursiy [2:255] na [7:54] na Qul-Audhubirabbil-Falaq na Qul-Audhubirabbin-Naasi. Imepokewa kutoka kwa Faatimah-Allah amuwiye radhi-“Kwamba Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-yeye alipokaribia kujifungua, (Mtume) alimuamuru Ummu Salamah na Zaynabu Bint Jahshi wamuendee na kumsomea Aayatul-Kursiy na [INNA RABBAKUMULLAH...] mpaka mwisho wa aya [7:54] na wamkinge kwa Qul-Audhubirabbil-Falaq na Qul-Audhubirabbin-Naasi”. Ibn Sinaa-Allah amrehemu
Katazo la Wiki

Naam, wewe unafanya kazi ya Mtume wa Allah; kazi ya kuufikisha ujumbe wa Allah kwa waja wa Allah. Kwa nini basi unatumia lugha isiyo na heshima, lugha ya kejeli na matusi katika ufikishaji wako huo?! Ikiwa muasisi wa kazi hiyo yeye mwenyewe anaambiwa na Mola wake: “WAITE WATU KATIKA NJIA YA MOLA WAKO KWA HIKIMA NA MAUIDHA MEMA, NA UJADILIANE NAO KWA NAMNA ILIYO BORA...” [16:125] Je, hayo matusi, kejeli na lugha chafu unayotumia ndio hekima na mauidha mema?! Acha, tena acha kabisa kwani huko sio kuufikisha ujumbe bali ni kuutukanisha ujumbe na Mjumbe mkuu (Mtume).

Swali la Wiki

Ni haramu kufunga katika siku zipi, zitaje


| Tuandikie |

:

#186 From: "asha nassor" <asha_nassor@...>
Date: Fri Mar 26, 2004 4:54 pm
Subject: ni wajibu wetu
asha_nassor@...
Send Email Send Email
 

 

 

assalam alaykum

Kwa jina la M/Mungu mwingi wa rehma na mwenye kurehemu

Namuomba M/Mungu aniwafikishe kutenda mema aniwezeshe ktk lengo langu hili la kufikisha ikiwa ni km kutekeleza amri ya mtume wetu Muhammad (S.A.W) aliposema kuwauliza masahaba wake ("nimekufikishieni au sijakukufikishieni "  nao wakajibu kua umetufikishia na akawambia "km nimekufikishieni basi nifikishieni ijapokua ni aya tuu")

Ndugu yangu muislam nakuusia ktk njia ilionyooka pamoja na kuiusia nafsi yangu ya kwamba inawajibika juu yetu kujua mas-ala manne:

     ELIMU

Nayo ni kumjua ALLAH, kumjua nabii wake na kujua dini ya kiislam kwa dalili (hoja)

KUIFANYIA KAZI

Nako ni kujipinda kisawasawa wewe mwenyewe kwa ibada km ilivyoamrishwa na kuacha makatazo yake

KULINGANIA

nako ni kuamrisha mema na kukataza mabaya

KUSUBIRI JUU YA ADHA HUMO

Napo hapo ndio pa gumu  lakini inabidi tujitolee ili tuweze kupeleka mbele dini yetu ya kiislam

na tukienda kinyume na haya tutakua tumo khasarani

     na ushahidi wa haya ni kauli yake

ALLAH (SW)

"NAAPA KWA ZAMA ZAKO EWE NABII MUHAMMAD.
KUWA MWANAADAMU YUKO KHASARANI.

ILA WALE WALIOAMINI NA WAKAFANYA MATENDO MEMA, WAKAUSIANA KUFUATAHAKI NA WAKAUSIANA KUWA NA SUBIRA

                           wabillahi taufiq

 

 

 

 



 



MSN 8 helps ELIMINATE E-MAIL VIRUSES. Get 2 months FREE*.



>From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
>Reply-To: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
>To: jifunzeuislamu@yahoogroups.com
>Subject: [jifunzeuislamu] KILA MTU ATAJUTA .
>Date: Sat, 20 Mar 2004 14:53:17 -0500 (EST)
>
>Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/
>
>
>Asalam Aleykuom Warahamatullahi Wabarakatuuh .
>                            KILA MTU ATAJUTA .
>
>
>
>      Kulikuwa na kundi la watu likisafiri pamoja. Wakafika pahali penye ardhi ya mawe na ilikuwa usiku wa kiza kinene. Ghafla wakasikia sauti kali isiyojulikana itokapo ikiwaeleza kwamba atakayeokota mawe kwa  usiku ule atajuta; vilevile na asiyeokota pia atajuta. Watu wote wakahamanika na kuchanganyikiwa. Itakuwaje hivi? Uokote au usiokote mawe utajuta tu  ??!!! Kwa hiyo, baadhi yao waliokota mawe hayo, na wengine hawakufanya  hivyo. Walipoamka asubuhi baada ya kufika makwao; wakaona yale mawe  yamegeuka na kuwa almasi. Wale wasiookota mawe yale wakaanza kujuta, "Yalaiti ningeokota na mie pia." Na wale waliookota pia nao walijuta, "Yalaiti ningeokota mengi zaidi."
>
>
>
>    Ndugu yangu Mwislamu, huu ni mfano tu; lakini mfano huu ndivyo hivyo itakavyokuwa siku yako ya kuondoka duniani kwenye maisha ya muda tu na kuelekea Akhera kwenye maisha ya milele kwa namna vile Hadith ya Mtume wetu (S.A.W.) inayotuelezea kwamba kila mtu atajuta wakati pale anapokata roho. Akiwa ni mwovu basi atajuta kwa maovu aliyoyafanya na atatamani arudi tena duniani ili afanye mema apate kuepukana na adhabu inayomkabili mbele yake ambayo wakati ule ndio inajidhihirisha   wazi mbele yake (kwani mtu anapotolewa roho yake basi Mola humwonyesha wapi mafikio yake kabla ya kufikishwa huko, hapo haihitajiki tena imani yako ya kuamini kama kunaadhabu). Na kama akiwa ni mwema basi pia atajuta kwa nini hakuzidisha mema yake akapata daraja ya juu zaidi ya ile anayoonyesha pale.
>
>
>
>      Ndugu yangu Mwislamu, nakuusia pamoja na kuiusia nafsi yangu, tumche  Mwenyezi Mungu (S.W.). Tuutumie muda wetu katika mambo ya kheri yatakayotusaidia huko tuendako kwenye maisha ya milele. Hebu kaa kitako ufikiri, ni masaa mangapi kwa siku unayatumia katika kufanya mambo ya kheri na masaa mangapi unayatupa bure kwa mambo maovu au hata ya upuuzi na wala hayatokusaidia chochote akhera. Je katika siku kamili; ni kiasi gani umekumbuka Mola wako kwa kusoma kitabu chake kitukufu na kumtaja? Na mara ngapi umemwomba msamaha (maghfira) kwa  maovu unayoyatenda kila kukicha? Na mara ngapi umemtakia Rehma kipenzi chake Mtume wetu mtukufu(S.A.W.)?
>
>
>
>Ndugu yangu Mwislam, ni sababu gani inayotufanya tusimwabudu Mola  wetu na wakati mtu hujijui na wala huna hakika kabisa ni wakati gani kifo kitakubishia hodi? Kifo kifo kipo nyuma yako, kwani kinapowadia huna pa kukimbilia. Kila unavyopitisha siku uelewe wazi kuwa ndivyo unavyopiga hatua mbele na kukaribia kifo chako. Hujijui kamwe ni miaka mingapi au ni siku ngapi au hata ni dakika ngapi zimebaki za wewe kuishi duniani. Kwa hiyo tujitahidi sana kujiandaa na safari hii ya ghafla isiyo na miadi wala wakati maalum kwa kufuata amri za Allah  (S.W.).
>
>
>   Ndugu yangu Mwislamu, saa hii tuliyonayo hapa, basi jua kwamba katika saa hii hii kuna wenzetu wanaumwa mahututi hata kauli hawana; kuna wenzetu wanaiaga hii dunia; kuna wenzetu wanafukiwa na udongo. Tumshukuru Mola wetu mimi nawe tu wazima tunavuta pumzi, basi kwa nini tuupoteze wakati huu? Tujitahidini sana kufanya ibada, tuzilainishe nyoyo yetu kwa kumtaja Allah na Mtume Muhammad (S.a.w), tuhifadhi Qur'ani katika nyoyo zetu kwani kila unapoihifadhi kifuani kwako ndio kadiri itakavyozidi kukuombea mbele ya Mola siku ya kiyama.
>
>     Ndugu yangu Mwislam, kwa ushahidi wa Hadith za Mtume (S.A.W.), huko tendako si pa kufanya dharau kabisa. Kuna adhabu za pale unapotolewa roho ambazo ni kwa kadiri ya matendo yako mbali na uchungu wa roho yenyewe pale inapotolewa uchungu ambao hata Mtume wetu (S.A.W.) ambae
>ni kiumbe bora duniani na kipenzi cha Mola (S.W.) ameupata pia. Pia kuna adhabu za kaburi ambazo pia ni kwa kadiri ya matendo yako, mojawapo ni kubanwa na kaburi hadi mbavu zinapishana. Vilevile kuna adhabu ya siku ya mwisho, siku ya malipo, siku itakayopimwa mizani yako kwa yote uliyoyafanya na utavuna kile ulichokipanda katika dunia hii , siku ambayo utakayosimama mbele ya Mola wako na mbele ya umati  na kusoma kitabu cha amali zako bila kuficha kitu, kwani hutoweza kuongopa wala kuficha chochote. Na adhabu ya siku hii ya mwisho huanza tu baada ya kufufuliwa hadi pale tutakaposimama mbele ya Mola kuhesabiwa, na adhabu hii ni kubwa sana kiasi ambacho mtu ataomba arudi kaburini kuliko kukumbana na adhabu ya siku ya mwisho. Pia adhabu hii ni kwa kadiri ya matendo ya mtu, kuna waja wema Mola atawanusuru na adhabu hii. Adhabu itadumu mpaka itafikia kuanzia watu  wa umati zote zilizopita hadi umati wetu watafikia kumwomba kiumbe bora wa viumbe wote na mpenzi wa Mola Muumba naye ni Mtume
>  wetu (S.A.W.) akawaombee kwa Allah (S.W) ili watu wahesabiwe na wajijue wanakwenda wapi; kama ni peponi basi na aende na kama ni motoni pia bora aende kuliko adhabu ya hapo uwanjani pamoja na kuwa hata huo moto wenyewe haujui ukali wake hata chembe.
>
>Ninachokuomba ndugu yangu Mwislam, tujihesabu kabla ya kuhesabiwa kama Mtume alivyotuusia. Kaa ujihesabu ni yepi mema uliyoyatekeleza na mangapi maovu uliyoyafanya katika kila siku yako moja unayoishi.
>
>    Tunamuomba Mola Sub-haanahu Wataalaa atuepushe na adhabu zake, na atusameh madhambi yetu, na atanusuru na moto wake, na atujaaalie tuipate pepo yake kwa Rehma zake Inshaallah.
>                AMIN YA RABBIL-ALAMIM.
>
>  Created  By:mahmoud.sh.khamis
>
>           Tafadhali wapelekee Waislam wengine
>
>
>Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/
>
>
>
>---------------------------------
>Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#187 From: Kitulizochamoyo Qur'aan Na Hadeeth"
Date: Sat Mar 27, 2004 10:15 am
Subject: HATARI YA KUIPUUZA QUR'AAN
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
Bismillahi  Walhamdulilla, Waswallatu Wasalaam Alaa R

#189 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Wed Mar 31, 2004 5:32 pm
Subject: One minute of Allah!!!
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 
 

1 Minute for Allah

Step 1:

Say with your heart and tongue:

*SUBHANA'LLAH

*ALHAMDULI'LLAH

*LA I LAHA ILLA'LLAH

*ALLAHU AKBAR

*ASTAGHFIRU'LLAH

*LA ILAH ILLA'LLAH, MUHAMMADUN RASULU'LLAH

*ALLAHUMMA SALLY WA SALLEM WABAREK ALA SAYYEDINA UHAMMAD

*WA AALIHE WA SAHBIH AJMA'EEN

Step 2:

Contemplate in their meaning sentence by sentence and word by word

Step 3:

Forward this email onto at least seven other people

Result 1:

Within hours you have caused a multitude of people to remember, praise and glorify The Almighty ALLAH

Result 2:

Within hours you have caused a multitude of people to Salute, pray for and glorify the Prophet (P.B.U.H.)

Result 3:

Within hours at least seven people would have prayed for you with Angels saying AMEEN, INSHA'A'LLAH

NOW.......... Sit back and watch the power of ALLAH work in your life for doing the thing that you know HE loves.

^-,._.,-^-,._.,-^-,._.,-^-,._.,-^-,._.,-^-,._.,-^-,._....,-^-,._.,-^-,._.,-^-,._.,

BENIFITS OF AAYATUL QURSI 
  
1) RECITE AAYATUL QURSI AT THE TIME OF LEAVING HOUSE
BECAUSE 70000 ANGELS PROTECT PERSON FROM LEFT, RIGHT, FRONT
AND BACK AND IF A PERSON DIES BEFORE RETURNING HE WILL
GET 70 MARTYRS REWARD.  
 
 2)RECITE AAYATUL QURSI 40 TIMES EVERY DAY AT THE TIME OF
SUNSET, PERSON WILL GET REWARD OF 40 HAJJ.  
 
3)RECITE AAYATUL QURSI EVERY NIGHT AT BED, THIS CREATES ONE
ANGEL WHO WILL GUARD THE PERSON TILL MORNING.  
 
4) RECITE AAYATULQURSI EVERY TIME AFTER DOING ABLUTION (WUZU)
 THIS WILL RAISE PERSON 40 TIMES IN RANK FROM EACH WORD.
 
5)RECITE AAYATUL QURSI EVERY TIME AFTER RETURNING HOME
BECAUSE IT KEEPS AWAY POVERTY.  
 
PASS THIS INFORMATION TO ALL MUSLIM BROTHERS AND SISTERS
AND EARN VIRTUE.

^-,._.,-^-,._.,-^-,._.,-^-,._.,-^-,._.,-^-,._.,-^-,._....,-^-,._.,-^-,._.,-^-,._.,

The following message in the next seven days should reach at least FIVE MILLION Muslims all over the world, Insha-Allah. Please forward this
message TODAY to your friends and relative and earn abundant Rewards from Allah Subhanawatala.

SAYINGS (HADITH) OF PROPHET MUHAMMAD (Sallallaahu alaihi wa sallam)
The one who disdains the prayers will receive Fifteen punishments from Allah.

Six punishments in this lifetime
Three while dying
Three in the grave &
Three on the Day of Judgment.

THE SIX PUNISHMENTS OF LIFE:
1. Allah takes away blessings from his age (makes his life misfortunate)
2.Allah does not accept his plea (Dua's)
3.Allah erases the features of good people from his face.
4.He will be detested by all creatures on earth.
5.Allah does not award him for his good deeds. (No thawab)
6.He will not be included in the Dua's of good people.

THE THREE PUNISHMENTS WHILE DYING:
1. He dies humiliated.
2. He dies hungry.
3. He dies thirsty. Even if he drinks the water of all seas he will still be thirsty.

THE THREE PUNISHMENTS IN THE GRAVE:
1. Allah tightens his grave until his chest ribs come over each other.
2. Allah pours on him fire with embers.
3. Allah sets on him a snake called "the brave", "the bold" which hits Him from morning until afternoon for leaving Fajr prayer, from the afternoon until Asr for leaving Dhuhr prayer and so on. With each strike he sinks 70 yards under the ground.

THE THREE PUNISHMENTS ON THE DAY OF JUDGMENT:
1. Allah sends who would accompany him to hell pulling him on the face.
2. Allah gives him an angry look that makes the flesh of his face fall down.
3. Allah judges him strictly and orders him to be thrown in hell.
Note: If you get this copy, please make copies of it and distribute them among all Muslims. You will be earning a Reward as well as helping to show your brother the Right Path. May Allah give guidance to all of us.
AAMEEN!!!!!!!
----------------------------------------------
THOSE WHO DO NOT SAY THEIR PRAYERS OF:
FAJAR: the glow of their face is taken away.
ZOHAR: the blessing of their income is taken away.
ASAR: the strength of their body is taken away.
MAGHRIB: they are not benefacted by their children.
ISHA: the peace of their sleep is taken away.
-----------------------------------------------------------------
THE HOLY QUR'AN:

Say Your Prayers Before Prayers For You Are Said".
"Namaz Parh Is Se Pehle Ke Teri Namaz Parhi Jaye".
----------------------------------------------------------
BROTHERS AND SISTERS, NOW YOU HAVE TWO OPTIONS HERE:

1. Let this e-mail sitting in your mailbox. No curse or whatever may happen to you (Insha-Allah)

2. Forward this e-mail to a number of people you know and by the grace of Allah you will be blessed for each person you forward this e-mail to. Insha-Allah.

Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba 

tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#191 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Mon Apr 5, 2004 9:28 am
Subject: Uradi
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
Assalaam alaykum warahmatu llahi wabarakatuh, ndugu muislam.
tafadhali soma mpaka mwisho, Mtume wa Allah (saw) kamwambia Sayyidina Ali(ra):
 
Ya Ibn Ammi usilale ila umefanya mambo matano nayo ni :-
    1.  kusoma qur-ani
yote
    2. kutoa sadaka ya dirham elfu nne
    3. kuzuru al-kaaba.
    4. kuhifadhi pahala pako peponi.
    5. ridhaa ya uliohasimiana nao.
 
Sayyidina Ali(R.A) Akasema vipi ya Rasulallah? Mtume (SAW) akamwambia:-
 
1. Ikiwa utasoma suratul Ikhlas mara tatu basi utakuwa umesoma Quran yote.
 
2. Ikiwa utasoma suratul Fatiha mara nne basi utakuwa umetowa sadaka ya 
dirham elfu
nne
 
3. Ikiwa utasema:
   Laa ilaha illa allah wahdahu la sharika lahu al mulku wa lahu lhamdu yuhyi   wayumitu wahuwa ala kulli shaiin qadiir.  
Mara kumi basi utakuwa umezuru Al-Kaaba.
 
4. Ikiwa utasema:
    lahaula wala quwwata illa billahi l-aliyyu l-adhiim.
    Mara kumi, basi utakuwa umehifadhi pahala pako peponi.
 
5. Ikiwa utasema:
 Astaghafirullah l-adhiim alladhii la ilaha illa huwa al-hayyu al-qayuum wa        atubu ilaihi.
   Mara kumi. Basi umewaridhia uliohasimiana nao.
 
Tafadhali itume kwa kila muislam Allah atakuwa pamoja nasi aainshaallah


Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#192 From: hadia azzan <hajuazzan@...>
Date: Mon Apr 5, 2004 9:43 am
Subject: wasia!!!!!
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 




 

 assalam aleykum watukufu  waislam!!!

wasia!!

Mambo manne (4) muhimu kabla ya kulala

  1. Usilale mpaka usome Quran yote.

  2. Usilale mpaka uwafanye Mitume wote wawe waombezi wako siku ya kiama.

  3. Usilale mpaka uwanye waislamu wakuwie radhi akhera.

  4. Usilale mpaka uende Hijah na Umra.

......Baada ya hapo Seyyidat Aisha (R.A)  alimuuliza bwana Mtume(s.a.w):

"Yaa Rasula llahi,umeniamrisha nifanye mambo manne(4)kabla ya kulala .Lakini nitawezaje kuyafanya kwa muda huu mfupi?"

Bwana Mtume(s.a.w)aliposikia vile alicheka na kutabasam kisha akajibu:

a)Utakaposoma   " KULHUWALLAHU (x3)" utakuwa umeshasoma Quran yote.

b)Utakaponisalia mimi na Mitume wengineo,basi Mitume wote watakuwa waombezi wako siku ya kiama-ni kusema:

"ALLAHUMA SWALI ALAA SAYYIDINA MUHAMMAD WA ALAA JAMII L-ANBIYAAI  WALMURSALINA "

c)Ukisoma " RAABI GHFIR  LY  WALIWA  LIDAYYA WALILMUUMININA WALMUUMINATI   WALMUSLIMINA  WALMUSLIMATI"  umeshawafanya waislam wote wakuwie radhi akhera.

d)Na ukisema"SUBHANA LLAH WALHAMDULILLAAHI WALA ILAAHA ILLALLAH   ALLAHU AKBAR"Utakuwa  umeshakwenda  Hijah na Umra.

Ni wajibu wetu  watukufu waislam kuufuata wasia huu  tulioachiwa na Kipenzi Mtume   wetu Muhammad (s.A.W)

wabillahi - taufiq

assalam alaykum wara hmatullah!!!!

TAFADHALI WAPELEKEE NA WAISLAM WENGINE!!!!!



Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#193 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Mon Apr 5, 2004 9:38 am
Subject: Miracles of Islam
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 

Aspects of Islam

Miracles of Islam

This is a recently discovered phenomenon in a forest near SYDNEY. As you can see the bottom half of the tree trunk is bowed in such a way that it resembles a person in a posture of Islamic prayer - THE RUKU. looking closer you can see the hands resting on the knees. The most amazing thing is that the man is directly facing the HOLY KAABAH in MECCA which is the direction which makes you think does it....



The holy Qur'an comprises 114 suras (chapters) each of which is made up of varying numbers of ayat's (verses).




The illustration on the left shows a scatter graph of the number of verses in a sura against the number of the sura. The result resembles the word "Allah" in Arabic (right).

Miracles in the lungs



This picture shows us that LA ILAHA ILLALLAH MUHAMMED RASOOL ALLAH is written in our lungs.

SUBJECT : From Quran Surat Ar-Rahman Ayah 37 and the Hubble Telescope via NASA See the attached picture file, the RED ROSE NEBULA, see what Quran said at Surah 55 (Ar-Rahman), Ayah 37!We see it now in the years 1999/2000! and Quran mentioned it almost 1400 years ago. The picture is taken by the NASA Hubble Space Telescope of the "Cat's Eye Nebula." It is an exploding star 3,000 lightyears away. They should have called it the "Oily Red Rose Nebula." As the Quran states in Ar-Rahman, "When the sky is torn apart, so it was (like) a red rose, like ointment." Quran[Surah55:Ayah37]

"La Ilaha Illa Allah, Muhammadun Rasul Allah"

This image shows a side of one of the Farms in a Germany Wood, where the tree branches, in a wonderful style shows (In Arabic) ones word, "THERE IS NO GOD EXCEPT ALLAH, AND MUHAMMAD IS THE MESSENGER OF ALLAH," in an image that makes the hearts beat with belief in ALLAH the creator of this universe who is able to do anything He wants. Consequently, this picture shows that "Islam" is the great innate religion. As soon as the German people saw this image many of them converted to this nature religion. Infront of this great incident, the spiteful German Government surrounded that part of the farm and prevented the people form visiting it, since the government was worried that by seeing this farm, people will be fascinated after the clear presence of, "THERE IS NO GOD EXCEPT ALLAH, AND MUHAMMAD IS THE MESSENGER OF ALLAH." (In Arabic)."

We will show them our signs in all regions of the earth and in their own souls, until they clearly see that this is the truth..[Fusllat : 53]

THE FISH TESTIFIES FOR THE PROPHETS

The story of fish began when Mr. George Wehbi, a Christian lebanese was practising his fish hobby, in Dakar,(the Capital of West Africa). He caught many fish. When he went home his wife saw among them a strange fish about 50 cms in length, with some Arabic writing on it. he took it to Sheikh al-zein, who read clearly what was written in a natural way, that could not be done by a human being, but rather a Godly creation which the fish was born with. He read "God's servant" on its belly and "Muhammad" near its head, and "His Messenger" on its tail.

Mosque Still Stands Still after an Earthquake.

A Mosque still stands after an earthquake in Turkey. Even though all the buildings beside it have been destroyed. This earthquake took place in the western Turkish town of Golcuk, 60 miles from Istanbul, in August 19, 1999.

It is a honey comb found by a bee keeper.

On 19 June 1999 Mr L. Storey from London, England attended a Transmission Meditation workshop led by Benjamin Crème in London. The following day he discovered a stone with Arabic writing on it, on a pile of clothes in his bedroom. It took him a while find someone to read it for him, when he did he was amazed to hear it read: "I bear witness there is only one God, and I bear witness Mohammed was his Prophet."

About five years ago 33 year old Mikail Guclu from the Regent Quarter of the Hague, Holland, bought some eggs fresh from the farm and as usual had them on sale in his shop. But two of the eggs seemed slightly strange. "I noticed that the shells were a little misshapen." he said "Very odd, just like Arabic letters, And then suddenly I saw it: 'Allah'." Reason enough for him to call a friend. He himself speaks four languages but his knowledge of Arabic is limited and besides, he wanted to hear all the 'ins and outs' of it.

"But I could hardly believe what he said - what he could read on the egg was "There is but one God, Allah, and Mohammed is his prophet." That’s why I asked others just to be on the safe side, and I went to the mosque, to the imam. Everyone said the same thing."

Guclu discovered the "miracle beans" while sorting through them two days after he had purchased the eggs. He had bought about five kilos of beans, about 500 grams of which bear the name 'Allah'.

Guclu believes that what subsequently happened with the beans is even more of a miracle. He gave some of the 'Allah beans to friends. Out of respect he did not feel he could sell the remaining beans; he decided to give them to the mosque, and requested that they be cooked and shared among the congregation. " About forty people enjoyed a complete meal from those beans and there was still food left over. The imam told me later; " We could serve as much as we wished, and the supply was still not exhausted."

Allah's name in the clouds

The name of allah is formed by the clouds as seen above.


Allah written in a Tomato

Toman fish testifies to the truth


Allah written in a water melon

Allah written in a eggplant

Allah written in the hands

Allah written in an ear of a baby

Allah written in the Oceans (Picture from Apollo 11 Shuttle)

Allah written in a Bean



Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#194 From: "webmaster" <webmaster@...>
Date: Mon Apr 12, 2004 8:28 am
Subject: Emailing: www.uislamu
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 

Last Update : 16th  Safar 1425, 6th April 2004 
Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

Utoaji Zakah kupitia Imamu  
Kwa kuyazingatia mas-ala haya; yaani utoaji wa zakah kupitia kwa Imamu, mali ya zakah inagawanyika katika mafungu mawili:
ü       
Mali batini na
ü       
Mali dhahiri.  Endelea ...
Wazazi wa kiislamu : Haki na wajibu wao 
Kiunzi (mjengo) cha jamii kinasambaratika na kubomoka vipande vipande ulimwenguni kote na mahala pake kukaliwa na mmomonyoko wa kasi wa maadili ya jamii za wanadamu ulimwenguni kote. Leo maisha ya familia katika nchi za ulimwengu wa kwanza kama zinavyojiita na kuitaka dunia nzima izitambue hivyo. Nchi za ulimwengu wa Magharibi zinazodai kustaarabika na kuwa na demokrasia na kudai uongozi wa dunia. Sote ni mashahidi kuwa maisha ya familia katika nchi hizi yame poromoka na kuharibika kwa asilimia tisini na tisa kama si mia.  Endelea .....
Ujumbe wa Urwah ibn Masoud
Akainuka Urwah Ibn Masoud; kiongozi wa kabila la Thaqiyf, huyu alikuwa ni mtu mwenye sauti na busara, akawaambia: “Bila ya shaka mtu huyu (Muhammad) amekupeni mipango ya uongofu, basi ikubalini, hebu niacheni nikazungumze nae”. Wakamwambia: “Nenda”, akamuendea Mtume na kumwambia: “Ewe Muhammad, hakika mimi nimewaacha huko watu (jamaa) wako wamewatolea wito watu kutoka kuja kupambana nawe. Nao wameapa kwa Allah kwamba hawatakuruhusu kuifikia Al-Ka’abah ila uwaue wote.  Endelea .....
Mwanamume wa kiislamu kumuoa asiye Muislamu
Ni miongoni mwa mambo yaliyo wazi bayana yasiyohitaji elimu kujua kuwa ni jambo lisilojuzu kisheria mwanamume muislamu kumuoa mwanamke asiye muislamu. Ila tu atapokuwa mwanamke huyo ni miongoni mwa Ahlul-Kitaab (watu wa kitabu); yaani ni Myahudi au Mnaswara kama tutakavyokuja kulibainisha hilo, Inshallah hivi punde tu. Ama wanawake wengine wasio hao ni haramu kwa muislamu kuwaoa. Endelea ...

 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an
Jifunze Kiarabu

Aya ya Wiki

“ENYI MLIOAMINI! MKIWATII BAADHI YA WALE WALIOPEWA KITABU, WATAKURUDISHENI KUWA MAKAFIRI BAADA YA UISLAMU WENU”. [3:100]

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Mtu mwenye haki zaidi kwa mwanamke ni mumewe na mwenye haki zaidi kwa mwanamume ni mama yake”. Al-Haakim-Allah amrehemu.

Dua ya Wiki

Atakapojifungua mwanamke muadhinie mtoto katika sikio lake la kulia na mfanyie iqaamah katika sikio lake la kushoto. Imepokewa kutoka kwa Abu Raafi-Allah amuwiye radhi; huru wa Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Nilimuona Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-akiadhini adhana ya swala katika sikio la kulia la (mjukuu wake) Al-Hassan Ibn Aliy wakati alipozaliwa na Faatimah (binti ya Mtume)-Allah awawiye radhi”. Tirmidhiy-Allah amrehemu.

Katazo la Wiki

Ndugu yako, swahibu yako, mwana-baraza mwenzio leo ni ya tatu hujamtia machoni. Kwa nini huoneshi udugu na mapenzi yenu kwa kunyanyua hatua kwenda kumkagua na kujua kulikoni?! Kwa nini hutaki kuwa kama Mtume wa Allah?! Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-alikuwa anapomkosa mtu katika ndugu zake siku tatu. Huulizia khabari zake, akiwa hayupo (mjini) humuombea Mungu na akiwa yupo (hakusafiri) humtembelea na akiwa mgonjwa huenda kumkagua”. Abu Ya’alah-Allah amrehemu.

Huo ndio Uislamu na hayo ndio mapenzi ya kweli, kinyume na hivyo ni kudanganyana tu, zingatia!!!

Swali la Wiki

Nini hukumu ya aliyekufa na ilhali anawiwa na swaumu?


| Tuandikie |

:


Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#195 From: "webmaster" <webmaster@...>
Date: Thu Apr 15, 2004 8:33 am
Subject: Emailing: www.uislamu
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 

Last Update : 23rd  Safar 1425, 13th April 2004 
Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

Wanaostahili kupewa Zakah 
Allah Taala amewadhukuru (amewataja) wastahiki wa zakah kupitia kauli yake tukufu: “HAKIKA SI VINGINEVYO, SADAKA (zakah) HUPEWA (watu hawa):- MAFAKIRI NA MASIKINI NA WANAOZITUMIKIA NA WANAOTIWA NGUVU NYOYO ZAO (juu ya Uislamu) NA KATIKA KUWAPA UUNGWANA WATUMWA NA KATIKA KUWASAIDIA WENYE DENI NA KATIKA (kutengeneza) MAMBO ALIYOAMRISHA ALLAH NA KATIKA (kupewa) WASAFIRI (walioharibikiwa). NI FARADHI INAYOTOKA KWA ALLAH, NA ALLAH NI MJUZI (na) MWENYE HIKIMA”. [9:60]  Endelea ...
Haki ya Wazazi 
Haki kubwa kuliko zote awiwayo mwanadamu kama kiumbe ni ile ya Muumba wake Allah Taala. Haki ya kumuamini na kumtii Allah katika maamrisho na makatazo yake ndio wajibu wetu wa kwanza kabisa. Baada ya haki hii ya Allah, ndio hufuatia wajibu/majukumu ya maisha ya kila siku juu ya mgongo huu wa ardhi ya Wahabu.  Endelea .....
Kiapo cha utii (Baia) cha Ridhwaan
Hapa ndipo hali ya hewa ilipobadilika na kuwa si shwari tena na ikawa hapana budi sasa tatizo hili lipatiwe ufumbuzi mwingine baada ya juhudi za kidiplomasia kushindwa. Kwani tayari Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-alikuwa amekwisha itangaza wazi nia yake ya amani. Na akalidhihirisha hilo kwa kauli sambamba na matendo yake tangu alipopiga hatua ya kwanza akitoka Madinah kuelekea Makah. Endelea .....
Harusi
Katika kuliendea na hatimaye kulifanikisha zoezi hili tukufu; harusi, kila uma/jamii ina mfumo na taratibu zake. Kama ambavyo una ada na desturi mapokeo, hivi ni bila ya kuangalia zifaazo na zisizofaa miongoni mwake. Mara nyingi, jamii hujilazimisha kufuata mapokeo na desturi zinazorithiwa na kizazi baada ya kizazi katika kulifanikisha zoezi hili muhimu katika maisha ya mwanadamu. Na jamii nyingine huiga na kuamua kufuata taratibu za jamii nyingine ambazo hushikamana nazo na kufikia kuziona kuwa ni “urithi” wao wa kijamii.
Endelea ...

 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an
Jifunze Kiarabu

Aya ya Wiki

“ENYI MLIOAMINI! MCHENI ALLAH KAMA IPASAVYO KUMCHA; WALA MSIFE ISIPOKUWA MMEKWISHAKUWA WAISLAMU KAMILI. NA SHIKAMANENI KWA KAMBA (dini) YA ALLAH NYOTE, WALA MSIACHANE...” [3:102-103]

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Fueni nguo zenu, punguzeni nywele zenu, pigeni mswaki, jipambeni na jinadhifisheni”. Ibn Asaakir-Allah amrehemu.

Dua ya Wiki

Imepokewa kutoka kwa Anas-Allah amuwiye radhi-amesema: Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Sitara baina ya macho ya majini na nyuchi za wanadamu ni muislamu kusema anapotaka kuvua nguo zake: BISMILLAAHIL-LADHIY LAA ILAAHA ILLA HUWA”. Ibn Sinaa-Allah amrehemu.

Katazo la Wiki
Wewe kijana wa kiume au wewe kijana wa kike na nyie watu wazima ni lipi khasa linalowapelekea kusalimiana na wanawake/wanaume wasio maharimu zenu kwa kupeana mikono?! Mnatafuta nini khasa na hali ya kuwa huo si utamaduni wa Kiislamu, hili halifai na limekatazwa, acheni kabisa tabia hii hatari. Hebu msikilize Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie: “Mmoja wenu kuchomwa kichwani kwake na sindano ya chuma ni bora kwake kuliko kumgusa mwanamke asiye halali yake”. Twabaraaniy-Allah amrehemu.
Swali la Wiki

Nini hukumu ya hedhi na nifasi katika ibada za Hijah na Umrah?


| Tuandikie |

:


Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#196 From: "Kitulizochamoyo Qur'aan Na Hadeeth" <kitulizochamoyo@...>
Date: Sun Apr 18, 2004 11:09 am
Subject: Namna ya kuomba maghfira na toba
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
Baada ya kukumbushana kuhusu  "toba ya nasuha" sasa tujifundishe njia za kuomba toba na maghfira kama ilivyo katika sunna.
 
Wakati bora kabisa wa kuomba maghfira na toba ni wakati wa usiku kwani Allaah Subhaana Wa Taala amewasifu 'Al-Muttaqeena'  (Wamchao Mungu)  kwamba watakuwa katika mabustani  na chemchemu kwa vile sifa yao moja wapo ni kuomba maghfira wakati wa usiku (Soora Adh-dhaariyaat Aya no 15 - 19
 
arabic
 [Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.]
 
arabic
 [Wanapokea aliyo wapa Mola wao Mlezi. Kwa hakika hao walikuwa kabla ya haya wakifanya mema]
 
arabic
 [Walikuwa wakilala kidogo tu usiku]
 
arabic
 
[Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira]
 
arabic
 [Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba]
 
Vile vile Allaah Amewasifu tena katika soora Al-Imraan Aya no 17  
 
arabic
[Wanao subiri, wanao sema kweli, na wat'iifu, na wanao toa sadaka, na wanao omba maghafira kabla ya alfajiri]
 
Ni sunna kuomba maghfira na toba kama ifuatavyo:
 
1.   Kusema ÃÓÊÛÝÑ Çááå æÃÊæÈ Åáíå "Astaghfiru-llahi Wa  Atubu Ilayhe"  sio 
      chini ya mara 100 kwa siku.  Hadeethi ilopokelewa na Abi Hurayra
      (Radhiya Allaahu Anhu ) kasema "Nimemsikia Mtume Sallaa Allaahu  
      Alayhe Wasallaam anasema {Wallaahi Mimi naomba maghfira na toba
      kwa Allaah  zaidi ya mara 70 kwa siku )  [Bukhari] .
 
2.   Bwana wa Istighfaar, yaani dua kubwa kabisa ya  kuomba maghfira ni 
      ifuatavyo:
      "Allaahumma Anta Rabbi Laa Ilaaha Illa Anta Khalaqtani Wa-ana abduka
      Wa-ana Alaa Ahdika Wa-waadika Ma-statwaatu, Audhu Bika Min Sharri
      maa Swanaatu, Abuu Laka Biniimatika Alayya Wa-abuu Bidhambi,
      Fa-ghfir-li Fa-Innahu Laa Yaghfiru-dhunuba Illa Anta"
 
3.   Kusema "Subhaana-llahi Wa Bihamdihi" mara 100  kwa  siku utafutiwa   
       madhambi yako hata ni kama wingi wa povu la bahari.  
 
4.   Duaa ya Nabii Yunus Alayhe-ssalaam alivyokuwa   tumboni mwa 
      nyangumi "Laa Ilaaha Illa Anta Sub-haanaka Inni Kuntu mina-
     dhwalimeen"  kama ilivyo katika soora Anbiyaa Aya no. 87
 
   arabic
Na Dhun-Nun alipoondoka hali ameghadhibika, na akadhani ya kwamba hatutakuwa na uwezo juu yake. Basi aliita katika giza: Hapana mungu isipo kuwa Wewe Subhanaka Uliye takasika. Hakika mimi nilikuwa miongoni mwa wenye kudhulumu]
 
Allaahumma tujaaliye katika wale wanaosikiliza kuali na  na wakafuata zilizo njema .  Ameen  Ya Rabbal-alaameen.


Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#197 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Tue Apr 20, 2004 11:12 am
Subject: ujumbe muhimu kwa waislamu wote
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
asalaam alaykum
     Hakika harakati za kufahamu na kuendeleza uislamu  ni jukumu la kila mwislamu kwa uwezo alionao .kwa kuwatumia waislamu ujumbe huu ni miongoni mwa kuwawezesha mamia ya waislamu kuujua uislamu wao .
     Jifunzeuislamu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu ni mtandao unaowajumuisha waislamu wenye ufahamu mkubwa wa dini na wenye ufahamu wa wastani na wasio na ufahamu wa dini ya kiislamu ili kufikia lengo la mafanikio ya hapa duniani na kesho akhera .
    kwa kuingiza mail yako hapa utakuwa unapata mafunzinsho ya kiislamu kila mara kwa kupitia mail yako
Subscribe to jifunzeuislamu
Powered by groups.yahoo.com
.
mfano wa mafundisho yaliyokwisha toka angalia http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/messages
 
pia utaweza kupata nakala mpya ya www.uislamu.org kila wiki .
   Je huoni hii ni njia rahisi ya kufahamu uislamu ?
  Pia kwa wale wenye kufahamu uislamu kwa uwezo mzuri na wanataka kuwaelimisha mamia ya waislamu waliojiunga na mtandao huu wanakaribishwa tuandikie kwa mail jifunzeuislamu@...
  tafadhali mtumia kila mwislamu unayemjua ili afaidike na kujifunza uislamu kwa urahisi
 wabilaah tawfiq


Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#198 From: "Fatma Sherally" <fatmasherally@...>
Date: Sun Apr 25, 2004 10:41 am
Subject: Hordes flocking to 'miracle' lamb
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 

This is from BBC web page http://news.bbc.co.uk/2/hi/middle_east/3572325.stm

 

 

Hordes flocking to 'miracle' lamb

Palestinian farmer holds lamb as boy points out word

Some Palestinians travelled through several Israeli checkpoints to see the lamb

Palestinians have been flocking to see a lamb which seems to have a birthmark spelling out the Arabic word for God, "Allah", in its coat.

Owner Yahya Atrash, from the West Bank town of Hebron, told Reuters the animal was born on Monday, when militant leader Sheikh Ahmed Yassin was killed.

He told Reuters the timing was "clear evidence of God's existence".

Sheikh Yassin, spiritual leader of the Hamas militant group, was killed in an Israeli missile strike.

Israel says he was involved in planning suicide attacks.

"This sheep was born in memory of the martyrdom of the great hero Sheikh Ahmed Yassin," the farmer said.

"We hope that the birth of this sheep is a lesson for the living in the same way... the martyrdom is a lesson for us here in Palestine."

Many Palestinians travelled through several Israeli army checkpoints to view the lamb, who some claim also has "Muhammad" written on his other flank, after the Prophet.

 



Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#199 From: "Kitulizochamoyo Qur'aan Na Hadeeth" <kitulizochamoyo@...>
Date: Sun Apr 25, 2004 10:44 am
Subject: Kitulizochamoyo
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
Assalaam Alaykum,
 
Kitulizochamoyo shall be sending you "The Remembrance of Allaah Subhaana Wa Taala " whenever possible Inshaa Allaah, so that our hearts find rest as Allaah says so in Soora Ar-Raad Verse 28
 
arabic

{Those who believe (in the Oneness of Allâh - Islâmic Monotheism), and whose hearts find rest in the remembrance of Allâh, Verily, in the remembrance of Allâh do hearts find rest}
 
{Wale walio amini na zikatua nyoyo zao kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu. Hakika kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu ndio nyoyo hutua}.
 
 
This will help us to remind each other so that we benefit from the knowledge of our deen for "Verily reminding benefits the believers"  Soora Adhaariyaat V: 55
 
arabic
{And remind (by preaching the Qur'ân, O Muhammad SAW) for verily, the reminding profits the believers}
 
{Na kumbusha, kwani ukumbusho huwafaa Waumini}
 
Please forward to others
 
Allaah's obedient and humble  servant
 


Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#200 From: "Kitulizochamoyo Qur'aan Na Hadeeth" <kitulizochamoyo@...>
Date: Tue Apr 27, 2004 6:48 pm
Subject: TAhadhari ya kuipuuza Qur'aan
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
Bismillahi  Walhamdulilla, Waswallatu Wasalaam Alaa Rasuli-llahi Swalla-llahu Alyahe Wasallam.
Ndugu zangu Waislamu, tahadharini na kuipuuza Qur'aan Kitabu cha Mwenyewe Muumba wa mbingu na ardhi na viliyomo ndani yake.  Aliyeumba Majini na Binaadamu na akakiri kuwa :  (Soora Adh-dhariyaat Aya no 56)
 
arabic
 [Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu]
 
Tena Akatuhadharisha Mwenyewe kuhusu kupuuza maneno Yake (Qur'aan)  kama ilivyo katika Soora Taha aya no. 100 - 101
 
arabic
 [Watakojitenga nayo,(Qur'aan)  basi kwa yakini  watabeba siku ya Kiyama  mizigo
   (ya madhambi)  ]
 
arabic
 [Wakakae humo (adhabuni)   milele.  Na ni vibaya vilioje kwa (mtu) siku ya
  Kiyama  kubeba mizigo (hiyo)
 
Vile vile Ametuonya Allaah kuwa atakayepuuza mawaidha Yake (Qur'aan) basi yakini atapata maisha ya dhiki  na siku ya Kiyama atafufuliwa kipofu (Soora Taha 124 - 127)
 
arabic
Na atakaye jiepusha na mawaidha yangu, basi kwa yakini atapata maisha yenye dhiki, na Siku ya Kiyama tutamfufua hali ya kuwa kipofu]
 
arabic
Aseme: Ewe Mola wangu Mlezi! Mbona umenifufua kipofu, nami nilikuwa nikiona]
 
arabic
 [Mwenyezi Mungu) atasema: Ndivyo vivyo hivyo. Zilikufikia ishara zetu, nawe ukazisahau; na kadhaalika leo unasahauliwa]
 
arabic
 
[Na hivi ndivyo tutakavyo mlipa kila apitaye kiasi, na asiye amini ishara za Mola wake Mlezi. Na hakika adhabu ya Akhera ni kali zaidi, na inadumu zaidi]
 
Mtume wetu Muhammad Salla Allaahu Alayhe Wasallam pia naye amelalamika kuhusu kuipuuza Quraan na kuwa atalalamika pia siku Ya Kiyama : (Sooratul-Furqaan aya no.  30)
 
arabic
 [Na Mtume alikuwa akisema: Ee Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wameifanya hii Qur'ani ni kihame (wameipuuza ) ]
 
Wataalamu wamefasiri aya hii kama   ifuatavyo kuhusu  kuipuuza Quraan:
 
1.  Kutokuisikiliza vizuri wakati tunaisikia inasomwa bali kushughulika 
     na kazi nyingine na hali kuwa Allaah ametuamrisha tuwe tunasikiliza
    Qur'aan wakati inaposomwa ili tupate Rehma Yake (Soora Al -Aaaraf
     204 )
 
arabic
[Na isomwapo Qur'ani isikilizeni na mnyamaze ili mpate kurehemewa]
 
2.    Kutokuisoma kabisa au kuisoma mwaka mara moja tu, au mwezi    
       mara moja tu au wiki mara moja  na hali inatakiwa tuwe tunaisoma
      kila siku katika maisha yetu.   
          
3.   Kuisoma lakini kutojitahidi kujua maana yake.  Tunatakiwa 
      tujitahidi kujifundisha maana yake ili tufahamu Mola wetu 
     Anatuelezea nini hali Allaah ametuamrisha tujue maana yake na  
     tuzifikiri aya Zake (soora Swaad 29)   
       
 
arabic
 
     [(Na hiki) Kitabu tumekiteremsha  kwako, chenye baraka nyingi, ili
      wapata kuzifikiri Aya zake, na wenye akili wawaidhikie]
 
4.   Kuisoma na kujua maana yake lakini kutokufuata maamrisho    
      yaliyo ndani ya Qur'aan.    Au kufuata baadhi yake na kuwacha 
     baadhi yake kama Alivyotuonya Allaah (Soora Baqara Aya No 85)      kwamba afanyae hivyo basi atapata hizaya na fedheha  katika maisha
    ya dunia na siku ya Kiyama atapata adhabu kali.
 
arabic
[Kisha nyinyi kwa nyinyi mnauwana, na mnawatoa baadhi yenu majumbani kwao, mkisaidiana kwa dhambi na uadui. Na wakikujieni mateka mnawakomboa, na hali kuwatoa mmekatazwa. Je! Mnaamini baadhi ya Kitabu na mnakataa baadhi yake? Basi hana malipo mwenye kutenda hayo miongoni mwenu ila hizaya katika maisha ya duniani, na Siku ya Kiyama watapelekwa kwenye adhabu kali kabisa. Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na yale mnayo yatenda]
 
Ndugu Waisalamu, tujitahidi kadiri tuwezavyo kutokuipuuza Qur'aan kwa kuisoma kila siku, kujifundisha maana yake, kufikiri aya zake na kufuata maamrisho yake yote ili tupate kuridhiwa na Mola Wetu na tufaulu duniani  na akhera. 
 
 
Allaahumma tujaaliye katika wale wanaosikia kauli wakafuata zile zilozo njema.  (Soora Zumar No. 18 )   Ameen Ya Rabbal-Alaameen


Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#201 From: "webmaster" <webmaster@...>
Date: Wed Apr 28, 2004 9:16 am
Subject: Emailing: www.uislamu
webmaster@...
Send Email Send Email
 
 

Last Update : 8th  Rabiul-Awwal 1425, 28th April 2004 
Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

 Kumpa Zakah mwenye tegemezi kwa mtu mwingine 
Tumeelewa kutokana na maelezo yaliyotangulia kwamba mtu aliyepasiwa na zakah, hakusilihi kumpa zakah yake hiyo mtu aliye chini ya utegemezi wake kimaisha. Kuanzia mke, mashina (baba, mama, babu na bibi) na matawi (watoto, wajukuu na kushuka chini) wakiwa watu hawa ni masikini au mafakiri. Baada ya kuelewa hivi, sasa je, kunajuzu kumpa zakah mtu aliye chini ya utegemezi wa mtu mwingine kimaisha?  Endelea ...
Kuwa na tabia kwa Wazazi
Imepokewa kutoka kwa Ibn Masoud-Allah amuwiye radhi-amesema: Nilimuuliza Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-ni amali gani ipendezayo zaidi mbele ya Allah? Akasema: “Kuswali kwa wakati wake”, nikauliza kisha inafuatia ipi? Akajibu: “Kuwatendea wema wazazi”, nikamuuliza kisha ipi. Akajibu: “Kupigana jihadi katika njia (dini) ya Allah”. Bukhaariy & Muslim-Allah awarehemu. Endelea .....
Abu Jundal ibn Suhail
Kama kwamba Allah Taala alitaka kupima upeo wa subira na nguvu ya imani ya waumini. Akawapelekea Abu Jandal Ibn Suhail Ibn Amrou katika kitambo ambacho hata wino wa mkataba wa amani haujakauka. Akawajia akikimbia kutoka Makah akiwa na pingu za miguu na mikono. Huko Makah atokako alikuwa amefungwa katika nguzo ya chuma na baba yake; Suhail ambaye ndiye yuko mbele ya Mtume akiandika mkataba kwa niaba ya Makurayshi. Baba yake aliyetumwa kama mjumbe kwenda kuzungumza na Mtume, ndipo yeye alipopata upenyo akatoroka mahabusu akiwa na pingu zake. Endelea .....
Kujamiiana
Neno hili “jimai” ni neno linalotumika katika lugha ya Kiarabu kumaanisha: Mkutano unaohusisha pande mbili na pia humaanisha maingiliano ya kimwili baina ya mwanamke na mwanaume. Na neno hili “jimai” katika Istilahi za kifiq-hi linamaanisha: Uingizaji/utiaji wa dhakari ya mwanamume (tupu ya mbele) katika tupu (uchi) ya mbele ya mwanamke. Na uingizaji huu unazingatiwa hata kwa kutia tene (kichwa) ya dhakari tu. Ama yale matendo yatendekanayo baina ya mwanamume na mwanamke kabla ya utiaji huu wa dhakari, hayo huitwa “vitangulizi vya jimai”. Ni mithili ya supu inywewayo wakati kikisubiriwa chakula, tutalibainisha hili katika maelezo yajayo, inshaallah. Endelea ...

 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an
Jifunze Kiarabu

Aya ya Wiki

“ENYI MLIOAMINI! SI HALALI KWENU KURITHI WANAWAKE KWA JEURI. WALA MSIWAZUIE (kuolewa na wanaume wengine kwa kuwa hamuwataki wala hamtaki kuwaacha ila kwa pesa) ILI MPATE KUWANYANG’ANYA BAADHI YA VILE MLIVYOWAPA. (Hapana ruhusa haya) ISIPOKUWA WAWE WAMEFANYA UOVU ULIO WAZI NA KAENI NAO KWA WEMA; NA KAMA MKIWACHUKIA BASI (msiwaache) KWANI HUENDA MKAKICHUKIA KITU, NA ALLAH AMETIA KHERI NYINGI NDANI YAKE”. [4:19]

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Hakika sadaka huwazimia watoaji joto la makaburini na hakika si vinginevyo muumini atakuwa chini ya kivuli cha sadaka yake siku ya Kiyama”. Twabaraaniy-Allah amuwiye radhi.

Dua ya Wiki

Imepokewa kwamba Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-alimwambia mtu aliyemwambia: Nimeota ndoto, (Mtume) akamwambia: “Umeota ndoto ya kheri na itakuwa kheri”. Ibn Sinaa-Allah amrehemu. Hii ndio dua ya kumuombea mtu aliyekuja kukusimulia ndoto aliyoota kama alivyotufundisha kivitendo Mtume wa Allah.

Katazo la Wiki
Mpaka lini utaendelea kumuasi Mola Muumba wako kwa kunywa pombe kila kukicha?! Mpaka lini utaendelea kuidhuru afya yako kwa ulevi?! Mpaka lini utaendelea kuitumia riziki aliyokupa Mola wako kwa ulevi?! Tangu umeanza kunywa mpaka leo umepata nini na mwisho wa kunywa kwako utakuwa nini?! Kwa nini kauli hii ya Mola wako haikutoshi kukukemea ukaacha pombe: “ENYI MLIOAMINI! BILA SHAKA ULEVI NA KAMARI NA KUABUDIWA ASIYEKUWA ALLAH, NA KUTAZAMIA KWA MISHARE YA KUPIGA RAMLI (yote haya) NI UCHAFU (ni) KATIKA KAZI YA SHETANI. BASI JIEPUSHENI NAVYO, ILI MPATE KUFAULU (kutengenekewa)”. [5:90]
Swali la Wiki

Nini hukumu ya kutamani kufa katika haramu ya Makah/Madinah?


| Tuandikie |

:

#204 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Wed May 12, 2004 12:28 pm
Subject: Mchango wa Uislamu katika maendeleo ya mwanadamu"part 01"
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
Bismillahi  Walhamdulilla, Waswallatu Wasalaam Alaa Rasuli-llahi Swalla-llahu Alyahe Wasallam.
 
Mchango wa Uislamu katika maendeleo ya mwanadamu

Katika maelezo mafupi namna hii haiwezekani kuwepo kwa suala la kutaka kuorodhesha namna ambavyo utamaduni wa Kiislam ulivyochangia katika maendeleo ya ustaarabu wa mwanadamu.

Hatuna njia ila kutaja japo kwa uchache tu wa ugunduzi muhimu uliotokana na vipaji vya watafiti wa Kiislam na pia kutaja wachache kati ya wasomi, wanafalsafa na waandishi wa kiislam walioongeza hamasa katika elimu ya sayansi na fasihi, na kuzivuta fikra za watu wa Magharibi (wazungu).
 

Unajimu (Astronomy): Elimu ya Anga na Sayari

Elimu na sayansi za kwanza kuvuta shauku ya wasomi wa Kiislam zilikuwa ni unajimu na Hisabati. Fikra zao zote bila ya shaka na mweleko wao uliwafanya Waarabu kuiendea sayansi ya uhakika.

Unajimu hasa sio tu uliwavutia wanasayansi, bali pia Makhalifa wa Mashariki na wa Magharibi kutoka Hispania na wa Kirusi na Makhan wa Kihindi pia walivutiwa na taaluma hii. Vituo vyya uchunguzi wa anga vilianza kujengwa katika kila mji maarufu katika Himaya ya Kiislam. Vile vya jiji la Baghdad, Cairo, Cordova, Toledo na Samarkand vilijipatia umaarufu sana duniani.

Chuo cha Unajimu cha Baghdad kilijulikana tangu enzi za utawala wa AL-Mansur, Khalifa wa pili wa ukoo wa Abbassid aliyetawala miaka ya 754 na 775, na ambaye pia alikuwa mnajimu. Hata wakati wa tawala za warithi wake, Harun al-Rashid na AL- Mamun, Chuo hiki kiliendelea kutoa kazi nzuri. Nadharia za zamani zilidurusiwa na makosa kusahihishwa na pia Majedwali ya Kigiriki yalisahihishwa. Chuo cha Baghdad kinastahili sifa kwa ugunduzi wa mizunguko ya sayari na jua, tathmini ya upotofu uliokuwepo juu ya umbile lake na utaratibu wa upunguaji wa mmuliko (ukali wa mwanga) wake, na pia ugunduzi wa kipimo halisi cha hesabu ya mwaka.

Chuo cha Baghdad kiligundua kuwa maeneo ya juu ya mwezi hayafuati kanuni maalum. Pia walitabiri kuwepo kwa vituo vya jua, kupatwa kwa mwezi na jua na kuwepo kwa vimondo na madude mengine angani. Walitafiti na kubaini kuwepo kwa mzunguko wa dunia kwa jua. Pia walikuwa watafiti wa kwanza kugundua Copernicus na Kepler.

Matokeo ya tafiti mbalimbali za vituo vilivyoasisiwa na Chuo cha Baghdad yaliwekwa kumbukumbu katika Jedwali la Unajimu lililothibitishwa, na Yahya bin Abu Mansur anaaminika kuwa muasisi na mtayarishaji wa jedwali hili.

Baadhi ya wasomi waliotokana na Chuo hicho ni pamoja na AL-Baitani, ambaye Lalande amemworodhesha kuwa ni miongoni mwa wanajimu ishirini (20) bingwa na maarufu waliowahi kutokea duniani. Mwingine ni Abu Wefa, ambaye matokeo ya utafiti wake yalikuwa na ubora wa zaidi ya karne kumi mbele ya ule ulio tolewa na Msomi wa Denmark aliyeitwa Tycho-Bracho, ambaye alihusishwa na ugunduzi wa Abu Wefa kuhusu tofauti ya vipindi vya mwandamo wa mwezi.

Ali Ibn Younis, mgunduzi wa (pendulum) timazi au mizani ya saa na vipimo vya jua, ambaye Khalif AL-Haken aliyetawala mnamo miaka ya 990 – 1021, alimwekea kumbukumbu kwa kujengewa kituo cha utafiti wa anga katika Mlima Mucaddam, anaaminika kuwa mmojawapo wa waanzilishi wa Chuo cha Cairo. Alilipitia jedwali la Hakim na kulihakiki na kuliwekea usahihi ambao haukuwahi kufikiwa na mtu yeyote hapo nyuma. Wakati huo huo, Hassan Ibn AL-Haitan, mnajimu mwingine na mwanahisabati wa chuo cha Cairo, alitayarisha tasnifu (treatise) au makala yake maarufu juu ya elimu ya Nuru (optics) au uoni, iliyosaidia kuweka msingi wa kazi iliyofanywa baadae na Roger Bacon na Kepler. Haishangazi kusikia kuwa Ibn Haitan alikuwa mtaalam wa kwanza kupendekeza lijengwe Bwawa maarufu la Aswan nchini Misri ili kuinua kiwango cha maji ya mto Nile.

Utafiti wa Anga ulitiliwa mkazo pia na utawala wa kiislam nchini Hispania. Amir wa Cordova, Abd aL-Rahman wa pili, alionyesha shauku na nia ya kuendeleza elimu ya sayansi hii. Kwa bahati mbaya ni tafiti ndogo tulizoweza kuzipata kutoka Hispania ilipokuwa chini ya utawala wa kiislam. Karibu kazi zao zote ziliharibiwa kutokana na vita vya kidini, ingawa tunaelewa kuwa kwa wakati huo, vituo vya utafiti wa anga katika miji ya Toledo na Cordova vilikuwa maarufu. Historia imeweza kutuhifadhia majina ya baadhi ya wasomi wa Andalusia kama Maslamah AL-Mahrebi, Omar Ibn Khaldun, Ibn Rushd (Averroes) na wengine wachache. Mtu anaweza kuhisi ubora wa kazi za Waislam hao zilizoharibiwa kutokana na kazi zilzotolewa baadaye na wasomi wa Kikristo waliosoma kwao na wengine waliosoma baadhi ya kazi za Waislam. Hivyo, inaonyesha kuwa Majedwali ya kinajimu ya Mfalme Alfonso (X) wa Kumi, yalitokana na kwa kiasi kikubwa na kazi za wasomi wa Kiislam.

Vita na migogoro ya ndani ambayo tangu karne ya kumi na moja vilivyozikumba nchi za Asia, viliathiri sana maisha ya kisomi yaliyokuwa yamekwisha jengeka katka jamii ya Kiislam. Bila shaka, vita hii ilizorotesha maendeleo ya ustaarabu wa dunia, ingawa havikuyasimamisha kabisa. Chuo cha Baghdad kwa mfano, kilinusurika na maanguko ya kisiasa ya Makhalifa wa Nchi za Mashariki, yaliyoisambaratisha dola ya Kiislam. Ubunifu wa Chuo hicho haukukoma ila uliendelea hadi katikati ya karne ya (15) kumi na tano. Wakati huohuo, mvuto wake ulienea hadi kuzifikia nchi za Asia ya Kati, India na hata Uchina. Mmojawapo wa wasomi wa Kiislam Abd aL-Rahman Mohammed bin Ahmad AL-Birun aliyejenga mahusiano kati ya elimu ya Wasomi wa Shule ya Baghdad na ile ya wasomi wa Kihindi, hakukosekana hata mara moja katika Ikulu ya Mahmud hapo Ghazna, aliyeishi mnamo miaka ya 997 – 1030. Mojawapo ya kazi zake nyingi ni uchapisho wa vipimo vya kijiografia vya Longitudo na Latitudo za miji mikubwa duniani.

Sultani wa Seljuk Malik Shah aliyeishi mnamo (1072 – 1092), alikuwa msomi na mtawala aliyevutiwa na taaluma ya unajimu. Uchunguzi alioukazania ulisababisha kufanyika kwa marekebisho yaliyosahihisha na kuiboresha kalenda, karne kumi mbele ya marekebisho yaliyofanywa kwenye kalenda ya Kigrigori (Gregorian calender). Heshima na sifa za marekebisho hayo yanamwendea hasa Abdur Rahman Hassan na Omar Khayyam, ambao kazi yao imewafanya kuwa watu mashuhuri wasioweza kusahaulika duniani.

Watawala wa Kimongoli nao waliikazania elimu ya sayansi. Hulagu, mtawala aliyekuwa mkatili na ambaye ndiye aliyeuharibu mji wa Baghdad, naye alijenga kituo cha utafiti wa anga hapo Meragah, na alimteua Nasr ed – Din Tusi kuwa Mkurugenzi wake. Huyu alihusika na ukamilishaji wa vifaa mbalimbali vilivyokuwa vikitumika kuchunguzia anga. Kutoka katika kituo hicho kipya, matokeo ya kazi za Chuo cha Baghdad na Cairo yalifikishwa hata Uchina ilipokuwa chini ya utawala wa Kubilai Khan.

Lakini ilikuwa ni wakati wa utawala wa Ulug Beg, mjukuu wa Tamburlaine, ambapo unajimu wa Waislam ulipopata mafanikio makubwa kabisa. Ulug Beg ambaye jina lake kama la baba yake Shah Ruh, linahusishwa kwa karibu sana na kazi nzuri za usanii na harakati za ufasaha (taaluma ya fasihi) zilizoendeshwa na Timuridh; alikuwa mpenzi wa taaluma ya unajimu. Inaaminika kuwa alikuwa mmojawapo wa wasomi wa mwisho mwisho waliotokana na Shule ya Baghdad. Kazi yake, ambayo ilichapishwa mwaka 1437, ilitoa picha halisi juu ya maarifa ya unajimu kwa siku hizo na mwelekeo wa taaluma hiyo kwa siku zijazo.

ITAENDELEA...

source ;http://www.islamtz.org/articles/mchango_wa_uislamu_katika_maendeleo.htm

 



Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#205 From: salum harmaly <salumsh@...>
Date: Thu May 13, 2004 5:35 am
Subject: Hukumu ya Sala ya Safari
salumsh
Send Email Send Email
 
 

ÈÓã Çááå ÇáÑÍãä ÇáÑÍíã

ÇáÍãÏ ááå ÑÈ ÇáÚÇáãíä æ ÇáÚÇÞÈÉ ááãÊÞíä æ áÇ ÚÏæÇä ÅáÇ Úáì ÇáÙÇáãíä . ÃÍãÏå ÊÚÇáì ÈãÇ åæ áå Ãåá ãä ÇáÍãÏ æ ÃÔßÑå æ ÃÓÊÛÝÑå ãä ÌãíÚ ÇáÐäæÈ æ ÃÊæÈ Åáíå ãä íåÏå Çááå ÝáÇ ãÖá áå æ ãä íÖáá ÝáÇ åÇÏí áå ÇáÞÇÆá "æ ãÇ ÃÊÇßã ÇáÑÓæá ÝÎÐæå æ ãÇ äåÇßã Úäå ÝÇäÊåæÇ"  æ ÇáÞÇÆá "Þá Åä ßäÊã ÊÍÈæä Çááå ÝÇÊÈÚæäí íÍÈÈßã Çááå" æ ÃÔåÏ Ãä ãÍãÏÇ ÚÈÏå æ ÑÓæáå æ ÕÝíå ãä ÎáÞå æ Îáíáå ÈáÛ ÇáÑÓÇáÉ æ ÃÏì ÇáÃãÇäÉ æ äÕÍ ÇáÃãÉ æ ßÔÝ Çááå Èå ÇáÛãÉ Õáì Çááå Úáíå æ Úáì Âáå æ ÕÍÈå æ Óáã  ÇáÞÇÆá "ÕáæÇ ßãÇ ÑÃíÊãæäí ÃÕáí".

  

UTANGULIZI.

KUHUSU MAKALA.

 

 

Ndugu wana ukumbi Assalamu alaikum. Kwa wingi wa heshima na taadhima, ningependa kukutangulizieni makala hii fupi kuhusu sala ya safari. Katika makala hii, nitajaribu kukunakilieni hoja za kila kundi na jawabu za wapinzani wao ili kila mtu ajue kashika nini na mwenzake kashika nini. Nimeona kwamba mas-ala muhimu ya kujadiliwa ni mas-ala matatu:

 

1)      Nini hukumu ya kupunguza rakaa katika safari – je ni lazima kufanya hivyo au ni ruhusa tu.

 

2)      Masafa gani ambayo mtu hulazimika kusali safari.

 

3)      Muda gani ambao mtu anatakiwa asali safari.

 

Nitaanza maudhui hii kwa kuzungumzia mas-ala ya kwanza: “Nini hukumu ya kupunguza rakaa katika safari – je ni lazima kufanya hivyo au ni ruhusa tu.” Nitaigawa sehemu hii sehemu mbili. Katika sehemu ya kwanza – ambayo ndio hii tunayoanza nayo - tutazungumzia hoja za wanaosema kwamba kupunguza rakaa safarini ni wajibu. Nitatoa hoja zao, jawabu za wapinzani wao na majibu yao kwa jawabu hizo za wapinzani wao. Nitanukuu hadithi, nitatoa marejeo (references) ya kila hadithi na nitatoa uchambuzi wa sanad yake kwa ufupi. Marejeo muhimu nilioyachungulia kuhusu mas-ala haya, katika vitabu vya wanazuoni ni:

 

1)      Sh. Al-qannubi (Ibadhi) “AL-RA-AYU AL-MU’UTABAR.”

2)      Sh. Ali Yahya Muammar (Ibadhi) “AHKAMU AL-SAFAR.”

3)      Al-imamu Al-salimi (Ibadhi) “SHARHU AL-JAMII AL-SAHIH” j. 1, uk. 264- 266.

4)      Al-hafidh Ibn Hajar (Shafi) “FAT-HU AL-BARI” katika maelezo ya hadithi na. 350.

5)      Al-imamu Al-nawawi (Shafi) “SHARHU MUSLIM” katika maelezo ya hadithi na. 1568.

6)      Abu Bakr bin Mohd Al-husaini (Shafi)“KIFAYATU AL-AKHYAR” uk. 224

7)      Ibn Hazm (Dhahiri) “AL-MUHALLA” j. 4, uk. 172.

8)      Al-imamu Al-sayyid Abdul-husain (Shia-Ithnasharia) “MASAIL AL-FIQHIYYA) uk. 70-78.

9)      Sheikh Al-mufid (Shia-Ithnasharia) “AL-MUQNA’A” uk. 91.

10)  Ibn Taymiyya (Hanbali) “MAJMU’U FATAWA” j. 24, uk 8 – 13.

11)  Al-shawkani (Ana madhehebu yake mwenyewe) “NAYLU AL-AWTAR” j. 3, uk. 210.

12)  Al-jassas (Hanafi) “AHKAMU AL-QUR’AN” j. 2, uk. 355.

13)  Al-suyuti (Hanafi) “ASBABU AL-NUZUL” uk. 88. 

14)  Ibn Rushdi Al-qurtubi (Maliki) “BIDAYATU AL-MUJTAHID” j. 1, uk. 310.

15)  Ibn Jarir Al-tabari (Ana madhehebu yake mwenyewe) “JAMI’I AL-BAYAN” j.5, uk 283, chapa mpya.

16)  Al-zamakhshari (Mu’utazili) “AL-KASHAF” j. 1, uk. 590.

17)  Al-imamu Sayyid Zaid bin Ali (Zain Al-abidin Imamu wa Shia-Zaidia) “MUSNAD AL-IMAMU ZAID” uk 130 – 131.

18)  “VITABU TAFAUTI VYA RIWAYA.”

 

Mtu anaweza kurudia vitabu hivyo ili aweze kuzikusanya hoja za kila kundi na jawabu za wapinzani wao ili kufikia “Nguvu za hoja” si “Hoja za nguvu.” Natuanze maudhui yetu kwa kutazama hukumu ya kupunguza rakaa safarini. 

 

HUKUMU YA SALA SAFARI.

 

Wametafautiana wanavyoni juu ya kupunguza rakaa katika sala ya safari “Je ni rukhsa tu (ruhusa) au ni wajibu?” Wakasema baadhi yao kwamba ni rukhsa na wengine wakasema kwamba ni wajibu.

 

HOJA ZA WALIOSEMA KWAMBA KUPUNGUZA

NI LAZIMA: SI RUHUSA.

 

Waliosema kwamba kupunguza rakaa ni wajibu wanajenga hoja kwa dalili zinazofata:

 

MOJA NI KWAMBA MTUME (S.A.W.) katika safari zake zote alikuwa akipunguza rakaa, wala hakuna hata riwaya moja kwamba Mtume (s.a.w.) kawahi kutimiza. Na zifatazo ni baadhi ya nakala za wanavyuoni wa madhehebu tafauti, nazinukuu kutoka katika kitabu “AL-RA’AYU AL-MU’UTABAR” Cha Al-imamu Said bin Mabruk Al-qannubi:

 

1)      Anasema Al-jassaas Al-razi Al-hanafi: “Watu hawakutafautiana kuhusu Mtume kupunguza (rakaa) katika safari zake zote katika hali ya amani na hofu, basi ikathibiti kwamba Faradhi kwa msafiri ni rakaa mbili.”

 

2)      Na anasema Ibn Al-qudama katika “Al-mughni” “Na riwaya ni mutawatir kwamba Mtume (s.a.w.) alikuwa anapunguza (rakaa) katika safari zake, ikiwa kenda hija, umra au vitani.”

 

3)      Anasema Ibn Taymiyyah katika “MAJMUU FATAWA” j. 24, uk. 153: “Hakunukuu kutoka kwake (Mtume s.a.w.) yeyote katika Masahaba zake kwamba Yeye (Mtume s.a.w.) kasali rakaa nne, bali Hadithi ni mutawatir kutoka kwao (Masahaba) kwamba alikuwa anasali rakaa mbili Yeye (Mtume s.a.w.) pamoja na Masahaba zake.”

 

4)      Anasema Ibn Al-qayyim katika “ZADU AL-MIAD” alipokuwa akizungumzia matendo ya Mtume (s.a.w.) katika safari: “Na alikuwa  (Mtume s.a.w.) anapunguza (sala za) rakaa nne anazisali rakaa mbili tangu anapotoka hali ya kuwa ni msafiri mpaka anaporejea madina.”

 

5)      Anasema Al-maqbali katika “AL-MANAR” j. 1, uk. 246: “Na wala haikupokewa kinyume na hivyo (kinyume na kupunguza rakaa), nao (ndio) muongozo wa Al-khulafaa Al-rashidin (Makhalifa Waongofu) baada yake (baada ya Mtume s.a.w.).

 

6)      Anasema mwenye kitabu “AL-MANAR” (Labda ni Sayyid Mohd Rashid Ridha au mwalimu wake Sh. Mohd Abduhu): “Na kwa ujumla ni kwamba kilichothibiti, kilichowafikiwa ni kwamba Mtume (s.a.w.) alikuwa anasali Adhuhuri na Laasiri na Isha katika safari rakaa mbili mbili.”

 

7)      Anasema Ibn Rushd katika “AL-BIDAYA”: “Ama dalili za kimatendo…hakika yake ni yale yaliyonukuliwa kutoka kwa Mtume (s.a.w.) ya kupunguza (rakaa za) sala katika safari zake zote, na kwamba haikusihi kutoka kwake Mtume (s.a.w.) kwamba alitimiza sala katu.”

 

8)      Anasema Sh. Al-jitali katika “AL-QAWAID” j. 1, uk. 259: “Kwamba alikuwa (Mtume s.a.w.) akipunguza katika safari zake wala haikuthibiti kutoka kwake kwamba alitimiza (rakaa za) sala kamwe.”

 

9)      Anasema Sayyid Abdu Al-husain: “Miongoni mwao wako waliona kwamba kupunguza ndio faradhi kwa msafiri, ni lazima juu yake. Na hii ndi kauli ya (Shia) Imamiya wakiwafata Maimamu wao.” “MASAIL FIQHIYYA” uk. 73.

 

10)  Anasimulia Zain Al-abidin kwa kusema: “…Kutoka kwa Ali (r.a.) kwamba kasema: ‘Ukisafiri Sali sala zote rakaa mbili mbili isipokuwa magharibi hakika yake ni rakaa tatu.”

 

11)  Anasema Al-shawkani katika “AL-SAIL AL-JARRAAR”: “Haikuthibiti kutoka kwake (Mtume s.a.w.) katika safari zake zote ila kupunguza (rakaa) na hayo yamo katika Sahihi mbili (Al-bukhari na Muslim) na (vitabu) vyengevyo.” Na akasema katika “WABALU AL-GHAMAM” j. 1, uk. 248: “Na haki ni ile aliosema mtunzi kwamba kupunguza (rakaa) ni wajibu, na Hadithi zimesema wazi maana hio.” Na akasema maneno kama hayo katika “AL-DARARI AL-MUDHIYYA” j. 1, uk. 275, aliposema: “Ama wajibu wa kupunguza (ushahidi wake ni) Hadithi ya Aisha.”  Mwisho wa kunuku kutoka katika kitabu cha Al-imamu Al-qannubi, pamoja na kupunguza kidogo baadhi ya sehemu kwa ajili ya kufupisha. Isipokuwa nakala namba 9 na 10, nimeziongezea mimi ili tuwe tumenukuu kutoka kwa madghehebu zote za Kiislamu. Nakala na. 9 ni kitabu cha Shia Ithnashiria na na. 10 ni Shia-Zaidia.

 

1) USHAHIDI WA KWANZA:

 

USHAHIDI UNAOPATIKANA KATIKA MATENDO HAYO YA MTUME (S.A.W.) YA KUPUNGUZA RAKAA KATIKA SAFARI ZAKE ZOTE.

 

Hoja ambayo tunaipata katika matendo hayo ya Mtume (s.a.w.) ambayo kwayo tunathibitisha kwamba kupunguza rakaa katika safari ni lazima, ni kwamba Allah Subhanau Wa Taala ameitaja Sala katika Qur-an mujmalan (bila ya kuifafanua), akasema Allah: “Na simamisheni Sala na mutoe Zaka.” Kisha akamuachia Mtume Wake (s.a.w.) kazi ya kufafanua. Tazama Al-jassas “AHKAMU AL-QURAN” j. 2, uk. 358, na Al-qannubi “AL-RA-AYU AL-MU’UTABAR” uk. 16. Kwahivyo namna alivyosali Mtume ndio tafsiri au ufafanuzi wa yale ambayo yameelezwa kwa ujumla bila kufafanuliwa katika Qur-an. Na hii ni kwa msingi kwamba matendo ya Mtume (s.a.w.) ni tafsiri ya kisichofafanuliwa katika Qur-an. Na mwenwewe akabainisha zaidi kwa kusema “Salini kama munavyoniona mimi ninasali.” Kwahivyo hoja hii pekeake inatosha kubainisha kwamba kupunguza rakaa katika safari ni lazima kwani yeye hakupata kukamilisha rakaa hata katika safari yake moja, bali katika safari zake zote kapunguza rakaa na akasema “Salini kama munavyoniona mimi ninasali.” Huu ni ushahidi kwamba kila alichokifanya katika Sala ni wajibu isipokuwa kile ambacho kuna ushahidi mwengine kwamba hicho si lazima hapo itakuwa ushahidi huo umekitoa kitu hicho katika dalili ya ujumla, kama zilivyo kanuni za usuli. Na hakuna ushahidi kwamba kupunguza ni ruhusa isipokuwa dalili ambazo ushahidi wake si sahihi kama utavyoona humu.

 

2) USHAHIDI WA PILI.

 

HADITHI YA SAYYIDA AISHA (R.A.).

 

Anasimulia Sayyida Aisha kwa kusema:

 

"ÝÑÖÊ ÇáÕáÇÉ ÑßÚÊíä ÑßÚÊíä ÝÒíÏ Ýí ÕáÇÉ ÇáÍÖÑ æ ÃÞÑÊ ÕáÇÉ ÇáÓÝÑ"

 

“Ilifaradhishwa Sala (mwanzo) rakaa mbili mbili, kisha ikaongezwa sala ya Hadhahr (Makazi: yaani Sala isiokuwa ya safari) na sala ya safari ikiachwa

hivyo hivyo (rakaa mbili mbili.”

 

TAKHRIJ YA HADITHI HIO.

 

Hadithi hio kaipokea Al-imamu Al-rabii “AL-JAMII AL-SAHIH” Hadithi na. 29, imekuja kwa sanad safi na fupi kabisa “Kutoka kwa Abu Ubaida kutoka kwa Jabir bin Zaid kutoka kwa Aisha.” Na akaipokea Al-imamu Ahmad bin Hanbal, “AL-MUSNAD” j. 8, uk. 457, Hadithi na. 26484, na uk. 524, Hadithi na. 26812, na hapa kuna ziada kidogo katika Hadithi hio. Na pia kaipokea katika sehemu nyengine. Na kaipokea Abu Daud “AL-SUNAN” uk. 211, Hadithi na. 1195. Na akaipokea Al-imamu Malik “AL-MUWATTAA” katika “Babu Qasri Al-salati fii Al-safar” uk. 137-138, Hadithi na. 9. Na akaipokea Al-darimi katika “AL-SUNAN” “Babu Qasri Al-salati fii Al-safar” uk. 432, Hadithi na. 5/1516. Na akaipokea Al-nasai “AL-SUNAN AL-SUGHRA” Hadithi na. 454. Na akaipokea Al-bukhari “AL-SAHIH” Hadithi na. 350. Na akaipokea Muslim “SAHIH MUSLIM” “Kitabu Salat Al-musafirin Wa Qasruha” Hadithi na. 1/1568 na 2/1569 na 3/1570. Na Al-nasaai “AL-SUNAN AL-KUBRA” j. 1, uk. 201, Hadithi na. 313.   

 

 

 

 

SANAD YA HADITHI.

 

Usahihi wa sanad ya Hadithi hii hauna upinzani: ni sanad sahihi bila ya khilafu. Na Hadithi hii imekuja kwa sanad tafauti. Natoa sanad moja tu kwa ajili ya kuthibitisha, nayo ni sanad ya Al-bukhari. Al-bukhari kaipokea Hadithi hii kutoka kwa:

 

1)      Abdullah bin Yusuf naye ni Al-tanisi Abu Mohd Al-kalai Al-misri. Naye ni mpokezi thabiti, muaminifu, wala hakuna aliyemjeruhi. Tazama “TAHDHIB AL-TAHDHIB” j. 6, uk. 79, tarjama na. 174. Na Abdullah bin Yusuf kaipokea Hadithi hii kutoka kwa:

 

2)      Al-imamu Malik bin Anas, mmoja ya Maimamu wane wakubwa wa Kisuni. Huyu hana haja ya maelezo, yeye ni Imamu maarufu, mkweli, muaminifu, mwenye uwezo wa kuhifadhi riwaya na kuzifahamu. Lakini ukipenda kujua habari zake tazama “TAHDHIB AL-TAHDHIB” j. 10, uk. 5, tarjama na. 3. Na Al-imamu Malik kaipokea Hadithi hii kutoka kwa:

 

3)      Salih bin Kaisaan naye ni mkweli, muaminifu na madhubuti sana, wala hakuna aliyemjeruhi hata mmoja: wote wanasema: “Ni muaminifu, thabiti, mwanachuoni, n.k.” Tazama “TAHDHIB AL-TAHDHIB” j. 4. uk. 350, tarjama na. 692. Na Salih bin Kaisan kaipokea Hadithi hii kutoka kwa:

 

4)      Ur-wa bin Zubair, mtoto wa dada ake Sayyida Aisha, naye ni bahari ya elimu, Faqihi katika Mafaqihi wa madina. Naye ni mkweli, muaminifu, mwenye kukubalika na hakujeruhiwa na mtu yeyote: wote wamemsifu kwa sifa nyingi nzuri. “TAHDHIB AL-TAHDHIB” j. 7, uk. 163, tarjama na. 352. Na Ur-wa kaipokea Hadithi hii kutoka kwa Sayyida Aisha, Mama Mtukufu, Mama wa Waumini (r.a.).

 

Kwa hivyo hii ni sanad sahihi kabisa, ukichanganya na sanad nyengine unapata nuru juu ya nur, kwani sanad zake nyengine pia ni kama dhahabu. Natija ni kuwa hii ni Hadithi sahihi bila ya upinzani, lakini tumetoa sanad kwa kukamilisha bahthi (utafiti). 

 

USHAHIDI.

 

Ushahidi tunaoupata katika riwaya hii unaonesha kwamba kupunguza rakaa katika Sala ya safari si ruhusa bali ni lazima ni kauli ya Bibi Aisha: “ÝÑÖÊ” “Ilifaradhishwa” na kauli yake: “ÃÞÑÊ” “Ikaachwa hivyo hivyo” (yaani sala ya safari ikiachwa hivyo hivyo rakaa mbili). Kwa hivyo ni wazi kwamba kupunguza rakaa katika sala ya safari ni fardhi (lazima) si ruhusa.

 

UPINZANI NA MJADALA JUU YA HADITHI HII.

 

UPINZANI WA KWANZA.

 

Watetezi wa rai ya kwamba kupunguza ni ruhusa tu: si lazima, wameipinga riwaya hii kwa hoja nyingi kama inavyofata:

 

1)      Hadithi hio inagongana na Aya inayosema:

 

ÝáíÓ Úáíßã ÌäÇÍ Ãä ÊÞÕÑæÇ ãä ÇáÕáÇÉ Åä ÎÝÊã Ãä íÝÊäßã ÇáÐíä ßÝÑæÇ

 

“Basi hakuna ubaya juu yenu kupunguza Sala ikiwa munahofia

kwamba wale waliokufuru watakutaabisheni.”

 

Na hii ni kwamba wao wamelifasiri neno: ÝáíÓ Úáíßã ÌäÇÍ Hakuna ubaya juu yenu” kuwa maana yake ni ruhusa: ukitaka kufanya hivi fanya na ukitaka kufanya hivi fanya – yote hayana ubaya. Tazama 

 

JAWABU: Lakini wakajibiwa kwamba hakuna mgongano baina ya Aya na Hadithi kwani Aya inazungumzia kitu chengine na Hadithi inazungumzia kitu chengine – Aya inazungumzia Sala ya Khofu na Hadithi inazungumzia Sala ya safari, navyo ni vitu viwili tafauti na hukumu zake ni tafauti. Bali Sala ya Safari haikutajwa katika Qur-ani kamwe kama ilivyokuja katika Hadithi ya Ibn Umar (r.a.).  Na hivi ndivyo walivyosema wanavyuoni wengi wa tafsiri kwamba Aya hii imeshuka kwa ajili ya sala ya khofu: si sala ya safari. “Miongoni mwa hao ni Ibn Jarir Al-tabari na Ibn Kathir.” Hivyo ndivyo walivyoifahamu wanavyuoni hao. Dhahiri ni kwa sababu Aya inasema: “Ikiwa mutahofia kwamba waliokufuru watakutaabisheni.” Changanya hili na Hadithi ya Ibn Umar alipoulizwa: “Ewe baba yake Abdil-rahman mbona katika Qur’an tunaona sala ya Hadhar na sala ya khofu wala hatuoni sala ya safari.” Akasema Ibn Umar: “E mtu we! Hakika Allah ametutumia Mtume Wake na hatujui kitu, bali tunakifanya kile tulichomuona akifanya.” Kaipokea Al-rabii bin Habib Hadithi na. 187, na Ahmad, na Al-nasai, na Malik. Lakini pia ni wazi kwamba waliosema kwamba Aya hio imeshuka sala ya khofu tu ni kwa kuzingatia kwamba moja ya sababu ziliopokewa juu ya kuteremka Aya hio ni “Khofu” kama alivyonukuu Ibn Jarir katika Tafsiri yake.

 

Na wako baadhi ya wanavyuoni wa tafsiri wanaona kwamba Aya hii imeshuka kwa ajili ya kupunguza rakaa wakati wa safari au wakati wa safari na khofu pia. Bila shaka hawa – pamoja na kuwepo kwa neno “Khofu” katika Aya hio – pia wamezingatia kuwepo kwa maneno "ÅÐÇ ÖÑÈÊã Ýí ÇáÃÑÖ" “Idha dharabtum fii Al-ardhi” tafsiri ya neno kwa neno (literally) ni “Mukipiga katika ardhi” na maana yake ni “Mukenda katika ardhi” na kwenda katika ardhi wamekufasiri wengine kuwa ni “Kusafiri.” Tazama Al-zamakhshari “AL-KASHAF” j. 1, uk. 590. Na Abu Bakr Al-husaini “KIFAYATU AL-KHYAR” uk. 224. Na tafsiri hii inaweza kupata nguvu pia kwa riwaya ya Sayyidna Umar (r.a.) ambapo aliifahamu Aya hii kuwa ni kupunguza sala kwa ajili ya khofu katika safari. Isipokuwa yeye alijibiwa na Mtume Mwenyewe (s.a.w.) kwamba hio ni “Sadaka Allah amekupeni, basi ipokeeni sadaka Yake.”

 

Hio ndio rai ya kundi la pili la wanavyuoni wa tafsiri: kwamba Aya hii imeshuka kwa ajili ya sala ya safari au sala ya safari na khofu pamoja, kwa kuzingatia kuwepo kwa maneno kuwepo kwa neno “Khofu” katika Aya hio – pia wamezingatia kuwepo kwa maneno: "ÅÐÇ ÖÑÈÊã Ýí ÇáÃÑÖ" “Idha dharabtum fii Al-ardhi”  “Mukenda katika ardhi.” 

 

Lakini tunaweza kutoa jawajibu kwa hawa kwa kusema kwamba maneno: “Kwenda katika ardhi” ni mapana zaidi kuliko maana ya kisharia ya neno safari, kwani safari katika maana yake ya kisharia ni kusafiri mahala pa masafa maalum pasipopungua maili 6 kwa mujibu wa kauli ndogo yao miongoni mwa kauli za wanavyuoni wa madhehebu za Kiislamu. Wakati maneno: “Kwenda katika ardhi” inawezekana ikiwa kwenda mahala pa maili tatu, nne au tano, nayo ni masafa ambayo mtu hasali safari. Kwahivyo “Kwenda katika ardhi” ni kitu kimoja na maana ya kisharia ya safari ni kitu chengine.

 

Na kwa hivyo, bila shaka – ninavyoona mimi – jawabu ya wanaosema kwamba Aya hii imeteremka kwa ajili ya sala ya khofu juu ya kuwepo kwa maneno hayo:                 "ÅÐÇ ÖÑÈÊã Ýí ÇáÃÑÖ" “Idha dharabtum fii Al-ardhi”  “Mukenda katika ardhi” ni kuwa maneno hayo ni "æÇÞÚÉ ÇáÍÇá" “Waqi’atu Al-hal” yaani ndio hali yenyewe ilivyokuwa. Kwa lugha nyengine ni kuwa Aya imeteremka wakati watu wako katika hali hio ya kuweko mbali na makazi yao (walikuweko katika jihad katika mji wa Usfan). Na "æÇÞÚÉ ÇáÍÇá" “Waqi’atu Al-hal” haifai kuwa ushahidi katika hali kama hii.

 

 

Mfano mzuri utaokuwekea wazi makusudio yangu, ni Aya kuhusu mtu atayeua kiwindwa cha nchi kavu naye kahirimia Haji au Umra. Allah – katika Suya 5, Aya 95 – anasema: "æ ãä ÞÊáå ãäßã ãÊÚãÏÇ"  “Atayekiua (kiwindwa) miongoni mwenu kwa kukusudia” basi atalipa jazaa (fidia). Jumhur ya Umma kuanzia Masahaba hadi leo, wanasema kwamba aliyehirimia akiua kiwindwa cha nchi kavu atalipa jazaa akiwa kakusudia au hakukusudia. Wakati Aya inasema “Hali ya kuwa kakusudia.” Nini sababu yake? Anasema Al-imamu Nuru Al-din Al-salimi kwamba hii ni kwa sababu Aya hii ilimshukia mtu aliyeua kwa kukusudia ndio maana limetajwa neno ãÊÚãÏÇ Mutaammidan (hali ya kuwa ni mwenye kukusudia). Kwa hivyo hii ni "æÇÞÚÉ ÇáÍÇá" “Waqi’atu Al-hal,” na "æÇÞÚÉ ÇáÍÇá" “Waqi’atu Al-hal” haizingatiwi katika hukumu madamu lafdhi ni ya ujumla, na kwahivyo mwenye kuhirimia akiua kiwindwa hata bila ya kukusudia atalipa fidia. Halkadhalika maneno hayo: "ÅÐÇ ÖÑÈÊã Ýí ÇáÃÑÖ" “Idha dharabtum fii Al-ardhi”  “Mukenda katika ardhi” ni "æÇÞÚÉ ÇáÍÇá" “Waqi’atu Al-hal.” Kwani Aya ilishuka wakati watu wako katika hali hio ya kuwa mbali na makazi yao. Huu ndio muelekeo ninaouona unafaa kuwa jawabu. Lakini huu ni uoni wangu kwa hivyo watafiti nawaufikirie kwani sikuona mwanachuoni aliotoa muelekeo huu. 

 

Ama wanavyuoni jawabu yao ni kuwa hata tukisalim amri kwamba Aya hio imeshuka kwa ajili ya sala ya safari pia, jawabu ni kuwa ushahidi wa Aya kwamba kupunguza rakaa katika safari si lazima bali ni ruhusa ni ushahidi uliojengeka katika misingi ya Dhahir wakati ushahidi unaopatikana katika Hadithi ya Aisha ni Nassu, na Nassu  na Dhahir zikigongana basi inatangulizwa Nassu kama ilivyo katika fani ya Usuli, kwa hivyo kwa mujibu wa kanuni za tafsiri, hapa inatangulizwa Hadithi.

 

MAELEZO KWA UFUPI KUHUSU NASSU NA DHAHIR.

 

Kwa sababu tunawaandikia watu wote ni vyema tueleze kwa ufupi nini Nassu na nini Dhahir ili kila mtu aweze kufahamu mas-ala haya vizuri.

 

Kitu muhumu na cha mwanzo kabisa kwa mtafiti au mwanachuoni au mwanafunzi wa elimu wakati wa kuielezea Aya na Hadithi, ni kutazama:

1)      Daraja ya kudhiri na kujificha ya Aya au Hadithi.

2)      Lengo la kibalagha la Aya au Hadithi – je hio ni amri, au ni habari au ni katazo. Kama ni amri je ni amri ya lazima au ya suna au ya ibaha (ruhusa) n.k. Kama ni katazo au habari je nini lengo la habari na katazo hilo.

 

Sasa daraja ya kudhiri ya andiko inaweza ikawa  ni Nassu na inaweza ikaw Dhahir. Nassu ni andiko ambalo liko wazi kabisa na halina maana isipokuwa moja na ambayo iko wazi katika andiko hilo. Kwa mfano Hadithi inayosema “Sisi Mitume haturithiwi tulichokiacha ni sadaka” hili ni andiko la wazi kwamba Mitume hawarithiwi - linafamika hili katika Hadithi hio bila kuwepo kujikalifisha katika kuitafuta maana. Sasa linganisha Hadithi hio na Aya inayosema: “Na Sulaiman akamrithi Daud, akasema enyi watu sisi tumefundishwa matamshi ya ndege na tumepewa kila kitu, hakika ya hii ni fadhila ya wazi.” Aya hii “Sulaiman akamrithi Daud,” wengine wamechukua ushahidi kwamba Mitume inarithiwa, lakini ushahidi huu ni Dhahir kwani Aya inawezekana kuwa na maana hio na inawezekana kuwa alimrithi utume na elimu. Kama Aya nyengine zilivyoonesha. Kwa mfano Aya ya 32 ya Sura ya 35. Aya hio inasema “Kisha tukawarithisha Kitabu wale tulioachagua katika waja wetu.”  Na bila shaka hakuna aliyerithi Kitabu cha Mungu kikawa ni mali yake, si Mitume wala si wafuasi wao. Na katika Aya za mwanzo za Surat Maryam, hapo Nabii Zakaria anaomba dua apewe mtoto atayemrithi yeye na ambaye atakirithi pia kizazi cha Ya’aqub. Tazama Aya za mwanzo za sura hiyo. Sasa je hapa itayorithiwa pia ni mali ilhali kizazi cha Ya’aqubu kimeshapita na kimesharithiwa na watoto wao. Kwa hivyo mirathi hapa ni mirathi ya utume na elimu.

 

Sasa ukirudi katika Aya hii: “Na Sulaiman akamrithi Daud,” utakuta kwamba Aya hii inawezekana kuwa na maana hii na inawezekana kuwa na maana hii, na hii ndio ambayo kitaalam inaitwa dhahir, kwamba maana fulani imo ndani ya andiko fulani, lakini pia andiko hilo lina maana nyengine ambayo inawezekana ikiwa ndio iliokusudiwa. Wakati – kwa upande mwengine – Hadithi: “Sisi Mitume haturithiwi tulichokiacha ni sadaka” ni andiko la wazi kwamba Mitume hairithiwi, kwani kutajwa kwa maneno “tulichokiacha ni sadaka” kunabainishwa kwamba mirathi inayozingumziwa hapa ni mirathi ya mali: si mirathi ya elimu. Sasa ilipogongana Dhahir ya Aya na Nassu ya Hadithi, kitaalamu katika kanuni za kufasiri hutangulizwa Nassu kwani Nassu ni andiko la wazi wakati Dhahir ni andiko ambalo linawezeka kuwa na maana hii au nyengine; lilipokuja andiko la wazi ikawa muradi umebainika, na natija ni kuwa Mitume (a.s.) hairithiwi na Aya “Sulaiman akamrithi Daud” maana yake kamrithi elimu na utume sawa na dua ya Nabii Zakaria katika Aya za mwanzo za Surat Marya. Bali hata Aya yenyewe “Sulaiman akamrithi Daud” inaonyesha hivyo kwamba ni mirathi ya elimu na utume lakini maelezo juu hili yatarefusha mada na kututoa nje ya maudhui.

 

Sasa naturudi katika Hadithi: "ÝÑÖÊ ÇáÕáÇÉ ÑßÚÊíä ÑßÚÊíä ÝÒíÏ Ýí ÕáÇÉ ÇáÍÖÑ æ ÃÞÑÊ ÕáÇÉ ÇáÓÝÑ" “Ilifaradhishwa Sala (mwanzo) rakaa mbili mbili, kisha ikaongezwa sala ya Hadhr (isiokuwa ya safari) na sala ya safari ikaachwa hivyo hivyo (rakaa mbili mbili,” tuitazame daraja ya kudhihiri ya Haditi hio, kisha tuilinganishe na Aya ÝáíÓ Úáíßã ÌäÇÍ Ãä ÊÞÕÑæÇ ãä ÇáÕáÇÉ Åä ÎÝÊã Ãä íÝÊäßã ÇáÐíä ßÝÑæÇ “Basi hakuna ubaya juu yenu kupunguza Sala ikiwa munahofia kwamba wale waliokufuru watakutaabisheni.” Utakuta kwamba Hadithi ni Nassu (andiko lawazi) kwamba sala mwazo wake ilifaradhishwa rakaa mbili tu, kisha sala ya kawaida ikaongezwa na Sala ya safari ikaachwa vile vile. Hili linafahamika kwa uwazi bila mashaka katika Hadithi. Wakati sehemu ya Aya inayosema ÝáíÓ Úáíßã ÌäÇÍ” “Hkuna ubaya juu yenu” – ambayo ndio wanayoitolea ushahidi wale wenye kusema kwamba kupunguza rakaa katika safari ni ruhusa tu – si andiko la wazi kwamba kupunguza si lazima – kule “Imefaradhishwa sala rakaa mbili” (andiko la wazi), hapa “Hakuna ubaya juu yenu kupunguza” (andiko lenye uwezekano wa namna nyingi) kwa hivyo kanuni ni kutanguliza Nassu na kuiacha Dhahir, na kwahivyo Hadithi hapa inatangulizwa kwani ni Nassu wakati maana ya Aya ni Dhahir (it bears different shades of meaning). Hii ni jawabu moja ya wale wanye kusema kwamba kupunguza rakaa ni lazima si ruhusa.

 

JAWABU YA PILI.

 

Jawabu ya pili kuhusu Aya: ÝáíÓ Úáíßã ÌäÇÍ Ãä ÊÞÕÑæÇ ãä ÇáÕáÇÉ Åä ÎÝÊã Ãä íÝÊäßã ÇáÐíä ßÝÑæÇ “Basi hakuna ubaya juu yenu kupunguza Sala ikiwa munahofia kwamba wale waliokufuru watakutaabisheni,” ni kuwa Aya hii ni sawa na Aya yenye kusema:             "Åä ÇáÕÝÇ æ ÇáãÑæÉ ãä ÔÚÇÆÑ Çááå Ýãä ÍÌ ÇáÈíÊ Ãæ ÇÚÊãÑ ÝáÇ ÌäÇÍ Úáíå Ãä íØæÝ ÈåãÇ" “Hakika ya Safa na Mar-wa ni katika alama (za dini ya) Allah basi atayehiji au kufanya umra, HAKUNA UBAYA JUU YAKE KUZIZUNGUKA.Aya hii inazungumzia ibada za hija na umra na kwamba atayefanya ibada hizo “Hakuna ubaya kwake kufanya Sa’ay,” Sa’ay katika ibada hizo ni kule kuzunguka baina Safa na mar-wa. Sasa Umma umetafautiana juu ya hukumu ya mzunguko huu: je ni wajibu au suna au vipi? Jumhur wakiwemo wengi ya hao wenye kusema kwamba kupunguza rakaa katika safari ni ruhusa wanasema kwamba “Kufanya Sa’ay ni wajibu.” Suala ni kuwa vipi imekuwa wajibu kufanya Sa-ay wakati Aya inasema "ÝáÇ ÌäÇÍ Úáíå Ãä íØæÝ ÈåãÇ" HAKUNA UBAYA JUU YAKE KUZIZUNGUKA MBILI HIZO (SAFAA NA MARWA yaani kufanya Sa’ay), na vipi isiwe wajibu kupunguza rakaa katika safari wakati Aya wanayoitolea ushahidi inasema: ÝáíÓ Úáíßã ÌäÇÍ Ãä ÊÞÕÑæÇ ãä ÇáÕáÇÉ” “HAKUNA UBAYA JUU YENU KUPUNGUZA (RAKAA ZA) SALA” – mwote muwili limetumika neno moja na ibara moja?! Huu ni mgongano wa wazi baina ya rai mbili tofauti ziliojengeka katika Aya mbili sawa sawa! Ni wazi kwamba Aya hio:       ÝáíÓ Úáíßã ÌäÇÍ Ãä ÊÞÕÑæÇ ãä ÇáÕáÇÉ” “HAKUNA UBAYA JUU YENU KUPUNGUZA (RAKAA ZA) SALA” haina maana kwamba kupunguza ni ruhusa tu, kwani kama ilikuwa ni ruhusa tu, basi na kuzunguka Safa na Marwa pia isingelikuwa lazima wakati wale wanaosema kwamba kupunguza rakaa ni ruhusa tu, wanasema kwamba kufanya Sa’ay  katika Safaa na Mar-wa ni lazima – neno moja, matumizi yale yale, lakini hukumu tafauti – ajabu ilioje!

 

UPINZANI WA PILI.

 

Kumbuka kwamba tunayoizungumzia ni Hadithi ya Sayyida Aisha (r.a.) inayosema:  "ÝÑÖÊ ÇáÕáÇÉ ÑßÚÊíä ÑßÚÊíä ÝÒíÏ Ýí ÕáÇÉ ÇáÍÖÑ æ ÃÞÑÊ ÕáÇÉ ÇáÓÝÑ" “Ilifaradhishwa Sala (mwanzo) rakaa mbili mbili, kisha ikaongezwa sala ya Hadhar (isiokuwa ya safari) na sala ya safari ikaachwa hivyo hivyo (rakaa mbili mbili.” Tumeinukuu Hadithi hii kama ni ushahidi wa wale wanaosema kwamba kupunguza rakaa katika safari ni lazima: si ruhusa. Halafu tukanukuu upinzani wa kwanza uliotolewa juu ya Hadithi hii na tukatoa jawabu ya kundi la pili juu ya upinzani huo. Sasa hapa tunaendelea kwa kunukuu upinzani wa pili juu ya Hadithi hio ya Aisha.

 

Kwa ufupi ni kuwa upinzani wa pili ni mfupi na dhaifu kuliko uliotangulia. Ufupisho wa upinzani huo ni kuwa Hadithi hii ni Hadithi Ahadi, si Hadithi mutawatir!

 

JAWABU  ni kuwa Hadithi Mutawatir ni sharti katika mambo ya itikadi si katika mambo ya matendo, kwa makubaliano ya wote wanaozingatiwa (wenye authority), kama ilivyo katika vitabu vya usuli na elimu ya Hadithi ÍÏíË ÇáÃÍÇÏ íÝíÏ ÇáÚãá æ áÇ íÝíÏ ÇáÚáã “Hadithi Ahadi anafaidisha matendo wala haifaidishi yakini (mabo ya itikadi).” Kwahivyo hoja hii haina maana kwani ni kinyume na misingi tuliokubaliana.

 

Anasema Al-imamu Al-qannubi: “Na kama inavyojulikana kwamba Hadithi mutawatir ni chache sana, lau ingelikuwa hapatolewi hoja katika mambo ya matendo ila kwa Hadithi Mutawatir, basi isingeliwezekana isipokuwa katika mambo kidogo, nadra.” “AL-RA’AYU AL-MU’UTABAR” uk. 20.

 

UPINZANI WA TATU.

 

Upinzani wa tatu ni kuwa Hadithi hii ya Sayyida Aisha (r.a.) inayosema:              "ÝÑÖÊ ÇáÕáÇÉ ÑßÚÊíä ÑßÚÊíä ÝÒíÏ Ýí ÕáÇÉ ÇáÍÖÑ æ ÃÞÑÊ ÕáÇÉ ÇáÓÝÑ" “Ilifaradhishwa Sala (mwanzo) rakaa mbili mbili, kisha ikaongezwa sala ya Hadhar (isiokuwa ya safari) na sala ya safari ikaachwa hivyo hivyo (rakaa mbili mbili,” ni kinyume na matendo yake Sayyida Aisha (r.a.).

 

JAWABU ni kuwa:

 

a)      Kugongana kwa matendo ya Sahaba na rai yake hakuifanyi riwaya iwe dhaifu ikiwa riwaya hio imethibiti kwa sanad sahihi, kwani hoja ni marfuu (Hadithi ilionasibishwa na Mtume): wala hoja si mawquf (Hadithi ilionasibishwa na sahaba). Na kwenda kinyume na riwaya huenda ikawa sababu yake ni kusahau, kuiletea tafsiri riwaya hio, au sababu nyengine.

 

b)      Pili ni kuwa Sayyida Aisha kasali hivyo si kwamba hakuna riwaya hio bali aliiletea tafsiri riwaya hio, kama alivyosema mtoto wa ndugu yake Ur-wat bin Zubair. Amepokea Al-imamu Muslim kutoka kwa Al-zuhri kasema nilimwambia Ur-wa kwanini Aisha anasali kamili (hapunguzi rakaa) akamwambia: “Hakika yake ameleta tafsiri kama alivyofanya Uthman.”

 

c)      Tatu ni kuwa riwaya yake ni muthbit (inathibitisha sharia) wakati rai yake ni naafi (inakataa) na muthbit ikigongana na nafi basi muthbit ndio inayotangulizwa, na hivi ndivyo wanavyosema Jumhuri ya wanavyuoni wa usuli.

 

d)      Ikigongana kauli na matendo na zikawa daraja moja basi inatangulizwa ya mwanzo. Sasa hapa kuna mgongano wa kauli na matendo, na kauli daraja yake ni kubwa zaidi kwani ni Hadithi marfuu (kutoka kwa Mtume s.a.w.), kwahivyo ni lazima itangulizwe.  

 

e)      Matendo yake yanagongana na matendo ya Masahaba wengine, na matendo ya Jumhur ya Masahaba ni bora zaidi kuliko matendo ya Sahaba mmoja.

 

f)        Riwaya yake inapata nguvu kwa dalili nyengine wakati matendo yake hayana ushahidi wowote.

 

Na ni vyema kusema kwamba wanavyuoni wengine wa Kisuni wanaona kwamba mas-ala ya Aisha kupunguza sala hayakuthibiti kamwe. Anasema Ibn Taymiyya:  “Hadithi hii (yaani hadithi ya kwamba Aisha kasali kamili katika safari) ni uwongo, haiwi kwa Aisha kwamba asali kinyume na Mtume (s.a.w.) na Masahaba wengine naye anawaona wanapunguza (rakaa) kisha yeye atimize bila sababu. Vipi basi (afanye hivyo) naye ndiye aliyesema: “Ilifaradhishwa Sala (mwanzo) rakaa mbili mbili, kisha ikaongezwa sala ya Hadhar (isiokuwa ya safari) na sala ya safari ikaachwa hivyo hivyo (rakaa mbili mbili.” Kayanukuu maneno haya Al-qannubi katika “AL-RA-AYU AL-MU’UTABAR” uk. 61. Na mfano wake katika “AHKAMU AL-SAFAR” cha Sh. Ali Yahya Muammar, uk. 41. Na anasema Ibn Hazm katika “AL-MUHALLA” j. 4, uk. 176 kuhusu riwaya kwamba Aisha kasali kamili katika safari: “Ama riwaya mbili hazina kheri.” Hayo ndio maneno ya Ibn Hazm, kama unavyojua Ibn Hazm hana lugha nyepesi nyepesi. Na anasema Al-shawkani “Ama hadithi ya Aisha…kwamba yeye katimiza (rakaa za) sala katika safari, yatakuja (maelezo) kwamba (riwaya hio) haikusihi.” “NAYLU AL-AWTAR” j. 3, uk. 211.

 

UPINZANI WA NNE.

 

Upinzani wa nne ni kuwa Hadithi hii ya Aisha: "ÝÑÖÊ ÇáÕáÇÉ ÑßÚÊíä ÑßÚÊíä ÝÒíÏ Ýí ÕáÇÉ ÇáÍÖÑ æ ÃÞÑÊ ÕáÇÉ ÇáÓÝÑ" “Ilifaradhishwa Sala (mwanzo) rakaa mbili mbili, kisha ikaongezwa sala ya Hadhar (isiokuwa ya safari) na sala ya safari ikaachwa hivyo hivyo (rakaa mbili mbili,” inagongana na Hadithi ya Ibn Abbas inayosema: “Hakika ya Sala imefaradhishwa rakaa nne katika Hadhar (sala ya kawaida) na rakaa mbili katika safari.”

 

JAWABU ni kuwa:

 

a)      Hakuna mgongano baina ya riwaya mbili hizo kwani riwaya ya Ibn Abbas haina ndani yake ubainifu uliomo katika riwaya ya Aisha. Hadithi ya Aisha inabainisha kwamba Sala mwanzoni ilikuwa rakaa mbili kisha sala ya kawaida ikazidishwa na sala ya safari ikaachwa kama ilivyo. Wakati Hadithi ya Ibn Abbas inasema: “Sala imefaradhishwa rakaa mbili safarini na rakaa nne katika Hadhar.” Kwa hivyo hapa hakuna kugongana kwani Aisha anazungumzia kitu chengine na Ibn Abbas anazungumzia kitu chengine: Aisha anazungumzia hali ilivyokuwa mwanzo na ilivyokuwa hatimae wakati Ibn Abbas Hadithi yake haikutoa ufafanuzi hio, dhahiri ni kuwa yeye anazungumzia hali ya sala ilivyo sasa au kwa maneno mengine hali yake ya mwisho tu.

 

b)      Lakini hata tukisema kwamba kuna mgongano baina ya Hadithi ya Aisha na Ibn Abbaas, JAWABU ni kuwa Hadithi ya Ibn Abaas ni Mujmal (haina ufafanuzi) na Hadithi ya Aisha ni Mubayyan (ina ufafanuzi) na Mujmal ikigongana Mubayyan, basi inayotangulizwa ni Mubayyan kama ilivyo katika kanuni za Usuli-lfiq-hi.

 

 

UPINZANI WA TANO.

 

Upinzani wa tano wa Hadithi hio ya Aisha: "ÝÑÖÊ ÇáÕáÇÉ ÑßÚÊíä ÑßÚÊíä ÝÒíÏ Ýí ÕáÇÉ ÇáÍÖÑ æ ÃÞÑÊ ÕáÇÉ ÇáÓÝÑ" “Ilifaradhishwa Sala (mwanzo) rakaa mbili mbili, kisha ikaongezwa sala ya Hadhar (isiokuwa ya safari) na sala ya safari ikaachwa hivyo hivyo (rakaa mbili mbili,” ni kuwa Hadithi hii inagongana, kwani kaipokea Ibn Ajlan kutoka kwa Salih bin Kaisan kutoka kwa Ur-wa kutoka kwa Aisha akisema: “Kafaradhisha Mtume (s.a.w.) Sala rakaa mbili mbili” na akasema Al-awzai kutoka kwa Ur-wa kutoka kwa Aisha: “Allah kafaradhisha Sala rakaa mbili mbili.”

 

JAWABU ni kuwa hakuna mgongano kwa sababu maandiko huwa hayaesabiwi kwamba yanagongana ila katika hali mbili:

 

1)      Iwe haiwezekani kulipa uzito andiko moja dhidi ya jengine, na hapa inawezekana kwani Al-awzai si madhubuti: Al-imamu Ahmad bin Hanbal kamdhaifisha, kwahivyo riwaya yake haiisabiwi kwamba inagongana na riwaya ya pili, kwani riwaya haziambiwi kwamba zinagongana mpaka sanad zake siwe sawa katika usahihi.

 

2)      Iwe haiwezekani kuyajumuisha maandiko hayo. Na hapa – tukijaalia kuwa riwaya zote ni sahihi basi - inawezekana  kuzijumuisha kwani maana ya “Mtume kafaradhisha” ni sawa na “Allah kafaradhisha” kwani Allah ndio Mwenye kutoa sharia na Mtume ni mfikishaji. Na kwa maana hii ndio Qur-an inasema “Atayemtii Mtume basi kamtii Allah.” Bali riwaya hii imekuja kwa lafdhi nyengine nayo ndio hio tulioinukuu mwanzo, yaani lafdhi inayosema  “Ilifarashwa Sala.”

 

UPINZANI WA SITA.

 

Upinzani wa sita ni kuwa Hadithi hii: "ÝÑÖÊ ÇáÕáÇÉ ÑßÚÊíä ÑßÚÊíä ÝÒíÏ Ýí ÕáÇÉ ÇáÍÖÑ æ ÃÞÑÊ ÕáÇÉ ÇáÓÝÑ" “Ilifaradhishwa Sala (mwanzo) rakaa mbili mbili, kisha ikaongezwa sala ya Hadhar (isiokuwa ya safari) na sala ya safari ikaachwa hivyo hivyo (rakaa mbili mbili,” ni kauli ya Aisha: si kauli ya Mtume (s.a.w.).

 

JAWABU ni kuwa Hadithi ya Sahaba huisabiwa kuwa ni mawqufu (yenye kutoka kwa sahaba) ikiwa ni kitu ambacho kinawezekana kuwa rai ya sahaba: ama ikiwa kitu ambacho hakiwezekani kuwa rai ya sahaba, basi Hadithi anayoitamka sahaba bila kumtaja Mtume (s.a.w.) hukumu yake huwa ni Hadithi ya Mtume (s.a.w.) hata ikiwa hakusema Sahaba huyo kwamba Mtume (s.a.w.) kanena au katenda. Hivi ndivyo misingi ya Hadithi, tafsiri na fiq-hi inavyosaema. Kwahivyo Hadithi hii hukumu yake ni Marfuu (kutoka kwa Mtume s.a.w.) kwani mas-ala haya hayatoi nafasi ya kutoa rai – hakuna mtu anayeweza kusema kwamba rai yake ni kuwa sala ilifaradhishwa rakaa mbili halafu ikizidishwa: haya ni mas-la yanayotegemea Shahada (Kushuhudia) au habari sahihi kutoka kwa waaminifu. Kwa hivyo hii si Hadithi ya Aisha bali ni Hadithi ya Mtume (s.a.w.), au kwa lugha ya kitaalamu hii si Hadithi mawqufu bali ni Hadithi Marfuu.

 

 

 

 

 

 

UPINZANI WA SABA.

 

Upinzani wa Saba uliotolewa juu ya Hadithi hii: "ÝÑÖÊ ÇáÕáÇÉ ÑßÚÊíä ÑßÚÊíä ÝÒíÏ Ýí ÕáÇÉ ÇáÍÖÑ æ ÃÞÑÊ ÕáÇÉ ÇáÓÝÑ" “Ilifaradhishwa Sala (mwanzo) rakaa mbili mbili, kisha ikaongezwa sala ya Hadhar (isiokuwa ya safari) na sala ya safari ikaachwa hivyo hivyo (rakaa mbili mbili,” ni kawa Aisha hakuzidiriki zama za kufaradhishwa Sala!

 

JAWABU ni kuwa huu ndio upinzani dhaifu wao, kwani hata kama yeye hakudiriki zama za kufaradhishwa sala, hii maana yake ni kuwa Hadithi yake hii ni  Mursal Al-sahabi na Mursal Al-sahabi  ni hoja katika hoja za kisharia. Lakini tumetanguliza kusema kwamba haya si mas-ala ya rai, haiwezekani kuwa ni rai ya Sayyida Aisha (r.a.).

 

Jawabu hio ni sahihi ikiwa tutakubali kwamba Sayyida Aisha hakuidiriki zama za kufaradhishwa sala, vyenginevyo tunasema kwamba Aisha (r.a.) kadiriki zama za kufaradhishwa sala, kwani sala imefaradhishwa naye ni mdogo yupo tayari katika nyumba ya baba yake Abu Bakr (r.a.), na riwaya iliopokelewa na mtoto mwenye fahamu inakubalika ikiwa ataisimulia baada ya kubaleghe kama ilivyo katika elimu ya Hadithi, nayo ndio madhehebu ya Jumhuri ya wanavyuoni wa usuli na Hadithi. Na riwaya kama hizo ziliopokewa na Masahaba walipokuwa wadogo wakazisimulia baada ya kubalegh ziko nyingi, kama riwaya za Ibn Abbas, Ibn Umar na wengine wengi. Kwa hali yoyote ile haya yote ni majibu ya kujaalia tu, vyengivyo Hadithi hio ya Aisha sigha (form) yake ni Mursal na Mursal ya Sahaba ni hoja: na maana yake ni Marfuu (kutoka kwa Mtume s.a.w.) na Hadithi ya Sahaba ikiwa maana yake ni Marfuu, basi hukumu yake huwa ni Marfuu (inatoka kwa Mtume s.a.w.).

 

 

HATIMA NA MUKHTASARI.

 

1)      Maudhui yetu katika sehemu hii ya makala ni kuhusu kupunguza rakaa katika safari – je ni lazima au ni ruhusa tu?

 

2)      Baadhi ya Waislamu wanaona kwamba hio ni ruhusa tu na baadhi wanaona kwamba hio ni lazima.

 

3)      Wanaona kwamba hio ni lazima wanajenga hoja kwa riwaya ya Sayyida Aisha inayosema: "ÝÑÖÊ ÇáÕáÇÉ ÑßÚÊíä ÑßÚÊíä ÝÒíÏ Ýí ÕáÇÉ ÇáÍÖÑ æ ÃÞÑÊ ÕáÇÉ ÇáÓÝÑ" “Ilifaradhishwa Sala (mwanzo) rakaa mbili mbili, kisha ikaongezwa sala ya Hadhar (isiokuwa ya safari) na sala ya safari ikaachwa hivyo hivyo (rakaa mbili mbili,” pamoja na matendo ya Mtume (s.a.w.) kwamba yeye hakuwahi hata siku moja kusali kamili katika safari, na hili halina khilafu katika Umma.

 

4)      Wanaoona kwamba kupunguza ni ruhusa tu: si lazima, wamejibu kwa hoja ambazo tumezinukuu, na wapinzani wao wamejibu kwa hoja ambazo tumezinukuu pia.

 

5)      Upinzani walioutoa wale wanaona kuwa hio ni ruhusa, si madhubuti kwani kila hoja yao moja ni kinyume na kanuni za kiusuli na kanuni za elimu ya Hadithi ambazo ndizo tunazojiongozea katika kuifasiri Qur-an na Suna za Mtume (s.a.w.), na aliyesoma fani hizo anaona hivyo kwa uwazi katika majibizano haya au mjadala huu.

 

6)      Kwa hivyo tunaishia kwa kusema kwamba Hadithi hii ya Aisha imethibitisha ulazima wa kupunguza rakaa katika safari, na hakuna hoja madhubuti ya kuipinga, kwa hivyo tunasema kwamba Hadithi:  “Ilifaradhishwa Sala (mwanzo) rakaa mbili mbili, kisha ikaongezwa sala ya Hadhar (isiokuwa ya safari) na sala ya safari ikaachwa hivyo hivyo (rakaa mbili mbili,” ukichanganya na hoja ya kwanza kwamba Mtume (s.a.w.) hajawahi kukamilisha rakaa katika sala ya safari tunapata kwamba kupunguza rakaa ni wajibu kwa mujibu wa suna ya kauli na suna ya vitendo.

 

USHAHIDI WA PILI.

 

Ushahidi wa pili ambao unaonesha kwamba kupunguza rakaa katika Sala ya safari ni lazima, ni Hadithi ya Ibn Abbasa (r.a.) inayosema:

 

"ÝÑÖ Çááå ÇáÕáÇÉ Ýí ÇáÍÖÑ ÃÑÈÚÇ æ Ýí ÇáÓÝÑ ÑßÚÊíä"

 

“Allah kaifaradhisha Sala ya Hadhar (ya kawaida) rakaa nne, na katika safari rakaa mbili.”

 

TAKHRIJ.

 

Kaipokea Al-imamu Muslim katika “AL-SAHIH” Hadithi na. 5/1573, na 6/1573 katika “Kitabu Salat Al-musafirin Wa Qasruha.” Na akaipokea Ibn Maja “AL-SUNAN” uk. 180, Hadithi na. 1068.  Na akaipokea Al-imamu Ahmad “AL-MUSNAD” j. 1, uk. 631, Hadithi na.  2124 na  uk. 644, Hadithi na. 2177, na uk. 669, Hadithi na. 2293 na uk 888, Hadithi na. 3332. Na akaipokea Al-nasaai katika “AL-SUNAN AL-KUBRA” j. 1, uk. 201, Hadithi na. 314, na uk. 278, Hadithi na. 514, na j. 2, uk. Hadithi na. 1912 na uk. 360, Hadithi na. 1913. Na akaipokea pia Ibn Hazm katika “AL-MUHALLA” j. 4, uk. 177, na j. 5, uk. 31. Hao ndio wapokezi niliobahatika kuvichungulia vitabu vyao. Na hapa kuna wapokezi wengine ambao sikuwahi kuvirejea vitabu vyao, kawanukuu Al-imamu Al-qannubi katika “AL-RA-AYU AL-MU’UTABAR” uk. 26, na pia kawanukuu mtiaji maelezo wa “SHARH AL-NAWAWI ALAA SAHIHI MUSLIM” j. 4, uk. 7, maelezo na. 687. Nao ni: “Abu Ya’ala, Al-bayhaqi, Al-imamu Al-shafi katika “AL-SUNAN AL-MANTHURA,” Al-tabrani, Ibn Jarir Al-tabari, Al-tahawi katika “SHARHU AL-MAANI”, Ibn Khuzaima, Ibn Hibban, Abu Awana, na wengineo.”   

 

SANAD YA HADITHI.

 

Katika sanad zote nilizozipitia sikuona isipokuwa “ ãÌÇåÏ Úä ÇÈä ÚÈÇÓMujahid An Ibn Abbas  yaani Mujahid kutoka kwa Ibn Abbas.” Hii kitaalam inaitwa Hadithu Mu’an’an yaani hadithi ambayo msimulizi wake anatumia lafdhi  Úä  An (kutoka). Hadithi kama hii inakuwa sahihi ikiwa mpokezi si mwenye kughushi. Ama Mujahid ni Imamu mkubwa sana, mwingi wa elimu lakini hakusalimika na jaraha hili. Al-tirmidhi aripoti kwamba “MUJAHID ni maarufu kwa kughushi.” Tazama “TAHDHIB AL-TAHDHIB” juzuu ya 10 ukurasa wa 38-40, tarjama ya 68. Kwahivyo dhati ya sanad hii si sahihi, lakini hadithi yenyewe ni sahihi, kwani Hadithi ya mwenye kughushi (ikiwa si Tadlis Al-ttas-wiya) ikipokewa kwa njia nyengine dhaifu kidogo inapanda daraja na kufika Hasan lighairihi. Hadithi Hasan ni Hadithi iliochini ya hadithi sahihi kidaraja lakini zote zinafaa. Sasa hadithi hii ya Mujahid imekuja kwa njia sahihi nayo ni njia ya Sayyida Aisha tuliotangulia kuinukuu. Kwa hivyo natija ni kuwa hii ni hadithi sahihi, na kwa hivyo ndio maana wanavyuoni wakubwa wa fani ya hadithi wameitolea hoja.

 

USHAHIDI.

 

Ushahidi ambao tunaupata katika Hadithi hii wenye kuonesha kwamba kupunguza rakaa ni wajibu, ni sawa na ushahidi tunaoupata katika Hadithi ya Sayyida Aisha. Hadithi zote mbili zinasema kwamba “Sala ya kawaida imefaradhishwa rakaa nne na Sala ya safari imefaradhishwa rakaa mbili.” Kwa hivyo fardhi au kilicho wajibu katika safari ni rakaa mbili, yaani kwa Sala zile zenye rakaa nne. Hatuna haja ya kuijadili Hadithi hii kwani maana yake ni sawa na Hadithi iliotangulia.

 

 

USHAHIDI WA TATU.

 

Ushahidi wa tatu ni Hadithi ya Umar inayosema:

 

"ÕáÇÉ ÇáÝØÑ ÑßÚÊÇä æ ÕáÇÉ ÇáÃÖÍì ÑßÚÊÇä æ ÕáÇÉ ÇáÌãÚÉ ÑßÚÊÇä æ ÕáÇÉ ÇáÓÝÑ ÑßÚÊÇä

 ÊãÇã ÛíÑ ÞÕÑ Úáì áÓÇä ãÍãÏ Õáì Çááå Úáíå æ Óáã"

 

“Sala ya Idi-l-fitri ni rakaa mbili, na sala ya Idi-l-adh-ha ni raka mbili na Sala ya Ijumaa ni rakaa mbili na Sala ya safari ni rakaa mbili kamili, haikupungua kwa maneno ya Muhammad (s.a.w.).”

 

 

TAKHRIJ

 

Hadithi hio kaisimulia Al-imamu Ahmad bin Hanbal katika “AL-MUSNAD” j. 1, uk. 154, hadithi na. 257. Na akaipokea Ibn Maja “AL-SUNAN” uk. 179, hadithi na. 1063 na 1064. Na akaipokea Abu Daud Al-tayalisi “AL-MUSNAD” uk. 20, hadithi na. 136. Na akaipokea Abdu bin Humaid “AL-MUNTAKHAB MIN MUSNAD ABDI BIN HUMAID” uk. 40, hadithi na. 29. Na Abdu Al-razaaq Al-san’ani katika “AL-MUSANNAF” j. 2, uk. 342, hadithi na. 3289, na mfano wake ni hadithi na 4290, na 4292. Na Al-bazzar katika “AL-BAHRU AL-ZAKHAAR” j. 1, uk. 465, hadithi na. 331. Na Abu Ya’ala “AL-MUSNAD” j. 1, uk. 88, hadithi na. 241. Na wengineo ambao kawataja Al-imamu Al-qannubi sikuvirejea vitabu vyao kuhakikisha ni: “Al-nasaai, Abu Nuaim na Al-tahhawi.” Na wengine kawataja mtiaji maelezo wa “AL-MUSNAD” cha Al-imamu Ahmad ambao pia sikuvirejea vitabu vyao ni: “Ibn Khuzaima na Ibn  Abi Shaiba.”

 

 

 

 

 

 

SANAD YA HADITHI.

 

 

 

Hadithi hii imekuja kwa sanad nyingi, na hakuna sanad mbaya sana, bali aghlabu ya sanad zake ni dhaifu kidogo ambazo zinapanda daraja kwa sababu ya kupeyana nguvu zenyewe kwa zenyewe. Lakini mimi nanukuu sanad ilio sahihi tu, nayo ni sanad ya Ibn Maja.

 

Ibn Maja kaipokea hadithi hii kutoka kwa:

 

1)      Mohd bin Abdi-llahi bin Numair, naye ni mkweli, muaminifu, madhubuti sana, mwingi wa elimu na ucha Mungu, wala hakuna aliyemjeruhi: wote wamemsifu kwa sifa nzuri sana. Tazama: “TAHDHIB AL-TAHDHIB” j. 9, uk. 251, tarjama ya 465. Na Moh’d bin Abdillah bin Numair kaipokea hadithi hii kutoka kwa:

 

 

 

 

2)      Mohd bin Bishr, naye ni mkweli muaminifu wala hakuna aliyemjeruhi isipokuwa hadithi zake alizozipokea kutoka kwa Mujahid tu ndio kuna aliyedai kwamba ni Mursal. “TAHDHIB AL-TAHDHIB” j. 9, uk 64, tarjama na. 90. Na Mohd Bin Bishr kaipokea hadithi hii kutoka kwa:

.

3)      Yazid bin Abi Ziyad bin Abi Ja’ad, naye ni muaminifu, wala hakuna aliyemjeruhi. “TAHDHIB AL-TAHDHIB”  j. 11, uk. 286, tarjama na. 528. Na Yazid kaipokea hadithi hii kutoka kwa:

 

4)      Zubaid bin Al-harith, naye ni muaminifu, thabiti wala hakuna aliyemjeruhi. “TAHDHIB AL-TAHDHIB,”  j. 3, uk. 268, tarjama ya. 578. Na Zubaid kaipokea hadithi hii kutoka kwa:

 

5)      Abdul-rahman bin Abi Laila, naye ni imara, thabiti, muaminifu, Imamu, wala hakuna aliyemjeruhi. “TAHDHIB AL-TAHDHIB,” j. 6, uk. 234, tarjama ya 518.  Na Abdul-rahman kaisikia hadithi hii kutoka kwa:

 

6)      Ka’ab bin Ujrah, huyu ni Sahaba mtakatifu; hana haja ya maelezo. Naye kaisimulia hadithi hii kutoka kwa:

 

7)      Umar bin Al-khattaab  æ ãÇ ÃÏÑÇß ãÇ ÚãÑWa maa adraka maa Umar (na nini kinakujuilisha wewe: Umar ni nani)? Iulize historia ya haki na uadilifu, itakujibu Umar ni nani. Allah amuwiye radhi na kumuingiza katika Firdausi ya juu.

 

Hii ndio sanad ya hadithi hii, nayo kama unavyoona ni dhahabu kutoka kwa dhahabu. Isipokuwa kuna kitu kimoja ningependa kukitolea TANBIHI. Nacho ni kuwa kuna tafauti ya wanavyuoni: je Abdul-rahman bin Abi Laila (mpokezi na. 5) kasikia hadithi kutoka Sayyina Umar? Wengine wanasema hakusikia bali baina yao kuna Ka’ab bin Ujra kama ilivyo sanad hii, na pia yupo baina yao Al-baraau bin Aazib.

 

Na wengine wanasema kwamba bali kasikia hadithi kutoka kwa Umar. Na kauli hii ndio alioipasisha Sh. Al-qannubi katika wanavyuni wakubwa wa hadithi wa sasa. Na mimi – si mwanachuni lakini – napendezewa na kauli hii kwa sababu Abdul-rahman ni muaminifu kwa makubaliano ya wote naye kasema kwa uwazi “Nimemsikia Umar.” Tazama “AL-MUSNAD” cha Al-imamu Ahmad bin Hanbal, j. 1, uk. 155, katika maelezo yanayofata chini ya hadithi na. 257. Sasa kama mwenye anasema “Nimemsikia” naye ni mkweli muaminifu kwa ushahidi wa wanavyuoni wa hadithi hakuna maana ya kusema kwamba hakusikia hadithi kutoka kwa “Umar.” Kwahivyo kauli ya waliosema kwamba kasikia hadithi kutoka kwa Sayyidna Umar ndio kauli sahihi. Kwahivyo riwaya nyengine ambazo hakumtaja Ka’ab bin Ujra bali kasema “Kutoka kwa Umar” ni riwaya sahihi pia. Na kwa maana hii itakuwa hadithi hii ni katika "ÇáãÒíÏ Ýí ãÊÕá ÇáÃÓÇäíÏ" Al-mazid fii muttasil Al-asaniid yaani hadithi ambayo sanad yake imeungana kisha akaongezeka mpokezi mwengine wa ziada, nayo ni kasoro ambayo haivunji usahihi wa hadithi "ÚáÉ ÛíÑ ÞÇÏÍÉ Ýí ÕÍÉ ÇáÍÏíË".

 

USHAHIDI.

 

Nadhani Hadithi iko wazi kwamba sala ya safari ni rakaa mbili. Ni wazi kwamba kupunguza si ruhusa, bali ni wajibu.

 

USHAHIDI WA NNE.

 

Ushahidi wa nne ni Hadithi ya Ya’ala bin Umayya inayosema:

 

"ÞáÊ áÚãÑ Èä ÇáÎØÇÈ ÑÖí Çááå Úäå (ÝáíÓ Úáíßã ÌäÇÍ Ãä ÊÞÕÑæÇ ãä ÇáÕáÇÉ Åä ÎÝÊã) æ ÞÏ Ããä ÇáäÇÓ , ÝÞÇá: ÚÌÈÊ ããÇ ÚÌÈÊ ãäå ÝÓÃáÊ ÑÓæá Çááå Õáì Çááå Úáíå æ Óáã ÝÞÇá: "ÕÏÞÉ ÊÕÏÞ Çááå ÈåÇ Úáíßã ÝÃÞÈáæÇ ÕÏÞÊå"

 

“Nilimwambia Umar bin Al-khattaab (r.a.) (Allah anasema) Hakuna ubaya juu yenu kupunguza (rakaa za) sala mukihofia.” Na sasa watu wako katika amani (basi vipi wapunguze rakaa). Akasema (Umar r.a.): “Nimestaajabu kama ulivyostaajabu nikamuuliza Mtume (s.a.w.) akasema: (Hio ni) Sadaka

Allah amekupeni basi ikubalini sadaka yake.”

 

TAKHRIJ

 

Hadithi hii kaipokea Al-imamu Muslim “SAHIHU MUSLIM” hadithi na. 4/1571. Na Ibn Maja “AL-SUNAN” uk. 180, hadithi na. 1065. Na Al-tirmidhi “AL-SUNAN” uk. 806, hadithi na. 3034. Al-darmi “AL-SUNAN” uk. 431, hadithi na. 1512. Al-imamu Ahmad “AL-MUSNAD” j. 1, uk. 128 hadithi na. 174 na uk. 151, hadithi na. 244 na 245. Abu Ya’ala “AL-MUSNAD” uk. 181, hadithi na. 181. Al-bayhaqi “AL-SUNAN AL-SUGHRA” j.1, uk. 240, hadithi na. 497. Na wengineo.

 

SANAD YA HADITHI.

 

Hadithi hii imekuja kwa sanad tafauti. Na kwa upekuzi wa haraka haraka naona sanad bora ni sanad ya Al-tirmidhi na Al-imamu Ahmad bin Hanbal. Nanukuu sanad ya Al-imamu Ahmad. Al-imamu Ahmad kaipokea hadithi hii kutoka kwa:

 

1)      Yahya naye ni Yahya bi Said Al-qattaan, naye ni Imamu mkubwa mwingi wa elimu, mkweli, muaminifu mwenye hifadhi kali. Anasema Al-imamu Ahmad bin Hanbal “Walahi hatukumkuta mtu mfano wake.” Na anasema tena “Alikuwa ndio kipeo cha uthabiti (uimara) kati Basra.” Na kwa ufupi sifa zake ni refu wala hakuna aliyemjeruhi. “TAHDHIB AL-TAHDHIB” j. 11, uk. 190, tarjama na. 359.

 

2)      Ibn Juraij. Jina lake ni Abdul Malik bin Abdul Aziz bin Juraij. Huyu ni Imamu mkubwa, mwingi wa elimu na riwaya lakini pia ni mwingi wa kughushi. Lakini hadithi ya Mudallis (anayeghushi) huwa dhaifu ikiwa atatumia lafdhi ambayo haimaanishi kwamba yeye kaisikia hadithi hio kwa mpokezi aliye juu yake. Kwa mfano akisema: "Úä ÝáÇä Ãæ Ãä ÝáÇäÇ ÞÇá" “An Fulani Au Anna Fulanan Qala” “Kutoka kwa fulani” au akisema: “Kwamba fulani kasema,” au lafdhi yoyote ile ambayo haioneshi kwamba yeye kaisikia hadithi hio kutoka kwa mpokezi aliye kabla yake. Ama katika hadithi hii, Ibn Juraij kasema kwa uwazi “Kanisimulia Abdul-rahman” kama ilivyo riwaya ya Al-imamu Ahmad bin Hanbal na Abu Ya’ala. Na akasema: “Nimemsikia Abdul-rahman” kama ilivyo riwaya ya Al-tirmidhi. Tazama habari Ibn Jurai katika “TAHDHIB AL-TAHDHIB” j. 6, uk. 357, tarjama na. 758.

 

3)      Abdul-rahman bin Abdillah bin Abi Ammar, naye ni muaminifu wala hakuna aliyemjeruhi. “TAHDHIB AL-TAHDHIB” j. 6, uk. 194, tarjama na. 433.

 

4)      Abdullah bin Babaihi na wengine wanamwita Abdullah bin Babi na wengine wanamwita Abdullah bin Babahu, naye ni muaminifu, kama alivyosema Al-nasai. Tazama “TAHDHIB AL-TAHDHIB” j. 5, uk. 133, tarjama ya 261.

 

5)      Ya’ala bin Umayya. Huyu ni Sahaba (r.a.).

 

6)      Umar bin Al-khattab (r.a.).

 

Kwa hivyo hii ni sanad sahihi: haina tatizo lolote.

 

USHAHIDI.

 

Kinachoonesha ulazima wa kupunguza rakaa katika safari katika riwaya hii ni maneno ya Mtume (s.a.w.) aliposema “Ikubalini sadaka Yake.” Na hii ni kwa kuzingatia kwamba neno: “Ikubalini”  ni Amri na Amri íÞÊÖí ÇáæÌæÈ ãÇ áã ÊÕÑÝå ÞÑíäÉInamaanisha wajibu madamu hakuna Qarina (context) ilioigeuza (amri hio kuotoka katika huo wajibu). Al-jassas “AHKAMU AL-QURAN” j. 2, uk. 358, na Al-qannubi “AL-RA-AYU AL-MU’UTABAR” uk. 27. Hii ni kanuni (law) ya kiusuli (fandumentals of Islamic Jurisprudence), na maana yake ni kuwa popote pale ambapo Allah au Mtume (s.a.w.) wanatoa amri basi amri hio ni wahibu kutekelezwa isipokuwa pale ambapo kuna kilichoonesha kwamba amri hio si amri ya lazima.  Ama neno “Sadaka” halioneshi kwamba kupunguza si lazima kwa sababu mas-ala hapa si kuwa sisi ndio tutoe sadaqa, “Laa” bali tunachoamrishwa na Mtume (s.a.w.) ni kuwa sisi tuipokee sadaka ya Allah. Zingatia wewe lau upo mbele ya Mtume (s.a.w.) akaja mtu akakupa sadaka, Mtume (s.a.w.) akakwambia: “Ipokee” je inajuzu kutokuipokea? Aliyetoa sadaka kwa asili hakulazimika kufanya hivyo, lakini mpokeaji kalazimika kupokea kwa sababu ya Amri ya Mtume (s.a.w.). Kwa hivyo hii ni Amri ya Mtume na AMRI: íÞÊÖí ÇáæÌæÈ ãÇ áã ÊÕÑÝå ÞÑíäÉInamaanisha wajibu madamu hakuna Qarina (context) ilioigeuza (amri hio kuotoka katika huo wajibu. Kwa hivyo kupunguza ni wajibu katika safari kwani Mtume (s.a.w.) katuamrisha tukupokee. Anasema Allah “Na atachokupeni Mtume kichukuweni, na atachokukatazeni basi katazikeni nacho.”  Sura 59, Aya 7.

 

MUKHTASARI NA HATIMA.

 

Hizi ni baadhi ya riwaya tu ambazo zinaonesha kwamba kupunguza rakaa za sala si ruhusa bali ni wajibu. Ziko riwaya nyengine zaidi ambazo pia watetezi wa rai hii wanajenga hoja kwazo kama riwaya ya Ibn Umar “Tumeamrishwa kusali rakaa mbili katika safari,” na riwaya nyengine, lakini hizi chache tulizozitoa zinatosha, bali moja inatosha cha muhimu iwe sahihi. Katika makala yetu ya pili – Inshaa Allah – tutazungumzia hoja za kundi la pili kundi la wanaoona kwamba kupunguza rakaa ni ruhusa tu: si lazima. Halafu tutazungumzia masafa ambayo mtu akiyakata anatakiwa asali safari, na tutaishia kwa kuzungumzia muda ambao mtu anazingatiwa kuwa ni msafiri. Yote hayo yatafanyika Allah akipenda. Na minhaj (methodology) yetu katika mas-ala haya ni uchambuzi wa hadithi tu, kwani ndio msingi. Ama maneno ya wanavyuoni tutayanukuu tukiyahitaji lakini ikiwa yatapinga hadithi basi tutachukua wasia wa Al-imamu Al-shafi na Malik na wengine kwamba “Maneno hayo tuyapige na ukuta.” 

 

Ufupisho wa maudhui ni kuwa:

 

1)      Maudhui yetu ya asili ni kuhusu sala ya safari: je mtu anapokuwa katika safari ni lazima apunguze rakaa au hilo la kupunguza rakaa ni ruhusa tu?

 

2)      Baadhi ya Waislamu wanaona kwamba hio ni ruhusa tu na baadhi wanaona kwamba hio ni lazima.

 

3)      Wanaona kwamba hio ni lazima wanajenga hoja kwa riwaya tafauti ambazo zinasema au zinaonesha kwamba kupunguza rakaa ni wajibu. Miongoni mwa riwaya hizo ni riwaya:

 

a)       Sayyida Aisha inayosema: "ÝÑÖÊ ÇáÕáÇÉ ÑßÚÊíä ÑßÚÊíä ÝÒíÏ Ýí ÕáÇÉ ÇáÍÖÑ æ ÃÞÑÊ ÕáÇÉ ÇáÓÝÑ"Ilifaradhishwa Sala (mwanzo) rakaa mbili mbili, kisha ikaongezwa sala ya Hadhar (isiokuwa ya safari) na sala ya safari ikaachwa hivyo hivyo (rakaa mbili mbili,” pamoja na matendo ya Mtume (s.a.w.) kwamba yeye hakuwahi hata siku moja kusali kamili katika safari, na hili halina khilafu katika Umma. Hii tumeinukuu nakuitolea maelezo kwa urefu na kuifanyia mukhtasari.

 

b)     Riwaya ya Ibn Abbas. Maana ya riwaya hii ni sawa na riwaya ya Aisha.

 

c)      Riwaya ya Ya’ala bin Umaya kutoka kwa Sayyidna Umar, ambapo Mtume (s.a.w.) katuamrisha tuipokee sadaka ya Allah. Na amri ya Allah na Mtume wake “Zinamaanisha wajibu.”

 

d)     Riwaya ya Umar (r.a.) ambayo anasema ndani yake kwamba katika safari zimefaradhishwa rakaa mbili. 

 

4)      Katika mukhtasari juu ya hadithi ya Aisha tulisema maneno ambayo hatuna budi kuyakariri katika mukhtasari huu. Nayo ni kuwa:

 

a)      Wanaoona kwamba kupunguza ni ruhusa tu: si lazima, wamejibu kwa hoja ambazo tumezinukuu, na wapinzani wao wamejibu kwa hoja ambazo tumezinukuu pia.

 

b)      Upinzani walioutoa wale wanaona kuwa hio ni ruhusa, si madhubuti kwani kila hoja yao moja ni kinyume na kanuni za kiusuli na kanuni za elimu ya Hadithi ambazo ndizo tunazojiongozea katika kuifasiri Qur-an na Suna za Mtume (s.a.w.), na aliyesoma fani hizo anaona hivyo kwa uwazi katika majibizano haya au mjadala huu mfupi.

 

c)      Kwa hivyo tunaishia kwa kusema kwamba Hadithi Aisha na hadithi za Masahaba wengine zimethibitisha ulazima wa kupunguza rakaa katika safari, na hakuna hoja madhubuti ya kuzipinga. Kwa hivyo tunasema kwamba Hadithi ya Aisha:  “Ilifaradhishwa Sala (mwanzo) rakaa mbili mbili, kisha ikaongezwa sala ya Hadhar (isiokuwa ya safari) na sala ya safari ikaachwa hivyo hivyo (rakaa mbili mbili), pamoja na riwaya za Umar, Ya’ala bin Umaya na Ibn Abbas, ukichanganya na hoja ya kwanza kwamba Mtume (s.a.w.) hajawahi kukamilisha rakaa katika sala ya safari tunapata kwamba kupunguza rakaa ni wajibu kwa mujibu wa suna ya kauli na suna ya vitendo.

 

 

Inshaa Allah, itafata sehemu ya pili “Hoja za waliosema kwamba kupunguza ni rusa tu: si lazima.” 

 

Ahsante:

Ibn Moh’d Al-mazrui.

 


Do you Yahoo!?
Yahoo! Movies - Buy advance tickets for 'Shrek 2'

#206 From: salum harmaly <salumsh@...>
Date: Mon May 17, 2004 6:47 pm
Subject: Hukumu ya sala ya safari (2)
salumsh
Send Email Send Email
 
SEHEMU YA PILI.

HOJA ZA WALIOSEMA KWAMBA KUPUNGUZA
RAKAA NI RUHUSA NA JAWABU
ZA APINZANI WAO.

Author’s note.
Baada ya kutuma makala yangu ya mwanzo juu ya mas-ala ya sala ya safari, nilipata barua ya mmoja wa wasomaji akinitaka nizifanye makala zangu kuwa fupi fupi. Nimemkubalia ushauri wake huo mzuri na kwa hivyo sehemu hii ya pili – ambayo ni mahususi kwa hoja za watetezi wa rai ya ruhusa ya kupunguza – sitoituma kwa pamoja, bali nitaituma kwa mfululizo maalum.


USHAHIDI WA KWANZA.

Katika makala yetu ya mwanzo tulijadili hoja za wale wanasema kwamba kupunguza rakaa katika safari – yaani katika Sala zenye rakaa nne – ni wajibu. Tulinukuu ushahidi wao na majibu ya wapinzani wao na tukanukuu jawabu zao kwa upinzani huo uliotolewa na wapinzani wao. Katika sehemu hii tutazijadili hoja za wanaosema kwamba kupunguza rakaa safarini ni ruhusa tu: si lazima, je wana hoja gani na nini jawabu ya wale wanaosema kwamba kupunguza rakaa ni lazima kwa hoja hizo.

Wanaoona kwamba kupunguza rakaa ni ruhusa tu: si lazima, wanajenga hoja kwa Aya:
“ÝáíÓ Úáíßã ÌäÇÍ Ãä ÊÞÕÑæÇ ãä ÇáÕáÇÉ Åä ÎÝÊã Ãä íÝÊäßã ÇáÐíä ßÝÑæÇ

“Basi hakuna ubaya juu yenu kupunguza Sala ikiwa munahofia
kwamba wale waliokufuru watakutaabisheni.”
Sura 4, Aya 101.

USHAHIDI.

Watetezi wa rai ya kwamba kupunguza ni ruhusa wanajenga hoja kwa sehemu ya Aya inayosema:  “ÝáíÓ Úáíßã ÌäÇÍ Ãä ÊÞÕÑæÇ ãä ÇáÕáÇÉ” “Basi hakuna ubaya juu yenu kupunguza Sala.” Wakasema kwamba maneno “Hakuna ubaya” yanaonesha kwamba kufanya hivyo ni rusa tu: si lazima – ukitaka kupunguza punguza; ukitaka kukamilisha kamilisha: yote hayana ubaya.

JAWABU juu ya tafsiri hii tayari tumeshaitoa katika sehemu ya kwanza ambapo tumebainisha kwamba katika Aya hii hamuna ushahidi huo, kwani:

1) Aya hii haijasema hivyo kwa uwazi, bali Aya inawezekana kuwa na maana hio na inawezekana kuwa na maana nyengine. Na kanuni ni kuwa "ÇáÏáíá ÅÐÇ ØÑÞå ÇáÅÍÊãÇá ÓÞØ Èå ÇáÅÓÊÏáÇá"   “Dalili ikiwa na maana nyingi basi ushahidi wake huanguka.” Na tumeona katika sehemu iliotangulia kwamba hadithi ya Aisha iko wazi zaidi kuliko Aya hii. Rejea makala ya kwanza uone maelezo zaidi.

2) Ushahidi wa Aya wenye kuonesha kwamba kupunguza rakaa ni ruhusa tu, ni ushahidi uliojengeka katika msingi wa Dhahir, wakati ushahidi wa hadithi ya Aisha ni ushahidi wa Nassu na Nassu ikigongana na Dhahir, basi Dhahir inaachwa na Nassu ndio inayotangulizwa. Kwa hivyo hadithi hapa ndio inayotangulizwa. Tumeeleza katika sehemu ya kwanza nini Nassu na nini Dhahir katika fani ya usuli, na tumetoa mifano, rejea huko ujikumbushe.

3) Tatu ni kuwa kama kuwepo kwa maneno “Hakuna ubaya kupunguza Sala” kunamaanisha kwamba kufanya hivyo ni ruhusa tu, basi na kufanya Sa’ay (kuzunguka Safa na Marwa) pia si lazima, kwani kuhusu kupunguza rakaa Qur-an inasema: “ÝáíÓ Úáíßã ÌäÇÍ Ãä ÊÞÕÑæÇ ãä ÇáÕáÇÉ” “Basi hakuna ubaya juu yenu kupunguza Sala” Na kuhusu kuzunguka Safa na Marwa, inasema:  "ÝáÇ ÌäÇÍ Úáíå Ãä íØæÝ ÈåãÇ" HAKUNA UBAYA JUU YAKE KUZIZUNGUKA MBILI HIZO (SAFAA NA MARWA yaani kufanya Sa’ay). Wakati wenye kusema kwamba kupunguza rakaa ni ruhusa wanasema kwamba kufanya Safa na Mar-wa ni wajibu!!! Vipi iwe wajibu na Aya inasema “Hakuna ubaya juu yake kuzizunguka hizo” na vipi isiwe wajibu kupunguza rakaa wakati Aya inasema: “Hakuna ubaya juu yenu kupunguza rakaa?!!!”

Nadhani jawabu iko wazi juu ya suala hili, nayo ni kuwa kuzunguka Safa na mar-wa – kwa mujibu wa wale wanaosema kuwa ni wajibu kufanya hivyo –  imekuwa wajibu  kwa sababu “Mtume kafanya mzunguko huo na akasema: ‘Fanyeni Sa’ay hakika Allah kakuandikieni Sa’ay.” “KIFAYATU AL-AKHYAR” uk. 338. Kwa hivyo hadithi hii – pamoja na matendo ya Mtume (s.a.w.) – ilipogongana na dhahir ya Aya inayosema:  "ÝáÇ ÌäÇÍ Úáíå Ãä íØæÝ ÈåãÇ" HAKUNA UBAYA JUU YAKE KUZIZUNGUKA MBILI HIZO (SAFAA NA MARWA yaani kufanya Sa’ay), ilibidi itangulizwe hadithi kwani hadithi iko wazi zaidi kuliko Aya: Aya inawezekana kuwa na maana kwamba kufanya hivyo ni wajibu na inawezekana ikawa kufanya hivyo ni ruhusa tu. Lakini lilipokuja andiko la wazi zaidi katika hadithi ambalo linaonesha kwamba kufanya hivyo ni lazima, ikabidi ilibidi litangulizwe.

Sasa minhaj (methodology) hii ilitakiwa pia itendewe kazi katika mas-ala ya safari kwani Aya asema: “ÝáíÓ Úáíßã ÌäÇÍ Ãä ÊÞÕÑæÇ ãä ÇáÕáÇÉ” “Basi hakuna ubaya juu yenu kupunguza Sala,” si andiko la wazi lenye kuonesha kwamba kupunguza rakaa ni ruhusa, wakati hadithi “Imefaradhishwa Sala rakaa mbili katika safari” ni andiko la wazi kwamba fardhi katika safari ni rakaa mbili. Sitaki kurefusha maudhui kwani Aya hii tayari tumeshaitolea maelezo katika sehemu ya kwanza na kubaisha kwamba hakuna ndani yake ushahidi kwamba kupunguza rakaa ni ruhusa, changanya na ukweli kwamba tafsiri hio imeshagongana na ushahidi wa nguvu zaidi.

USHAHIDI WA PILI.

Kumbuka kwamba hapa sisi tunajadili hoja za wenye kusema kwamba kupunguza rakaa ni ruhusa tu: si lazima. Tumeanza na ushahidi wao wa mwanzo nayo ni hio Aya ya Sura ya 4, Aya ya 101. Lakini tumeona kwamba Aya hio haileti maana hio kamwe. Sasa hapa tunaendelea na hoja zao nyengine, nazo ni hoja za Hadithi.

USHAHIDI WA KWANZA KATIKA HADITHI.

Imepokelewa  hadithi yenye kusema:

"ÎíÑ ÃãÊí ÇáÐíä ÅÐÇ ÃÓÇÁæÇ ÇÓÊÛÝÑæÇ æ ÅÐÇÓÇÝÑæÇ ÞÕÑæÇ æ ÃÝØÑæÇ"

“Walio bora zaidi (katika) Umma wangu ni wale ambao wakifanya maovu wanastaghfiru na wakisafiri wanapunguza (rakaa za Sala) na wanakula (Hawafungi). Hadithi hii imekuja kwa lafdhi nyingi tafauti.


TAKHRIJ.

Hadithi hii kaisimulia “AL-BAYHAQIY” katika “MA’ARIFATU AL-SUNAN” j. 2, uk 425, hadithi na. 1594. Na Al-imamu Al-shafi katika “AL-MUSNAD” uk. 25, “Babu: Wa Min Kitabi Istiqbalu Al-qiblati Fii Al-Salah.” Hadithi zake hazina namba. Na akaipokea Al-imamu Al-shafi vile vile katika “AL-UMMU” “Kitabu Salat Al-safar” uk. 129, hadithi na. 339, chapa mpya. Na akaipokea Abdul-razzaq katika “AL-MUSANNAF” j. 2, uk. 383, hadithi na. 4492. na 4493.


USHAHIDI NA MJADALA JUU YA MATN YA HADITHI.

Ushahidi unaopatikana katika hadithi hii wenye kuonesha kwamba kupunguza ni ruhusa tu: si lazima, ni maneno: “Walio bora zaidi.” Na hii ni kuwa unaposema: “Huyu ni mzuri zaidi kuliko huyu” umemaanisha kwamba wote ni wazuri lakini mmoja kamzidi mwenzake. Na kwa hivyo bas, iliposemwa: “Walio bora zaidi” ni wazi kwamba wote ni bora lakini mmoja ni bora zaidi. Na hii maana yake ni kuwa anayepunguza Sala katika safari na asiyepunguza wote ni bora lakini aliyepunguza kafanya bora zaidi, kwa lugha nyengine kupunguza na kutokupunguza ni sawa lakini kupunguza ni bora, na kwahivyo jawabu ni kuwa kupunga rakaa si lazima bali ni ruhusa. Hivi ndivyo watetezi wa raii ya ruhusa ya kupunguza wanavyoona.

Lakini wapinzani wao wakajibu kwamba mas-ala ya “AL-TAFDHIL” (Comparative degree) katika lugha ya Kiarabu huwa wakati mwengine inatumika kumaanisha hali ya usawa tu (Positive degree), bila  ya kuwepo ulinganishaji (Comparison) baina ya vitu viwili. Mfano wa haya ni Aya inayosema kuhusu Allah: “åæ Ãåæä Úáíå”  “Huwa Ahwanu Alaih” “Hilo ni jepesi zaidi kwake.” Utaona kwamba sigha (form) iliotumika hapa ni ya “Tafdhil” (Comrative degree), wakati huwezi kusema kwamba “Kitu filani ni chepesi zaidi kwa Allah kuliko kitu fulani.” Vitu vyote ni sawa kwake kwa wepesi. Kilichopo ni kuwa kitu fulani ni musatahili kwa Allah na kitu fula ni wajibu kwake na kitu fulani kinajuzu kwake. Na mifano mwengine ni Aya hizi:

1) “Na mtumwa Mwenye kuamini ni bora kuliko Mshirikina (Kafiri).” Ilhali ubora hapa uko upande mmoja tu – kwa mtumwa aliyeamini: katika mshiririkina hakuna ubora, lakini limetumika neno “Bora zaidi” wakati ubora uko sehemu moja tu: ya pili ni ubaya mtupu.

2) “Watu wa Peponi siku hio ni wenye makazi bora zaidi.” Ilhali watu wa motoni hawana kabisa. Si kwamba hawa wana makazi bora na hawa wana makazi bora halafu watu wa Peponi wakazidi kwa ubora. “Laa” Hasha! Wenye makazi bora ni watu wa Peponi tu.

Na mifano kama hio iko mingi katika Aya za Qur-an na lugha ya Kiarabu. Hivi ndivyo walivyojibu wale wanasema kwamba kupunguza rakaa katika safari ni lazima.

Lakini utaona kwamba jawabu hio iliotolewa na watetezi wa rai ya ulazima wa kupunguza inahitaji maelezo zaidi. Hii ni kwa sababu “Al-tafdhil” (Comparative degree) maana yake ya asili ni kuonesha kwamba vitu viwili vimeshirikiana katika sifa kisha kimoja kimezidi, kama walivyosema watetezi wa rai ya ruhusa ya kupunguza rakaa. Na kukitoa kitu chochote katika matumizi yake ya asili na kukipeleka katika matumizi mengine ni katika mlango wa majazi (metaphorical meaning). Na mlango wa majazi huwa haupitwi ila ikiwa:

a) Haiwezekani kuiacha lafdhi au sentesi katika maana yake hio ya asili.

b) Au kuwe na Qarina (context) ilionesha kwamba maana ya asili sio makusudio katika lafdhi hio au maneno hayo. Qarina inaweza kuwa katika andiko hilo hilo na inaweza ikawa “Qarina Kharijiya” (Outside context) Qarina ya nje – ilio mbali na maneno hayo.

Kisha na sisi tunaweza kuwajibia watetezi wa rai ya ulazima wa kupunguza rakaa kwa kusema kwamba makusudio  ya “Al-tafdhil” (Comparative degree) katika hadithi hio si kuonesha kwamba yote mawili – kupunguza rakaa na kutokupunguza – ni bora na kupungunguza ni bora zaidi, kwa sababu zile zile ambazo tumezieleza katika makala ya mwanzo kwamba hii si Nassu (Si andiko la wazi) kwamba kupunguza ni ruhusa, bali ni ushahidi uliojengeka katika misingi ya “Dhahir” na “Dhahir” ikigongana na “Nasu” basi “Dhahir” huachwa na ikazingatiwa “Nasu,” kama tulivyotangulia kueleza. Umeona katika makala ya mwanzo kwamba hadithi tulizozinukuu ni “Nasu” (zinasema kwa uwazi) kwamba kupunguza rakaa safarini ni fardhi, wakati hadithi hii haisemi kwa uwazi kwamba kupunguza ni ruhusa, inawezekana ikawa maana iliokusudiwa ni hio na inawezekana ikawa maana iliokusudiwa ni hio waliosema watetezio wa rai ya ulazima wa kupunguza rakaa kwamba hadithi hii sigha (form) yake iko katika “Comparative degree” na maana yake iko katika “Positive degree.” Yaani iliposemwa kwamba “Walio bora zaidi” haijamaanisha kwamba na wanaosali kamili pia ni bora, bali “Wanao punguza tu ndio bora” sawa na Aya: “Watu wa Peponi siku hio ni wenye makazi bora zaidi,” ilhali watu wa motoni makazi yao si bora aslan.

Hatimae kumbuka kwamba mjadala wote huu ni pale itaposalimika sanad ya riwaya hii, vyenginevyo sanad ya riwaya hii inasikitisha sana.

SANAD YA HADITHI.

Al-imamu Al-shafi kaipokea Hadithi hii – katika sanad zake zote – kutoka kwa  Ibrahim bin Muhammad. Naye ni kadhaab (jiongo kubwa). Soma yaliomo katika “TAHDHIB AL-TAHDHIB” cha Ibn Hajar (Al-shafi). Anasema Bishr bin Al-mufadhal: "Nimewauliza wanavyuoni wa Madina kuhusu (IBRAHIM BIN MUHAMMAD), wote wakasema: “MWONGO." Na akasema Ali bin Al-madini kutoka kwa Yahya bin Said akisema: "MWONGO." Na akasema Al-muuti kutoka kwa Yahya bin Said akisema: "Tulikuwa tukimtuhumu kuwa ni MWONGO." Na akasema Al-bukhari: "Ibn Mubarak na watu wengine wamemuacha (hawapokei hadithi zake)." Na akasema Ibn Abi Maryam kutoka kwa wanavyuoni wengine: "MWONGO." Na akasema Yahya bin Said: "Nilimuuliza (Al-imamu) Malik kuhusu (IBRAHIM BIN MUHAMMAD) je alikuwa muaminifu? Akasema: "Sio" wala si muaminifu hata katika dini yake." Na akasema Abu Taalib kutoka kwa Al-imamu Ahmad: "Watu wameziwacha hadithi zake naye anasimulia hadithi MUNKAR hazina msingi wowote." Na akasema Al-bazar: "Alikuwa akitunga hadithi na akitunga mas'ala na akitunga sanad!!!" Na akasema Ibn Hiban: “Alikuwa akisema UWONGO katika hadithi." Na bado kuna wengi nimewaacha ambao wamemkataa mpokezi huyu, sina haja ya kuwataja wote cha muhimu ni kubainisha hali yake nayo imesha bainika. Tazama “TAHDHIB AL-TAHDHIB” juzuu ya 1 ukurasa wa 137.

Hio ni sanad ya Al-imamu Al-shafi katika vitabu vyake na katika kitabu cha Al-bayhaqi “AL-MA’ARIFA.” Ama Abdul-razzaq kaisimulia hadithi hii kutoka kwa:

1) Sufayan bin Uyaina. Naye ni Imamu mkubwa mwingi wa elimu, lakini anaghushi, na sanad yake ni:

"ÚÈÏ ÇáÑÒÇÞ Úä ÇÈä ÚííäÉ Úä ÚÈÏ ÇáÑÍãä Èä ÍÑãáÉ Úä ÓÚíÏ Èä ÇáãÓíÈ ÞÇá.."

“Abdul-razzaq kutoka kwa (Sufyan) bin Uyaina kutoka kwa Abdil-rahman bin Harmala kutoka kwa Said bin Musayyib kasema…”

kwa hivyo Sufyan anatumia lafdhi ya “An” nayo – kama tulivyotangulia kusema – ni hadithi inayojulikana kitaalam kuwa ni “Muan’an” na “Muan’an” ya mwenye kughushi ni dhaifu. Na Sufyan, hata kama hakuwa mwenye kughushi, bado ana kasoro nyengine nayo ni kwamba hatimae alibadilika (alichanganyikiwa). Tazama habari za Sufyan katika “TAQRIB AL-TAHDHIB” uk. 245, tarjama na. 2451. Na Said bin Musayyib kaipokea hadithi hii kutoka kwa Abi Mohd. Kwa ghafla hii sikuweza kumjua Abi Moh’d ni nani. Inawezekana ikiwa ni Tabii “Mfuasi wa sahaba.” Kama ni hivyo basi hadithi yake hapa ni mursal.

Pia yumo katika sanad hio ya Abdil-razzaq:

2) Abdul-rahman bin Harmala. Anasema Ibn Khallad: “Nilimuuliza Al-qattan kuhusu yeye, akamdhaifisha.” Na anasema Abu Hatim: “Anaandika hadithi zake wala hafanywi kuwa ni hoja.” Na akamtaja Ibn Hibban katika “AL-THIQAT” na akasema: “Anakosea (katika hadithi).” Na akasema Al-saji: “Ni mkweli anakosea.” Tazama “TAHDHIB AL-TAHDHIB” j. 6, uk. 146, hadithi na. 330. Kwa hivyo hadithi hii si sahihi.

Ahsate:
Ibn Moh’d Al-mazrui.


Do you Yahoo!?
SBC Yahoo! - Internet access at a great low price.

#207 From: malik lutunga <maliklutunga@...>
Date: Tue May 18, 2004 7:23 pm
Subject: dua za ugonjwa
maliklutunga
Send Email Send Email
 
Bismillahi rahmani rahim,
Asalam alaykum warahmatu llahi wabarakatuhu, ama baada ya salamu ningependa kuwashkuru nyiye wote kwa mtandao huu wa Uisilamu.  Kasa sisi wenye tunaishi huku nchi za inje tunahitaji website kama hii ya kutukumbusha uisilamu wetu.
 
Mimi ni Myarwanda ninaishi huku Amerika, nilikuwa na swali moja je kuna dua flani zenye mtu ananweza kumuombea mtoto au jamaa mwenye kuwa na maradhi flani?? tafadhali mniandikie dua hizo na pia kama kuna aya zenye naweza kusoma pia mzunipe.
 
Hapa kila wakati wanaonyesha kwenye tivi, eti ukikubali yesu kama mungu atakuponya maradhi yote,  na wana kuwa na viwete wenye wanaotembea eti wame pona. Je uisilamu uko na uaminifu kama huo?
 
Nangoja majibu yenu kwa hamu.
 
Wasalam Alaykum warahmatu Llahhi


Do you Yahoo!?
SBC Yahoo! - Internet access at a great low price.

#208 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Wed May 19, 2004 2:51 pm
Subject: DUA
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 

asalaam alaykum

  Dua 01

Dua hii ilisomwa na Luti ili aweze kuwashinda mafisadi,kama tunaishi katika jamii iliyojaa ufusadi na mashafu basi hatuna budi kuisoma dua hii ili kujilinda na vitimbi vyao.

ANKABUT,30

Qala rabbi onsurnee AAala alqawmi almufsideena

Akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Ninusuru na watu mafisadi hawa! *

 

Dua 02

   Dua hii ilisomwa na zakariyya ili abarikiwe na Allah kupata mtoto.Soma dua hii mara 125 kila baada ya salat i'sha kama unataka kupata mtoto (Ishalaah)

Wazakariyya ith nada rabbahu rabbi la tatharnee fardan waanta khayru alwaritheena

Na Zakariya alipo mwita Mola wake Mlezi: Mola wangu Mlezi! Usiniache peke yangu, na Wewe ndiye Mbora wa wanao rithi. *  sura 21,89 Ambiyaa

 

Dua 03

Soma dua hii ili kutibu maradhi na kuondoa umasikini Sura 21,83.

 Waayyooba ith nada rabbahu annee massaniya alddurru waanta arhamu alrrahimeena

Na Ayyubu, alipo mwita Mola wake Mlezi, akasema: Mimi yamenipata madhara. Na Wewe ndiye unaye rehemu kuliko wote wanao rehemu. *

kwa maelezo zaidi unaweza kusoma tafsiri ya Quran hapa au kwa kiarabu (kwa kutumia maandishi ya kirumi mfano; Waayyooba ith nada rabbahu annee massaniya alddurru waanta arhamu alrrahimeena

Tafadhali watumie kila mwislamu na pia unaweza kujiunga hapa

Subscribe to jifunzeuislamu
Powered by groups.yahoo.com



Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

#209 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Sat May 15, 2004 9:56 am
Subject: Mchango wa Uislamu katika maendeleo ya mwanadamu"part 02"
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 

Somo la Hisabati (Mathematics)

Pamoja na unajimu, Hisabati ni sayansi iliyopendwa sana na Waarabu. Kanuni nyingi za hesabu, jiometri na aljebra ziligunduliwa na wasomi wa Kiislam.

Katika hesabu, mpaka leo bado tunatumia tarakimu na njia za kufanyia hesabu zilizogunduliwa na Waarabu. Uvumbuzi wa aljebra unahusishwa moja kwa moja na Waarabu. Wakati wa uzinduzi wa Taasisi ya Maarifa, Khalif AL- Mamun alimteua Mohammad Bin Mussa Bin Khwarizimi kuwa Mkuu wa Kituo hicho. Tasnifu yake katika aljebra inaitwa: "AL–Gebr WaL-Muqabala (yaani Hesabu kwa njia ya Alama)". Ni kutokana na sehemu ya kwanza ya kazi yake hii tulipopata jina la hesabu za "algebra" na kutokana na jina lake pia tumepata "algorithm". Kazi hii, kama ilivyotafsiriwa na Mzungu aitwaye Gerad mwenyeji wa Cremona, alisema: "baada ya kuwa msingi wa jumba la hesabu lililojengwa na Waarabu waliomfuatia baadaye, alikuwa na wazo la kuanza kuwafundisha watu wa Magharibi juu ya ubora wa kutumia aljebra katika kufanya hesabu za ukokotozi (algebraic calculus) pamoja na decimali."

"Mojawapo ya mawazo bora ya kisayansi toka kwa wasomi wa Kiislam, AL- Khwarismi bila shaka ni mtu aliyetoa mchango bora katika maendeleo ya somo la Hisabati wakati wa zama za karne za Kati na hata sasa", kama anavyodhani Philip Hitti.

Kazi yake iliendelezwa na Thabit bin Gharrah, aliyefasiri Almagest, kazi ya Ptolemy, aliyegundua matumizi ya algebra katika hesabu za changanuzi (jiometri au geometry).

Trigonometria (elimu ya hesabu za pembe tatu) ni mojawapo ya elimu ya hesabu ambayo Waarabu waliiendeleza kwa bidii kutokana na matumizi yake katika uchunguzi wa anga.

Hatua za awali katika elimu hii zinaanzia kwa AL-Baitani, aliyekuwa na kipaji cha kugundua hesabu za vipande vya mduara (arc), ambazo Wagiriki walizitumia katika kufanyia mahesabu yao. "AL- Baitani alikuwa wa mwanzo kutumia katika kazi zake za mahesabu, maneno ya ‘sine’ na ‘cosine’. Pia alikuwa mwanzilishi wa hesabu za ‘tangent’ wakati huo ikiitwa: kivuli endelevu (au extended shadow)."

Uanzishaji wa matumizi ya "tangent" (au msitari unaogusa duara bila ya kuukatiza) umeonyesha kuwa na manufaa makubwa. Wanahisabati wa zama zilizofuata hawakufurahishwa na uvumbuzi huo hadi baada ya kupita miaka mia tano ambapo pia ulihusishwa na Regimontanbus, lakini hata karne moja baadaye, Corpenius hakuwa na taarifa nao.

Uvumbuzi wa namba "ZERO" wa Muhammad bin Ahmad mwaka 976 ulileta mageuzi makubwa katika taaluma ya hisabati, ingawa haikutumiwa katika nchi za Magharibi hadi mwanzoni mwa karne ya kumi na tatu (13).

Mwisho tunaweza kusema kuwa Nasr Ed-Din Tusi alikuwa mtu wa kwanza kutilia mashaka kutoshambulika kwa jiometria ya Euclide. Anapaswa kuchukuliwa kama mtu aliyekuwa amewatangulia tena kwa mbali kitaaluma akina Lobatchevsky na Rieman katika jiometri isiyokuwa ya Ki- Euclide.
 
 

Somo la Fizikia (Physics)

"Ni Waarabu ambao wanapaswa kuchukuliwa waasisi wa elimu ya Fizikia", kama asemavyo A.Humboldt. Ni bahati mbaya kwamba makala maalum kuhusu fizikia, nyingi zilipotezwa. Nyingi zinajulikana tu kwa majina, ila chache tu ya kazi zao zimeweza kupatikana na hili limethibitisha maoni ya Humboldt.

Tasnifu juu ya taaluma ya uoni (optics) au nuru ya Ali Haitan (Alhasen) aliyeishi mnamo 965 – 1039, lilikuwa ni jambo muhimu katika sayansi. M. Charles anasema kuwa: "lilikuwa ndilo chimbuko la sayansi ya leo kuhusu taaluma ya (uoni) nuru."

Kazi hii inaeleza namna ya ujengekaji wa taswira katika kioo, maji na hata viwango vya ukubwa wa taswira hizo, pamoja na matumizi ya vyumba vya giza (dark rooms) katika taaluma ya utengenezaji wa picha. Utafiti wa Hassan Ali Haitani kuhusu Lenzi za miwani na za kukuzia maumbo (microscope), ulihamasisha kufanyika kwa majaribio mengi juu ya sayansi ya uoni yaliyofanywa na Roger Bacon, Kepler na wengine wa nchi za Ulaya. Akikosoa nadharia ya Euclid na Ptolemy, Alhasen alikuwa wa kwanza kutoa maelezo sahihi juu ya sura halisi ya umbile la jicho, uono wa Lenzi na darubini.

Elimu ya Waislam juu ya Umekanika ilikuwa imeendelea hasa kwa wakati huo. Tunaweza kupata dokezo kutokana na vifaa au zana walizokuwa wamezitengeneza na kuzitumia katika tafiti zao mbalimbali na ambazo pia zimetumiwa na watafiti wa nchi za Magharibi. E. Bernard kutoka Oxford ameeleza maoni yake kwamba ni Waarabu waliogundua matumizi ya (pendulum) timazi au mizania katika kutengeneza saa ya kuhesabia majira. Kwa vyovyote vile, hakuna shaka walikuwa na chombo cha saa chenye kutumia mizania tofauti na (clepsydra). Benjamin aliyekuwa mwenyeji wa Tudela ambaye katika karne ya 12 alitembelea jamii za Kiyahudi hapo Levant alielezea saa maarufu iliyokuwa ndani ya Msikiti Mkuu mjini Damascus.

Hakuna ubishi pia kuwa kompasi ilivumbuliwa na Wachina. Lakini ilirekebishwa na kusahihishwa na wasomi wa Kiislam kwa kuiwekea mshale ulioendeshwa kwa kutumia nguvu ya sumaku na kuiwezesha kutumika katika safari ndefu hasa za baharini na jangwani.
 
 

Somo la Kemia (Chemistry)

Halitakuwa jambo la ajabu mtu kusikia kwamba Kemia (elimu ya uchangayaji wa kemikali) ni sayansi ambayo haikujulikana kabla ya matokeo ya utafiti wa Waarabu. Bila shaka, Wagiriki walifahamu mambo kiasi katika elimu ya madawa, bali hawakujua kuwapo kwa kitu chochote kiitwacho pombe, au asidi ya salfuriki, naitriki n.k. Ni Waarabu waliogundua yote haya yakiwemo matayarisho ya zebaki, silva natreti, potasium na sal ammoniaki. Kama tukiongeza pia kwamba mojawapo ya taratibu (processes) za kemia, kama utoneshaji (distillation), ni ugunduzi wa Waarabu, na kwamba walikuwa watu wa mwanzo kutumia kanuni za usafishaji (sublimation), ugandishaji (crystallization), uunganishaji (coagulation) na chujaji (cupellation) wa kemikali mbalimbali. Hivyo, msomaji analazimika kuamini kwamba mchango wa Waarabu ulikuwa ni wa msaada sana katika maendeleo ya elimu ya sayansi.

Orodha kubwa ya msamiati utumikao katika somo la kemia kama alcohol, alembic, alkali, elixir, n.k, asili yake ni katika lugha ya Kiarabu.

Bila ya shaka yoyote, Mkemia maarufu sana wa Kiarabu alikuwa ni Abu Mussa Djafar AL- Kuhi (Djeber) aliyeishi katika sehemu ya pili ya karne ya Nane (8). Kazi zake zimefanywa kuwa ni sehemu ya ensaikolopidia ya Kisayansi na zimetoa muhtasari na mwelekeo wa somo la Kemia kwa zama hizi. Nyingi katika kazi zake kuhusu somo la Kemia zimefasiriwa katika Lugha ya Kilatin. Maarufu kati ya hizo ni kitabu chake chenye maana ya "Jumuisho la Usahihi," kilichofasiriwa katika Lugha ya Kifaransa mnamo mwaka 1672.

Abu Bakr Zakaria AL- Razi (Razes), katika kitabu chake kiitwacho AL- Hawi, anaonyesha kuwa mtaalamu wa kwanza kuelezea namna ya utengenezaji wa salfuriki asidi na pombe kali (alcohol) kutokana na taratibu ya utoneshaji wa nafaka zenye wanga au sukari, baada ya kuchachishwa kwa kuvundikwa.

Katika sayansi hii, Waarabu waligundua kanuni nyingi kutokana na kuhusisha Nadharia katika ufanyaji wa Majaribio.

Majaribio ya kemia katika taaluma ya madawa (pharmacy) ni mojawapo ya mchango mkubwa na wenye manufaa kwa binadamu uliotolewa na wasomi wa Kiislam. Idadi kubwa ya bidhaa zenye matumizi ya kila siku kama kafuri (camphor), maji halisi yaliyotoneshwa (distilled water) kama yatumikayo kwenye betri. Bidhaa zingine ni pamoja na plasta, shira (syrup) na dawa nyingi za kujipaka (ointments) ni matokeo ya uvumbuzi wa Waarabu. Maendeleo yao katika kugundua kemikali zenye matumizi ya viwandani yanaonyeshwa na ufundi wao mkubwa katika kutia rangi nguo, utengenezaji na usindikaji wa ngozi na uchovyaji wa vyuma.

Katika uvumbuzi uliokuwa na maana sana kwa maendeleo ya viwanda, ni pamoja na utengenezaji wa baruti, karatasi kutokana na pamba na marapurapu ya nguo. Ugunduzi wa baruti kwa bahati mbaya ulikuwa umehusishwa na akina Roger Bacon, Alberus Magnus na Berthold Shwarz. Na wakati mwingine ulihusihwa na Wachina. Huu sio ukweli kwani utafiti uliofanywa na Reinud na Fave umeonyesha dhahiri kwamba "kutokana na ugunduzi wa shura (saltpetre) wa Wachina, na matumizi yake katika milipuko, ni Waarabu pekee waliovumbua baruti kama kitu chenye kusababisha mlipuko. Na hii inaonyesha kuwa ndio waliokuwa wa kwanza kutengeneza silaha za moto, walizozitumia mnamo mwaka 1342 kuihami Algeziras iliposhambuliwa na Mfalme Alfonso wa XI."

Haitakuwa vibaya kukazia tena ugunduzi wa karatasi, ugunduzi ambao ulifunua ukurasa mpya katika ustaarabu wa mwanadamu. Kuenea kwa vitabu na zoezi la kuanza kujifunza kusoma na kuandika, yote yamewezekana baada ya Waarabu kuanza kutumia karatasi kama tuzijuavyo leo hii, badala ya matumizi ya kizamani ya vipande vya ngozi na vipande vya nguo hasa za hariri kama walivyokuwa wakivitumia Wachina.



Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 



Post your free ad now! Yahoo! Canada Personals

Messages 175 - 209 of 2676   Oldest  |  < Older  |  Newer >  |  Newest
Add to My Yahoo!      XML What's This?

Copyright © 2010 Yahoo! Inc. All rights reserved.
Privacy Policy - Terms of Service - Guidelines NEW - Help