Skip to search.

Breaking News Visit Yahoo! News for the latest.

×Close this window

jifunzeuislamu · JIFUNZE UISLAMU

The Yahoo! Groups Product Blog

Check it out!

Group Information

  • Members: 1972
  • Category: Tanzania
  • Founded: Mar 8, 2003
  • Language: English
? Already a member? Sign in to Yahoo!

Yahoo! Groups Tips

Did you know...
Hear how Yahoo! Groups has changed the lives of others. Take me there.

Messages

Advanced
Messages Help
Messages 2627 - 2656 of 2677   Oldest  |  < Older  |  Newer >  |  Newest
Messages: Show Message Summaries Sort by Date ^  
#2627 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Mon May 2, 2011 12:10 pm
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 29 Jamadul-Uula 1432
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 



Last Update :  2 May 2011 (Jumatatu)
   29 Jamadil-Uula (Mfungo nane) 1432 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5








Dondoo za wiki

Ulezi wa mtoto unaendelea mpaka lini ? 
Kipindi cha ulezi kisheria kinaendelea mpaka ukamilike kwa mtoto "upambanuzi/utambuzi". Na muradi/makusudio ya huo upambanuzi/utambuzi ni mtoto kufikia umri wa kuweza kujitegemea kwa mambo yake khususi bila ya kuhitajia msaada wa mtu mwingine.. Endelea ....


Upaji na ukarimu Inaendelea...
Hakika ya sadaka hizi tunazo zitoa kwa utofauti wa aina zake, kuanzia zaka, hiba, masurufu (chakula) na nyinginezo, zina nafasi na umuhimu mkubwa sana katika maisha ya mwanaadamu na katika marejeo yake (kwa Mola wake Akhera). Na juu ya msingi wake ndio hudhoofika au huimarika mafungamano ya muislamu na dini yake. Na mtu hatonyimwa kheri kama anavyo nyimwa na ubakhili wake katika kutekeleza haki na dhana yake mbaya kwa Allah. Na mtu hatopelekwa mbele katika thawabu kama anavyo pelekwa na ukarimu wake na kuamini kwake katika fadhila za Allah. Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Matendo ya wema hukinga dhidi ya maanguko maovu na sadaka ya siri huzima ghadhabu za Mola na uunga udugu huongeza umri". Twabaraaniy-Allah amrehemu. 
Endelea .....


Elimu na kusoma/kufundisha 
 Waarabu walikuwa ni uma ulio katika viza vya ujinga, usio jishughulisha kabisa na suala zima la elimu. Allah Ataadhamiaye alipo mtuma Mtume wake kwa uwongofu na dini ya haki, akaelezea mara nyingi juu ya ubora wa elimu na kusoma/kufundisha. Allah Atukukiaye akasema kwa upande wa ubora wa elimu: "...ALLAH ATAWAINUA WALIO AMINI MIONGONI MWENU, NA WALIO PEWA ILIMU DARAJA ZA JUU..." [58:11].  Endelea ...


Mazungumzo juu ya Qur-ani Tukufu Inaendelea ...
Allah Ataadhamiaye amenukuu katika aya nyingi za kitabu chake kitukufu, mikanganyo ambayo maadui zake wamemzushia. Na kisha Allah-utakati wa mawi ni wake-akairudi mikanganyo hiyo kwa jawabu ambalo linalo ithibitisha haki na kuibatilisha batili. Na katika jumla ya mikanganyo hiyo, ni kule kusema kwao kwamba Qur-ani hii ni maneno ya Muhammad ambayo amefundishwa na mtu asiye muarabu. Allah Ataadhamiaye amesema: "NA SISI HAKIKA TUNAJUA KWAMBA WANASEMA: YUKO MTU ANAYE MFUNDISHA. LUGHA YA HUYO WANAYO MUELEKEZEA NI YA KIGENI, NA HII NI LUGHA YA KIARABU MBAYANA". [16:103]  Endelea ...


 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"JE, HUWAONI WALE WALIO AMBIWA: IZUIENI MIKONO YENU, NA MSHIKE SWALA NA MTOE ZAKA. NA WALIPO AMRISHWA KUPIGANA, MARA KUNDI MOJA KATI YAO LILIWAOGOPA WATU KAMA KUMWOGOPA ALLAH, AU KWA KHOFU KUBWA ZAIDI. NA WAKASEMA: MOLA MLEZI WETU! KWA NINI UMETUAMRISHA KUPIGANA? LAITI UNGETU AKHIRISHA KIASI YA MUDA KIDOGO HIVI! SEMA: STAREHE YA DUNIA NI NDOGO, NA AKHERA NI BORA ZAIDI KWA MWENYE KUMCHA MNGU. WALA HAMTADHULUMIWA HATA UZI WA KOKWA YA TENDE". [04:77]

 


Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Yatosha kabisa kuwa ni dhambi, mtu kuzungumza kila analo lisikia". Muslim-Allah amrehemu.

 


Katazo la Wiki

Nduguyo ametanzwa na jambo, kwa mapenzi na imani yake kwako amekuja kukutaka ushauri.  Sasa kwa nini wewe umpuuze na kumpa ushauri mbovu ambao kama wewe ndio ungeli kuwa mahala pake usingeli ufuata?! Fahamu: "Mtakwa ushauri ni muaminiwa, basi atakapo takwa ushauri na ashauri lile ambalo yeye angeli fanya kwa nafsi yake". Twabaaraniy-Allah amrehemu.

 

Swali la Wiki

SWALI: Nini hukumu ya kununua pesa za kigeni na kisha kuziuza wakati thamani yake itakapo panda?

 JIBU: Kuamiliana kwa kuuza na kununua pesa za kigeni, kunaitwa katika Istilahi ya Fiq-hi "SWARFU" – kubadilisha. Na hiki kinacho itwa "swarfu", ni lazima kupatikane kustakabadhi (kutoa na kupokea) pale pale katika mahala pa biashara. Biashara hiyo ya swarfu ikifanyika kwa namna hii, basi haina ubaya wowote katika sheria. Kwa sura ya kwamba lau mtu atabadili pesa za Kitanzania kwa dola za Kimarekani mathalan, hili halina ubaya hata kama alibadili kwa lengo la kupata faida baadae. Lakini kwa sharti ya kustakabadhi hapo hapo; yeye atoe pesa za Kitanzania na apokee dola za Kimarekani alizo nunua. Kama hakukupatikani kustakabadhi, haitaswihi na hiyo itakuwa "riba nasiia".

Allah ndiye Mjuzi mno.



| Tuandikie |



:

#2628 From: IslamiCity Bulletin <bulletin@...>
Date: Thu May 5, 2011 4:08 pm
Subject: War and Peace in the Quran (Bulletin 5/4/2011)
bulletin@...
Send Email Send Email
 

 In The Name Of God, the Most Gracious the Most Merciful

Thursday, May 4, 2011

                                                                  


Sponsor Ad  


  

 

 
iPhone App: IslamiCity Prayer Companion  

IslamiCity Prayer Companion iPhone app is the prefect companion for your prayers needs.

No need to set your city. Based on location services the app will always:

  1. Locate accurate direction for prayer
  2. Display prayer times in your time zone
  3. Push prayer alerts
  4. Provide lush graphics for inspiration
  5. Flexible settings for prayer time calculations, compass type and advance adjustments to accommodate various methods. 

For a limited time the Prayer Companion is available for FREE.

Click Here to get the App

        IslamiCity is a Non-Profit Site supported by donors and members


         Watch: Watch: Seeds of revolution
   

  

   

 

 
When do we stop creating terrorists?  
In 1985, President Ronald Reagan received a group of beardedmen. These bearded men I was writing about in those days in The New Yorker, actually did. They were very ferocious-looking bearded men with turbans looking like they came from another century. President Reagan received them in the White House. After receiving them he spoke to the press. He pointed towards them, I'm sure some of you will recall that moment, and said, "These are the moral equivalent of America's founding fathers". These were the Afghan Mujahiddin. They were at the time, guns in hand, battling the Evil Empire. They were the moral equivalent of our founding fathers!

In August 1998, another American President ordered missile strikes from the American navy based in the Indian Ocean to kill Osama Bin Laden and his men in the camps in Afghanistan. I do not wish to embarrass you with the reminder that Mr. Bin Laden, whom fifteen American missiles were fired to hit in Afghanistan, was only a few years ago the moral equivalent of George Washington and Thomas Jefferson! He got angry over the fact that he has been demoted from 'Moral Equivalent' of your 'Founding Fathers'. So he is taking out his anger in different ways. I'll come back to that subject more seriously in a moment.

Click HERE to read full article. 

 

 

 
War and Peace in the Quran  
The Islamic relationship between individuals and nations is one of peace. War is a contingency that becomes necessary at certain times and under certain conditions. Muslims learn from the Qur'an that God's objective in creating the human race in different communities was that they should relate to each other peacefully (Quran 49:13).

The objective of forming the family unit is to foster affection mercy, and that of creating a baby in its mother's womb is to form bonds of blood and marriage between people:

It is He who created the human being from fluid, making relationships of blood and marriage. Quran 25:54

Sowing enmity and hatred amongst people is the work of Satan:

Satan wishes to sow enmity and hatred between you with intoxicants and gambling. Quran 5:91

Division into warring factions is viewed as a punishment that God brings on people who revert to polytheism after He has delivered them from distress:

...He able to divide you into discordant factions and make you taste the might of each other... Quran 6:65

War is hateful (2:216), and the changing of fear into a sense of safety is one of the rewards for those who believe and do good deeds (Quran 24:55). That God has given them the sanctuary of Mecca is a blessing for which its people should he thankful (Quran 29:67).Paradise is the Land of Peace - Dar al-Salam - Quran 6:127).

Click HERE to read full article. 

 



Sponsor Ad

 

 
11 x 17 inches. Juma Masjid DARWAZA, Delhi
 
 
Apple 16 GB iPod Nano (Graphite) .
 
 
Unholy War : Terror in the Name of Islam (John L. Esposito)
 
 
SHAHADAH hand engraved 
 

All bazar proceeds help IslamiCity's outreach efforts. IslamiCity.com is a non-profit website

 

 

 

 
Special: Seeds of revolution  
A film following the activists who led Egypt's revolution, as they attempt to capitalize on their unexpected success.

http://www.islamicity.com/global/images/photo/Other/ecast_sub_header2__665x26.GIF
   

 

I found a religion that blended scientific reason with spiritual reality in a unifying faith far removed from the headlines of violence, destruction and terrorism.
 
Yusuf Islam (formerly Cat Stevens)

IslamiCity Forum

 

                             FACTS:
                  
* 1.6 Million non-Muslims visit IslamiCity each year.
               * 900,000 people have read the section "Understanding Islam"
               * Requests for Quran & Islamic brochures received on a daily basis.

This email is sent to jifunzeuislamu@yahoogroups.com by bulletin@...

Remove/Manage Subscription | Archive | FAQ
To Remove your Subscription, Do not Reply to this Email

Copyright © 2011 IslamiCity.com. PO Box 4598, Culver City CA 93230

 


#2629 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Mon May 23, 2011 12:11 pm
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 20 Jamadiul-Thani 1432
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 



Last Update :  23 May 2011 (Jumatatu)
   20 Jamadil-Thani (Mfungo tisa) 1432 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5








Dondoo za wiki

Unyonyeshaji
"Kunyonya", ni jina linalo wakilisha dhana ya kufyonza chuchu na kunywa maziwa yake (hiyo chuchu). Na neno hili "kunyonya" katika Istilahi za Sheria: Ni nomino inayo wakilisha dhana ya kupatikana (kuingia) kwa maziwa ya mwanamke ndani ya matumbo ya mtoto mdogo au ndani ya bongo lake. Endelea ....


Upaji na ukarimu Inaendelea...
islamu kama dini ya maumbile, unamuusia mtu kuifanyia ukarimu nafsi yake yeye mwenyewe, halafu ahali zake (mke/watoto), halafu ndugu zake, kisha ndio watu wengine. Na muradi/maana ya mtu kuikarimu nafsi yake, ni kuitoshelezea haja zake za halali na kuizuia na haramu. Na aihifadhi na majanga ya ufakiri yanayo ipomosha hadhi yake katika jamii na kumshusha chini ya daraja (kiwango) la wajibu la utukufu wa Muislamu. Na yote hayo yafanyike ndani ya wigo wa ukatikati wa matumizi ya rasilimali alizo ruzukiwa, kusiwe na israfu wala ufujaji ndani yake. Na kunamuelea/kunamjuzia Muislamu kujilimbikizia mali itakayo muwezesha kuyafikia malengo hayo yaliyo shariiwa. Kama hakufanikiwa kuipata, basi yeye huyo ndiye fakiri mbele ya macho ya sheria.. 
Endelea .....


Sunna (Hadithi)  
 Tunakusudia kwa neno hili "Sunna", zile hadithi za Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-ambazo Allah Ataadhamiaye amezifanya kuwa ni sehemu ya dini. Allah amesema: "...NA ANACHO KUPENI (kuleteeni) MTUME CHUKUENI, NA ANACHO KUKATAZENI JIEPUSHENI NACHO..." [59:07]
Na akasema: "WALA HATAMKI KWA MATAMANIO". [53:04]
  Endelea ...


Mazungumzo baina ya Muumba Mtukuka na baadhi ya waja wake
Tunalo likusudia kwa anuani hii (Mazungumzo baina ya Muumba Mtukuka na baadhi ya waja wake): Ni yale tuliyo nukuliwa/elezewa na Qur-ani Tukufu ya kwamba Allah Ataadhamiaye, aliwaambia baadhi ya waja wake maneno ambayo hakuna aijuaye namna yake ila Yeye peke yake-utakati wa mawi ni wake. Na watu bora hawa wakayaitika hayo waliyo ambiwa na Muumba wao kwa muitiko unao fahamisha utii wao kwake na adabu yao iliyo tukuka.
 Endelea ...


 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"HEBU HAWAIZINGATII HII QUR-ANI? NA LAU KUWA IMETOKA KWA ASIYE ALLAH BILA YA SHAKA WANGELI KUTA NDANI YAKE KHITILAFU NYINGI". [04:82]

 


Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Kula, unywe, vaa na utoe sadaka bila ya israfu (ubadhirifu) wala maringo". Ahmad-Allah amrehemu.

 


Katazo la Wiki

Kwa nini upapatike na kupaparika unapo patwa na mtihani wa maradhi, msiba, ufakiri na... na...?! Tulia na sadiki kuwa yote yakupatayo yanatoka kwa Bwana wako Mlezi, muombe, subiri na mkabidhi Yeye yote aliyo kukadiria, kwani: "Bora ya silaha ya muumini, ni subira na dua". Dailamiy-Allah amrehemu.

 

Swali la Wiki

SWALI: Mtu anaye miliki/ongoza kazi/shughuli fulani, akiwa na waajiriwa wanao fanya kazi chini yake. Je, kunamuwajibikia kuwaamuru kuswali wafanyakazi wake wasio swali? 

JIBU: Naam, kunamlazimu kila mmiliki/kiongozi wa kazi, kuwaamrisha wanao fanya kazi chini yake, kutekeleza yale aliyo yawajibisha Allah, kama vile kuswali kwa jamaa, kuwa waaminifu kazini na kama hayo. Kama kunavyo muwajibikia kuwaamrisha kuacha yale waliyo harimishiwa na Allah, kama vile udanganyifu na khiana kazini. Na hili linaingia ndani ya wigo wa kauli ya Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie: "Nyote nyinyi ni wachunga na nyote mtaulizwa juu ya uchunga wenu...". Bukhaariy [893] & Muslim [1829]-Allah awarehemu.

Allah ndiye Mjuzi mno.   



| Tuandikie |



:

#2630 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Tue Jun 14, 2011 7:59 am
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 12 Rajab 1432
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 



Last Update :  14 June 2011 (Jumanne)
   12 Rajab 1432 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5








Dondoo za wiki

Sharti za unyonyeshaji harimishi
Kunyonyesha/kunyonya hakuzingatiwi kuwa ni wajibishi la udugu na harimishi la ndoa, ila zitakapo patikana ndani yake sharti mbili:                  1.       Mtoto mnyonyeshwa awe hajafikia umri wa miaka miwili wakati wa kunyonya. Angalia, iwapo atanyonyeshwa baada ya kupindukia umri wa miaka miwili, unyonyaji huo hautakuwa na athari yoyote katika uharimishaji na hautafidisha lolote katika udugu. Na dalili ya hilo, ni kauli yake Allah Ataadhamiaye: "NA WAZAZI WANAWAKE WAWANYONYESHE WATOTO WAO MIAKA MIWILI KAAMILI KWA ANAYE TAKA KUTIMIZA KUNYONYESHA..." [02:233]
Na kauli yake: "...NA KUMWACHISHA ZIWA BAADA YA MIAKA MIWILI..." [31:14]
Endelea ....


Subira
"Subira ni mwangaza". Muslim-Allah amrehemu.
Hali mbaya itakapo shitadi na zikakaza kamba zake na ukafuatana mlolongo wa dhiki na ukarepa usiku wake. Katika hali/mazingira hayo, ni subira pekee ndio itakayo mzagazia Muislamu nuru itakayo muhifadhi/mlinda dhidi ya kujikwaa. Na ni subira pekee ndiyo itakayo mtunukia muongozo utakao mkinga na dhambi ya kukata tamaa.  
Endelea .....


Hekima/Busara
Ama hekima ambayo Allah Ataadhamiaye ameisifia kupitia kauli yake: "...NA ALIYE PEWA HIKIMA BILA YA SHAKA AMEPEWA KHERI NYINGI..." [02:269]
Na ambayo pia imesifiwa na Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-kupitia kauli yake: "Neno la hekima analo jifunza mtu, ni bora kuliko Dunia na vilivyomo humo".
Na ambayo Mtume-Rehema na Amani zimshukie-amehimiza kuitafuta, kupitia kauli yake: "Hekima ni kipotewa cha muumini, akitafute popote atakapo kipata". Tirmidhiy [2687] & Ibn Maajah [4169]-Allah awarehemu.
  Endelea ...


Mazungumzo baina ya Muumba Mtukuka na baadhi ya waja wake ...Inaendelea
Kadhalika katika jumla ya midahalo/mahojiano ambayo ndani yake kumo kudhihirisha haki na kuibomoa batili, ni yale mazungumzo yaliyo nukuliwa na Qur-ani Tukufu kupitia kauli yake Allah Ataadhamiaye: "NA PALE ALLAH ATAKAPO SEMA: EWE ISA BIN MARYAMU! ATI WEWE ULIWAAMBIA WATU: NIFANYENI MIMI NA MAMA YANGU KUWA NI MIUNGU BADALA YA ALLAH? (Na Issa) ATASEMA: SUBHANAKA, WEWE UMETAKASIKA! HAINIFALII MIMI KUSEMA AMBAYO SI HAKI YANGU. IKIWA NILISEMA BASI BILA YA SHAKA UMEKWISHA YAJUA. WEWE UNAYAJUA YALIYO NDANI YA NAFSI YANGU, LAKINI MIMI SIYAJUI YALIYO KATIKA NAFSI YAKO. HAKIKA WEWE NDIYE MJUZI MKUBWA WA YALIYO FICHIKANA. SIKUWAAMBIA LOLOTE ILA ULIYO NIAMRISHA, NAYO NI: MUABUDUNI ALLAH, MOLA WANGU MLEZI NA MOLA WENU MLEZI. NA MIMI NILIKUWA SHAHIDI JUU YAO NILIPO KUWA NAO. NA ULIPO NIFISHA UKAWA WEWE NDIYE MUANGALIZI JUU YAO. NA WEWE NI SHAHIDI JUU YA KILA KITU. UKIWAADHIBU BASI HAO NI WAJA WAKO. NA UKIWASAMEHE BASI WEWE NDIYE MWENYE NGUVU NA MWENYE HIKIMA. ALLAH ATASEMA: HII NDIYO SIKU AMBAYO WASEMAO KWELI UTAWAFAA UKWELI WAO. WAO WATAPATA BUSTANI ZIPITAZO MITO KATI YAKE. HUMO WATADUMU MILELE. ALLAH AMEWAWIA RADHI, NAO WAWE RADHI NAYE. HUKU NDIKO KUFUZU KUKUBWA". [05:116-119].
 Endelea ...


 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"HUJUI YA KWAMBA ALLAH ANAO UFALME WA MBINGU NA ARDHI? HUMUADHIBU AMTAKAYE NA HUMSAMEHE AMTAKAYE. NA ALLAH NI MUWEZA WA KILA KITU". [05:40]

 


Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Kila kinywaji kinacho levya, basi hicho ni haramu". Bukhaariy & Muslim-Allah awarehemu.

 


Katazo la Wiki

Wewe muislamu, kwa nini mchana kutwa na usiku kucha, ni muziki tu ndio unao rindima ndani ya nyumba yako?! Hapana, nyumba ya Muislamu haiwi hivyo, Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-anatuelekeza namna itakiwavyo kuwa nyumba ya Muislamu: "Zinawirisheni nyumba zenu kwa swala na kwa kusoma Qur-ani".  Al-Baihaqiy-Allah amrehemu.

 

Swali la Wiki

SWALI: Nini hukumu ya kutumia baadhi ya vifaa vidogo vidogo vya ofisi ya serikali/umma kwa matumizi binafsi; yasiyo husiana na ofisi.

 

JIBU: Kutumia kwa matumizi binafsi vifaa vya serikali/umma ambavyo hununuliwa kwa ajili ya matumizi ya kila siku ya ofisi, ni HARAMU. Kwa sababu hilo linapingana na uaminifu alio wajibisha Allah kuhifadhiwa. Ila kutumia kitu kisicho dhuru, kama vile kutumia rula kwa kupigia msitari na sio kuichukua nyumbani, hilo halina athari wala madhara. Ama kutumia vitu kama kalamu, karatasi, taipureta/kompyuta, kamera kwa matumizi binafsi, hakujuzu.

Allah ndiye Mjuzi mno.



| Tuandikie |



:

#2631 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Thu Jun 30, 2011 12:23 pm
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 28 Rajab 1432
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 



Last Update :  30 June 2011 (Alkhamisi)
   28 Rajab 1432 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5








Dondoo za wiki

Nasaba (Mahusiano ya kiuzawa)
 Neno hili "nasaba", ni neno linalo iwakilisha dhana nzima ya udugu, na nasaba ni msingi muhimu wa hukumu nyingi na za aina mbali mbali, kama vile mirathi, ndoa kwa uhalali na uharamu, uwalii, wasia na nyinginezo. Ni kwa ajili hiyo basi, ndio ikawa hapana budi kuyabainisha mambo ambayo kupitia kwayo huthibiti nasaba. Na kuyadhibiti hayo mambo kwa namna ambayo haiachi nafasi ya shaka yoyote au mkanganyiko katika njia za kuyathibitisha kwake. Basi je, ni vipi inathibiti nasaba baina ya watu wawili kwa uthibitisho wa kisheria ambao kwa muktadha wake unaandamiwa na hukumu za kisheria zinazo fungamana nao. Endelea ....


Subira ...Inaendelea
Na ni ulemavu wa fikra, muislamu kuhisabu kufikwa kwake na maudhi mbali mbali,  kuwa ni alama ya yeye kusahauliwa na Allah na kuwa kwake mbali na rehema zake. Lakini kwa masikitiko makubwa, ufahamu huu ulitawala miongoni mwa Waislamu katika zile zama za upotofu na ufisadi. Na tumesha tangulia kueleza kwamba magumu ya maisha yanakwenda sanjari na hima za mtu kupanda au kushuka. Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Hakika Mtukufu mwana wa Mtukufu, mwana wa Mtukufu, mwana wa Mtukufu; Yusuf mwana wa Yaaqub, mwana wa Ishaaq, mwana wa Ibrahim". Bukhaariy-Allah amrehemu.  
Endelea .....


Tiba (Utabibu)
Fani ya tiba ilikuwa ni elimu iliyo tangaa mno miongoni mwa Waarabu na ilikuwa na watu maalumu walio ifanya kuwa ndio kazi yao. Walio kuwa maarufu mno miongoni mwao ni; Al-Haarith Bin Kaldah ambaye aliteuliwa na Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-kumtibu Sa'ad Bin Abi Waqaasw kutokana na maradhi yaliyo msibu. Na Mtume wa Allah alimpelekea Ubayyi Bin Ka'ab tabibu ambaye aliukata mshipa wake kisha akauchoma kwa moto. [Haya yamepokewa na Imamu Muslim-Allah amrehemu-katika SAHIH MUSLIM, kwa hadithi nambari 2208]  Endelea ...


Mazungumzo baina ya Muumba Mtukuka na baadhi ya waja wake ...Inaendelea
Na yanayo kujia sasa ni mazungumzo jibizani mengine yaliyo jiri baina ya Ibrahimu-Amani imshukie-na Muumba wake-utakati wa mawi ni wake. Nayo yanafahamisha juu ya ukamilifu wa uweza wa Allah Ataadhamiaye na mahaba ya Ibrahim kutaka kufika lindini mwa daraja za imani. Qur-ani Tukufu imetusimulia mazungumzo hayo kupitia kauli yake Allah Atukukiaye: "NA ALIPO SEMA IBRAHIM: MOLA WANGU MLEZI! NIONYESHE VIPI UNAVYO FUFUA WAFU. ALLAH AKASEMA: KWANI HUAMINI? AKASEMA: HASHA! LAKINI ILI MOYO WANGU UTUE. AKAMWAMBIA: TWAA NDEGE WANE NA UWAZOESHE KWAKO, KISHA UWEKE JUU YA KILA KILIMA SEHEMU, KISHA WETE, WATAKUJIA MBIO. NA UJUE KWAMBA HAKIKA ALLAH NI MTUKUFU MWENYE NGUVU, NA MWENYE HIKIMA". [02:260]
 Endelea ...


 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"JE, ALIYE KUWA MAITI KISHA TUKAMUHUISHA, NA TUKAMJAALIA NURU INAKWENDA NAYE MBELE ZA WATU, MFANO WAKE NI KAMA ALIYOKO GIZANI AKAWA HATA HAWEZI KUTOKA HUMO? KAMA HIVYO MAKAFIRI WAMEPAMBIWA WALIYO KUWA WAKIYAFANYA". [05:122]

 


Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Madhambi yote Allah Ataadhamiaye huchelewesha adhabu yake kwa ayatakayo miongoni mwake mpaka siku ya Kiyama. Isipo kuwa uasi wa wazazi, hakika Allah humuharakishia adhabu mtendaji wake katika uhai (wa Dunia) kabla ya kufa". Twabaraaniy-Allah amrehemu.

 


Katazo la Wiki

Wewe mtoto wa kiume, pete, hereni na mikufu ya dhahabu ni vya nini?! Unavaa dhahabu kama mtoto wa kike, ili iweje?! Labda utasema unavaa ili upendeze, haya ukisha pendeza halafu iweje?! Hivi wewe hujui kwamba: "Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amekataza kuvaa pete ya dhahabu". Tirmidhiy-Allah amrehemu.

 

Swali la Wiki

SWALI: Ninafanya kazi katika shirika/kampuni inayo jishughulisha na ukarabati wa nyumba na vifaa vya nyumbani. Ninapo kwenda kufanya kazi katika nyumba hizo, wenyewe hunipa bakshishi, mimi hukataa kwa kuwa ninalipwa kwa kazi hiyo na ofisi. Lakini wao hunishikilia, basi je nifanyeje?

JIBU: Kujichunga na haramu, ni wewe kutokukubali hiyo bakshishi unayo pewa na uiache. Kwa sababu Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-alimtuma mtu mmoja aitwaye Abdullah Bin Lutwabiyah kwenda kukusanya zaka. Alipo kusanya zaka na kuileta, akasema: Hili fungu lenu na hii nimepewa zawadi. Mtume akatoa khutba akalikanya hilo na akasema: "Kwa nini asikae nyumbani kwa baba na mama yake, halafu aangalie atapewa zawadi au hatapewa?" Bukhaariy [2597] & Muslim [1832]-Allah awarehemu.

Maelezo ya Mtume "Kwa nini asikae nyumbani kwa baba na mama yake", yanafahamisha sababu ambayo kwa ajili yake amewakataza wafanya kazi za umma kutokupokea zawadi wanazo pewa wakiwa kazini. Na kwamba lau angeli kaa nyumbani kwake, asingeli pewa kitu na hao. Kwa hivi basi kujiepusha na haramu ni kutokupokea kisicho mshahara wako.

Allah ndiye Mjuzi mno.



| Tuandikie |



:

#2632 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Mon Aug 1, 2011 9:10 am
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 1 Ramadhan 1432
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 



Last Update :  1 August 2011 (Jumatatu)
   1 Ramadhan 1432 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
Minbari ya Ramadhani !
Sifa zote njema, kamilifu, timilifu ni stahiki na milki yake Allah; Mola Mlezi wa viumbe vyote ambaye kwa fadhila na rehema zake, ameukirimu umati Muhammad kwa kuupa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Ili uwe kwao ni kisafishi na kitakashi cha madhambi yao ya mwaka mzima. Na rehema na amani zimshukie bora ya wafungaji; Bwana na kipenzi chetu Nabii Muhammad. Bila ya kuwasaza Aali na swahaba zake wema; walio kigezo bora kwa wafungaji. Pia ziwajumuishe pamoja nao Waislamu wote walio pata kufunga, wanao funga na watakao funga mpaka siku ambayo Allah Ataadhamiaye atasema: "Swaumu ni yangu mimi na mimi ndio nitakaye toa jazaa yake".  Endelea...
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5








Dondoo za wiki

Muokotowa
     I.          Fasiri ya muokotwa:
Muokotwa ni Kiswahili cha neno la Kiarabu "laqiytw" ambalo ni jina analo pewa mtoto aliye kutwa ametupwa barabarani au mahala mfano wa barabara na hakuna mtu anaye dai kuwa ni wake.

II. 
Dalili za kuwekwa sheria ya kumtwaa muokotwa:
Asili/msingi katika kumuokota na kumtwaa, na uwekwaji wa sheria ya hukumu zake, ni dalili jumla enevu zilizomo ndani ya Qur-ani na Sunna (Hadithi):
Ama katika Qur-ani, ni kauli yake Allah Ataadhamiaye: "...NA TENDENI WEMA, ILI MFANIKIWE". [22:77]
Na kauli yake Atukukiaye katika kuielezea nafsi ya mwanaadamu: "...NA MWENYE KUMUOKOA MTU NA MAUTI NI KAMA AMEWAOKOA WATU WOTE..." [05:32]
Endelea ....


Ukatikati wa matumizi na kujizuia na machafu
Uislamu kama dini na mfumo sahihi na kamili wa maisha kwa wanaadamu wote, katika jumla ya mafundisho yake umekusanya sehemu ya maongozi/sera zinazo fungamana na maisha ya Waislamu kwa khususi na watu wote kwa uenevu. Maongozi ambayo lengo lake ni kuratibu mambo yao ya kimwili na kinafsi na baki ya mipango yao mingine wanayo iendea mbio katika maisha haya mafupi ya Dunia hii ipitayo.li mambo/mipango yao hiyo isiwayumbishe na kuwapelekea kwenye maisha ya uruhubani (useja) ugharikishao wala kwenye mfumo choyo uthaminio mali na pesa. Maongozi/sera hizo za Uislamu zinasimama juu ya misingi ya ukatikati na ulinganifu ambazo utekelezaji wake ni mwepesi uwezwao.   
Endelea .....


Tiba (Utabibu) Inaendelea ...
Na Muislamu alikuwa akiona kwamba ni sehemu ya dini yake kumnasihi ndugu yake Muislamu, kwani Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-alisema: "Dini ni nasaha", pakaulizwa: (Nasaha) kwa nani ewe Mtume wa Allah? Akajibu: "Kwa ajili ya Allah, Mtume wake, kwa viongozi wa Waislamu na wote kati yao". Muslim [55]-Allah amrehemu.  Endelea ...


Mazungumzo baina ya Mitume na kaumu yao Mazungumzo ambayo yaliyo jiri baina ya Mitume watukufu na kaumu zao, yamepokewa ndani ya Qur-ani Tukufu katika mamia ya aya na katika makumi ya mahala. Na lau tutaka kuyatizama yote kwa mtazamo makini, bila ya shaka tungeli hitajia makala nzima makhsusi. Ni kwa ajili hiyo basi, tutatosheka na mifano kadhaa, itakayo kupa taswira ya wazi ya maneno na mijadala iliyo jiri baina yao.  Endelea ...


 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"JE, HAWAHIDIKI HAWA WANAO RITHI ARDHI BAADA YA WALE WENYEWE KWAMBA TUKITAKA TUTAWAPATILIZA KWA MADHAMBI YAO, NA TUTAPIGA MUHURI JUU YA NYOYO ZAO, NA KWA HIVYO HAWATASIKIA?" [07:100]

 


Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Si halali kwa mwanamke anaye muamini Allah na siku ya mwisho, kumkalia matanga maiti zaidi ya siku tatu. Isipo kuwa mume, (atamkalia) miezi minne na siku kumi". Bukhaariy-Allah amrehemu.

 


Katazo la Wiki

Ni msikitini, mkutanoni au katika hafla fulani, watu wamehudhuria na kila mmoja amekaa mahala alipo pachagua au kupangiwa. Anakuja mtu aliye chelewa, anaondoshwa mtu aliye wahi na mahala pake anakaa huyu aliye chelewa. Hapana, huu si utaratibu, kwani Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie: "Amekataza mtu kuondoshwa mahala pake alipo kaa ili akae hapo mtu mwingine". Bukhaariy-Allah amrehemu.

 

Swali la Wiki

SWALI: Baadhi ya wafanya biashara husema uwongo na kuapa kwa jina la Allah ili kuwafanya wateja wao wawasadiki na wapate kufanya nao biashara. Hili linazungumziwaje na sheria?

JIBU: Kwamba kabisa, sheria inawataka wafanya biashara wenye tabia ya kuapa kwa uwongo waache mara moja na watubie haraka kwa Allah, kwani hiyo ni dhambi na ni kulichezea jina la Allah kwa maslahi duni ya mpito. Pili wanatakiwa kuwa wakweli katika hali zote na Allah Mola Muumba wao na wateja wao; waja wa Allah. Kwa sababu ukweli humuongozea mdau wake kwenye wema na huo wema humuongozea peponi.

Tatu, wanatahadharishwa na uwongo hususan ule unao shehenezwa na kiapo cha uwongo kama wanavyo tahadharishwa kula mali za watu kwa batili. Kwani Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Uwongo unatoa bidhaa (ikauzika, lakini) unaondosha baraka ya chumo". Bukhaariy [2087] & Muslim [1606]-Allah awarehemu.

Na amesema: "Atakaye apa yamini ili apate kumega kwayo mali ya muislamu hali ya kuwa yeye ni muovu katika (yamini) hiyo, atakutana na Allah ilhali amemghadhibikia". Bukhaariy [2669] & Muslim [138]-Allah amrehemu.

Allah ndiye mjuzi mno.



| Tuandikie |



:

#2633 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Tue Aug 9, 2011 6:44 am
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 9 Ramadhan 1432
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 



Last Update :   9 August 2011 (Jumatatu)
    9 Ramadhan 1432 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
Minbari ya Ramadhani !

Karibu tena katika mimbari yetu hii ya Ramadhani. Leo tufuatane pamoja katika kukumbuka kwamba mimi na wewe ni waja wa Allah, Ramadhani itusaidie kulikumbuka hili na kuishi nalo katika maisha yetu yote juu ya mgongo wa ardhi hii ya Allah, kabla hatujaingia ndani ya tumbo lake. Haya na tufuatane pamoja: Endelea...

  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5








Dondoo za wiki

Masurufu ya Muokotowa
Ikiwa haikukutwa mali katika uhodhi wa mtoto muokotwa, masurufu yake yatatoka katika Baytul-Maal (Hazina) ya Waislamu, kwa njia ya wajibu. Yatatolewa kutoka katika fungu la maslahi ya umma, kwa sababu Baytul-Maal imewekwa kwa malengo hayo.

Na hukumu hii imethibiti kwa Ijmaa ya maswahaba. Imepokewa: Kwamba Umar bin Al-Khatwaab aliwataka ushauri maswahaba kuhusiana na masurufu ya mtoto muokotwa. Basi wakakongamana ya kwamba hayo yatoke katika Baytul-Maal. Endelea ....


Ukatikati wa matumizi na kujizuia na machafu ...Inaendelea
Uislamu unawausia wafuasi wake kuwa na ukati kati/uwastani wa mavazi na unachukia mtu kujifakharisha kwa mavazi au kuringa. Kwa mantiki hii basi, Uislamu huuzingatia uzuri wa muonekano kuwa ni katika elementi (vijenzi) za utu au viimarishi vya tabia njema. Kwani huenda mtu nguo zake hazina hata thamni ya dirham moja tu, nafsi yake ikazishinda thamani kilo na kilo za dhahabu na fedha. Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-anasema: "Huenda timtim wa nywele, mjaa mavumbi, mararu mararu wa nguo, lau ataapa kwa Allah, bila ya shaka angeli pokea (kiapo chake hicho)". Tirmidhiy-Allah amrehemu.  
Endelea .....


Kuuawa kwa Sayyidna Umar
Waislamu katika zile zama za awali, hawakusibiwa baada ya kifo cha Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-na msiba mzito mno kuliko kuuawa kwa Amirul-Muuminina; Sayyidna Umar bin     Al-Khatwaab-Allah amuwiye radhi. Aliuawa na mtumwa Mmajusi, akiitwa Abu Lu'uluah, aliye kuwa akimilikiwa na Mugheerah bin Shu'ubah. Hebu sasa tukuletee mlolongo wa msiba huu mkuu kama ulivyo pokewa na Imamu Bukhaariy-Allah amrehemu-katika [SAHIH BUKHAARIY]  Endelea ...


Mazungumzo baina ya Mitume na kaumu yao ...Inaendelea
Na ifananayo na aya hizi na ile midahalo iliyomo humo, iliyo jiri baina ya Mitume na kaumu zao, ni kauli yake Allah Ataadhamiaye: "NA WAPIGIE MFANO WA WAKAAZI WA MJI WALIPO WAFIKIA WALIO TUMWA. TULIPO WATUMIA WAWILI, WAKAWAKANUSHA. BASI TUKAWAZIDISHIA NGUVU KWA MWINGINE WA TATU. WAKASEMA: HAKIKA SISI TUMETUMWA KWENU. WAKASEMA: NYINYI SI CHOCHOTE ILA NI WATU KAMA SISI. NA MWINGI WA REHEMA HAKUTEREMSHA KITU. NYINYI MNASEMA UWONGO TU. WAKASEMA: MOLA WETU MLEZI ANAJUA KWAMBA HAKIKA SISI TUMETUMWA KWENU. WALA SI JUU YETU ILA KUFIKISHA UJUMBE ULIO WAZI. WAKASEMA: SISI TUMEAGUA KUWA NYINYI NI WAKOROFI. IKIWA HAMTAACHA BASI KWA YAKINI TUTAKUPIGENI MAWE, NA MTAPATA ADHABU CHUNGU KUTOKA KWETU. WAKASEMA: UKOROFI WENU MNAO WENYEWE! JE! NI KWA KUWA MNAKUMBUSHWA? AMA NYINYI NI WATU WALIO PINDUKIA MIPAKA". [36:13-19]  Endelea ...


 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"JE, HAWATAZAMI UFALME WA MBINGU NA ARDHI, NA VITU ALIVYO VIUMBA ALLAH, NA PENGINE AJALI YAO IMEKWISHA KARIBIA? BASI MANENO GANI BAADA YA HAYA WATAYAAMINI?" [07:185]

 


Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-anasema: "Si halali kwa mtu kumuhama ndugu yake zaidi ya siku tatu, wanakutana huyu anageukia kule na yule anageukia huko. Na mbora wa wawili hao, ni yule anaye anza kumtolea salamu (mwenzake)". Abu Daawoud-Allah amrehemu.

 


Katazo la Wiki

Unajua fika kwamba huyo ni mke wa mtu na wala wewe huna udugu naye, kwa nini basi unachanganyika na kuzungumza naye?! Hapana, hilo ni kosa, kwani Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie: "Amekataza kusemeshwa wanawake ila kwa idhini ya waume zao". Twabaraaniy-Allah amrehemu.

 

Swali la Wiki

SWALI: Kutokana na kuenea mkumbo wa majini kuwakumba wanaadamu, limezuka kundi la wasomi wa Qur-ani kuwafanyia zinguo wakumbwa majini hao na kisha kuchukua ujira kwa kazi hiyo. Sheria inalionaje hili?

 

JIBU: Ama kuchukua ujira kwa kumfanyia mgonjwa zinguo la kisheria, hilo halina ubaya wowote, kwani Mtume wa Allah-Rehema na Amani amesha sema: "Hakika chenye kustahiki mno ambacho mmetwaa ujira juu yake, ni kitabu cha Allah". Bukhaariy [5737]-Allah amrehemu.

Pia katika hili unachukuliwa ushahidi wa kujuzu kwake kutoka katika kisa cha wale maswahaba walio mfanyia mtu tena sio muislamu, zinguo kwa kumsomea Suratil-Faatiha, wakapewa mbuzi. Wakaenda kumuuliza Mtume, akawaambia wampe na yeye fungu lake, kwa kuwa ndiye aliye wafundisha hiyo Qur-ani.

Allah ndiye Mjuzi mno.



| Tuandikie |



:

#2634 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Mon Aug 22, 2011 12:58 pm
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 22 Ramadhan 1432
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 



Last Update :   22 August 2011 (Jumatatu)
    22 Ramadhan 1432 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
Mtume wa Allah ndani ya mwezi wa Ramadhani

Ili ndugu msomaji upate kuujua unyeti wa suala tulilo lizungumzia juma lililo pita, hebu na tumuangalie Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-namna alivyo kuwa katika mchana wake na usiku wake, ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Ili tumsawirishe Mtume kama tunamuona ndani ya akili zetu, katika siku nzima ya Ramadhani, alikuwa akifanya nini? Haya na tufuatane pamoja, tukiwa hadhiri ili tupate kuzingatia: Endelea...

  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5








Dondoo za wiki

Waqfu (Endowment)
Neno hili "Waq-fu" lina fasiri mbili, fasiri ya kilugha na fasiri ya kisheria. Twendapo na fasiri ya kilugha, neno "Waq-fu" lina maana ya "kufunga/kuzuia". Na kisheria, neno "Waq-fu" linamaanisha: Uzuiaji wa mali ambayo kunamkinika kunufaika nayo pamoja na kusalia (kubakia) dhati yake, katika matumizi halali yaliyopo.
Na vifungu hivi vilivyomo ndani ya fasiri hii, vitakubainikia (vitakuwazikia) pale utakapo kuwa unaendelea kuvisoma vipera vya somo hili, INSHALLAH.
Endelea ....


Ukatikati wa matumizi na kujizuia na machafu ...Inaendelea
Huenda mtu akafahamu kutokana na maelezo ya darasa lililo pita ya kwamba ugumu/ukavu ukavu, ndio nembo/alama ya maisha ya Kiislamu. Na lau ufahamu huo ungeli kuwa ni sahihi, basi Uislamu ungeli kuwa na kasoro kubwa iliyoje?! Ni jambo la ajabu na kushangaza kuuambatisha ulaini wa maisha na utumiaji wa hariri na dhabau!!! Na bila ya shaka makundi makubwa ya watu yanaweza kuishi kwa mafaniko na amani ya mwili na roho bila ya kujipamba kwa dhahabu au kuvaa hariri.  
Endelea .....


Ukhalifa wa Sayyidna Uthman bin Affaan
Yeye ni Uthman bin Affaan, bin Abil-Aaswi, bin Umayyah, bin Abdi Shamsi, bin Abdi Manaaf, Mkureishi wa ukoo wa Umayyah.
Na mama yake ni Arwaa bint Kurair, bin Rabeeah, bin Abdi Shamsi, bin Abdi Manaaf.
Alizaliwa katika mwaka wa tano tangu kuzaliwa kwa Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie. Na akainukia katika malezi ya tabia njema na mwenendo mzuri, akiwa ni mtu mwenye staha, muepuka machafu. Na pale Allah Ataadhamiaye alipo mpa utume Muhammad-Rehema na Amani zimshukie-Uthman alikuwa ni miongoni mwa wale wa mwanzo kuingia katika Uislamu, kwa juhudi ya Sayyidna Abubakar-Allah awawiye radhi wote. Na Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-alimuoza binti yake; Sayyidatnaa Rukia. Na pale washirikina walipo wafanyia maudhi Waislamu, Sayyidna Uthman-Allah amuwiye radhi-alihamia Uhabeshi pamoja na mke wake. Kisha akarejea Makka kabla ya Hijra ya Madina na Allah alipo toa idhini ya Hijra hii, alihamia huko (Madina) yeye na mke wake.
  Endelea ...


Mazungumzo baina ya Mitume na kaumu yao ...Inaendelea
Hivi ndivyo tunavyo mkuta Mtume Nuhu-Amani imshukie-akihojiana na kujadiliana na kaumu yake, na akizirudi shubuha zao kwa muundo kinaishi huu, ulio jaa hekima. Basi je, watu wake hao walimuamini na wakamsadiki? Katu sivyo hivyo, hakika wao hawakumuamini na wala hawakumsadiki, bali walitegemea muundo wa ushindani na ilhali wakiwa wamepandwa na mori wa kutenda madhambi. Basi je, walimwambia nini? Walimwambia kama walivyo nukuliwa na Qur-ani: "WAKASEMA: EWE NUHU! UMEJADILIANA NA UMEKITHIRISHA KUTUJADILI. BASI TULETEE HAYO UNAYO TUAHIDI, UKIWA MIONGONI MWA WASEMAO KWELI". [11:32] Endelea ...


 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"JE, HAWAJUI KWAMBA ANAYE SHINDANA NA ALLAH NA MTUME WAKE, BASI HUYO ATAPATA MOTO WA JAHANNAMU ADUMU HUMO? HIYO NDIYO HIZAYA KUBWA". [09:63]

 


Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Kila kitu kina njia (yake ya kukufikia) na njia ya (kuifikia) pepo ni elimu". Dailamiy-Allah amrehemu.

 


Katazo la Wiki

Una tatizo gani hasa, hata uamue kula au kunywa kwa kutumia mkono wa kushoto?! Hapana, huo sio utamaduni wa Kiislamu na huko ni kumuiga shetani: "Msile kwa kutumia mkono wa kushoto, kwani shetani hula kwa mkono wa kushoto". Ibn Maajah-Allah amrehemu.

 

Swali la Wiki

SWALI: Mfamasia anaye fanya kazi katika hospitali ya serikali/umma, anachukua dawa na kumpa mgonjwa asiye tibiwa katika hospitali husika au anapeleka nyumbani kwake. Je, inafaa?

 

JIBU: Dawa zinazo tolewa na Serikali kwa mahospitali yaliyo chini yake, bila ya shaka zina utaratibu maalumu na maelekezo ya utolewaji wake kutoka serikali kuu. Ikiwa dawa zimetolewa kwa ajili ya kutumika katika hospitali maalumu, basi hakumjuzii mfamasia huyo kuzitoa ila tu kwa wagonjwa wanao fika katika hospitali husika, kwa sababu hiyo ni amana.

Allah ndiye Mjuzi mno.



| Tuandikie |



:

#2635 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Mon Aug 29, 2011 8:59 am
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 29 Ramadhan 1432
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 



Last Update :   29 August 2011 (Jumatatu)
    29 Ramadhan 1432 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
Kuitolea kwao dalili hadithi ya Bi Aisha na majibu yake

Ama kudalilisha kwa kuitumia hadithi ya Bi. Aysha-Allah amuwiye radhi-"Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-hakuwa akizidisha katika mwezi wa Ramadhani wala katika miezi mingine, zaidi ya rakaa kumi na moja". Ambayo imepokewa na Bukhaariy na Muslim.
Hawana maegemo ndani yake (hadithi hiyo) juu ya kutokushariiwa kwa ziada, kwa sababu mbili (za msingi):: Endelea...

  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5








Dondoo za wiki

Nguzo za Waqfu 
Waq-fu una nguzo nne, nazo ni:
1.     
Muweka waq-fu,
2.     
Mpewa waq-fu,
3.     
Kiwekwacho waq-fu, na
4.     
Tamko la kuweka waq-fu.
Na kila mojawapo ya nguzo nne hizi, ina sharti zake. Zitakapo timia sharti hizo basi, hapo ndipo waq-fu huwa humekamilika. Na zifuatazo ndizo sharti za kila nguzo moja:.
Endelea ....


Unadhifu, umaridadi na siha 
Ni wajibu wa kila muislamu katika kila wakati wa umri wake ahangaike kuutafuta ukamilifu na achapushe mwendo kuelekea kwenye maendeleo ya kimaada na yale ya kinafsi. Kwani mustakabali wa Muislamu mbele ya Allah, umefungamana na hatua anayo ifikia katika maendeleo yake. Angalia, iwapo mauti yatamkuta naye akiwa katika kilele cha maendeleo, huyo atakuwa katika watu wa pepo ghali ya Firdaus. Na yakimkuta naye akiwa katika hali ya kati na kati, akipiga hatua zake kuelekea kwenye sehemu ya karibu ya maendeleo, huyo ataokoka kwa kadiri ya juhudi yake.  
Endelea .....


Ukhalifa wa Sayyidna Uthman bin Affaan...Inaendelea
Na katika awamu ya gavana Saeed bin Al-Aaswi, ulifunguliwa mji wa Twabristaan. Alikwenda huko akiwa pamoja na Hassan na Hussein watoto wa Imamu Aliy, Ibn Abbas, Ibn Umar, Abdullah bin Amrou bin  Al-Aaswi, Ibn Zubeir, Hudheifah bin Al-Yamaan na wengineo miongoni mwa maswahaba wakubwa. Akawapiga watu wake (Twabristaan), kisha wakataka suluhu, naye akawakubalia suluhu. Na hili lilitokea katika mwaka wa thelathini. Baada ya ufunguzi huo, kamanda Saeed na Hudheifa bin Al-Yamaan wakaenda kumuongezea nguvu Abdurahman bin Rabeeah aliye kuwa kwenye mji wa Al-Baab. Walipo fika Adhribijaan, gavana Saeed akampa kamanda Hudheifa amri ya kusonga mbele, naye akabakia akimngojea hapo. Hudheifa akasonga mbele na akapambana na washirikina pamoja na Abdurahman. Halafu akarejea kwa Saeed..  Endelea ...


Mazungumzo baina ya Mitume na kaumu yao ...Inaendelea
Hebu sasa tuhamie kwenye midahalo/majadiliano mengine, yaliyo tokea baina ya Mtume Hud-Amani imshukie-na kaumu yake, walio kuwa wakiyaabudu masanamu.  Na walikuwa maarufu kwa utajiri na nguvu ya mwili.
Mtume Hud-Amani imshukie-aliwaamrisha watu wake kumuabudu Allah Ataadhamiaye peke yake na kuitupilia mbali ibada ya masanamu waliyo izoea na kuirithi kutoka kwa wahenga wao. Basi je, ndugu msomaji unafikiri walimjibu nini? Hebu yasikilize yaliyo semwa na watopea wa upotevu katika kaumu yake, kama walivyo nukuliwa na Qur-ani Tukufu: "WAKASEMA WATUKUFU WA WALE WALIO KUFURU KATIKA KAUMU YAKE: SISI TUNAKUONA UMO KATIKA UPUMBAVU, NA HAKIKA SISI TUNAKUFIKIRIA KUWA WEWE NI KATIKA WAONGO". [07:66]
 Endelea ...


 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"JE, HAWAJUI KWAMBA ALLAH ANAJUA SIRI ZAO NA MINONG'ONO YAO, NA KWAMBA ALLAH NI MWENYE KUYAJUA SANA YA GHAIBU?" [09:78]

 


Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-anasema: "Kila kitu kina ufunguo wake, na ufunguo wa pepo ni kuwapenda masikini na mafakiri". Ibn Laal-Allah amrehemu.

 


Katazo la Wiki

Kwa nini uhatarishe amani mahala pa kazi au mtaani kwako, kwa nini watu waishi kwa hofu kwa sababu tu ya matendo na kauli zako za vitisho?! Acha, kwani hilo halipungui kuwa ni dhulma kubwa: "Msimtie khofu muislamu, hakika kumtia khofu muislamu ni dhuluma kubwa". Twabaraaniy-Allah amrehemu.

 

Swali la Wiki

SWALI: Je, ni makosa kumuita mtu kwa jina la "bwana fulani"?

 

JIBU: Fahamu ewe muulizaji kwamba neno hilo "bwana" ni tafsiri ya neno la Kiarabu "SAYYID" ambalo baadhi yetu hulitumia moja kwa moja kwa Kiswahili wakasema: "Ewe Sayyid yangu!" Neno hili hutumiwa kumuita mtu mwenye cheo/hadhi/heshima katika jamii yake kama ambavyo hutumiwa kumuita mtu mkarimu/mtukufu/mmiliki/mume. Na zimepokewa hadithi nyingi katika kuonyesha utumizi wa tamko "Sayyid/bwana" kwa watu watukufu. Miongoni mwa hizo:

Imepokewa kutoka kwa Abu Bakarata-Allah amuwiye radhi-kwamba Mtume-Rehema na Amani zimshukie-alipanda juu ya mimbari na (mjukuu wake) Hassan bin Aliy-Allah awawiye radhi-akasema: "Hakika mwanangu huyu ni bwana na Allah atayasuluhisha kwa sababu yake makundi mawili ya Waislamu". Bukhaariy-Allah amrehemu.

Na imepokewa kutoka kwa Abu Said Al-Khudriy-Allah amuwiye radhi-kwamba Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-aliwaambia Maanswari pale alipo kuwa akija Sa'ad bin Muadh-Allah amuwiye radhi: "Muinukieni bwana wenu". Bukhaariy & Muslim-Allah awarehemu.

Allah ndiye Mjuzi mno.



| Tuandikie |



:

#2636 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Tue Aug 30, 2011 7:40 am
Subject: TUKHITIMISHE RAMADHANI KWA TOBA YA KWELI
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 
MIMBARI YA RAMADHANI – 04  UKHITIMISHE MWEZI WAKO KWA TOBA YA KWELI
NA KWA AZMA YA KUTOKUREJEA TENA KULE ULIKO KUWA KABLA YA RAMADHANI.
Ndugu zanguni katika Imani! Kwa taufiq na auni ya Allah Ataadhamiaye,
tunakutana tena leo katika muendelezo wa darasa zetu za mwezi mtukufu wa
Ramadhani. Tunasema hali ya kuutaraji msaada wake Mola:  Ndugu mwema,
ewe uliye iitika amri ya Allah na ukafunga swaumu ya mwezi mtukufu wa
Ramadhani-Allah akurehemu. Baada ya kuwafikiwa kuwa ni mmoja wa walio
udiriki mwezi huu, na sio kuudiriki tu bali ukiwa mwenye siha njema
iliyo kuwezesha kufunga. Hebu sasa ishukuru neema hiyo ya kuudiriki
mwezi huu na neema ya kuwafikiwa kufunga, kwani ni wangapi ulio funga
nao Ramadhani ya mwaka jana na hawakubahatika kuidiriki Ramadhani ya
mwaka huu, imewakuta tayari wamesha tangulia Akhera. Na pia wapo walio
idiriki, lakini wamo vitandani ni wagonjwa wasio weza kufunga. Sasa wewe
uliye ipata bahati na fursa hii adhimu, hebu ishukuru neema hiyo kwa
kuukhitimisha mwezi wako kwa kutubia kwa Allah Ataadhamiaye toba ya
kweli, toba ya moja kwa moja. Kwani hiyo toba ni amri ya Mola wako kama
ilivyo amri ya swaumu uliyo iitika, kwa nini basi usiitike na amri hii
ya toba?! Hebu tusome na kuzingatia pamoja kwa maslahi na manufaa ya
nafsi zetu: "...NA TUBUNI NYOTE KWA ALLAH, ENYI WAUMINI, ILI MPATE
KUFANIKIWA". [24:31] Na pia tumeamrishwa hilo na Mtume wa
Allah-Rehema na Amani zimshukie: "Enyi watu! Tubieni kwa
Allah...". Muslim-Allah amrehemu. Ndugu yetu katika imani-Allah
aizidishe imani yako kwa baraka ya swaumu uliyo ifunga. Fahamu ya kwamba
toba ni jambo la wajibu katika dini na wala hakujuzu kuichelewesha. Basi
hebu iendee haraka, ewe mja dhalili wa Allah, kabla hujanyakuliwa na
mauti bila ya taarifa na kabla roho yako haijafika kooni katika hatua za
mwisho za kutoka kurejea kwa Mola wako. Na uelewe ya kwamba Mtume wa
Allah-Rehema na Amani zimshukie-ambaye Allah alimsamehe makosa yake
yaliyo tangulia na yajayo, anasema: "Enyi watu tubieni kwa Allah,
kwani hakika mimi ninatubia kila siku mara mia moja". Muslim-Allah
amrehemu. Ikiwa hivyo ndivyo ilivyo kwa huyo Bwana aliye takaswa, basi
mimi na wewe ndugu msomaji ndiwo tunatakikana mno kuikimbilia haraka
toba na khususan kupitia fursa ya msamaha tuliyo pewa ndani ya
Ramadhani. Hebu na tuacheni ajizi, kwa kujipa matumaini ya kutubia
Ramadhani nyingine ambayo hatuna dhamana ya kuidiriki, bali tuifanye
Ramadhani hii ndio fursa yetu pekee na ya mwisho ya kutubia. Kama Mtume
alikuwa akitubia kila siku mara mia moja na ilhali yeye hana madhambi,
basi sisi wajaa madhambi tunapaswa kutubia zaidi kuliko hivyo.  Ndugu
msomaji, tia akilini ya kwamba toba ni ibada na kama ibada bila ya shaka
ili ikamilike inazo sharti kadhaa: Toba iwe ni kwa ajili ya Allah, kwa
ajili ya kutaka kupata thawabu zake na kwa ajili ya kuikhofu adhabu
yake. Allah Ataadhamiaye amesema: "NA WAO HAWAKUAMRISHWA KITU ILA
WAMUABUDU ALLAH KWA KUMTAKASIA DINI, WAWE WAONGOFU, NA WASHIKE SWALA, NA
WATOE ZAKA. NA HIYO NDIO DINI MADHUBUTI". [98:05] Ayajutie madhambi
aliyo yafanya na atamani kutokuyafanya tena. Mtume wa Allah-Rehema na
Amani zimshukie-amesema: "Majuto ni toba". Ahmad, Ibn Maajah
Al-Haakim-Allah awarehemu. Kujing'oa/kujivua/kujitoa kabisa kwenye
madhambi haraka. Angalia, ikiwa toba hiyo imefungamana na haki za waja
ulizo wapokonya/twaa bila ya ridhaa yao, ni wajibu kuwarejeshea haki zao
hizo au kujitakasa kwa kukiri na kuwaomba msamaha. Kutia azma ya
kutorejea tena katika kutenda madhambi. Angalia, ikiwa mtu bado anasita
sita na kuzinga zinga katika kutenda maasi na huku akidai kuwa yeye
anatubia, huyo toba yake haiswihi. Toba isiletwe baada ya kwisha kwa
muda enevu na ule khususi wa kukubaliwa kwake. Muda enevu ni ule unao
elezwa na Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-kupitia kauli yake:
"Mambo matatu yatakapo tokea, kuamini hapo hakutomfaa mtu kitu,
ikiwa hakuwa ameamini kabla yake, au amefanya kheri katika imani yake
(hiyo); kuchomoza kwa jua kutokea mazamio yake (upande wa Magharibi),
(kuja kwa) Dajjaal na (kutoka kwa) mijinyama ya ardhi". Muslim-Allah
amrehemu. Na amesema: "Atakaye leta toba kabla jua halijachomoza
kutokea kwenye mazamio yake, Allah ataipokea toba yake".
Muslim-Allah amrehemu. Ama muda khususi, ni pale roho ya mja inapo fika
kooni naye akawa anakoroma na kupumua pumzi za mwisho mwisho, kama
alivyo sema Allah Ataadhamiaye: "WALA HAWANA TOBA WALE WAFANYAO
MAOVU MPAKA YAKAMFIKIA MMOJA WAO MAUTI, KISHA HAPO AKASEMA: HAKIKA MIMI
SASA NIMETUBIA. WALA WALE WANAO KUFA NA HALI WAO NI MAKAFIRI. HAO
TUMEWAANDALIA ADHABU CHUNGU". [04:18] Na Mtume wa Allah-Rehema na
Amani zimshukie-amesema: "Hakika Allah huikubali toba ya mja wake
maadam roho yake haijafikia kooni (ili itoke)". Ahmad, Tirmidhiy
Ibn Maajah-Allah awarehemu.  Ndugu muislamu, zitakapo timia sharti hizo
tulizo zitaja punde tu, hapo sasa ndipo toba ya mja huwa ndio ile toba
ya kweli, toba isiyo rejewa rejewa (tauba nasuuha) ambayo iliyo amrishwa
na Allah kupitia kauli yake tukufu: "ENYI MLIO AMINI! TUBUNI KWA
ALLAH TOBA ILIYO YA KWELI..." [66:08] Na toba ya mja itakapo swihi,
basi bila ya shaka itamletea matunda yafuatayo: Itakuwa ni sababu ya
yeye kufutiwa madhambi yake, kama alivyo sema Allah Ataadhamiaye:
"SEMA: ENYI WAJA WANGU WALIO JIDHULUMU NAFSI ZAO! MSIKATE TAMAA NA
REHEMA YA ALLAH. HAKIKA ALLAH HUSAMEHE DHAMBI ZOTE. HAKIKA YEYE NI
MWENYE KUSAMEHE, MWENYE KUREHEMU". [39:53] Na amesema Mtume wa
Allah-Rehema na Amani zimshukie: "Mtubia dhambi (huwa) ni kama asiye
na dhambi". Ibn Maajah-Allah amrehemu. Allah humfurahikia mno mja
mtubia, kama alivyo sema Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie:
"Allah ana furaha mno kwa toba ya mmoja wenu kuliko mmoja wenu
anavyo furahi anapo mpata mnyama wake aliye mpotea". Muslim-Allah
amrehemu. Allah huyabadili maovu/makosa yake kuwa mema, kama alivyo sema
Allah Ataadhamiaye: "ISIPO KUWA ATAKAYE TUBU, NA AKAAMINI, NA
AKATENDA VITENDO VYEMA. BASI HAO ALLAH ATAYABADILISHA MAOVU YAO YAWE
MEMA. NA ALLAH NI MWENYE KUSAMEHE, MWENYE KUREHEMU". [25:70]  Ewe
ndugu muislamu! Tubia kwa Mola wako Mlezi na umuombe maghufira katika
kikazi kimoja, mara mia moja. Kwani amesema Ibn Umar-Allah awawiye
radhi: "Hakika sisi tulikuwa tukimuhesabia Mtume wa Allah-Rehema na
Amani zimshukie-katika kikazi kimoja RABBIGH FIR-LIY WATUB `ALAYYA
INNAKA ANTA-TAWWAABUR-RAHIYM – EWE MOLA WANGU MLEZI! NIGHUFIRIE
MADHAMBI YANGU NA UNIPOKELEE TOBA YANGU, HAKIKA WEWE NI MWENYE KUPOKEA
TOBA, MWENYE KUREHEMU, mara mia moja". Abu Daawoud-Allah amrehemu.
Ndugu muislamu! Hebu ufanye mwezi wako wa Ramadhani kuwa ndio mapinduzi
ya nafsi yako. Mapinduzi yanayo kukomboa kutoka kwenye utumwa wa uja wa
shetani kwenda kwenye uhuru wa uja wa Allah wa kweli. Kutoka kwenye viza
vya dhambi kuingia kwenye nuru ya utii mtukuka kwa Allah Mtukuka. Kutoka
kwenye kutumbukia motoni kwenda kuingia peponi. Kutoka kwenye mfumo wa
maisha wa kupangwa na wanaadamu kuingia kwenye mfumo kamili sahihi, unao
enda sanjari na umbile lako, ulio chaguliwa na Mola Muumba wako. Kutoka
kwenye maisha ya ubinafsi kwenda maisha ya kuufikira umma kama ulivyo
funzwa na swaumu. Mwisho kabisa mapinduzi haya yakufikishe katika kuishi
na kumbukumbu za kauli yake Allah Ataadhamiaye: "BASI AMA YULE ALIYE
ZIDI UJEURI, NA AKAKHIARI MAISHA YA DUNIA,KWA HAKIKA JAHANNAMU NDIO
MAKAAZI YAKE! NA AMA YULE ANAYE OGOPA KUSIMAMISHWA MBELE YA MOLA WAKE
MLEZI, NA AKAJIZUILIA NAFSI YAKE NA MATAMANIO, BASI HUYO, PEPO ITAKUWA
NDIO MAKAAZI YAKE!" [79: 37-41]  Website yenu; WEBSITE UISLAMU,
inakutakieni nyote swaumu maqbuul na Eidil-Fitri njema na ALLAH
atunufaishe kwa haya tunayo kumbushana. Aamin!

#2637 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Mon Sep 12, 2011 12:01 pm
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 13 Shawwaal 1432
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 



Last Update :   12 Septemba 2011 (Jumatatu)
    13 Shawwal (Mfungo Mosi) 1432 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5








Dondoo za wiki

Waqfu wa Imamu 
Wanazuoni wa madhehebu ya Imamu Shaafiy-Allah awarehemu-wamemjuzishia Imamu wa Waislamu na khalifa wao, kuweka waq-fu sehemu ya ardhi ya hazina ya Waislamu. Atafanya hivyo pindi atakapo ona kuwa hilo litawanufaisha Waislamu (wenye mali yao). Na mas-ala haya wameyavua na kuyatoa kwenye ile sharti ya umiliki wa muweka waq-fu kuumiliki waq-fu (kitolewacho waq-fu). Kwa sababu huyo khalifa/kiongozi hazimiliki mali za hazina ya Waislamu, bali yeye ni kiongozi na msimamizi wake tu. Lakini pamoja na hivyo, wameuswihisha uweka waq-fu wake huo. Na wamelitolea dalili/ushahidi hilo, kwa uweka waq-fu wa Sayyidna Umar bin Al-Khatwaab-Allah amuwiye radhi-ardhi ya mashambani ya Iraq (iliyo kuwa baina ya Basra na Koufa). .Endelea ....


Unadhifu, umaridadi na siha...Inaendelea 
Uislamu unamnasihi mtu kuwa maridadi, mwenye muonekano mzuri mbele ya watu na tabia hiyo imeambatishwa na adabu/taratibu za swala. "ENYI WANAADAMU! CHUKUENI PAMBO LENU KILA PAHALA WAKATI WA IBADA..." [07:31] Na Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-alikuwa akiwafundisha Waislamu kuyashughulikia na kuyapa umuhimu mambo hayo. Na walazimikiane nayo katika kadhia zao binafsi, ili muislamu aonekane maridadi, mwenye kukubaliwa katika nembo yake, mavazi yake na mandhari yake. Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-anasema: "Atakaye kuwa na nywele, basi na azikirimu (azitunze)". Abu Daawoud-Allah amrehemu. 
Endelea .....


Basrah
Mwanzoni mwa awamu ya ukhalifa wa Sayyidna Uthman-Allah amuwiye radhi-gavana wa Basrah alikuwa ni Abu Mousa Al-Ash'ariy. Akaushikilia wadhifa huo mpaka mwaka wa ishirini na tisa, Sayyidna Uthman akamuuzulu na akamtawaza kushika mahala pake Abdullah bin Aamir, bin Kuraiz, bin Rabeeah, bin Abdi Shamsi. Na akamkusanyia jeshi la Abu Mousa na jeshi la Abil-Aaswi At-thaqafiy kutoka Oman na Bahrein..  Endelea ...


Mazungumzo baina ya Mitume na kaumu yao ...Inaendelea
Baada ya Allah Ataadhamiaye kuingamiza kaumu ya Mtume Hud-Amani imshukie-alimtuma Mtume wake Saleh-Amani imshukie-kupeleka ujumbe wake kwa kabila la Thamud. Ambao makaazi yao yalikuwa Hijri; nalo ni eneo lililo baina ya Hijaazi na Shaamu. Watu hao walikuwa wakiyaabudu masanamu. Mtume wao Saleh-Amani imshukie-akawanasihi wasimuabudu ila Allah Ataadhamiaye peke yake. Hapo ndipo yakazuka baina yake na wao majadiliano/midahalo iliyo nukuliwa ndani ya Sura kadhaa za Qur-ani Tukufu, Endelea ...


 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"JE! HAWAJUI KWAMBA ALLAH ANAPOKEA TOBA YA WAJA WAKE, NA ANAZIKUBALI SADAKA, NA KWAMBA ALLAH NI MWINGI WA KUPOKEA TOBA NA MWENYE KUREHEMU?" [09:78]

 


Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Lau mngeli yajua yale niyajuayo mimi, basi mngeli cheka kidogo na mngeli lia sana na msingeli kionea tamu chakula wala kinywaji". Al-Haakim-Allah amrehemu.

 


Katazo la Wiki

Kwa nini lakini umpige na pengine hata kumkata mshahara mtumishi wako wa nyumbani eti kwa sababu tu amevunja sahani tu au kikombe?! Wewe ukivunja unapigwa na nani?! Acha, hilo limekatazwa kwa kauli yake Bwana Mtume-Rehema na Amani zimshukie: "Msiwapige wajakazi wenu kwa sababu ya kuvunja vyombo vyenu, kwani navyo hivyo (vyombo) vina muda (wa kuishi) kama vile muda wa watu". Abu Nuaim-Allah amrehemu.

 

Swali la Wiki

SWALI: Nini hukumu ya kuelekea Qibla wakati wa kukidhi haja chooni au nje ya choo?

 

JIBU: Kauli yenye nguvu ni kwamba hakujuzu kuelekea Qibla wakati wa kujisaidia, ikiwa mawandani (nje ya choo). Imepokewa kutoka kwa Abu Ayoub Al-Answaariy-Allah amuwiye radhi-ya kwamba Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Mnapo kwenda chooni, basi msielekee Qibla na wala msikipe mgongo, lakini elekeeni Mashariki au Magharibi". Bukhaariy & Muslim-Allah awarehemu.

Allah ndiye Mjuzi mno.



| Tuandikie |



:

#2638 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Mon Sep 19, 2011 10:16 am
Subject: Forum mpya kwenye uislamu.org
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 
Assalaam Aleykum Warahmatullah,

Tumeanzisha forum-sehemu ya majadiliano na maswali kwenye website yetu ya
uislamu.org

link: forum.uislamu.org

Tunawakaribisha wote kwenye ukumbi wa maswali na majadiliano, njooni tuchangie,
tuulize, tufahamishane na tukumbushane pamoja na kuzingatia misingi yetu ya
dini.

#2639 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Mon Nov 7, 2011 12:37 pm
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 11 Dhul Hijja1432
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 



Last Update :   7 Novemba 2011 (Jumatatu)
    11 Dhilhijja (Mfungo Tatu) 1432 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5








Dondoo za wiki

Sharti za mpewa waqfu asiye muainiwa 
Kunashurutizwa kwa wapewa/wawekewa waq-fu wasio ainiwa (kwa kutajwa), kama vile, mafakiri, misikiti, mashule na vinginevyo. Ili uwekewa waq-fu wao uswihi kisheria, umeshurutiziwa sharti moja tu, nalo ni:
Kutokuwepo katika waq-fu huo, kuweka waq-fu kwenye mojawapo ya maasi, kwa sababu waq-fu huo wakati huo hakika si viginevyo utakuwa ni kisaidizi katika kutenda maasi na kuthibitisha uwepo wake. Na hakika si kwa jinginelo, waq-fu umeshariiwa ili kujisogeza karibu na Allah Ataadhamiaye, kwa hivyo basi waq-fu na maasi ni vinyume viwili visivyo weza kukutana pamoja..
Endelea ....


Unadhifu, umaridadi na siha...Inaendelea 
Hakika ushughulikiaji wa Uislamu katika suala zima la usafi na afya, ni sehemu ya ushughulikiaji wake wa nguvu ya Waislamu; ile ya kimaada na kidesturi. Kwa mantiki hiyo basi, Uislamu unahitaji viwiliwili ambavyo inapita ndani ya mishipa yake damu ya afya na ikawajaza wenye viwiliwili hivyo, murua na nguvu tendaji. Kwani viwiliwili kondefu haviyawezi magumu ya harakati za maisha na mikono yenye kitete haiwezi kuleta kheri yoyote.Endelea .....


Shaamu
Mwanzoni mwa awamu ya ukhalifa wa Sayyidna Uthman bin Affaan-Allah amuwiye radhi-aliikusanya Shamu nzima chini ya ugavana wa Muawiyah bin Abi Sufyaan, bin Harb, bin Umayyah.
Na mnamo mwaka wa pili wa ukhalifa wa Sayyidna Uthman, gavana Muawiyah aliishambulia dola ya Urumi mpaka akafika Amouriyah. Na akazikuta hapo ngome zilizo baina ya miji ya Twurtous na Antoukiya, akaliweka hapo kundi kubwa lililo undwa na wazalendo wa Shamu na Al-Jazeera, kisha akarejea. Na Swaaifah ikashambuliwa na Yazid bin Al-Harri Al-Absiy, naye akafuata nyayo za Muawiyah; akafanya kama alivyo fanya Muawiyah.
Endelea ...


Mazungumzo baina ya Mitume na kaumu yao ...Inaendelea
Baada ya hayo, hebu sasa tugure (tuhamie) kwenye mfano wa nne wa midahalo/majadiliano, yaliyo jiri baina ya Mitume na kaumu zao. Baada ya kutaja sehemu ya midahalo/majadiliano ya Mtume Nuhu, Hud na Saleh-Amani iwashukie-pamoja na kaumu zao.
Ukujiao sasa ni mfano wa nne, tunao utwaa kutoka katika kisa cha Nabii Ibrahim-Amani imshukie-pamoja na baba yake na kaumu yake. Na katika kisa hiki tutaona namna Mtume Ibrahim alivyo tumia katika mazungumzo yake pamoja na baba yake na kaumu yake, miundo hekima kina, yenye upole mno na iliyo wazi mno katika kuithibitisha haki na kuibatilisha batili.
 Endelea ...


 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"JE! WANAAMINISHA KUWA HAITOWAJIA ADHABU YA ALLAH YA KUWAGUBIKA, AU HAITAWAFIKA SAA YA KIYAMA KWA GHAFLA, NA HALI HAWATAMBUI?" [12:107]

 


Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Lau mngeli yajua yaliyomo katika kuomba omba, basi asingeli enda yeyote kwa mtu kumuomba chochote". Nasaai-Allah amrehemu.

 


Katazo la Wiki

Ni ubinaadamu gani huo?! Kwa nini ufurahie matatizo/shida na majanga yanayo msibu binaadamu mwenzio?! Kwani ukimfariji na kumnasihi asubiri, utapungukiwa nini?! Angalia: "Usidhihirishe furaha kwa balaa lililo msibu nduguyo, Allah akamshushia rehema zake na akakutahini wewe (kwa hilo balaa)". Tirmidhiy-Allah amrehemu.

 

Swali la Wiki

SWALI: Nimetawadha kwa ajili ya swala, halafu nikambeba mtoto mdogo akanikojolea, kisha nikaswali bila ya kutawadha tena. Je, swala yangu imeswihi (ni sahihi)?

 JIBU: Naam, swala yako ni sahihi, kwa sababu mkojo wa mtoto ulio kupata hautengui udhu, lakini lililo wajibu ni kuitwaharisha kwanza sehemu iliyo ingia mkojo.

Allah ndiye Mjuzi mno.



| Tuandikie |



:

#2640 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Tue Nov 15, 2011 11:26 am
Subject: Forum kwenye uislamu.org
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 
Assalaam Aleykum Warahmatullah,

Tunakumbushana tena kuwepo kwa forum mpya kwenye website ya Uislamu, na link
yake ni :

forum.uislamu.org

Kwa ambao wanataka kuchangia wanaweza kujiunga kwa kutuma email kwa
webmaster@..., hii ni kwa sababu kuna baadhi ya spammers wanatuma emails
ambazo haziendani na mtandao wetu, ama anayetaka kusoma tu hakuna dharura ya
kujkiandikisha.

Tunawatakia usomaji mwema.

Webmaster-uislamu.org

#2641 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Sat Dec 10, 2011 11:03 am
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 15 Muharram 1433
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 



Last Update :   10 Desemba 2011 (Jumamosi)
    15 Muharram (Mfungo Nne) 1433 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5








Dondoo za wiki

Tamko la kuweka waqfu  
Fasiri ya tamko: Neno "tamko" ni yale matamshi ambayo yanapo tamkwa huleta hisia za makusudi (kilicho kusudiwa/lengwa na mtamkaji). Au kile kinacho kaa memo ya matamshi, kama vile ishara fahamishi ya bubu au maandishi yake. Ili waq-fu iswihi na uasisiwe, hapana budi lipatikane hilo tamko linalo fahamisha huo uwekaji wa   waq-fu..Endelea ....


Haya (Soni) 
Haya (soni) ni alama/kielelezo cha tabia ya mtu, kwa hivyo basi haya ndiyo inayo fichua kiwango cha imani yake na kiasi cha adabu yake. Pale utakapo muona mtu anaumia moyo wake kwa sababu ya kutenda asilo takiwa kulitenda. Au ukaona wekundu wa haya ukiutia rangi uso wake, pale atakapo tenda lisilo faa kutendwa.
Endelea .....


Misri
Gavana wa nchi ya Misri mwanzoni mwa ukhalifa wa Sayyidna Uthman bin Affaan-Allah amuwiye radhi-alikuwa ni mfunguzi wake; Amrou bin Al-Aaswi. Na mnamo mwaka wa pili wa ukhalifa wake, Warumi wa Qostwantwiniyah waliwaandikia waraka Warumi wenzao wa Alexandria, ya kwamba wavunje mkataba wa suluhu walio andikiana na Waislamu. Warumi wa Alexandria wakalikubali hilo, ama Muqauqis yeye alikuwa ni mtu mwenye heshima, hakuvunja ahadi yake. Basi likaenda kundi kubwa la Warumi Alexandria, likapiga nanga hapo.  Endelea ...


Mazungumzo baina ya Mitume na kaumu yao ...Inaendelea
a mfano wa tano wa majadiliano yaliyo jengwa juu ya mantiki thabiti iliyo kamilika, hoja fikishi na nasaha busara. Tunauona katika majadiliano ya khatibu wa Mitume; Shuaib-Amani imshukie-na kaumu yake. Na majadiliano hayo yamekuja katika mahala kadhaa ndani ya Qur-ani Tukufu, miongoni mwake ni kauli yake Allah Ataadhamiaye:  Endelea ...


 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"JE! ANAYE JUA YA KWAMBA YALIYO TEREMSHWA KWAKO KUTOKA KWA MOLA WAKO MLEZI NI HAKI, NI SAWA NA YULE ALIYE KIPOFU? WENYE AKILI NDIO WANAO ZINGATIA". [13:19]

 


Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Zitawajia watu zama ambamo mtu hatajali anaipataje mali, je ni kwa (njia ya) halali au haramu". Bukhaariy-Allah amrehemu.

 


Katazo la Wiki

Ni kweli, ni wajibu na ni jukumu lako kama baba, kuwahangaikia watoto na mke/wake zako. Lakini ni kwa nini upitilize katika kuwahangaikia kiasi cha kukosa muda wa kumkumbuka Mola Muumba wako na kujiandaa na Akhera yako?! Hapana, sivyo hivyo, kumbuka: "Vinamfuata maiti vitu vitatu; ahali (mke/watoto) wake, mali yake na amali yake. Basi hurejea viwili na kikabakia kimoja, hurejea ahali wake na mali yake na kubakia amali yake". Bukhaariy & Muslim-Allah awarehemu.

 

Swali la Wiki

SWALI: Nini hukumu ya maji yatiririkayo yaliyo tiwa madawa ya kemikali kwa ajili ya umwagiliaji, pale yatakapo ingia nguoni, je yanainajisi? Na nini hukumu ya kuyatumia maji hayo katika udhu?

 

JIBU: Maji yaliyo najisika yatakapo badilika na yakatoka kwenye hakika (uhalisia) yake, hutwaa hukumu ya hakika nyingine, hayanajisiki ila pale itakapo badilika mojawapo ya sifa zake tatu; tamu (ladha), rangi au riha (harufu) kwa sababu ya huko kuingiwa na najisi. Na kanuni kama ilivyo pokewa katika hadithi: "Maji ni twahara, hayanajisishwi na kitu".

Allah ndiye Mjuzi mno.



| Tuandikie |



:

#2642 From: KILO MGAYA <kmgaya2002@...>
Date: Thu Dec 8, 2011 4:28 am
Subject: Re: Digest Number 1073
kmgaya2002@...
Send Email Send Email
 
Tuzidi kukumbushana kwenye mambo ya kheri inshallah

From: "jifunzeuislamu@yahoogroups.com" <jifunzeuislamu@yahoogroups.com>
To: jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Sent: Wednesday, November 16, 2011 1:55 PM
Subject: [jifunzeuislamu] Digest Number 1073

Messages In This Digest (1 Message)

1.
Forum kwenye uislamu.org From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com

Message

1.

Forum kwenye uislamu.org

Posted by: "jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com" jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com

Tue Nov 15, 2011 3:27 am (PST)



Assalaam Aleykum Warahmatullah,

Tunakumbushana tena kuwepo kwa forum mpya kwenye website ya Uislamu, na link yake ni :

forum.uislamu. org

Kwa ambao wanataka kuchangia wanaweza kujiunga kwa kutuma email kwa webmaster@uislamu. org, hii ni kwa sababu kuna baadhi ya spammers wanatuma emails ambazo haziendani na mtandao wetu, ama anayetaka kusoma tu hakuna dharura ya kujkiandikisha.

Tunawatakia usomaji mwema.

Webmaster-uislamu. org

Recent Activity
Visit Your Group
Yahoo! Groups

Small Business Group

Share experiences

with owners like you

New business?

Get new customers.

List your web site

in Yahoo! Search.

Y! Messenger

Group get-together

Host a free online

conference on IM.

Need to Reply?

Click one of the "Reply" links to respond to a specific message in the Daily Digest.

TUANDIKIE KWA MAIL; jifunzeuislamu@yahoogroups.com PIA UNAWEZA KUANGALIA PAGE YETU http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu



#2643 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Mon Jan 23, 2012 12:42 pm
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 29 Safar 1433
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 



Last Update :   23 Januari 2012 (Jumatatu)
    29 Safar (Mfungo Tano) 1433 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5








Dondoo za wiki

Ulazimu wa Waqfu na hukumu zinazo uandamia 
Waq-fu ni miongoni mwa vifungu lazimishi ambavyo vinavyo andamiwa na athari zake (vifungo hivyo), mara tu kinapo anzishwa (fungwa) kifungo kilicho sahihi. Na waq-fu si kama wasiya, kwani huo (wasiya) ni kifungo juzishi.
Ulazimu wa kifungo cha waq-fu unaandamiwa na hukumu zifuatazo:
1. Kutokuthibiti kwa khiari katika kifungo cha waq-fu. Angalia, mtu atakapo funga waq-fu ulio sahihi katika sheria, hatakuwa na khiyari majlisi kama ambavyo pia asivyo kuwa na khiyari sharti..
Endelea ....


Haya (Soni) ...Inaendelea 
Hakika haya ni muhimili wa kheri na ni elementi katika kila tendo linalo ichafua, Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Uchafu haukuingia katika kitu ila hukitia towa na haikuwa haya katika kitu ila hukipamba kitu hicho". Tirmidhiy-Allah amrehemu.
Endelea .....


Sayyidna Uthman aasiwa
Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-alikuwa akiutahadharisha umma wake dhidi ya kuibua na kuchochea fitina miongoni mwake. Na ni mara nyingi tu alikuwa akitoa tahadhari dhidi ya fitina, kwa sababu nguvu ya umma pale itakapo gurishwa kutoka kwa adui na kuletwa kwa wana wa umma wenyewe, hali ya umma huo itakuwa ni mbaya na nidhamu/mpangilio wake utafisidika. Na umma huo utakuwa karibu mno na uhovyo hovyo/fujo/ghasia na mbali mno na utengefu/ukaa sawa/ushwari.   Endelea ...


Mazungumzo baina ya Mitume na kaumu yao ...Inaendelea
Na mahala pengine tunaiona aina nyingine ya mdahalo/majadiliano yaliyo jiri baina ya Mtume Shuaib-Amani imshukie-na kaumu yake. Na majadiliano haya yamekuja kwa sura yenye ufafanuzi zaidi kuliko yale yaliyo tangulia, hebu yasikilize kupitia kauli yake Allah Ataadhamiaye: "NA KWA WATU WA MADYANA TULIWATUMIA NDUGU YAO SHUA'IB AKASEMA: ENYI WATU WANGU! MUABUDUNI ALLAH. NYINYI HAMNA MUNGU ILA YEYE, WALA MSIPUNGUZE VIPIMO NA MIZANI. MIMI NAKUONENI MMO KATIKA HALI NJEMA, NAMI NAKUKHOFIENI ADHABU YA SIKU KUBWA HIYO ITAKAYO KUZUNGUKENI. NA ENYI WATU WANGU! TIMIZENI VIPIMO NA MIZANI KWA UADILIFU WALA MSIWAKHINI WATU VITU VYAO; WALA MSIENEZE UOVU KATIKA NCHI MKAFANYA UHARIBIFU. ALIVYO KUBAKISHIENI ALLAH NDIYO BORA KWA AJILI YENU, IKIWA NYINYI NI WAUMINI. WALA MIMI SIYE MLINZI WENU". [11:84-86]  Endelea ...


 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"JE! HAWAKUONA KWAMBA TUNAIFIKIA ARDHI TUKIIPUNGUZA NCHANI MWAKE? NA ALLAH UHUKUMU, NA HAPANA WA KUPINGA HUKUMU YAKE, NAYE NI MWEPESI WA KUHISABU". [13:41]

 


Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Lau mwanaadamu angeli kuwa na mali iliyo jaa majangwa mawili, basi angeli taka na la tatu. Na wala tumbo la mwanaadamu halitajazwa ila na mchanga na Allah huipokea toba ya mwenye kutubia". Bukhaariy & Muslim-Allah awarehemu.

 


Katazo la Wiki

Ewe mwanamke wa Kiislamu, kwa nini humuogopi Mola Mlezi wako?! Mume hukuchaguliwa na mtu, umempenda mwenyewe, akaja kwa wazazi, ukaozeshwa. Kwa nini leo unampa mgongo kitandani?! Acha mara moja, kwani huko ni kuzinunua bure laana za malaika, viumbe wasio muasi Allah, sikia na utafakari: "Mume atakapo muita mkewe kitandani kwake, naye asimuitike, (mume) akalala akiwa amemghadhibikia. Hulaaniwa (mwamamke huyo) na malaika mpaka kunapambazuka". Bukhaariy & Muslim-Allah awarehemu.

 

Swali la Wiki

SWALI: Nini hukumu ya udhu kwa mwanamke aliye zitia kucha zake hiki kinacho itwa leo "rangi ya kucha"?

 

JIBU: Hakujuzu kwa mwanamke anaye swali kupaka rangi kucha zake ikiwa rangi hiyo inayazuia maji kukufikia kiungo wakati wa kuchukua twahara ya udhu au josho. Na kila kitu kinacho zuia maji kufika kwenye kiungo kinacho twaharishwa, hakijuzu kutumiwa na mwenye kutawadha au mwenye kuoga, kwa sababu Allah Ataadhamiaye anasema: "...BASI OSHENI NYUSO ZENU, NA MIKONO YENU..." [05:06]

Na mwanamke akiwa amezipaka rangi kucha zake, bila ya shaka rangi hiyo inayazuia maji kukifikia kiungo kinacho oshwa, kwa ajili hiyo basi anakuwa bado hajauosha mkono wake. Na kwa kitendo chake hicho cha kutokukamilisha kuosha kiungo cha udhu, anakuwa ameiacha mojawapo ya nguzo za udhu/josho.

Allah ndiye Mjuzi mno.



| Tuandikie |



:

#2644 From: jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Date: Wed Feb 1, 2012 4:50 pm
Subject: File - Karibu
jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 
Aoozu-Billahi-Minushaita-Nirrajim
Bismillah Hirahmaan Niraheem
Laa ilaa-ha il-lal-laa-hu Muhammadur-rasuulul-laah "HAPANA MOLA MWENYEKUABUDIWA
KWA HAKI ILA ALLAH Subhanahu wah ta'ala NA MUHAMMAD(Sallallaahu Alayhi
Wasallam)NI MJUMBE WAKE"

    Asalamu alaikum wa rahmatullahi wa barakatuh
HAkika hapana mafanikio ya hapa duniani na kesho akhera ila ALLAH Subhanahu wah
ta'ala ameyaweka katika njia iliyo kamili njia hiyo ni UISLAMU.
    Jifunze uislamu ni mtandao unaowajumuisha waislamu wanaoongea kiswahili
katika kufundishana juu ya uislamu .
    kikundi hiki kina karibisha waislamu wote walio kila mahali,wenye limu kubwa
za dini au wastani au wasio na elimu za dini ili kujifunza kupitia mtandao huu
mambo mengi yanayohusu uislamu angalia mail zilizotangulia 
http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/messages .
    Tunakukaribisha ili ufaidike na elimu tunayoitoa pia kama unataka kuchangia
katika maada unakaribishwa tuandikee kwa mail jifunzeuislamu@yahoogroups.com
    TAFADHALI WAJULISHE WAISLAMU WENGINE.
  W'ssalaamu'alaykum wa rahmatullahi wa barakatuh

#2645 From: jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Date: Thu Mar 1, 2012 4:43 pm
Subject: File - Karibu
jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 
Aoozu-Billahi-Minushaita-Nirrajim
Bismillah Hirahmaan Niraheem
Laa ilaa-ha il-lal-laa-hu Muhammadur-rasuulul-laah "HAPANA MOLA MWENYEKUABUDIWA
KWA HAKI ILA ALLAH Subhanahu wah ta'ala NA MUHAMMAD(Sallallaahu Alayhi
Wasallam)NI MJUMBE WAKE"

    Asalamu alaikum wa rahmatullahi wa barakatuh
HAkika hapana mafanikio ya hapa duniani na kesho akhera ila ALLAH Subhanahu wah
ta'ala ameyaweka katika njia iliyo kamili njia hiyo ni UISLAMU.
    Jifunze uislamu ni mtandao unaowajumuisha waislamu wanaoongea kiswahili
katika kufundishana juu ya uislamu .
    kikundi hiki kina karibisha waislamu wote walio kila mahali,wenye limu kubwa
za dini au wastani au wasio na elimu za dini ili kujifunza kupitia mtandao huu
mambo mengi yanayohusu uislamu angalia mail zilizotangulia 
http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/messages .
    Tunakukaribisha ili ufaidike na elimu tunayoitoa pia kama unataka kuchangia
katika maada unakaribishwa tuandikee kwa mail jifunzeuislamu@yahoogroups.com
    TAFADHALI WAJULISHE WAISLAMU WENGINE.
  W'ssalaamu'alaykum wa rahmatullahi wa barakatuh

#2646 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Mon Mar 26, 2012 11:00 am
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 15 Rabiul Thani 1433
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 



Last Update :   8 Machi 2012 (Alkhamisi)
    15 Rabiul Thani (Mfungo Saba) 1433 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5








Dondoo za wiki

Kufa kwa muwekewa/mpewa waq-fu
1. Atakapo kufa muwekewa/mpewa waq-fu (mnufaika wa waq-fu), angalia iwapo muweka waq-fu alianisha mahala pengine pa utumizi wa waq-fu, waq-fu utagurishiwa (utahamishiwa) huko wakati wa kufa kwa yule wa mwanzo. Na hili ni kama kusema muweka/mtoa waq-fu: Nimeiweka waq-fu nyumba hii au gari hili, kwa mwanangu, kisha kwa mafakiri.Na kama hakutaja mahala pengine pa utumizi, utakapo hamishiwa waq-fu, kiwekwa waq-fu kitaendelea kuwa waq-fu. Na waq-fu huo utatolewa kwa ndugu/jamaa wa karibu wa muweka waq-fu, siku atakayo kufa yule mpewa waq-fu wa mwanzo. Endelea ....


Kuunga undugu
Hakuna njia/sababu inayo ingia akilini, inayo wapelekea watu kuishi kwa kutengana na kukatana pande. Bali sababu/njia zinazo simama juu ya mantiki ya haki na hisia salama, huwatia watu hisia za kuhurumiana na kuoneana sikitiko. Na huwaandalia jamii kamilifu inayo tawaliwa na upendo na amani. Na Allah Ataadhamiaye amezirejesha nasaba na jinsia zote za watu wote kwa wazazi wawili, ili aunde kutokana nao makutano ya mafungamano na maungano: 
Endelea .....


Mwanzo wa fitina
Ama wale wakaazi wa majimboni, walio muasi Sayyidna Uthman-Allah amuwiye radhi-hao hawakuuacha upotofu wao huo, bali waliendelea na uasi wao. Wakiwa katika muendelezo wao wa uasi kwa kiongozi halali wa umma, wakajiwa na nyaraka kutoka kwa waasi wenzao walioko Madina, wakiwaambia: Njooni kwetu, kwani jihadi (ya kumng'oa Uthman madarakani) iko huku. Wote wakaagana kukutana katika mwezi wa Shawwal (mfunguo mosi/mwezi wa 10), watoke ndani ya mwezi huo wakionyesha kuwa wanakwenda Hijja (miezi miwili kabla ya ibada ya Hijja).  Endelea ...


Mazungumzo baina ya Mitume na kaumu yao ...Inaendelea
Hivi ndivyo tunavyo muona Mtume Shuaib-Amani imshukie-akiwalingania watu wake kwa namna iliyo nzuri kabisa. Na akajadiliana na kuhojiana nao kwa miundo iliyo kusanya anuwai za uwongofu, na akaliweka kila neno alilo waambia mahala pake linapo faa kuwekwa. Na akawasemeza kwa mantiki madhubuti na bayana inayo gota nyoyoni. Lakini wapi, wao waliyakabili yote hayo kwa maneno mabaya, kwa uadui na ghururi, kwa vitisho vya wazi na kwa makamio dhaahiri. Basi mwisho wao ukawa ni kupata khasara na maangamivu.   Endelea ...


 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"HUONI KUWA ALLAH AMEZIUMBA MBINGU NA ARDHI KWA HAKI? AKITAKA ATAKUONDOENI NA ALETE VIUMBE WAPYA! NA HILO KWA ALLAH SI JAMBO GUMU". [14:19-20]

 


Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Haikuwa jihadi ni mtu kupigana katika njia ya Allah kwa panga lake (tu), hakika si vinginevyo jihadi (nyingine) ni yule aliye wakimu wazazi wake na akawakimu wanawe, huyo yuko katika jihadi. Na mwenye kuikimu nafsi yake akaiepusha na kuwaomba watu, huyo naye yuko katika jihadi". Ibn Asaakir-Allah amrehemu.

 


Katazo la Wiki

Ni lipi kubwa hasa lisilo sameheka, linalo kufanya umchukie na kumuhusudi ndugu yako?! Hapana, acha kwani muislamu hawi hivyo, kwa sababu anaisikiliza na kuitii kauli ya Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie: "Msibughudhiane, wala msihusudiane, wala msifanyiane njama na wala msikatane pande. Na kuweni ndugu, enyi waja wa Allah! Na wala si halali kwa mtu kumuhama ndugu yake kwa zaidi ya siku tatu".

 

Swali la Wiki

SWALI: Nini hukumu ya udhu wa mwanamke aliye upakaza hina mkono wake?

 

JIBU: Hina inatofautiana na rangi ya kucha katika hukumu, kwani kule kubakia kwa athari ya rangi ya kucha mkononi au mguuni baada ya kuoshwa kwa ile dhati yake, hakuathiri chochote katika udhu/josho. Kwa sababu rangi ya hina haina tabaka tofauti na rangi ambayo inalo tabaka (gamba) linalo yazuia maji kuifikia ngozi. Kwa hivyo basi udhu hauswihi pamoja na kuwepo kwa rangi, kwa sababu ya maji kutoifikia  ngozi.

Allah ndiye Mjuzi mno.



| Tuandikie |



:

#2647 From: jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Date: Sun Apr 1, 2012 3:47 pm
Subject: File - Karibu
jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 
Aoozu-Billahi-Minushaita-Nirrajim
Bismillah Hirahmaan Niraheem
Laa ilaa-ha il-lal-laa-hu Muhammadur-rasuulul-laah "HAPANA MOLA MWENYEKUABUDIWA
KWA HAKI ILA ALLAH Subhanahu wah ta'ala NA MUHAMMAD(Sallallaahu Alayhi
Wasallam)NI MJUMBE WAKE"

    Asalamu alaikum wa rahmatullahi wa barakatuh
HAkika hapana mafanikio ya hapa duniani na kesho akhera ila ALLAH Subhanahu wah
ta'ala ameyaweka katika njia iliyo kamili njia hiyo ni UISLAMU.
    Jifunze uislamu ni mtandao unaowajumuisha waislamu wanaoongea kiswahili
katika kufundishana juu ya uislamu .
    kikundi hiki kina karibisha waislamu wote walio kila mahali,wenye limu kubwa
za dini au wastani au wasio na elimu za dini ili kujifunza kupitia mtandao huu
mambo mengi yanayohusu uislamu angalia mail zilizotangulia 
http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/messages .
    Tunakukaribisha ili ufaidike na elimu tunayoitoa pia kama unataka kuchangia
katika maada unakaribishwa tuandikee kwa mail jifunzeuislamu@yahoogroups.com
    TAFADHALI WAJULISHE WAISLAMU WENGINE.
  W'ssalaamu'alaykum wa rahmatullahi wa barakatuh

#2648 From: Abuu Luqman <abuu_luqman@...>
Date: Sat Apr 21, 2012 6:16 am
Subject: Amazing
abuu_luqman@...
Send Email Send Email
 
#2649 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Thu Apr 5, 2012 10:51 am
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao tarehe 13 Jumadal Uula (Mfungo Nane)
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 
Jifunze Uislamu kupitia mtandao

Last Update :   5 Aprili 2012 (Alkhamisi)
    13 Jumadal Uula (Mfungo Nane) 1433 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

Ujira wa msimamizi wa waq-fu
Muweka waq-fu akimshurutizia msimamizi wa waq-fu kupata kitu katika mapato ya waq-fu, inajuzu na kunamuelea kukitwaa. Na iwapo muweka waq-fu hakumshurutizia msimamizi ujira, basi hana ujira atakao pewa.
Angalia, lau msimamizi huyo atalipeleka suala hilo kwa hakimu/mtawala na akamtaka kumkatia ujira, kumemjuzia hakimu/kadhi kumkatia ujira ambao anaona unalingana na kazi yake. Hayo ni iwapo kadhi hakumpata mtu wa kujitolea atakaye usimamia waq-fu bila ya ujira. Endelea ....


Kuunga undugu...Inaendelea
Hakika makubwa ya Dunia na taabu/dhiki/shida, huwashukia watu kama inavyo nyeesha mvua kubwa, ikaienea ardhi yenye rutuba na ile kame. Na mtu peke yake ni dhaifu mno, hana ubavu wa kuzikabili shida/taabu/dhiki hizo. Na hata kama ataweza kusimama peke yake, basi bila ya shaka atatumia nguvu kubwa mno ambayo asinge ihitajia kama ndugu wangeli kuja wangu wangu kumsaidia. Kwani wamenena wahenga: "Mtu ni mchache akiwa peke yake na ni mwingi akiwa na wenzake".: 
Endelea .....


Kuzingirwa kwa Sayyidna Uthman
Kisha baada ya mahojiano hayo ambamo waasi walishikilia kuwa Sayyidna Uthman ndiye mwandishi wa waraka ule, na yeye akikataa kuuandika wala kuutambua kwa kiapo. Waasi waliendelea kuung'ang'ania msimamo wao, wakamzingira Amirul-Muuminina na swahaba na mkwe wa Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-aliye bashiriwa pepo. Mzingiro ulio mkubwa mno, kiasi hata cha kumzuia kuswali kwenye msikiti wa Mtume wa Allah. Sayyidna Uthman-Allah amuwiye radhi-akatuma ujumbe wa wito kwa Sayyidna Aliy, Twalhah na Zubeir, nao wakaitika wito. Endelea ...


Mazungumzo baina ya Mitume na kaumu yao ...Inaendelea
Na mahala pengine tunawaona washirikina wakimpa Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-sifa ya uwendawazimu na nyinginezo miongoni mwa sifa mbaya ambazo yeye yu mbali na ametakasika nazo. Hapo inashuka Qur-ani Tukufu na kumkanushia tuhuma batili hizo na badala yake inamsifia kwa sifa bora mno na daraja adhimu kabisa. Na miongoni mwa aya zilizo yasimulia hayo, ni kauli yake Allah-utakati wa mawi ni wake: "NUUN. NAAPA KWA KALAMU NA YALE WAYAANDIKAYO, KWA NEEMA YA MOLA WAKO MLEZI WEWE SI MWENDAWAZIMU. NA KWA HAKIKA WEWE UNA MALIPO YASIYO KATIKA. NA HAKIKA WEWE UNA TABIA TUKUFU. KARIBU UTAONA, NA WAO WATAONA, NI NANI KATI YETU ALIYE PANDWA NA WAZIMU. HAKIKA MOLA WAKO MLEZI NDIYE YEYE AJUAYE ZAIDI NANI ALIYE IPOTEA NJIA YAKE, NA YEYE NDIYE ANAYE WAJUA ZAIDI WALIO ONGOKA". [68:01-07]  Endelea ...

 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"HEBU HUKUONA VIPI ALLAH ALIVYO PIGA MFANO WA NENO ZURI? NI KAMA MTI MZURI, MIZIZI YAKE NI IMARA, NA MATAWI YAKE YAKO MBINGUNI. HUTOA MATUNDA YAKE KILA WAKATI KWA IDHINI YA MOLA WAKE MLEZI. NA ALLAH HUWAPIGIA WATU MIFANO ILI WAPATE KUKUMBUKA". [14:24-25]

 

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Hapana yeyote katika umati wangu anaye walea mabinti watatu au madada watatu, akawatendea wema, ila watakuwa kwake ni kinga dhidi ya moto". Al-Baihaqiy-Allah amrehemu.

 

Katazo la Wiki

Wewe ni mwanaadamu na ni ukweli ulio dhaahiri shaahiri kwamba kila mwanaadamu ni mwingi wa kutenda makosa, hayo ndio maumbile. Lakini kwa nini ukose, kisha uwe na kiburi, hutaki kutubia kwa dhambi ulizo zitenda?! U wapi wewe na kauli ya Mola wako Mlezi: "NAYE NDIYE ANAYE POKEA TOBA KWA WAJA WAKE, NA ANASAMEHE MAKOSA, NA ANAYAJUA MNAYO YATENDA". [42:25]

 

Swali la Wiki
SWALI: Nimemchambisha mtoto mdogo aliye jisaidia nami nikiwa nimesha tawadha, je udhu wangu umetenguka au la?

JIBU: Udhu hautenguki kwa kuosha najisi iliyo mwilini mwa mtu aliye kwisha tawadha au asiye na udhu. Udhu utatenguka ikiwa uliigusa tupu (uchi) ya huyo mtoto uliye mchambisha, bila ya shaka udhu utakuwa umetenguka kwa sababu hiyo kama ambavyo mtu angeli igusa tupu yake mwenyewe, ungeli tenguka.
Allah ndiye Mjuzi mno.
 


| Tuandikie |

:

#2650 From: jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Date: Tue May 1, 2012 3:50 pm
Subject: File - Karibu
jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 
Aoozu-Billahi-Minushaita-Nirrajim
Bismillah Hirahmaan Niraheem
Laa ilaa-ha il-lal-laa-hu Muhammadur-rasuulul-laah "HAPANA MOLA MWENYEKUABUDIWA
KWA HAKI ILA ALLAH Subhanahu wah ta'ala NA MUHAMMAD(Sallallaahu Alayhi
Wasallam)NI MJUMBE WAKE"

    Asalamu alaikum wa rahmatullahi wa barakatuh
HAkika hapana mafanikio ya hapa duniani na kesho akhera ila ALLAH Subhanahu wah
ta'ala ameyaweka katika njia iliyo kamili njia hiyo ni UISLAMU.
    Jifunze uislamu ni mtandao unaowajumuisha waislamu wanaoongea kiswahili
katika kufundishana juu ya uislamu .
    kikundi hiki kina karibisha waislamu wote walio kila mahali,wenye limu kubwa
za dini au wastani au wasio na elimu za dini ili kujifunza kupitia mtandao huu
mambo mengi yanayohusu uislamu angalia mail zilizotangulia 
http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/messages .
    Tunakukaribisha ili ufaidike na elimu tunayoitoa pia kama unataka kuchangia
katika maada unakaribishwa tuandikee kwa mail jifunzeuislamu@yahoogroups.com
    TAFADHALI WAJULISHE WAISLAMU WENGINE.
  W'ssalaamu'alaykum wa rahmatullahi wa barakatuh

#2651 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Wed May 2, 2012 1:20 pm
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao tarehe 11 Jumadal Aakhar (Mfungo Tisa)
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 
Jifunze Uislamu kupitia mtandao

Last Update :   2 May 2012 (Jumatano)
    11 Jumadal Aakhar (Mfungo Tisa) 1433 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

Wasia
"Wasia", ni neno linalo beba maana mbili; maana ya kilugha (isiyo rasmi) na ile ya kisheria (maana rasmi). Twendapo na maana ya "Wasia" katika lugha, neno "Wasia" hutumika katika lugha kwa maana ya "kufikisha". Ama "Wasia" katika sharia ni: Utoaji hiba wa haki ya mali, unao unganishwa na kipindi cha baada ya mauti ya mtoaji.
Na utoaji hiba huu umeitwa "Wasia", kwa sababu yule anaye usia (Mtoa hiba) huwa kwa utoaji wake huo ameiunga kheri ya marejeo yake (Akhera) na kheri ya Dunia yake. Endelea ....


Kuunga undugu...Inaendelea
Katika jamii yenye kupendana kwa upendo wa Allah, jamii inayo kusanywa na matukufu ya Uislamu. Katika jamii hiyo, udugu wa imani hukaa mahala pa udugu wa nasabu/damu, na pengine kiunganishi cha imani kikakishinda kile kiunganishi cha damu. Na lililo la haki kusemwa ni kwamba, kamba za udugu kwa ajili ya Allah, ndizo ambazo zilizo wakusanya Waislamu kwa mara ya kwanza na zikaiasisi Dola ya Kiislamu na zikaipeperusha bendera ya Uislamu. 
Endelea .....


Waraka wa Sayyidna Uthman kwa Waislamu
Kufuatia mzingiro mkali ambao haukumpa hata fursa ya kutoka kuwaswalisha Waislamu swala za jamaa, Sayyidna Uthman-Allah amuwiye radhi-akamuamrisha Uthman bin Abdillah bin Abbas akawaongoze watu katika ibada ya Hijja, akasema: Kupigana na (waasi) hawa kunapendeza mno kwangu kuliko kwenda kuhiji (kwa sasa). Basi akamtilia mkazo katika amri hiyo mpaka akatii, akatoka kwenda kuwahijisha watu na akamuandikia waraka akiwafahamisha Waislamu juu ya kadhia yake. Endelea ...


Mazungumzo baina ya Mitume na kaumu yao ...Inaendelea
Na mahala pa nne tunawaona washirikina wakimwambia Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie: Ewe Muhammad! Sisi katu hatutakuamini wewe mpaka na sisi tushushiwe wahyi kama unavyo shushiwa wewe. Qur-ani inawarudi ikiwabainishia ya kwamba utume ni hiba/tunu ambayo Allah Ataadhamiaye humtunukia amtakaye miongoni mwa waja wake. Na kwamba wahyi hauteremshwi ila kwa mitume walio teuliwa na kukhitariwa na Allah-utakati wa mawi ni wake-kuichukua risala yake na kuifikisha da'awa yake.  Endelea ...

 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"HEBU HUKUWAONA WALE WALIO IBADILISHA NEEMA YA ALLAH KWA KUFURU, NA WAKAWAFIKISHA WATU WAO KWENYE NYUMBA YA MAANGAMIZO? NAYO NI JAHANNAMU! MAOVU YALIYOJE MAKAAZI HAYO!" [14:28-29]

 

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Si mbora wenu, yule aliye iacha Dunia yake kwa ajili ya (kuitafuta) Akhera yake, wala yule aliye iacha Akhera yake kwa ajili ya Dunia yake mpaka avipate vyote viwili. Kwa sababu Dunia ni njia ya kuifikia Akhera na wala msiwe mzigo mzito kwa watu". Ibn Asaakir-Allah amrehemu.

 

Katazo la Wiki

Kwa nini lakini, kwa nini utende dhambi kisha umuombe maghufira Mola wako, halafu tena urejee kuitenda dhambi ile ile uliyo itakia maghufira?! Huo ni mchezo mbaya, tena wenye mwisho mbaya, tahadhari! Mtume-Rehema na Amani zimshukie-anasema: "Mtaka maghufira ya dhambi na ilhali anaendelea na dhambi hiyo, huyo ni kama mwenye kumcheza shere Mola wake".

 

Swali la Wiki

SWALI: Mwanamke mwenye janaba anapo oga, je analazimika kuosha nywele zake mpaka maji yaifikie ngozi ya kichwa?

JIBU: Kuoga kwa ajili ya janaba au mengineyo yanayo pasisha josho, kunapasa ndani yake kuyafikisha maji kwenye maoteo/mameleo ya nywele, iwe ni kwa mwanamke au mwanamume, kwa mujibu wa kauli yake Allah Ataadhamiaye: "...NA MKIWA NA JANABA, BASI OGENI..." [05:06]
Na wala hakumjuzii kuosha juu ya nywele tu, bali hapana budi maji yafike kwenye mashina ya nywele, mpaka kwenye ngozi ya kichwa.
Allah ndiye Mjuzi mno.

 


| Tuandikie |

:

#2652 From: Hamad Bakar <hbhilika@...>
Date: Mon May 14, 2012 4:26 am
Subject: The Muslims are Brothers!!
hbhilika
Send Email Send Email
 
Assalaam Alaikum!!

Tafadhali tunaomba msaada wenu. site hiyo hapo chini ni kwa ajili ya Questoineer ya ndugu yetu mmoja anaitwa FATMA MOHAMMED anasoma Engineering University of Tokyo katika daraja ya PHD,  karibuni anatarajiwa kumaliza masomo yake. Tunaomba kwa ndugu zetu wote wakaazi wa Dar es salaam kumsaidia kijaza Questioneer ambayo inapatikana katika hiyo site ilioonyweshwa hapo chini.

Tafadhali wapatie kila unowezana nao ili wasaidie katika kujaza na ndugu yetu huyu aweze kufanikisha masomo yake kwa wakati, zinahitajika nyingi sana na hadi sasa deadline inakaribia kumalizika na mafanikio bado si mazuri.

Mafanikio yake kimasomo yataongeza idadi ya DOCTOR mmoja wa kiislamu katika fani ya Engineering nchini mwetu, ambapo inaweza kuwa faida kwetu na watoto wetu na waislamu woote kwa jumla

Tafadhali msaada wako unahitajika na Mungu atakulipa kila jema.

http://www.surveymonkey.com/s/6C7N67X


#2653 From: fadhila mwindadi <fadhilapshom@...>
Date: Thu May 3, 2012 5:52 am
Subject: Re: Jifunze Uislamu kupitia mtandao tarehe 11 Jumadal Aakhar (Mfungo Tisa)
fadhilapshom
Send Email Send Email
 
Assallam allaikum Warahamatullah Wabarakatuh, Jazakallah Khair kwa kula kitu.  Fungu lenu mtalikuta.
Amina.
 
fmwindadi


From: "jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com" <jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com>
To: jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Sent: Wednesday, May 2, 2012 6:50 PM
Subject: [jifunzeuislamu] Jifunze Uislamu kupitia mtandao tarehe 11 Jumadal Aakhar (Mfungo Tisa)

 
Jifunze Uislamu kupitia mtandao
Last Update :   2 May 2012 (Jumatano)
    11 Jumadal Aakhar (Mfungo Tisa) 1433 AH
Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  
"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5

Dondoo za wiki
Wasia
"Wasia", ni neno linalo beba maana mbili; maana ya kilugha (isiyo rasmi) na ile ya kisheria (maana rasmi). Twendapo na maana ya "Wasia" katika lugha, neno "Wasia" hutumika katika lugha kwa maana ya "kufikisha". Ama "Wasia" katika sharia ni: Utoaji hiba wa haki ya mali, unao unganishwa na kipindi cha baada ya mauti ya mtoaji.
Na utoaji hiba huu umeitwa "Wasia", kwa sababu yule anaye usia (Mtoa hiba) huwa kwa utoaji wake huo ameiunga kheri ya marejeo yake (Akhera) na kheri ya Dunia yake. Endelea ....

Kuunga undugu...Inaendelea
Katika jamii yenye kupendana kwa upendo wa Allah, jamii inayo kusanywa na matukufu ya Uislamu. Katika jamii hiyo, udugu wa imani hukaa mahala pa udugu wa nasabu/damu, na pengine kiunganishi cha imani kikakishinda kile kiunganishi cha damu. Na lililo la haki kusemwa ni kwamba, kamba za udugu kwa ajili ya Allah, ndizo ambazo zilizo wakusanya Waislamu kwa mara ya kwanza na zikaiasisi Dola ya Kiislamu na zikaipeperusha bendera ya Uislamu. 
Endelea .....

Waraka wa Sayyidna Uthman kwa Waislamu
Kufuatia mzingiro mkali ambao haukumpa hata fursa ya kutoka kuwaswalisha Waislamu swala za jamaa, Sayyidna Uthman-Allah amuwiye radhi-akamuamrisha Uthman bin Abdillah bin Abbas akawaongoze watu katika ibada ya Hijja, akasema: Kupigana na (waasi) hawa kunapendeza mno kwangu kuliko kwenda kuhiji (kwa sasa). Basi akamtilia mkazo katika amri hiyo mpaka akatii, akatoka kwenda kuwahijisha watu na akamuandikia waraka akiwafahamisha Waislamu juu ya kadhia yake. Endelea ...

Mazungumzo baina ya Mitume na kaumu yao ...Inaendelea
Na mahala pa nne tunawaona washirikina wakimwambia Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie: Ewe Muhammad! Sisi katu hatutakuamini wewe mpaka na sisi tushushiwe wahyi kama unavyo shushiwa wewe. Qur-ani inawarudi ikiwabainishia ya kwamba utume ni hiba/tunu ambayo Allah Ataadhamiaye humtunukia amtakaye miongoni mwa waja wake. Na kwamba wahyi hauteremshwi ila kwa mitume walio teuliwa na kukhitariwa na Allah-utakati wa mawi ni wake-kuichukua risala yake na kuifikisha da'awa yake.  Endelea ...
 
Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an
Aya ya Wiki
"HEBU HUKUWAONA WALE WALIO IBADILISHA NEEMA YA ALLAH KWA KUFURU, NA WAKAWAFIKISHA WATU WAO KWENYE NYUMBA YA MAANGAMIZO? NAYO NI JAHANNAMU! MAOVU YALIYOJE MAKAAZI HAYO!" [14:28-29]
 
Hadith ya Wiki
Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Si mbora wenu, yule aliye iacha Dunia yake kwa ajili ya (kuitafuta) Akhera yake, wala yule aliye iacha Akhera yake kwa ajili ya Dunia yake mpaka avipate vyote viwili. Kwa sababu Dunia ni njia ya kuifikia Akhera na wala msiwe mzigo mzito kwa watu". Ibn Asaakir-Allah amrehemu.
 
Katazo la Wiki
Kwa nini lakini, kwa nini utende dhambi kisha umuombe maghufira Mola wako, halafu tena urejee kuitenda dhambi ile ile uliyo itakia maghufira?! Huo ni mchezo mbaya, tena wenye mwisho mbaya, tahadhari! Mtume-Rehema na Amani zimshukie-anasema: "Mtaka maghufira ya dhambi na ilhali anaendelea na dhambi hiyo, huyo ni kama mwenye kumcheza shere Mola wake".
 
Swali la Wiki
SWALI: Mwanamke mwenye janaba anapo oga, je analazimika kuosha nywele zake mpaka maji yaifikie ngozi ya kichwa?

JIBU: Kuoga kwa ajili ya janaba au mengineyo yanayo pasisha josho, kunapasa ndani yake kuyafikisha maji kwenye maoteo/mameleo ya nywele, iwe ni kwa mwanamke au mwanamume, kwa mujibu wa kauli yake Allah Ataadhamiaye: "...NA MKIWA NA JANABA, BASI OGENI..." [05:06]
Na wala hakumjuzii kuosha juu ya nywele tu, bali hapana budi maji yafike kwenye mashina ya nywele, mpaka kwenye ngozi ya kichwa.
Allah ndiye Mjuzi mno.

 
:



#2654 From: IslamiCity Bulletin <bulletin@...>
Date: Wed May 23, 2012 5:39 pm
Subject: Building a Relationship with the Quran (Bulletin 5/22/2012)
bulletin@...
Send Email Send Email
 

 In The Name Of God, the Most Gracious the Most Merciful

Tuesday, May 22, 2012

                                                                  


                                                                                                                                      IslamiCity Project 


  

 

 
IslamiCity Hajj 2012!  

Join IslamiCity Hajj - The journey of a lifetime, which every Muslim desires to take. Those fortunate enough to go are considered guests of God.

Please see the following for more details:

Starting at $4995!

* Due to visa restrictions this program is for US Residents only.

For preliminary information please click here and fill out the registration form.

 

               IslamiCity is a Non-Profit Site supported by donors and members

               Watch: The Hajj Pilgrimage

  

   

 

 
Reflections on the Branches of Faith  
The Love of God is the spring from which faith flows and the foundation from which our following of the example of the Prophet is born. It is narrated in an authentic tradition of the Prophet Muhammad that he said:

"Faith is seventy-something branches. The highest of the branches is the statement 'There is no god but God' and the lowest of them is to remove something harmful from the road. Modesty is from faith." (Muslim) In this simple tradition the Prophet clarifies to mankind that faith requires more than lip-service. Faith is an ongoing struggle towards improvement, a journey of actualization and a mission of carrying the message of truth to all of creation.

Click HERE to read more.
  




                                                                                                                                 

   

 

 
Building a Relationship with the Quran  

Certain basic states and attitudes of heart and mind are a necessary prerequisite to any fruitful relationship with the Qur'an. Develop them as much as you can. Make them part of your consciousness, keep them ever-alive and active. Integrate them in your actions. Let them penetrate the depth of your being. Without the help of these inner resource you will not receive your full measure of the Qur'an's blessings. They will be your indispensable companions, too, throughout your journey.

These inner resources are neither difficult nor impossible to find. Through constant awareness and reflection, through appropriate words and deeds, you can acquire and develop them. The more you do so, the closer you will be able to come to the Qur'an; the closer you come to the Qur'an, the greater will be your harvest.

Click HERE to read full article.
    

 

 
BISMILLAH. Large Faux Canvas Frame. 
 

DUA - HAND ENGRAVED 
 
 
LARGE CRYSTAL QURAN. Engraved with Surah Fatiha & Begining of Surah 2 in GOLDEN LETTERS.
 
 
DELUXE EDITION, LARGE QURAN IN LEATHER COVERED GIFT BOX. 
 

All bazar proceeds help IslamiCity's outreach efforts. IslamiCity.com is a non-profit website

 

 

 

 
Hajj: ABC News - The Hajj Pilgrimage  
Following writer/producer Michael Wolfe, this short film documents his second Hajj for ABC News' Nightline. One of the more than seven million Muslims in the United States, Wolfe is a convert to Islam, born to a Christian mother and a Jewish father.


http://www.islamicity.com/global/images/photo/Other/ecast_sub_header2__665x26.GIF

 

    
Goodness

 To make one good action succeed another, is the perfection of goodness.

Ali ibn Abi Talib (598 CE - 661 CE)

 

FACTS:
  • 1.6 Million non-Muslims visit IslamiCity each year.
  • 900,000 people have read the section "Understanding Islam"
  • Requests for Quran & Islamic brochures received on a daily basis.

This email is sent to jifunzeuislamu@yahoogroups.com by bulletin@...

Remove/Manage Subscription | Archive | FAQ
To Remove your Subscription, Do not Reply to this Email

Copyright © 2012 IslamiCity.com. PO Box 4598, Culver City CA 93230

 


#2655 From: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Date: Tue May 29, 2012 1:04 pm
Subject: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 8 Rajab 1433
jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 

Jifunze Uislamu kupitia mtandao

Last Update :   29 May 2012 (Jumanne)
8 Rajab 1433 AH

Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

Hukumu ya Wasia
Mwanzoni mwa Uislamu Wasia ulikuwa ni wajibu kwa kila mali kwa wazazi na jamaa/ndugu, na hilo ni kwa dalili ya kauli yake Allah Ataadhamiaye: "MMEANDIKIWA – MMOJA WENU ANAPO FIKWA NA MAUTI, KAMA AKIACHA MALI – AFANYE WASIA KWA WAZAZI WAKE NA JAMAA ZAKE KWA NAMNA NZURI INAYO PENDEZA. NI WAAJIBU HAYA KWA WACHAMNGU". [02:180] Endelea ....


Umoja
Sheria za Uislamu na adabu zake zinasimama juu ya msingi wa kumzingatia mtu mmoja mmoja kuwa ni sehemu isiyo tengeka na muundo wa jengo la umma. Na ni mwana familia anaye ungana na kiwiliwili cha umma, asiye pambanuka nao. Kwa hivyo basi yeye, atake asitake huchukua fungu/sehemu yake katika yale mafungu yanayo gawiwa kwenye kiwiliwili chote, kuanzia chakula, ukuaji na hisia. Na limeshakuja semezo la kimungu kulikiri weko hili, semezo ambalo halikumuelekea mtu mmoja peke yake kwa amri na makatazo. Na hakika si vinginevyo, semezo hilo limewagusa watu wote kama kundi na jamaa moja, kwa uadabishi na uongozi.  
Endelea .....


Kuuawa kwa Sayyidna Uthman
Ama tukirejea kwa upande wa waasi, wao waliwazuia watu kuonana na kuzungumza na kiongozi wao; Amirul-Muuminina Sayyidna Uthman-Allah amuwiye radhi. Na walipo chelea ya kwamba suala hilo litachukua muda mrefu na hivyo kupelekea kujiwa na majeshi matiifu kutoka nje ya Madina. Wakauendea mlango (geti) wa nyumba ya Amirul-Muuminina, hapo wakakumbana na nguvu pinzani kutoka kwa watoto wa maswahaba. Lakini litafanya nini kundi dogo hilo, tena la watu wasio na umahiri na weledi wa mapambano, mbele ya kundi lenye dhamira mbaya, tena wasilo na ubavu nalo?! Sayyidna Uthman kwa kuchelea kumwagika damu ya Waislamu, akawapa ishara wale wanao pambana na waasi, waache kupigana, alitoa ishara naye akiwa chumbani.  Endelea ...


Mazungumzo baina ya Mitume na kaumu yao ...Inaendelea
Na katika mahala pa saba, tunaona mazungumzo ya washirikina na Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-yakijiri kuhusiana na masuala yanayo fungamana na amani na salama yao. Wanamwambia Mtume: Hakika sisi kukufuata na kukuamini wewe, hilo litapelekea sisi kupokwa na Waarabu na kufukuzwa kwenye nchi yetu. Hebu na isikilize Qur-ani Tukufu ikikuletea taswira ya hilo kwa muundo wake uingiao akilini,.  Endelea ...

 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

"JE! WAMEAMINISHA WANAO FANYA VITIMBI VYA UOVU KWAMBA ALLAH HATAWADIDIMIZA KATIKA ARDHI, NA HAITOWAFIKA ADHABU KUTOKA WASIPO PAJUA? AU HATAWASHIKA KATIKA NYENDO ZAO, NA WALA HAWATAPONYOKA? AU HATAWASHIKA KWA KITISHO NA KUWAPUNGUZA KIDOGO KIDOGO? HAKIKA MOLA WENU MLEZI NI MWENYE HURUMA, MWENYE KUREHEMU". [16:45-47]

 

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: "Hapana kitu kilicho kizito mno kwenye mizani (siku ya Kiyama) kuliko tabia njema". Ahmad-Allah amrehemu.

 

Katazo la Wiki

Kwa nini uipe nafasi kubwa mali katika akili, mawazo, nafsi na maisha yako yote kuliko nafasi unayo mpa Mola aliye kuruzuku mali hiyo?! Kwa nini ushughulishwe na mali kiasi cha kuisahau Akhera yako, nyumba yako ya milele?! Mtume-Rehema na Amani zimshukie-anatukumbusha: "Mja husema mali yangu, mali yangu! Hakika si vinginevyo, kilicho chake katika mali yake ni vitatu; kile alicho kila akakimaliza, au alicho kivaa akakichakaza au alicho kitoa akakibakisha (baada ya kufa). Na kisicho hivyo, basi yeye ni mwendazake na kukiacha kwa watu".

 

Swali la Wiki

SWALI: Je, mwanamke naye anajiotelea? Na akijiotelea, ni lipi limpasalo? Na aliye jiotelea na asioge, analazimikiwa na nini?

JIBU: Mwanamke anaweza kujiotelea, kwa sababu wanawake ni ndugu baba mmoja/mama mmoja wa wanaume. Basi kama ambavyo wanaume wanavyo jiotelea na wanawake nao hali kadhaalika wanajiotelea. Na mwanamke au mwanaume atakapo jiotelea na baada ya kuamka hakuona/hakukuta chochote; yaani hakukuta athari ya maji (manii), katika hali hiyo hawapasiwi na josho. Na akiona/akikuta maji, hapo josho litakuwa ni wajibu, kwa sababu Ummu Suleim-Allah amuwiye radhi-aliuliza: Ewe Mtume wa Allah! Je, kunampasa mwanamke kuoga atakapo jiotelea? Akajibu: "Naam, pindi yeye atakapo yaona maji (manii)".
Kwa mujibu wa kauli hii ya Mtume, atakapo yaona manii, amewajibikiwa na josho.
Ama yule aliye jiotelea siku zilizo pita, angalia ikiwa hakuona maji, hapasiwi na lolote. Ama ikiwa aliyaona hayo maji, basi ataangalia ameacha swala ngapi, azikidhi (azilipe kwa kuziswali nje ya wakati wake).
Allah ndiye Mjuzi mno.

 


| Tuandikie |

:

#2656 From: jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Date: Fri Jun 1, 2012 3:41 pm
Subject: File - Karibu
jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 
Aoozu-Billahi-Minushaita-Nirrajim
Bismillah Hirahmaan Niraheem
Laa ilaa-ha il-lal-laa-hu Muhammadur-rasuulul-laah "HAPANA MOLA MWENYEKUABUDIWA
KWA HAKI ILA ALLAH Subhanahu wah ta'ala NA MUHAMMAD(Sallallaahu Alayhi
Wasallam)NI MJUMBE WAKE"

    Asalamu alaikum wa rahmatullahi wa barakatuh
HAkika hapana mafanikio ya hapa duniani na kesho akhera ila ALLAH Subhanahu wah
ta'ala ameyaweka katika njia iliyo kamili njia hiyo ni UISLAMU.
    Jifunze uislamu ni mtandao unaowajumuisha waislamu wanaoongea kiswahili
katika kufundishana juu ya uislamu .
    kikundi hiki kina karibisha waislamu wote walio kila mahali,wenye limu kubwa
za dini au wastani au wasio na elimu za dini ili kujifunza kupitia mtandao huu
mambo mengi yanayohusu uislamu angalia mail zilizotangulia 
http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/messages .
    Tunakukaribisha ili ufaidike na elimu tunayoitoa pia kama unataka kuchangia
katika maada unakaribishwa tuandikee kwa mail jifunzeuislamu@yahoogroups.com
    TAFADHALI WAJULISHE WAISLAMU WENGINE.
  W'ssalaamu'alaykum wa rahmatullahi wa barakatuh

Messages 2627 - 2656 of 2677   Oldest  |  < Older  |  Newer >  |  Newest
Add to My Yahoo!      XML What's This?

Copyright © 2010 Yahoo! Inc. All rights reserved.
Privacy Policy - Terms of Service - Guidelines NEW - Help