Skip to search.

Breaking News Visit Yahoo! News for the latest.

×Close this window

jifunzeuislamu · JIFUNZE UISLAMU

The Yahoo! Groups Product Blog

Check it out!

Group Information

  • Members: 1973
  • Category: Tanzania
  • Founded: Mar 8, 2003
  • Language: English
? Already a member? Sign in to Yahoo!

Yahoo! Groups Tips

Did you know...
Hear how Yahoo! Groups has changed the lives of others. Take me there.

Messages

Advanced
Messages Help
Messages 451 - 482 of 2676   Oldest  |  < Older  |  Newer >  |  Newest
Messages: Show Message Summaries Sort by Date ^  
#451 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Thu Jun 2, 2005 10:12 am
Subject: Boyfriend/girlfriend(swali N° 2)
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
asalamu alay kum mimi ni kijana wa myaka 21 baada ya
kusoma iyi message yako lakini sikuelewa vizuri sababu
kingereza cangu ni kidogo sana na ambayo niliyo ya
elewa emo ni madogo sana pia na mimi nahitajiya girl
friend inaweza ikawa vizuri unipe adresse yakwako
complet lakini tatizo mimi lugha ambayo mi nazungumza
ni kifaransa na swahili


Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com


#452 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Thu Jun 2, 2005 10:08 am
Subject: SWALI KUOA MKRISTO
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
SWALI MIMI NI MUISLAM LAKINI NILIMPENDA SANA MSICHANA WA KIKRISTO MKATOLIKI NA NILIJARIBU KILA HILA YA KUKUBALI ABADILI DINI LAKINI ALIKATAA ILA ALISEMA KUWA KWANI WEWE  HUWEZI ILI BIDI NIACHANE NAE LAKINI KILA AKINIONA BADO ANASEMA ANANIPENDA TENA SANA SASA NIFANYE NINI NA MIMI NIPO MBALI NAE. NAOMBA MSAADA NA MAFUNDISHO YA HILI SWALI


Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com


#453 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Thu Jun 2, 2005 10:24 am
Subject: fatawa za wanawake(JIBU)
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
Assalam alaykum,

Habari ndugu yangu, mimi kwanza lazima nikwambie dhahiri kwamba si
msomi mkubwa hivyo wa fiqh lakini nia yangu hapa ni kukusaidia kwa
kile nilichojaaliwa katika elimu.

Ama kuhusu kukata, kupunguza au hata kunyoa nywele kwa mwanamke awe
ameolewa au la hapajapatikana hadithi yoyote inayopinga moja kwa
moja suala hilo, ingawa wanazuoni wengi wamelipendekeza hilo
lifanyike kwa ruhusa ya mume kwa mwanamke aliyoolewa, hii bila shaka
ni kwasababu ya kuwa nywele kwa mwanamke ni sehemu ya urembo wake,
urembo ambao mume ndilo tulizo la jicho lake, kwa hiyo kutaka
kuziondoa ridhaa ya mume ni muhimu kupatikana na bila shaka mume
pale ambapo kuna sababu ya msingi ya kuzipunguza au kuzinyoa kabisa
kama kwa mfano kutokana na maradhi ya chawa n.k basi naye asimzuie
mkewe kufanya hivyo.

Tukija kwenye kipengele cha pili cha suala lako linalohusu kutia
dawa nywele nadhani hapa labda umekusudia kwa ajili ya urembo, hilo
halikubaliki katika sheria ya kiislam, kwanza tangu hapo nywele
wenyewe za mwanamke zinatakiwa zifunikwe zisionekane isipokuwa na
maharimu zake sasa kutia urembo kwenye nywele anakusudiwa kuoneshwa
nani kama hata hiyo kuzionesha tu hairuhusiwi. La kama kutia huko
dawa ni kwa ajili ya matibabu basi hilo limeruhusiwa na sheria
litakapofanyika kwa kuzingatia mipaka yake.

Wallahu aalam





Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com


#454 From: lulu kitoi <itqam@...>
Date: Thu Jun 2, 2005 3:47 pm
Subject: fatwa za wanawake
itqam@...
Send Email Send Email
 
assalam alykum,
 
nami naomba kuchangia juu ya suala la mwanake kuruhusiwa kunyoa nywele au kutia dawa.
 
kwanza: ka ushahidi wa hadithi ya mtume wetu (s.a.w): (mwenyezi mungu amewalaani wanaume wanaojifananisha na wanawake na wanawake wanaojifananisha na wanaume).
maulamaa wametumia hadithi hii katika kutafsir aina mbali mbali za kujifananisha. ikawekwa na kukata nywele kwa mwanamke ni ktk kujifananisha na wanaume. swali langu baada ya tafsiri hiyo ni: wanahesabiwa ktk hadithi hii wale ambao wanavaa suruali ndani ya baibui au wanaovaa suruali majumbani mwao kama ilivyozoeleka kwa ndugu zetu waislamu wa nchi za asia na ulaya? je, hadithi hii haina ikhtilafu ktk kutafsiri suala la wanawake kukata nywele na kuvaa suruali?
 
pili: kwa ushahidi wa aya :(na wala msibadilishe maumbile ya mwenyezi mungu(alichoumba allah).wapo wanazuaoni waliotumia aya hii ktk kuharamisha kuweka nywele dawa(yaani relaksa au kalikiti). lakini nimesikia kwamba inajuzu endapo mwanamke anafanya kwa ajili ya kujipamba kwa mumewe na asidhihirishe mapambo haya kwa watu wengine. lakini nini dalili waliyotumia katika kujuzisha suala hili?kwanini mwanamke asiyeolewa haruhusiwi kuweka nywele zake dawa?
 
naomba dalili ktika kujibiwa maswali yangu ikiwezekana ikhtilafaat za maulamaa na si maneno ambayo wamekubaliana maulamaa wengi,na dalili walizotumia katika kutetea hoja zao.
jazaakumu llah khairan.
 
 
naomba jina langu lisionekane iliwezekana


Discover Yahoo!
Have fun online with music videos, cool games, IM more. Check it out!

#455 From: webmaster@...
Date: Thu Jun 9, 2005 12:44 pm
Subject: Fwd: Jifunze Uislamu, 2nd Jumadul-Awwal 1426, 9th June 2005
sameja
Send Email Send Email
 

 

Last Update : 2nd Jumadul-Awwal 1426, 9th June 2005 
Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

Hukumu ya mtu aliyezuiliwa kuhiji
 “Muhswaru” ni Istilahi ya kifiq-hi inayo wakilisha dhana ya mtu aliye zuiliwa kufika Makah na kutekeleza ibada ya Hijah. Mtu atakapo hirimia Hijah au Umrah, kisha akazuiliwa na adui kufika Makah au akatiwa kifungoni na kuzibiwa njia zote, huyo ataleta tahaluli hapo hapo alipo. Na hiyo tahaluli ni mtu kuchinja mbuzi hapo mahala alipo zuiliwa pamoja na kuleta nia ya tahaluli, kisha anyoe au kupunguza nywele zake. Endelea ...


Mtume na muamala mwema kwa watoto
Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amefafanua kwa kina vipengele mbali mbali vya mwenendo/tabia za wazazi pamoja na watoto wao. Ameeleza dhahiri shahiri juu ya thawabu na manufaa ya kidunia na ya kiakhera na akaashiria kwa uwazi makosa ya kiitikadi na kiamalia juu ya suala hili muhimu kama muongozo kwa wazazi. Endelea .....
Mkakati ulikuwa kuwashambulia waislamu kwa ghafla
Hawaazin na Thaqiyf na washirika wao miongoni mwa makabila ya Kiarabu walikuwa tayari wamesha toka na watu wao kuelekea bonde la Hunein. Hili ni mojawapo ya mabonde ya Tihaamah, bonde lenye mteremko mkali, lililo tandawaa katika njia nyembamba za majabalini. Maalik Ibn Auf akaonelea apige kambi katika maingilio ya bonde hili na aitumie hali – maumbile ya mahala hapo  katika kuzivunja nguvu za waislamu. Endelea .....
Vyombo vya habari
Tunapo zungumzia “Vyombo vya habari” tunamaanisha: Kila chombo kinacho gurisha elimu/maarifa kwa kutumia nyenzo fulani kuifikishia hadhira (watu; walengwa wa habari husika). Chombo hicho kinaweza kuwa ni luninga (televisheni), idhaa ya redio, magazeti, majarida, vitabu, michezo ya kuigiza, nyimbo na mfano wa hivyo. Huu ndio muradi/mapendeleo yetu tunapo itumia ibara “Vyombo vya habari”
Endelea ...

 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

“ENYI MLIO AMINI! MDHUKURUNI ALLAH KWA WINGI WA KUMDHUKURU. NA MTAKASENI ASUBUHI NA JIONI”. [33:41-42]

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-anasema: “Atakaye uza nyumba au ardhi/shamba na asiifanye thamani yake mithili ya bei ya soko (akauza ghali mno). Basi limstahikialo ni kutobarikiwa ndani yake (bei hiyo)”. Twabaraaniy-Allah amrehemu.

Dua ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Bwana wa istighfaari ni kusema: ALLAAHUMMA ANTA RABBIY LAA ILAAHA ILLA ANTA KHALAQTANIY WA ANAA ‘ABDUKA, WA ANAA ‘ALAA ‘AHADIKA WAWA’ADIKA MASTATWA’ATU. AUDHUBIKA MIN SHARRI MAA SWANA’ATU, ABUU LAKA BINI’IMATIKA ‘ALAYKA, WA ABUU BIDHANBIY FAGHFIRLIY, FAINNAHU LAA YAGHFIRUD-DHUNUUBA ILLA ANTA”. Ahmad-Allah amrehemu.

Katazo la Wiki

Kwa nini humpi mwanao elimu ya kiroho akaijua dini yake na wewe mzazi wake?! Kwa nini lakini umpe mwanao jina baya, hivi kwa nini umuachie mwanao azini wakati uwezo wa kumpa mke/mume unao?! Tambua kufanya hivyo ni kumdhulumu haki yake, kwani: “Bila ya shaka katika jumla ya haki za mtoto kwa mzazi wake ni kumfundisha kitabu (Qur-ani), kumpa jina zuri na kumuozesha atakapo baleghe”. Ibn Najjaar-Allah amrehemu.

Swali la Wiki

Allah Taala anasema: “NA TULIPO WAAMBIA MALAIKA: MSUJUDIENI ADAMU, WAKAMSUJUDIA WOTE ISIPOKUWA IBLIS, ALIKATAA NA AKAJIVUNA AKAWA KATIKA MAKAFIRI”. [2:34] Ni vipi asujudiwe asiye Allah? Na vipi Iblisi akawa kafiri kwa kutomsujudia Adam na ilhali Adamu ni kiumbe na wala sio Muumba?


| Tuandikie |

:

#456 From: "Tabligh Office" <tabligh@...>
Date: Wed Jun 15, 2005 12:44 pm
Subject: Job Opportunity - IRE for Al Muntazir Schools
tabligh@...
Send Email Send Email
 

  

Bismillahir Rahmanir Raheem

 

6th Jamadiul Awwal 1426

13th June 2005

 

 AL MUNTAZIR SCHOOLS

 

                JOB OPPORTUNITY

 

 DEPARTMENT OF ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION

 

We invite applications for Islamic Education teachers at various grade levels at the Al Muntazir Schools.

 

The position offers a choice of: Full time or Part time teaching.

 

Applicants must have:

ü    Strong background of Islamic knowledge.

ü    Experience in teaching children/ youth (preferably Islamic knowledge)

ü    Good command over written and spoken English.

 

Interested candidates should apply to:

CBE SECRETARIAT

CENTRAL BOARD OF EDUCATION

P.O BOX 21735

DAR ES SALAAM

secretariat.cbe@...

 

DEADLINE FOR SUBMISSION OF APPLICATION

 

                           FRIDAY 8TH JULY 2005

 

 

 

 


#457 From: webmaster@...
Date: Mon Jun 20, 2005 12:09 pm
Subject: Fwd: Jifunze Uislamu, 13 Jumadiul- Awwal 1426, 20th June 2005
sameja
Send Email Send Email
 

 

Last Update : 13th Jumadul-Awwal 1426, 20th June 2005 
Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

Namna ya kuhiji
Katika masomo yaliyo tangulia tumekuwa tukizungumzia kuhusiana na ibada za Hijjah na Umrah; sharti pasishi zake, nguzo, waajibaati na mambo yanayo zifisidi ibada mbili hizi. Pia tumezungumzia juu ya Hijjah ya Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-na mambo mengi yanayo fungamana na ibada za Hijjah na Umrah. Baada ya yote hayo, sasa tunataka kukuelezea matendo (amali) ya Hijjah/Umrah kwa umbo mnyororo ili ukuwepesikie utekelezaji wa fardhi hii tukufu. Endelea ...


Muamala usio sawa baina ya watoto wa kiume na wa kike  
Sayyidina Abdullah Ibn Abbas-Allah amuwiye radhi-anasimulia kwamba Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Mtu aliye pata mtoto wa kike na hakumzika akiwa hai, wala hakumdhalilisha na wala hakuwafadhilisha watoto wa kiume juu yake, Allah atamuingiza peponi”. Abu Daawoud-Allah amrehemu. Endelea .....
Mtume awafuatilia maadui hadi twaif
Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-akaamuru mateka na mali zikusanywe na kupelekwa katika bonde la “Ji’iraanah”. Halafu Mtume na maswahaba wake wakaenda Twaif, ambako Maalik Ibn Auf na baadhi ya watu wake na wale wa Thaqiyf walio ponyoka walikimbilia huko. Thaqiyf walikuwa wamejihifadhi ngomeni mwao na kufunga milango yake na wakawa wamechukua chakula na silaha za kutosha muda mrefu. Hayo yakiwa ni maandalizi ya botari (mzingiro) ndefu, iwapo Mtume ataamua hivyo. Endelea .....

Hatima ya ndoa iliyoshindwa
Muradi na mapendeleo yetu kwa anuani/maudhui ya sura hii: “HATIMA YA NDOA ILIYO SHINDWA” ni: Wanandoa wenyewe; mke na mume, kwani ni wao ambao hufanikiwa au kushindwa kubeba twika ya majukumu ya ndoa yao. Na natija katika hali hizo mbili; kufanikiwa au kufeli ni kwa maslahi au maangamivu yao wenyewe. Na wala kufanikiwa kwa wanandoa katika maisha yao ya ndoa hakufikiwi ila kwa kusaidiana kwao juu ya yale yamridhiyo Allah Mola Muumba wao.
Endelea ...



 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

“ENYI MLIO AMINI! MSIINGIE NYUMBA ZA NABII ILA MPEWE RUKHSA KWENDA KULA, SIO KUNGOJEA KIWIVE. LAKINI MTAKAPO ITWA BASI INGIENI, NA MKISHA KULA TAWANYIKENI, WALA MSIWEKE MAZUNGUMZO. HAKIKA HAYO YANAMUUDHI NABII NAYE ANAKUSTAHINI, LAKINI ALLAH HASTAHI KWA JAMBO LA HAKI. NA MNAPO WAULIZA WAKEZE HAJA WAULIZENI NYUMA YA MAPAZIA. HIVYO NDIO USAFI ZAIDI KWA NYOYO ZENU NA NYOYO ZAO. WALA HAIKUFALIENI KUMUUDHI MTUME WA ALLAH, WALA KUWAOA WAKE ZAKE BAADA YAKE KABISA. HAKIKA JAMBO HILO NI KUBWA MBELE YA ALLAH”. [33:53]

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “”Atakaye ufanya mwema uhusiano baina yake na Allah, Allah atamtoshelezea uhusiano baina yake na watu. Na atakaye ifanya njema siri (batini/ndani yake), Allah atamtengenezea dhahiri (sura ya nje) yake”. Al-Haakim-Allah amrehemu.

Dua ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Weka mkono wako juu ya mahala panapo kuuma, upanguse hapo mara saba na useme: AUDHU BI’IZATIL-LAAHI WAQUDRATIHI MIN SHARRI MAA AJIDU, (sema hivyo) katika kila mpanguso”. Twabaraaniy-Allah amrehemu.

Katazo la Wiki

Mtu ameyaacha yake, ametoka huko alikotoka, kwa mapenzi na huba amekuja kukutembelea ndugu/rafiki/jamaa yake. Anaaga anaondoka, basi wewe unashindwa kuinuka na kumsindikiza walau mpaka mlangoni tu!! Acha huo sio utu na wala sio Uislamu, kwani Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Hakika katika jumla ya suna ni mtu kumsindikiza mgeni wake mpaka mlangoni”. Ibn Maajah-Allah amrehemu.

Swali la Wiki

Unafikiri kuna hekima/falsafa gani, Uislamu kumuhalalishia muislamu kumuoa mwanamke Ahlul-Kitaab (Myahudi/Mnaswara). Na wala haukumuhalalishia mwanaume Ahlul-Kitaab kumuoa mwanamke muislamu ili kwenda sambamba na msingi wa “matangamano mfanano”?


| Tuandikie |

:

#458 From: "salumsh" <salumsh@...>
Date: Sun Jun 26, 2005 6:56 pm
Subject: MEZANI YA HAKI
salumsh
Send Email Send Email
 
Asalam Aleikum,

Kitabu kipya cha kiswahili kimetoka.
Kitabu "AL-QISTASU AL-MUSTAQIM" (MEZANI YA HAKI) ni utafiti juu ya
Hadith Al-thaqalain. Njia iliotumika katika uandishi wa kitabu hiki
ni njia ya uchambuzi wa maandiko kwa kutumia vipimo na kanuni za
misingi ya uchambuzi na kufasiria. Si muhimu kwangu wala kwako kujua
kwamba fulani- Shia. Suni au Ibadhi- kasema:kilicho muhimu ni: "Nini
kimesemwa." Na kwahivyo, jaribio letu katika utafiti wa kitabu hiki
ni kuziweka Aya na Hadithi katika minhaj ya uchambuzi inayokubalika
kielimu (academic methodology of analysis and criticism). Ikiwa
tafsiri- ya yeyote yule awaye- inaafikiana na minhaj (methodology)
inayotumika katika tafsiri, basi hio ndio shabaha ya utafiti huu.
Vyenginevyo ni kuikataa kila kauli inayokwenda kinyume na kanuni.

Hadithi Al-thaqalain maana yake ni Hadithi ya vizito viwili. Nayo ni
Hadith yenye kumtaja Mtume (s.a.w) akisema: "Nimekuachieni Al-
thaqalain (vizito viwili):Qu-ran na Ahlu-baitii (Qur-an na watu wa
nyumba yangu). Hadithi hii ndio tegemeo la Shia katika kuthibitisha
msingi mkuu wa itikadi yao ya uimamu wa Ahlu-l-bait. Wasiokuwa Shia
wamejenga itikadi yao kwa Hadithi nyengine iliokinyume na hio, nayo
ni Hadithi yenye kusema: "Nimekuachieni Qur-an na Suna zangu."
Hadithi mbili hizi ndio sababu kubwa ya mtafaruku uliopo baina ya
Shia na Jumhur (the great majority) ya umma wa kiislam. Kitabu hiki
kinafanya utafiti wa kitaalamu kwa hoja za wazi ziliojengeka katika
misingi ya tafsiri juu ya Hadithi mbili hizi. Hatimae kinabainisha
ukweli ni upi katika Hadithi mbili hizi.

Kitabu hiki kinapatikana katika bookshop ziliopo Muscat.
Mwandishi: Shaikh Juma Mohd Al Mazrui.

#460 From: "Mansoor Sameja" <sameja@...>
Date: Mon Jun 27, 2005 11:31 am
Subject: [kujizuia na zinaa]JIBU
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
Assalaam Aleykum Warahmatullah,

Kama unatokwa na manii na unatamani wanawake basi bado
ni mzima na huna tatizo lolote.

Kuzini na mwanamke si njia ya kuhakikisha kuwa u
rijali, kwani ingekuwa hivyo ingehalalishwa zinaa kwa
watu wote, lakini zinaa ni haramu, subiri uowe.



--- mohamed ally <ustmass64@...> wrote:

>
> mimi ni kijana wa miaka 19,napata mitihani mingi ya
> wasichana wanaonifuatafuata nizini nao ila
> najitahidi kuikwepa lakini nina tatizo moja
> nitahakikisha vipi kwamba mimi ni rijali na hali ya
> kuwa sitaki kuzini sababu namuogopa Allah[s.w]?
>
> kuhusu ndoto nyevu huwa napata nakusimama nasimama!
> naombeni msaada wa mawazo ili niweze kumuepuka
> ibilisi
>


Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com


#461 From: "Tabligh" <tabligh@...>
Date: Mon Jun 27, 2005 3:52 am
Subject: [MahdiUniteMuslims] Al_AZHAR CALLS FOR UNITY
tabligh@...
Send Email Send Email
 
 
----- Original Message -----
Sent: Sunday, June 26, 2005 8:49 PM
Subject: Fw: [MahdiUniteMuslims] Al_AZHAR CALLS FOR UNITY

 
----- Original Message -----
Sent: Sunday, June 26, 2005 5:45 PM
Subject: [MahdiUniteMuslims] Al_AZHAR CALLS FOR UNITY



Shabbir Versi <sbversi@...> wrote:
To: kanoshia@yahoogroups.com
From: Shabbir Versi <sbversi@...>
Date: Sun, 26 Jun 2005 05:02:35 -0700 (PDT)
Subject: [kanoshia] Al_AZHAR CALLS FOR UNITY

 

About us | Contact us | Post your views    

  Updated: June 25, 2005

Azhar Sheikh says don’t declare other sects followers heretics

By: Sultan Ahmed

CAIRO, Egypt: The Grand Sheikh of Al-Azhar Dr. Muhammad Sayyid Tantawi has affirmed that it is not permissible to declare those who follow other Islamic sects as heretics.

This was contained in a letter which the Grand Sheikh has addressed to Prince Ghazy bin Muhammad, Advisor to the Jordanian monarch, King Abdullah II.

The memorandum contains mostly Fatwas (pronouncements) on various matters of faith which the Advisor had asked for, particularly those focusing on declaring followers of other sects, such Ibadhis, Dhahiriya, Ja'afariya, Zaidiyya, Ash'ariyya, and Sufism, as heretics.

In his letter, the Grand Sheikh said that it is not permissible for one to refer to another as denier of the truth, except if the person referred to has decried what has come in the Islamic Shari'a, such as the basic articles of faith in Allah, his prophets, the angles, His Books, and sincere worship of Allah.



Yahoo! Sports
Rekindle the Rivalries. Sign up for Fantasy Football

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com

The Holy Qur’an - http://www.quran.org.uk
Du'a - http://www.duas.org
Islam - http://www.al-islam.org



#462 From: webmaster@ uislamu.net
Date: Mon Jun 27, 2005 11:59 am
Subject: www.uislamu.net/vb
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuhu.

Tangazo kwa wasomaji wa ukumbi wa uislam.net tunapenda kutangaza kuwa
site inapatika katika anuani mpya nayo:
www.uislamu.net na ukumbi: www.uislamu.net/vb
kwa sababu ya mabadiliko katika server mpya na inshallah karibu
tutasawazisha mambo.
shukran sana.
uislamu.net


Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com


#463 From: jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Date: Fri Jul 1, 2005 8:28 am
Subject: File - Karibu
jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 
Aoozu-Billahi-Minushaita-Nirrajim
Bismillah Hirahmaan Niraheem
Laa ilaa-ha il-lal-laa-hu Muhammadur-rasuulul-laah "HAPANA MOLA MWENYEKUABUDIWA
KWA HAKI ILA ALLAH Subhanahu wah ta'ala NA MUHAMMAD(Sallallaahu Alayhi
Wasallam)NI MJUMBE WAKE"

    Asalamu alaikum wa rahmatullahi wa barakatuh
HAkika hapana mafanikio ya hapa duniani na kesho akhera ila ALLAH Subhanahu wah
ta'ala ameyaweka katika njia iliyo kamili njia hiyo ni UISLAMU.
    Jifunze uislamu ni mtandao unaowajumuisha waislamu wanaoongea kiswahili
katika kufundishana juu ya uislamu .
    kikundi hiki kina karibisha waislamu wote walio kila mahali,wenye limu kubwa
za dini au wastani au wasio na elimu za dini ili kujifunza kupitia mtandao huu
mambo mengi yanayohusu uislamu angalia mail zilizotangulia 
http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/messages .
    Tunakukaribisha ili ufaidike na elimu tunayoitoa pia kama unataka kuchangia
katika maada unakaribishwa tuandikee kwa mail jifunzeuislamu@yahoogroups.com
    TAFADHALI WAJULISHE WAISLAMU WENGINE.
  W'ssalaamu'alaykum wa rahmatullahi wa barakatuh

#464 From: webmaster@ uislamu.org
Date: Sun Jul 3, 2005 12:07 pm
Subject: SWALI KUOA MKRISTO(JIBU)
amperella
Send Email Send Email
 
Assalaam Aleykum,

Huo ni ujanja anaofanya msichana huyo ili akubadili
dini. Dini ni kitu muhimu zaidi kuliko mapenzi ya
kidunia. Tumeshuhudia masahaba ambao waliwaua hata
wazazi wao katika vita vya jihadi, ikiwa dini ni bora
zaidi kuliko undugu wa damu, vipi itakuwa si bora
kuliko mapenzi ya mwanamke na mwanaume ambayo wakati
mwingine huenda yakawa yanatiwa nguvu na shetani ???
Mwenyezi Mungu ametuambia kwenye Qur-an : "Enyi
mlioamini ! Hakika miongoni mwa wake zenu na watoto
wenu wamo maadui zenu. Basi tahadharini nao." (64:14).
Haya ni kwa wake ambao tumeshawaoa na watoto ambao
tumeshapata, basi itakuwa hali gani juu ya wanawake
ambao bado hawajawa wake zetu, uadui wao kwa Mwenyezi
Mungu utakuwa kiasi gani ?

--- hadias_zahor <hadias_zahor@...> wrote:

> --- In jifunzeuislamu@yahoogroups.com, jifunze
> Uislamu
> <jifunzeuislamu@y...> wrote:
> > SWALI MIMI NI MUISLAM LAKINI NILIMPENDA SANA
> MSICHANA WA KIKRISTO
> MKATOLIKI NA NILIJARIBU KILA HILA YA KUKUBALI
> ABADILI DINI LAKINI
> ALIKATAA ILA ALISEMA KUWA KWANI WEWE  HUWEZI ILI
> BIDI NIACHANE NAE
> LAKINI KILA AKINIONA BADO ANASEMA ANANIPENDA TENA
> SANA SASA NIFANYE
> NINI NA MIMI NIPO MBALI NAE. NAOMBA MSAADA NA
> MAFUNDISHO YA HILI
> SWALI
> >
> >
> > Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba
> tuandikie kwa anuani
> jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu
> http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 
> >
> > Mimi nitaandika tu kwa elimu yangu ndogo
> niliyonayo pia nitakuomba
> radhi kwani sikujitayarisha kujibu hili suali ila
> nimelikuta tu kwa
> hivyo utakosa hadithi zenye ushahidi.
>
> Kwana Muislam unatakiwa ujue nini maana ya ndoa na
> masharti yake.
> Lakini pia Bwana Mtume S.A.W amesema Oeni mwanamke
> kwa sura yake,
> mali yake, nasaba yake na DINI YAKE. (waislamu kam
> nitakuwa nimekosea
> hii hadithi naomba mnisamehe) Sasa hapa Mtume SAW
> amesisitiza sana
> uoe Mwanamke kwa DINI yake na hapa kutajwa dini sio
> Ukiristo au
> Unasara n.k hapa ni UISLAMU. Mwanamke anapokuwa
> ameshika dini
> kisawasaw na anakuwa basi huyo ndo wa kuoa.
> Na katika masharti ya ndoa kwanza hao wanao oana
> wawe MUSLIM, na
> mmoja kati yao akiritadi basi hapana tena hapo ndoa.
> Kwa maana hiyo
> kama wewe ni muislam huwezi OA mtu asie muislamu
> kwani ndoa yao
> itakua haisihi na utakua umo ndani ya zinaa tu.
>
> Ushauri: Tafuta mwanamke Aliyeshika DINI YA ALLAH na
> UOE Bila shaka
> ALLH atakuwa pamoja nawe na atakupa Mapenzi makubwa
> kwa huyo mwanamke
> kiasi ambacho utamsahau kabisa huyo Kafiri.
> >
> >
> >
> > __________________________________________________
> > Do You Yahoo!?
> > Tired of spam?  Yahoo! Mail has the best spam
> protection around
> > http://mail.yahoo.com
>
>
>
>
>


__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam?  Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com


xxxxxxxxxxxxxxxx clik here    http://mperella.8m.com  xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx


Appel audio GRATUIT partout dans le monde avec le nouveau Yahoo! Messenger
Téléchargez le ici !

#465 From: wahida marjana <muweza92@...>
Date: Tue Jul 12, 2005 4:45 pm
Subject: SUALA NA MJADALA
muweza92
Send Email Send Email
 
 
 
Mimi mara nyingi husumbuliwa na itikadi ya Imam wa 12, naona kuzaliwa kwake kulikuwa kuna mashaka na kuwepo kwake pia kuna mashaka, hivyo naomba kutolewa wasi wasi inshaallah.
 
Kwanza, naomba nikijibiwa nukta hizi ziangaliwe kwa makini:
 
1. Imam Hassan Al-Askari hakuacha mtoto kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka kwa kaka yake, Imam Hassan Al-Askari hakuwaonyesha mtoto wake Mashia waliokuwepo Iraq wakati huo, jambo hilo lingeondoa ubishi mkubwa ulioko leo kati ya Shia na Sunni.
 
2. Hao Mawakili wanne, walikuja mmoja mmoja na kazi yao kubwa ilikuwa nikuandika barua zinazohusiana tu na Khumsi na haki nyengine za kisheria zinazohusu malipo ya Zakka na Saddaka kutoka kwa watu, mawakili hawa wanne hawakupokea hadithi hata moja kutoka kwa Imam Mahdi(a.f) inayohusiana na mafundisho ya dini, itikadi na Kur'ani Tukufu, kama kuna hadithi au nyaraka zilizoandikwa na Mawakili hawa wanne wa Imam Mahdi zinazoeleza mafundisho ya Kur'ani na Sunnah, naomba nielezwe ili nami nizisome kwa macho yangu.
 
3. Kur'ani Tukufu inasema: "Waman Nuamiruhu nunakisuhu fil khalqi afala taakiluwn" [Na tunayempa masiha marefu tunamfanya awe dhalili katika maumbile] Sura Yasin, jee sunna hii ya Allah ya maumbile ya wanadamu wote haitafanya kazi kwa Imam Mahdi(a.f)?? Na kama haitafanya kazi, kuna ushahidi gani kutoka Katika Kur'ani Tukufu hasa tukitilia maanani maneno ya Allah mengine yasemayo " Walan Tajida lissunnati-llahi tabdiyla" [Na hutaona mabadiliko katika sunna (matendo) ya Allah]??
 
Ndugu zangu naomba mnitowe wasi wasi huu mkubwa niliokuwa nao.
 
Ahsanteni, ndugu yenu Abu Zainab
 
 


How much free photo storage do you get? Store your holiday snaps for FREE with Yahoo! Photos. Get Yahoo! Photos
Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuhu.

Tangazo kwa wasomaji wa ukumbi wa uislam.net tunapenda kutangaza kuwa
site inapatika katika anuani mpya nayo:
www.uislamu.net na ukumbi: www.uislamu.net/vb
kwa sababu ya mabadiliko katika server mpya na inshallah karibu
tutasawazisha mambo.
shukran sana.
uislamu.net


Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com

TUANDIKIE KWA MAIL; jifunzeuislamu@yahoogroups.com PIA UNAWEZA KUANGALIA PAGE YETU http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu



#466 From: "lisha4all" <lisha4all@...>
Date: Wed Jul 13, 2005 2:48 am
Subject: Islam
lisha4all
Send Email Send Email
 
Asalam alykum
   I had asked a question on abortion but i didnt get an reply...My
cuzin has had three abortions before marriage....At first she didnt
know it was bad or its regarded as sin...What i wanted to know is how
can i help her...i dont want her to loose her faith and keep thinking
she will go to hell...Is there any hope for her..Is there anything she
can do....She seeks allahs forgiveness..Is there a possibility for her
forgiveness...

Another things is that...i am a muslim but i do not know how to read
the qur'an i was wondering where i can get assistance for that..or get
sum1 to teach me...i really wanna learn ma religion so i can follow it
well.....Or if there is a program i can teach my self.....
I leave in seattle washington.please can i be replied in english i have
difficulties reading swahili...
thanx
lisha

#467 From: uislam dini <uislamu@...>
Date: Wed Jul 13, 2005 5:40 am
Subject: Re: Islam
uislamu
Send Email Send Email
 
Assalaam Aleykum Warahmatullah,

Sorry if you received late reply, actually we didn't
see your question before.

As regarding forgiveness, Allah forgives all sins
except shirk In Qur-an Allah says 4:116 Allah
forgiveth not (The sin of) joining other gods with
Him; but He forgiveth whom He pleaseth other sins than
this: one who joins other gods with Allah, Hath
strayed far, far away (from the right)." Also in
prophet's tradition its mentioned that a person had
killed 99 people and was still forgiven, because he
had true repentance. What is important for us to know
is that we need to repent to Allah from the bottom of
our heart and he is the only one to forgive us, nobody
else can.

We are very sorry in that most of us live in Tanzania,
east africa, and some are in Oman and some other
countries. However if there is anybody from your place
in this group, he will surely reply.

--- lisha4all <lisha4all@...> wrote:

> Asalam alykum
>   I had asked a question on abortion but i didnt get
> an reply...My
> cuzin has had three abortions before marriage....At
> first she didnt
> know it was bad or its regarded as sin...What i
> wanted to know is how
> can i help her...i dont want her to loose her faith
> and keep thinking
> she will go to hell...Is there any hope for her..Is
> there anything she
> can do....She seeks allahs forgiveness..Is there a
> possibility for her
> forgiveness...
>
> Another things is that...i am a muslim but i do not
> know how to read
> the qur'an i was wondering where i can get
> assistance for that..or get
> sum1 to teach me...i really wanna learn ma religion
> so i can follow it
> well.....Or if there is a program i can teach my
> self.....
> I leave in seattle washington.please can i be
> replied in english i have
> difficulties reading swahili...
> thanx
> lisha
>
>
>
>
>
>


__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam?  Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com

#468 From: webmaster@...
Date: Thu Jul 14, 2005 9:00 am
Subject: Fwd: Jifunze Uislamu kupitia mtandao, tarehe 7 Jumadul Thani 1426, 14th July 2005
sameja
Send Email Send Email
 
Note: forwarded message attached.


__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam?  Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com
 

Last Update : 7th Jumadul-Thani 1426, 14th July 2005 
Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

Namna ya kuhiji inaendelea
Na kumesuniwa aende matiti (mbio mbio) katika ile mizunguko mitatu ya kwanza, hivyo ni iwapo Twawaafu hii itaandamiwa na Sa’ayi. Na atembee kawaida katika mizunguko minne iliyo salia na aseme katika kwenda kwake matiti: “ALLAAHUMMAJ-‘ALHU HAJJAN MABRUURAN WADHAMBAN MAGHFUURAN WASA’AYAN MASHKUURAN” Endelea ...


Mwenendo wa Mtume kwa wanawe 
Kila kitendo alicho kifanya Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-kimerekodiwa, kukumbukwa na kuandikwa na wake zake, watoto na maswahaba na kuhifadhiwa katika vitabu vya hadithi na Sira/Tarekh. Hata tukio dogo tu la maisha yake binafsi limenukuliwa na kuhifadhiwa vitabuni. Endelea .....
Mtume atoa zawadi nono kuwashawishi Viongozi
Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-na maswahaba wake-Allah awawiye radhi-wakaondoka kurejea “Ji’iraanah; mahala ambapo ngawira ya Hunein ilihifadhiwa. Huko Mtume akaamuru ngawira hiyo ihesabiwe, wakakutikana ngamia ishirini na nne alfu, mbuzi/kondoo arobaini alfu. Wakia alfu nne za madini ya fedha, na wanawake na watoto alfu sita. Mtume wa Allah akawaweka kando mateka wale (wanawake na watoto), akaanza kugawa mali baina ya maswahaba wake. Endelea .....

Talaka ndio tiba mkataa
Awali ya yote, tunapenda ifahamike kwa wasomaji wetu kwamba makala zetu hizi hazitazama ndani sana katika mas-ala haya ya talaka. Hii inatokana na ukweli kwamba makala hizi hazikulenga kuitaja talaka kwa dhati yake. Bali kwa kuwa talaka inanasibikiana na ndoa ambayo ndio mada yetu mama, tumeshurutizika kuitaja pia. Kwa hivyo basi, tutakacho shughulika nacho katika makala zetu hizi, ni kutaja yaliyo muhimu mno katika kadhia hii ya talaka ambayo kila muislamu anapaswa kuyafahamu.
Endelea ...



 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

“ENYI MLIO AMINI! MSIWE KAMA WALE WALIO MTAABISHA MUSA. LAKINI ALLAH AKAMTAKASA NA WALIYO YASEMA NAYE ALIKUWA MWENYE HISHIMA MBELE YA ALLAH”. [33:69]

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Atakaye lingania uongofu, atakuwa (atapata) mithili ya ujira wa (wote) watakao mfuata (katika kutenda jambo hilo la uongofu), bila ya kupungua cho chote katika ujira wao. Na atakaye lingania upotovu, atapata mithili ya madhambi ya (wote) watakao mfuata (katika jambo hilo la upotofu), bila ya kupungua cho chote katika madhambi yao”. Muslim-Allah amrehemu.

Dua ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Faatihatul-Kitaab (Al-hamdu) na Ayatul-Kursiy, hazisomi mja katika nyumba halafu wakapatwa (watu wa nyumba hiyo) siku hiyo na jicho la mwanadamu au jini”. Dailamiy-Allah amrehemu.

Katazo la Wiki

Kukosa na kukosea ni dhana/hali zinazo mpitikia mwanadamu katika maisha haya ya mpito. Kwa nini basi, unapokosewa na ukaombwa msamaha hutaki kusamehe?! Mbona na wewe humkosea Muumba wako ukamuomba msamaha, kwa hivyo na wewe usisamehewe?! Acha, hilo limekatazwa, Qur-ani inasema: “SHIKAMANA NA KUSAMEHE NA AMRISHA MEMA NA WAPUUZE MASAFIHI”. [7:199]

Swali la Wiki

Je, kunasihi mtu kuusia mirathi mali yake yote kwa jamaa yake kabla ya kufa kwake?


| Tuandikie |

:

#469 From: "Husain Azzan" <husainally@...>
Date: Fri Jul 15, 2005 4:58 pm
Subject: Re: Islam
husainally@...
Send Email Send Email
 

Assalaam Alaykum

Learning is the most important thing to do in Islam. Here are some websites, I am sure you will get help from them as one of the website is in USA & Canada. And whenever I will find the help I will be ready to provide it.

http://www.islamweb.net

http://www.islamicfinder.org

Your brother in Islam,

Husain.




From: uislam dini <uislamu@...>
Reply-To: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
To: jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Subject: Re: [jifunzeuislamu] Islam
Date: Tue, 12 Jul 2005 22:40:45 -0700 (PDT)

Assalaam Aleykum Warahmatullah,

Sorry if you received late reply, actually we didn't
see your question before.

As regarding forgiveness, Allah forgives all sins
except shirk In Qur-an Allah says 4:116 Allah
forgiveth not (The sin of) joining other gods with
Him; but He forgiveth whom He pleaseth other sins than
this: one who joins other gods with Allah, Hath
strayed far, far away (from the right)." Also in
prophet's tradition its mentioned that a person had
killed 99 people and was still forgiven, because he
had true repentance. What is important for us to know
is that we need to repent to Allah from the bottom of
our heart and he is the only one to forgive us, nobody
else can.

We are very sorry in that most of us live in Tanzania,
east africa, and some are in Oman and some other
countries. However if there is anybody from your place
in this group, he will surely reply.

--- lisha4all <lisha4all@...> wrote:

> Asalam alykum
>   I had asked a question on abortion but i didnt get
> an reply...My
> cuzin has had three abortions before marriage....At
> first she didnt
> know it was bad or its regarded as sin...What i
> wanted to know is how
> can i help her...i dont want her to loose her faith
> and keep thinking
> she will go to hell...Is there any hope for her..Is
> there anything she
> can do....She seeks allahs forgiveness..Is there a
> possibility for her
> forgiveness...
>
> Another things is that...i am a muslim but i do not
> know how to read
> the qur'an i was wondering where i can get
> assistance for that..or get
> sum1 to teach me...i really wanna learn ma religion
> so i can follow it
> well.....Or if there is a program i can teach my
> self.....
> I leave in seattle washington.please can i be
> replied in english i have
> difficulties reading swahili...
> thanx
> lisha
>
>
>
>
>
>


__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam?  Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com




Don't just search. Find. MSN Search Check out the new MSN Search!

#470 From: webmaster@...
Date: Mon Aug 1, 2005 11:26 am
Subject: Fwd: Jifunze Uislamu, 25th Jumadul-Thani 1426, 1st August 2005
sameja
Send Email Send Email
 
Note: forwarded message attached.




__________________________________
Do you Yahoo!?
Read only the mail you want - Yahoo! Mail SpamGuard.
http://promotions.yahoo.com/new_mail
 

Last Update : 25th Jumadul-Thani 1426, 1st August 2005 
Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

Namna ya kuhiji inaendelea
Na kumesuniwa abakie ilhali amesimama hapo Mash-aril-Haraam akiwa ameelekea Qiblah mpaka jua lipige weupe. Nako ni kule kuchomoza mwangaza kutokea upande wa mashariki kwa kiasi ambacho nyuso zinaweza kutambuana. Halafu waondoke ili wapate kufika Minaa baada ya kuchomoza kwa jua. Haji atakapo fika Minaa kumemuwajibikia kukipopoa mawe kinara cha Aqabah, nacho ndicho “Al-Jamratul-Kubraa” ambacho kipo magharibi ya Minaa kwenye njia iendayo Makah. Endelea ...


Kuwapa watoto majina mazuri 
Jina lina athari za kisaikolojia katika utu wa mtu (muhusika), utu na haiba yake yote huweza kukua chini ya kivuli cha maana ya athari za jina lake alilo pewa. Zaidi ya hayo, ni dhahiri shahiri kwamba tunapenda majina ambayo yanapendeza kuyasikia na yenye maana nzuri. Kwa hivyo basi, tunapaswa kuwa makini na waangalifu wakati wa kutekeleza zoezi zima la kuwapa majina watoto wetu.  Endelea .....
Malezi Matukufu
Sa’ad akatoka akawakusanya Answaari katika uwanja ule alioagizwa na Mtume, Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-akawaendea. Akamuhimidi Allah na kumsifia kwa sifa stahiki zake, halafu akasema: “Enyi kusanyiko la Answaari! Ni maneno gani haya yaliyo nifikia kutoka kwenu?! Na ghadhabu mliyo nayo juu yangu ndani ya nafsi zenu?! Je, mimi sikukujilieni ilhali mu wapotofu, Allah akakuongozeni! Na ilhali mkiwa mafakiri, Allah akakupeni ukwasi, na ilhali mkiwa maadui Allah akaziunganisha nyoyo zenu?!” Wakasema: “Kwani ndivyo hivyo hivyo usemavyo, Allah na Mtume wake wana fadhila na neema kuu juu yetu”. Endelea .....

Aina za talaka
Wanazuoni-Allah awarehemu-wameigawa talaka katika mafungu mawili makuu; Talaka Rejea na Talaka – Baini. Na hili fungu la pili (Talaka – Baini) linagawika pia katika sehemu mbili; Talaka Baini Sughraa na Talaka Baini Kubraa kama utakavyo ona katika ufafanuzi ufuatao:
Endelea ...



 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

“ENYI MLIO AMINI! MCHENI ALLAH NA SEMENI MANENO YA SAWA SAWA APATE KUKUTENGEZEENI VITENDO VYENU NA AKUSAMEHENI MADHAMBI YENU. NA ANAYE MTII ALLAH NA MTUME WAKE, BILA YA SHAKA AMEFANIKIWA MAFANIKIO MAKUBWA”. [33:70-71]

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Atakaye uona uovu miongoni mwenu, basi auondoshe kwa mkono wake, kama hakuweza (kuondosha kwa mkono), basi auondoshe kwa kutumia ulimi wake (aseme/akemee). Hakitoweza (hilo pia), basi na atumie njia ya moyo wake (auchukie uovu huo) na huko (kuchukia) ndio daraja dhaifu ya imani”. Muslim-Allah amrehemu.

Dua ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Sema: ALLAAHUMMA FAATWIRAS-SAMAAWAATI WAL-ARDHWA, ‘AALIMAL-GHAIBI WAS-SHAHAADAH, RABBA KULLI SHAIN. ASH-HADU AN LAA ILAAHA ILLA ANTA, AUDHUBIKA MIN SHARRI NAFSIY WAMIN SHARRI SHAYTWAANI WASHIRKIHI. Sema maneno hayo unapo pambazukiwa, unapo chwewa na unapo taka kulala”. Ibn Hibbaan-Allah amrehemu.

Katazo la Wiki

Inahusu nini, mambo yenu ya chumbani na mumeo/mkeo kuyazungumza nje kwa mashoga/marafiki?! Hivi huoni kuwa unajifedhehesha, kwa nini usikae kimya kama huna la kuzungumza?! Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-anasema: “Hakika katika jumla ya watu watakao kuwa na daraja/makazi mabaya kabisa mbele ya Allah siku ya Kiyama ni mwanaume anaye kidhi haja yake kwa mkewe nae akakidhi haja yake kwake, kisha akaitangaza siri yake (mkewe)”. Muslim-Allah amrehemu.

Swali la Wiki

Nini hukumu ya kutoa ushahidi wa uwongo katika uislamu?


| Tuandikie |

:

#472 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Fri Aug 5, 2005 2:49 pm
Subject: abortions No.2
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 

Question of Fatwa

As-Salamu `alaykum. My wife is pregnant. Doctors say that the baby, (she is six months gestation), will be disabled. Is it Halal for my wife to abort this baby now to avoid suffering? Jazakum Allah khayran.

Name of Mufti

Yusuf Al-Qaradawi

Content of Reply

Wa `alaykum As-Salamu wa Rahmatullahi wa Barakatuh.

In the Name of Allah, Most Gracious, Most Merciful.

All praise and thanks are due to Allah, and peace and blessings be upon His Messenger.

Dear questioner, we would like to thank you for the great confidence you place in us, and we implore Allah Almighty to help us serve His cause and render our work for His Sake.

In his response to the question, the eminent Muslim scholar, Sheikh Yusuf Al-Qaradawi, states:

"Islamic Shari`ah respects the life of the fetus since it is a living being that should be protected. One of the means of such protection is that Shari`ah permits a pregnant woman not to fast in Ramadan if she fears that fasting will harm her baby in any way.

Therefore, the Shari`ah forbids any transgression against the life of the fetus even if this transgression is committed by the father and the mother. Moreover, it is forbidden to terminate a fetus even if the pregnancy has resulted from adultery. The reason for that is because the baby is innocent and has committed no sin. Allah Almighty says: "Whosoever goeth right, it is only for (the good of) his own soul that he goeth right, and whosoever erreth, erreth only to its hurt. No laden soul can bear another's load." (al-Isra': 15)

Muslim reports on the authority of Hudhayfah Ibn Usayd who says that the Prophet (peace and blessings be upon him) said: "When forty nights pass after the semen gets into the womb, Allah sends the angel and gives him the shape. Then he creates his sense of hearing, sense of sight, his skin, his flesh, his bones, and then says: 'My Lord, would he be male or female?' And your Lord decides as He wills, and the angel then puts down that and then says: 'My Lord, what about his age?' And your Lord decides as He wills it, and the angel puts it down, then he says: 'My Lord, what about his livelihood?' And then the Lord decides as He wills and the angel writes it down, and then the angel gets out with his scroll of destiny in his hand and nothing is added to it and nothing is subtracted from it."

Therefore, all jurists agree that it is forbidden to abort the fetus after the spirit has been breathed into it. Some scholars distinguish between stages of pregnancy according to whether the fetus has been conceived of for forty nights or less, and hence permit abortion only before forty days. They base this distinction on the previously mentioned hadith reported by Muslim. However, many scholars hold an opposite view and forbid aborting the child even before the spirit is breathed into it. Although Imam Al-Ghazali permits `Azl (withdrawal before ejaculation) for certain reasons, he clearly distinguishes between contraception through `Azl and abortion after fertilization. He states: `Azl is not like abortion or burying a baby alive because the latter is a crime against an already existing human being. There are stages of existence, the first stage is when the sperm reaches the uterus and fertilizes the ovum, and begins the process of forming a human being. Disrupting such a process is a crime. When the zygote becomes a morsel of flesh, the crime is more severe. When the spirit is breathed into it, the crime is much more grave, reaching its utmost severity when killing a newborn child. (Ihya' `Ulum-id-Deen, the Chapter on Customs, the Book on Marriage, p. 737.)

We notice here that Imam Al-Ghazali considers abortion a crime against an existing human being, although he describes the fusion of the semen and the ovum (fertilization) as "becoming ready to receive life". So what if he had known what we know now that a new life starts upon a successful fertilization. That is why we hold that abortion is originally forbidden and it becomes more and more grave with the progression of fetal life.

The degree of impermissibility is less in the first forty days and may even be permissible for Islamically accepted excuses. After forty days, the degree of impermissibility becomes greater, and abortion is only allowed for certain compelling reasons that are to be estimated by experts. However, it is absolutely forbidden to abort the fetus after one hundred and twenty days "after the spirit is breathed into the fetus" as stated in another Hadith. In such a case, abortion is not permitted except in cases of dire necessity on the condition that this necessity is unequivocally proved, and necessity is judged according to the circumstances surrounding it.

In my opinion, the necessity can only be in one case, namely when the completion of the pregnancy puts the mother's life at stake. So the mother's life should be protected since she is the origin of the life of the fetus, and as such the life of the mother should not be sacrificed for the sake of the fetus. This is quite a logical reasoning that is approved by medicine, jurisprudence and law. Thus, in accordance with the general principle of the Shari`ah that states choosing the lesser of two evils, abortion should be performed in such a case.

In addition to the aforementioned case, some of the modern scholars add another case that in which abortion can be allowed, namely if it is proved via scientific means that the fetus will be born with dangerous anomalies. These anomalies are such that will render his life along with the life of his family an unbearable agony. In cases like these, they hold that it is permissible to abort the child. But many a team of consultants, not only one doctor, should decide this.

The view believed to be the most correct is that the fetus after four months of gestation becomes a human being, and aborting it is like killing a living child. It is Allah's Mercy that a dangerously disfigured child does not actually survive after delivery as stated by specialists. However, doctors occasionally misdiagnose some cases.

I would like to stress here that the fetal anomalies should be taken into consideration if they are proved to exist before four months of gestation (the breathing of life into the fetus). However, anomalies that license abortions do not include blindness, deafness or dumbness because these are disabilities with which people have been quite compatible. Many people throughout human history had such disabilities but they did not hinder them from participating in the various activities of life. On the contrary, some of the disabled were genius and we still remember them till now. It is quite wrong to think that scientific progress will change the nature of life that Allah bases on testing people's faith. Allah Almighty says: "Lo! We create man from a drop of thickened fluid to test him; so We make him hearing, knowing." (Al-Insan: 2) and "Verily We have created man into toil and struggle." (Al-Balad: 4). Modern technology has helped to a very large extent in educating the physically disabled and mentally retarded, and making life easier for them in addition to enabling them to participate in life's various activities just like normal people.

Allah always speaks the truth, and it is He Who guides to the Straight Path."

You can also read:

Abortion: Haram at All Stages?

Allah Almighty knows best.

All Fatwas published on this website (Islamonline.net) represent the juristic views and opinions of eminent scholars and Muftis. They do not necessarily form a juristic approach upheld by this website. Click here to read Full Disclaimer.



Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com


#473 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Fri Aug 5, 2005 2:56 pm
Subject: http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/links
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 

Yahoo! Groups Tips

Did you know...
You can decide who joins your group? You can approve all new memberships. Simply adjust your group's membership settings.

Yahoo! 360°

Keep connected to your friends and family through blogs, photos and more. Create your own 360° page now.

Links

 

Links

Name
Folder BIBILIA
JIFUNZE NINI BIBILIA INASEMA KUHUSU UISLAMU
 
  
Folder Islamic Sites
 
  
Folder MAGAZETI YA TANZANIA
 
  
Folder MITANDAO YA KIISLAMU KWA KISWAHILI
HAPA UTAKUTA MITANDAO YOTE ILIYOANDIKWA KWA KISWAHILI
 
  
Folder QURAN
 
  
Folder YAKATI ZA SWALA DUNIANI
 
  
(Untitled)
http://www.islamicscience.org/
  
(Untitled)
Islamization of Knowledge
http://www.islamicscience.org/
  
AKHLAAQ-TABIA
http://www.uislamu.org/akhlaaq/index.html
FIQH NA SHERIA
http://www.uislamu.org/fiqh/index.html
IISTD
Islamization of Knowledge
http://www.islamicscience.org/
MASWALI NA MAJIBU
http://www.uislamu.org/q&a/index.html
NASAHA ZA DINI
http://www.uislamu.org/nasaha/index.html
SIRA YA MTUME (SAW)
http://www.uislamu.org/sira/index.html
 
UISLAMU TANZANIA
http://www.islamtz.org/
 
ULIZA SWALI
http://www.uislamu.org/mailform2.html
 
WACHA BIBILIA ISEME
BIBILIA KWA KISWAHILI
http://quranitukufu.com/Biblia/index.htm



Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com


#474 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Fri Aug 5, 2005 2:28 pm
Subject: abortions
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 

Question of Fatwa

Dear scholars, as-Salamu `alaykum wa Rahmatu Allah wa Barakatuh. What is Islam’s stance on abortion, as the issue is still controversial, especially among Muslims living abroad? Jazakum Allah Khayran.

 

Name of Mufti

Yusuf Al-Qaradawi

 

Content of Reply

Wa `alaykum As-Salamu wa Rahmatullahi wa Barakatuh.

In the Name of Allah, Most Gracious, Most Merciful.

All praise and thanks are due to Allah, and peace and blessings be upon His Messenger.

Dear brother in Islam, thanks a lot for your interesting question, which reflects your deep belief in the fact that Islam has answers for every problem facing mankind. Our utmost wish is just for all of us to adhere to the teachings of this great religion which came to save mankind from the peril of succumbing to the material life, to rescue them from darkness of following whims and self-inclinations to the light of guidance and eternal prosperity.

As regards your question, following is what the eminent Muslim scholar, Sheikh Yusuf Al-Qaradawi, states in his well-known book, The Lawful and the Prohibited in Islam:

“While Islam permits preventing pregnancy for valid reasons, it does not allow doing violence to it once it occurs.

Muslim jurists have agreed unanimously that after the fetus is completely formed and has been given a soul, abortion is haram. It is also a crime, the commission of which is prohibited to the Muslim because it constitutes an offense against a complete, living human being. Jurists insist that the payment of blood money (diya) becomes incumbent if the baby is aborted alive and then died, while a fine of lesser amount is to be paid if it is aborted dead.

However, there is one exceptional situation. If, say the jurists, after the baby is completely formed, it is reliably shown that the continuation of the pregnancy would necessarily result in the death of the mother, then, in accordance with the general principle of the Shari`ah, that of choosing the lesser of two evils, abortion must be performed. The reason for this is that the mother is the origin of the fetus; moreover, her life is well-established, with duties and responsibilities, and she is also a pillar of the family. It would not be possible to sacrifice her life for the life of a fetus which has not yet acquired a personality and which has no responsibilities or obligations to fulfill.

Imam al-Ghazzali makes a clear distinction between contraception and abortion, saying that contraception is not like abortion. Abortion is a crime against an existing being. It follows from this that there are stages of existence. The first stages of existence are the settling of the semen in the womb and its mixing with the secretions of the woman. Then come the next gestational stage. Disturbing the pregnancy at this stage is a crime. When it develops further and becomes a lump, aborting it is a greater crime. When it acquires a soul and its creation is completed, the crime becomes more grievous. The crime reaches a maximum seriousness when it is committed after it (the fetus) is separated (from the mother) alive.”

You can also read:

Abortion: Haram at All Stages?

Allah Almighty knows best.

All Fatwas published on this website (Islamonline.net) represent the juristic views and opinions of eminent scholars and Muftis. They do not necessarily form a juristic approach upheld by this website. Click here to read Full Disclaimer.



Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com


#475 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Fri Aug 5, 2005 2:11 pm
Subject: Nini hukumu ya sheria katika swala za usiku?
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 
SWALI: Nini hukumu ya sheria katika swala za usiku?
JIBU: Swala ya usiku ndio ile ijulikanyo na wengi kwa jina la
"TAHAJJUD" na hukumu ya swala hii ni SUNAH. Mtume wa Allah-Rehema na
Amani zimshukie-aliidumisha swala hiyo katika uhai wake. Na swala za
usiku ndizo zinazo shika nafasi ya pili katika ubora zikizifuatia
swala tano za fardhi. Na hakika ubora wa swala za usiku juu ya zile za
mchana ni mithili ya ubora wa sadaka ya siri juu ya ile ya dhahiri.
Pale ambapo sadaka ya siri hurudufiwa ujira kwa mara sabini juu ya ile
ya dhahiri. Na mtu atakaye swali baada ya fardhi ya Ishaa, huyo
atahesabika kuwa kasimama usiku. Lakini kule kuamka kuswali baada ya
kulala kunamponda ponda shetani na ni kupigana jihadi na nafsi. Na
hakika kunampendeza mno Allah, pindi mja anapo liacha godoro lake na
mkewe akaja kuswali. Hujifakhrisha nae (mja huyo) kwa malaika wake na
humuelekea (mja wake huyo) kwa dhati yake tukufu. Na ubaya ulioje kwa
mwenye kuitaka akhera kutokusimama usiku! Imekuja katika hadithi:
"Hushuka Mola wetu kila usiku mpaka katika uwingu wa dunia pale inapo
salia theluthi ya mwisho ya usiku, akasema: Je, yupo aombaye nimjibu,
je yupo atakaye maghfira nimghufirie, je yupo aombaye nimpe na je yupo
atubiaye nimkubalie toba yake? (Huendelea hivyo) mpaka inachimbuka
alfajiri". Bukhaariy [2/121/1145], Muslim [522], Abu Daawoud [2/6/1315
& 5:100/4733], Tirmidhiy [446, 3498], Ibn Maajah [1366] & Ahmad
[2:419, 4:81/487]-Allah awarehemu.
Allah ndiye Mjuzi mno.


Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com


#476 From: jifunze Uislamu <jifunzeuislamu@...>
Date: Fri Aug 5, 2005 2:12 pm
Subject: Nini hukumu ya swala ya Tasbeeh na huswaliwaje?
jifunzeuislamu
Send Email Send Email
 

SWALI: Nini hukumu ya swala ya Tasbeeh na huswaliwaje?
JIBU: Imamu Abu Hamid Al-Ghazaaliy-Allah amrehemu-ametaja katika
kitabu chake (IHYAAU ULUUMID-DIYN" kwamba swala ya Tasbeeh imepokewa
kutoka kwa Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-kwa hiyo ni
SUNNAH. Na wala haikukhusishwa na wakati maalumu au na sababu fulani
na kunasuniwa isipite wiki au mwezi bila kuswaliwa japo mara moja.
Ikrimah amepokea kutoka kwa Ibn Abbas-Allah awawiye radhi-kwamba
Mtume-Rehema na Amani zimshukie-alimwambia Abbas Ibn
Abdil-Mutwalib-Allah amuwiye radhi: "Ehee nikupe, ehee nikugawie kitu
ambacho ukikifanya, Allah atakughufiria dhambi zako; za mwanzo wake na
mwisho wake, za zamani zake na za sasa zake, za kukosea kwake na
makusudi yake, za siri zake na za makusudi zake? Swali rakaa nne, soma
katika kila rakaa (Al-hamdu) ilhali umesimama na useme (baada yake):
SUB-HAANAL-LAAHI WABIHAMDIHI, WALAA ILAAHA ILLAL-LAAHU WAL-LAAHU AKBAR
– mara kumi na tano. Kisha utarukuu na utayasema (maneno hayo hayo)
mara kumi ilhali ukiwa umerukuu, halafu inuka kutoka rukuu na
utayasema ukiwa umesimama mara kumi. Kisha sujudu na uyaseme mara
kumi, halafu inuka kutoka sijida na uyaseme mara kumi, basi hizo
(jumla) ni (tasbeeh) sabini na tano. Utafanya hivyo katika kila moja
ya rakaa nne, ukiweza kuiswali mara moja kila siku, fanya hivyo.
Ukitoweza, basi na iwe mara moja katika kila Ijumaa, ukitoweza basi
mara moja kila mwezi na ukitoweza basi mara moja katika mwaka. Na
jumla ya Tasbeeh hizi ni mia tatu na unaswali rakaa mbili mbili,
mchana au usiku".
Allah ndiye Mjuzi mno.



Tunakaribisha Mijadala ,midaalo au hotuba tuandikie kwa anuani jifunzeuislamu@yahoogroups.com au angalia page yetu http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/ 

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com


#477 From: rajabu baweni <rajabubaweni@...>
Date: Sat Aug 13, 2005 7:51 pm
Subject: Aina za najisi na kuziondosha
rajabubaweni
Send Email Send Email
 

Najisi kwa mtazamo wa sheria zimegawanywa katika aina tatu zifuatazo :

  1. NAJISI NZITO : Hii ni najisi ya mbwa na nguruwe na mnyama aliyezaliwa kutokana nao au mmoja wao (mbwa na nguruwe). Najisi hii imeitwa najisi nzito kutokana na uzito unaompata mtu katika kuiondosha
  2. NAJISI KHAFIFU : Hii ni mkojo wa mtoto mchanga wa kiume aliye chini ya miaka miwili na hali ila maziwa ya mama tu. Najisi hii imeitwa Najisi khafifu kwa sababu ya wepesi unaopatikana katika uiondosha.
  3. NAJISI YA KATI NA KATI : Hii imekusanya baki ya najisi nyingine ukiondoa najisi ya mbwa na nguruwe na mkojo wa mtoto mchanga wa kiume. Najisi hii imeitwa Najisi ya kati na kati kwa kuwa haiko kwenye uzito na wala haikufika kwenye ukhafifu.

JINSI/NAMNA YA KUZIONDOSHA NAJISI HIZI :

Ni muhimu tukakumbuka kuwa ni haramu kujipakaza najisi na ni wajibu kuiondosha mara tu inapoingia mwilini, nguoni au mahala pake mtu.

Hutwahirishwa mahala palipoingiwa na najisi ya mbwa na nguruwe kwa kupaosha mahala hapo paliponajisika kwa kupaosha mara saba na mojawapo wa mara saba hizo iwe kwa kusugua na mchanga. Bwana Mtume -Allah amrehemu na amshushie amani- amesema :
"Twahara ya chombo cha mmoja wenu atakapokiramba mbwa ni kukiosha mara saba, ya kwanza yake ( hizo mara saba) iwe ni kwa mchanga" Muslim

Najisi khafifu hutwahirishwa mahala paliponajisika kwa kuingiwa/kupatwa na najisi khafifu kwa kuimwagia maji sehemu hiyo, maji yaenee. Imepokewa hadithi kutoka kwa Ummu Qays Bint Mihswan-Allah amridhie- kwamba alimpeleka Mtume wa Allah mtoto wake mdogo wa kiume ambaye hajala chakula (ananyonya) akamkojolea (mtume) nguoni, akaagizia maji na kuyamiminia palipokojolewa na hakuifua (nguo)". Bukhaariy na Muslim.

Najisi ya kati na kati, mahala paliponajisika kwa kuingiwa na najisi hii hutwaharishwa kwa kupaosha na maji twahara mpaka iondoke rangi, utamu na harufu ya najisi hiyo. Haidhuru kubakia kimojawapo rangi au harufu ziloshindikana kuondoka.

TANBIHI : Usiitumbukize nguo iliyonajisika ndani ya maji machache kama vile ndoo ukadhani kuwa umeitwahirisha bali itakuwa bado imenajisika na kunajisisha maji yote na hivyo kuyafanya yasifae tena kutwahirishia. Unachopaswa kufanya ni kutumia kata au kilicho mfano wa kata, uteke maji na kuitwahirishia nguo hiyo pembeni ambapo maji yanayochuruzika kutoka katika nguo iliyonajisika hayaingii tena chomboni.

TWAHARA YA ARDHI :

Ardhi ikipatwa na najisi, hutwahirishwa kwa kumwagiwa maji juu yake mpaka najisi iondoke, hivyo ndivyo alivyoagiza Bwana Mtume. Imepokelewa riwaya kutoka kwa Abuu Hurayra-Allah amridhie- kwamba amesema : Alikuja bedui mmoja akakojoa msikitini, watu (maswahaba) wakamuinukia ili wamuadhibu, Mtume akawaambia : "Mwacheni (amalize haja yake) na (kisha) mumwagie mkojo wake ndoo ya maji" Bukhaariy na Muslim.

Msikiti wa Bwana Mtume –Allah amshushie rehma na amani- ulikuwa haukusakafiwa kama ilivyo misikiti yetu ya leo bali ulikuwa na sakafu ya udongo/mchanga kama zilivyo nyumba zetu za vijijini.

Ardhi pia hutwahirika kwa kukauka yenyewe kutokana na kupigwa kwa jua au kunyeshewa mvua na kuondoka athari ya najisi.

TWAHARA YA SAMLI, JIBINI, SIAGI NA MFANO WA VITU HIVYO

Samli, jibini siagi na vitu vinavyofanana navyo vikiingiwa na najisi na vikiwa katika hali ya ugumu na vimeganda na si hali ya kumiminika, hutwahirika kwa kuitoa najisi iliyoingia pamoja na sehemu zinazozunguka/zilizojiranikiana na najisi ile.

Bwana Mtume-Allah amshushie rehema na amani- aliulizwa kuhusiana na (hukmu ya) panya aliyetumbukia (na kufia) ndani ya samli, akajibu "Mtupeni na sehemu inayomzunguka na kuleni samli yenu". Al-Bukhariy.

Ama itakapokuwa samli, siagi, jibini na chochote chenye kufanana navyo katika hali ya kumiminika/maji maji na ikaingiwa na najisi itanajisika yote na haitofaa tena kwa matumizi ya binadamu.

TWAHARA YA NGOZI

Ngozi ya mnyama hutwahirishwa kwa kudabighiwa. Dabghu ni kuondosha damu, mafuta na mabaki ya nyama zilizosalia katika ngozi baada ya mnyama kuchunwa. Uondoshaji huu hufanyika ka kutumia vitu vikali vyenye muonjo wa asidi, baada ya hapo ndipo ngozi hutwahirishwa na maji na kufaa kutumika kwa matumizi mbali mbali ya binadamu. Imepokelewa na Ibn Abbas – Allah amridhie- kwa Bwana Mtume-Allah amshushie rehema na amani- amesema "Ngozi itakapodabighiwa imetwahirika" Bukhaariy na Muslim.


Start your day with Yahoo! - make it your home page

#478 From: webmaster@...
Date: Thu Aug 18, 2005 12:20 pm
Subject: Fwd: Jifunze Uislamu, tarehe 12 Rajab 1426, 18th August 2005
sameja
Send Email Send Email
 
Note: forwarded message attached.


__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam?  Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com
 

Last Update : 12th Rajab1426, 18th August 2005 
Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

Yamini-(Oath)
“Yamini” ni neno la Kiarabu lililo katika hali ya umoja, wingi wake ni “Aymaan”. Neno hili “Yamini” lina maana kadhaa katika lugha ya Kiarabu, miongoni mwa maana hizo ni “nguvu’ kama lilivyo tumika katika kauli tukufu ya Allah: “BILA YA SHAKA TUNGELIMSHIKA KWA “YAMINI” – NGUVU”. [69:45] Endelea ...


Majina yaliyopendekezwa na Mtume
Sayyidna Yousuf Ibn Abdullah Ibn Salaam-Allah awawiye radhi-anasimulia kwamba jina lake hilo (Yousuf), alipewa na Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie. Mtume alimpapasa mapajani mwake akakipapasa kichwa chake kwa mahaba na kumuita Yousuf [AL-ADABUL-MUFRAD] Endelea .....
Ukweli unaopasa kujulikana na waislamu
Naam, namna hivi waislamu walizitegemea nafsi zao kwa kipindi cha mchana na Allah akawatupa mkono. Hapo ndipo ukapatikana ushindwa pamoja na wingi wa idadi na zana za kivita. Walipo tanabahi wakarejea kwa Bwana Mlezi wao na kumtaka msaada, ukawajia msaada huo, kuungwa mkono na kutiwa nguvu. Hapo ndipo ikapatikana nusra na ushindi mtukufu: “HAKIKA ALLAH AMEKUNUSURUNI KATIKA MAPIGANO MENGI, NA SIKU YA HUNAYNI AMBAPO WINGI WENU ULIKUPANDISHENI KICHWA, LAKINI HAUKUKUFAENI KITU. NA ARDHI IKWA DHIKI KWENU JUU YA UPANA WAKE. KISHA MKAGEUKA MKARUDI NYUMA. KISHA ALLAH AKATEREMSHA UTULIVU WAKE JUU YA MTUME WAKE  NA JUU YA WAUMINI. NA AKATEREMSHA MAJESHI AMBAYO HAMKUYAONA, NA AKAWAADHIBU WALE WALIO KUFURU. NA HAYO NDIO MALIPO YA MAKAFIRI”. [9:25-26] Endelea .....

Talaka tundikwa
“Talaka tundikwa” ni ile talaka inayo fungamanishwa na sharti, mithili ya kauli yake mume kumwambia mke wake: “Ukienda kwenu, basi wewe umeachika”. Au inayo fungamanishwa na kutokea kwa tukio fulani, kama kauli ya mume kumwambia mke wake: “Akija fulani, basi wewe umeachika”. Au inayo tegemezewa wakati, mfano wake ni mume kumwambia mke wake: “Utakapo ingia mwezi wa Ramadhani, basi wewe umeachika”.Endelea ...



 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

“ENYI MLIO AMINI! MKIMNUSURU ALLAH NAYE ATAKUNUSURUNI NA ATAITHIBITISHA MIGUU YENU”. [47:33]

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Atakaye walea mabinti watatu, akawafundisha adabu, akawaoza na akawatendea wema, kunamuelea kupata pepo”. Abu Daawoud-Allah amrehemu.

Dua ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Kafara ya baraza ni mja kusema: SUB-HAANAKAL-LAAHUMMA WABIHAMDIKA, ASH-HADU AN LAA ILAAHA ILLA ANTA, WAHDAKA LAA SHARIYKA LAKA, ASTAGHFIRUKA WA ATUUBU ILAYKA”. Twabaraaniy-Allah amrehemu.

Katazo la Wiki

Allah Taala amekuneemesha kwa kukupa afya njema na amekukunjulia maisha yako. Miaka inapita, unashindwa kweli kumshukuru Mola wako kwa neema alizo kupa kwa kufunga safari ya mara moja tu katika umri?! Ukaenda kuizuru nyumba tukufu ya Allah (Al-Ka’abah) na kutekeleza fardhi ya Hijah?! Hebu msikilize Mola wako: “Hakika Allah Taala anasema: Hakika mja (wangu) nimempa afya njema na nimemkunjulia maisha yake. Anapitiwa na miaka mitano haji kunitembelea (kuizuru nyumba yangu; Al-Ka’abah), bila shaka huyo ni mwenye kunyimwa kheri”. Ibn Hibaan-Allah amrehemu.

Swali la Wiki

Nini hukumu ya sheria kwa mwanaume ambaye hajafanyiwa khitani (hajatahiriwa) kwa sababu za kiafya. Je, swala yake inajuzu?


| Tuandikie |

:

#479 From: webmaster@...
Date: Tue Aug 23, 2005 7:13 am
Subject: Jifunze Uislamu, tarehe 18th Rajab 1426, 23rd August 2005
sameja
Send Email Send Email
 

 

Last Update : 18th Rajab1426, 23rd August 2005 
Makala
Uislamu-Utangulizi
Fiqhi na Sheria 
Akhlaaq-Tabia
Sira ya Mtume
Nasaha za dini
Maswali na Majibu  
Uliza Suala la dini
Jiunge  !!!
 
 
  Karibu kwenye Mtandao wa UISLAMU  

"Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote! Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui...." 96:1-5


Dondoo za wiki

Sharti za kufungamana yamini
Ili Yamini iweze kufungamana, kumeshurutizwa kuthibitika na kupatikana kwa mambo yafuatayo:
a)     
Muapaji awe mtu mzima mwenye akili timamu:
Ushurutizo huu ni kwa ajili ya kuondoshwa kupata dhambi na kuadhibiwa kwa asiye baleghe (mtoto) na asiye na akili (mwendawazimu). Ushahidi wa hili: Imepokewa kutoka kwa Imamu Aliy-Allah amuwiye radhi-kutoka kwa Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Kalamu imeondoshwa kwa watu watatu; aliye lala mpaka aamke, mtoto mdogo mpaka abaleghe na mwendawazimu mpaka arejewe na akili”. Abu Daawoud [4403] & wengineo-Allah awarehemu.
Endelea ...


Mtu kuwapenda watoto wake
Mojawapo ya haki za watoto kwa wazazi wao ni kupata upendo na huba kamili kutoka kwao. Kuwapenda watoto ni hulka iliyo pandikizwa na Allah Taala ndani ya maumbile ya wazazi wote. Na uumbaji huu, unadhihirisha wema, hekima na mamlaka yake ya juu kabisa kwa viumbe wake. Kama yasingelikuwa maumbile haya waliyo umbiwa wazazi, ni watoto wangapi wangelikuwa hai leo?! Hakuna awezaye kuchukua magumu na machungu ya kumtunza na kumlea mtoto mchanga asiye jiweza kwa lo lote ila mwanaume na mwanamke wenye kuwajibika na kuzaliwa kwake. Endelea .....
Vita vya Tabuuk
Fat-hi (ushindi) Makah ilikuwa ni tangazo la kuingia kwa Peninsula ya Kiarabu katika wigo wa Uislamu na Waarabu wote kuwa chini ya bendera yake. Baada ya Fat-hi Makah na kusilimu kwa Makureishi, Waarabu wakatambua kwamba hawana njia ya kuhepa kuingia katika Uislamu sasa au baadae. Endelea .....

Khului - Talaka malipo
“Khului” ni mojawapo ya aina za talaka katika sheria ya Kiislamu, na msingi na asili ya “Khului” ni kauli yake Taala: “...BASI MKIOGOPA HAWATAWEZA KUSHIKAMANA NA MIPAKA YA ALLAH HAPO ITAKUWA HAPANA LAWAMA IKIWA MWANAMKE ATAJIKOMBOA...” [2:229] Endelea ...



 

Nyakati za Swala
Tafsiri ya Qur-an

Aya ya Wiki

“ENYI MLIO AMINI! MSITANGULIE MBELE YA ALLAH NA MTUME WAKE NA MCHENI ALLAH. HAKIKA ALLAH NI MWENYE KUSIKIA, MWENYE KUJUA”. [[49:01]

Hadith ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Hapana muislamu ye yote atakaye otesha au kupanda mmea, wakala kutokana nao (mmea huo) ndege au watu au wanyama, ila huwa ni sadaka kwake”. Bukhaariy-Allah amrehemu.

Dua ya Wiki

Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-amesema: “Maneno ya faraja (ni mja kusema): LAA ILAAHA ILLAL-LAAHU, AL-HALIYMUL-KARIYM, LAA ILAAHA ILLAL-LAAHUL-‘ALIYYUL-ADHWIYM, LAA ILAAHA ILLAL-LAAHU, RABBUS-SAMAAWAATIS-SAB-I WARABBUL-‘ARSHIL-KARIYM”. Ibn Abiy Dunyaa-Allah amrehemu.

Katazo la Wiki

Kwa nini uogopwe na kuchukiwa na watoto kwa sababu tu ya ukali wako?! Hapana hiyo sio tabia nzuri na wala huo sio Uislamu na wala huko sio kulea. Fahamu: “Hakika peponi kuna mlango uitwao ‘nyumba ya furaha’, hawaingii (peponi kupitia) mlango huo ila wale walio wafurahisha watoto”. Ibn Adiy-Allah amrehemu.

Swali la Wiki

Nini hukumu ya sheria katika suala la mume kumuingilia mke wake ndani ya kipindi cha hedhi na namna ya kafara ya dhambi hii?


| Tuandikie |

:

#480 From: "hidiya nassor" <alghafry25@...>
Date: Sun Aug 28, 2005 7:53 am
Subject: RE: FW: FADHILA ZA SIKU KUMI ZA DHUL HIJJA
alghafry25@...
Send Email Send Email
 

ASALLAAM ALEYKUM WARAHMATU LLAHH.

Kwa kifupi nashukuru ndugu zangu kwa kupata mtandao wenu. mimi ni mpekuaji sana wa mambo ya elimu ya dini yetu na sababu sikujaaliwa kusoma dini tangu mdogo basi nitakuwa mwenzenu ili mnielimishe zaidi kwa kile mkijuacho.kwa leo ninaswali katika hii msg niliwatumia hapa chini. hii msg ninayo siku nyingi sana na inanihangaisha kichwa changu kwa swali kuwa kwa nini kila mahali palipo andikwa MTUME au neno ALLAH wameandika herufi ambazo hazieleweki kabisa hasa kwa watu kama sisi ambao hata elimu ya duniani tu kwetu ni ndogo.sasa ninachiomba msaada ndugu zangu mnifahamishe chochote mlicho kifaham katika msg hii. maana twasikia kuwa kuna webs hutumiwa na makafir kutupotosha.

wasaal aleykum


FADHILA ZA SIKU KUMI ZA DHUL-HIJJA

 

 ÈÓã Çááå ÇáÑÍãä ÇáÑÍíã  ÇáÍãÏ ááå æÇáÕáÇÉ æÇáÓáÇã Úáì ÃÔÑÝ ÇáÃäÈíÇÁ æÇáãÑÓáíä æÚáì Âáå æÃÕÍÇÈå ÃÌãÚíä

Inatupasa tumshukuru Allaah ÓÈÍÇäå æÊÚÇáì    kwa neema Aliyotujaaliya ya kutuwekea miezi mitukufu, au siku tukufu au nyakati tukufu  ambazo vitendo vyake vyema huwa na thawabu nyingi sana .  Na hivi tunakaribia kabisa kuingia katika mwezi mwingine mtukufu wa Dhul-Hijja (mategemeo ya mwezi mpya ni tarehe 11 au 12 January 2005) .  Katika mwezi huu, siku kumi za mwanzo ni siku bora kabisa katika dunia na zina fadhila  kubwa kutokana na aya na hadithi zifuatazo:

 

·        Allaah Ameziapia  . {Naapa kwa alfajiri -  Na kwa masiku kumi }  Suratul-Fajr 89:1-2

 

·        {Ili washuhudie manufaa yao na kulitaja jina la Allaah katika siku zinazojulikana}  Suratul-Haj 22:28

Ibn Abbas kasema hizo ni siku kumi  za Dhul-Hijja 

 

Hadithi Inatokana  na Ibn Abbas ÑÖí Çááå ÚäåãÇ  . Mjumbe wa Mwenye Enzi Mungu amesema:  Hakuna  siku ambazo  vitendo vyake vyema  Anavipenda  Allaah kama siku kumi hizi (siku kumi za mwanzo wa mwezi wa Dhul-Hijja) Akaulizwa  je, hata  Jihaad katika njia ya Allah?  Akajibu  Õáì Çááå Úáíå æÓáã  “hata jihaad katika njia ya Allaah isipokuwa mtu aliyekwenda  na maisha yake na mali yake ikawa  hakurudi na kimojawapo”  (Al Bukhari)

 

Vitendo  vyema vya kufanya katika siku kumi hizi

 

1.                       Kutimiza Hajj na Umra (kwa mwenye uwezo)

 

2.                       Kuomba Toba ya kweli

 

3.                       Kumkumbuka sana Allaah kwa Tasbih, Tahmid,  Tahlil, , Takbir yaani

Subhana Allaah, Alhamdulillah,  Laa Ilaaha Illa Allah,  Allaahu Akbar

Inavyopasa kufanya takbir : “Allahu Akbar, Allahu Akbar, Laa Ilaha Illa Allaah Wa-Allaahu Akbar, Allahu Akbar Walillahil-hamd”

Takbir hii ni aina mbili :

1)  Wakati wote usiku au mchana  tokea unapoingia mwezi wa Dhul-Hijja na inaendelea mpaka  siku ya mwisho ya siku za Tashriq.  

2)  Takbir baada ya kila swala na huanza asubuhi ya siku ya Arafat  mpaka siku ya mwisho ya Tashriq .

 Wanaume  waseme kwa sauti ili kuwakumbusha wengine kurudisha sunna ya Mtume  Õáì Çááå Úáíå æÓáã  na wanawake waseme kimya kimya isipokuwa wakiwa na mahaarim wao.    

Hadithi : Mtume Õáì Çááå Úáíå æÓáã kasema {Atakayemuongoza mwenzake  kufanya jambo jema atapata thawabu sawa sawa na za yule atakayetenda hilo jambo jema } Muslim .

 Imesemekana kuwa ukiandama mwezi wa Dhul-Hijja Ibn 'Umar na Abu Hurayrah walikuwa wakienda sokoni na kufanya takbir kwa sauti ili kuwakumbusha watu.

 

4.                       Kufunga siku hizi hasa siku ya Arafah.

 

5.                       Kuzidisha vitendo vyema mbali mbali kama kusali sunna zaidi, kusoma Qur’an, sadaqa, duaa , kutii wazazi, kuwasiliana na jamaa (kuunga undugu), kufanya wema na jirani, kuambizana yaliyo mema na kukatazana yaliyo maovu, kufanyiana wema na ihsani .

 

 

6.        Kuchinja  baada ya swala ya Eid  Kasema Allaah ÓÈÍÇäå æÊÚÇáì {{ Basi Swali kwa ajili ya Mola wako na uchinje }} Suratul Kawthar 108:2   Ibada  hii ya kuchinja ni sunna iliyosisitizwa hata baadhi ya wanachuoni wameona kuwa ni wajib kwa kila aliyekuwa na uwezo.

 

Yanayompasa kufanya mwenye kutaka kuchinja

 

Baada ya kutia nia ya kuchinja, usikate nywele wala kucha mpaka umalize kuchinja kutokana na hadithi:  “Ukiandama mwezi wa Dhul-Hijja  na ikiwa  yuko anayetaka kuchinja basi asikate kucha wala nywele wala kutoa kitu katika ngozi yake mpaka akimaliza kuchinja" Muslim

Hii ni fadhila na neema kwetu kuwa tuwe katika hali ya ‘ihraam’ kama waliyokuwa  kwenye Hijja. Ikiwa umesahau na mfano ukakata kucha basi endelea tu na nia yako mpaka umalize kuchinja.

 

7.                       Kuhudhuria sala ya Idi  -  Mtume Õáì Çááå Úáíå æÓáã  amewahimiza mpaka

Wanawake walio katika hedhi na wazee kwenda kusikiliza hutba ya swala,  wakati wa swala ukifika wanawake hao wenye hedhi wajitenge kando hadi itakapomalizika na kisha wajiunge na wenzao kusikiliza khutba. 

 

SIKU YA ARAFAH  ni siku ya tisa ya Dhul-Hijja

Siku hii tukufu ni siku iliyokamilika dini yetu.    Thawabu za kufunga siku hii ni kufutiwa madhambi ya miaka miwili.  Imetoka kwa Abi Qatada ÑÖí Çááå Úäå   (Kasema mjumbe wa Mwenye Enzi Mungu Õáì Çááå Úáíå æÓáã  kuhusu saumu ya Arafah  kuwa inafuta madhambi ya mwaka uliopita na  uliopo) Muslim

Vile vile inapasa kumtaja sana Allaah siku hii kama alivyosema Mtume Õáì Çááå Úáíå æÓáã kuwa "Dua bora kabisa ni katika siku ya Arafah,  na yaliyo bora kabisa niliyosema mimi na Mitume kabla yangu ni ‘ Laa Ilaaha Illa Allaah Wah-dahu la sharika lahu, lahul-mulku walahul-hamdu wa huwa 'alaa kulli shay-in qadir’ }

 

SIKU YA KUCHINJA  ni siku ya Eid Kubwa

 Kasema Mtume Õáì Çááå Úáíå æÓáã  : "siku iliyo tukufu kabisa kwa Mwenye Enzi Mungu ni siku ya kuchinja, kisha siku ya kutulia"  (yaani siku ya kukaa Mina)  Abu Dawud

 

SIKU ZA TASHRIQ : Siku ya kumi na moja na kumi na mbili na kumi na tatu ya Dhul-Hijja yaani baada ya siku ya Eid.   Na siku hizi tatu zimeitwa siku za Tashriiq kwa sababu watu walikuwa wakikatakata nyama na kuzianika juani. Siku za kuanika (nyama) juani. Na pi siku hizi hujulikana kwa 'siku za Minaa'.

 

Namuomba Allaah atupe umri na afya na uwezo wa kuweza kufanya mengi ya kumridhisha katika siku hizi tukufu na siku zote nyingine    ili tujipatie thawabu nyingi na  Atujaaliye tuwe  katika wale wanaosikiliza kauli  na daima wakafuata zile zilizo njema  .     Amin.

 

Ummu-Iyyad

 

 

 

 

 

 




Express yourself instantly with MSN Messenger! MSN Messenger Download today it's FREE!

#481 From: "SALUM SHABAN" <lupande@...>
Date: Wed Aug 31, 2005 10:21 pm
Subject: RE: RE: FW: FADHILA ZA SIKU KUMI ZA DHUL HIJJA
lupande@...
Send Email Send Email
 

Bismillah ar-rahman ar-rahim

Assalaam alaikum

Kwanza kabisa tunamshukuru Allah (SWT) kwa kutufungulia milango ya elimu. Kwani hii ni katika nyanja zilizokokotezwa ktk dini yetu, kuwa kufatufuta elimu ni lazima kwa mwislamu mwanamume na hata mwanamke. Kwa kuongezea uzito, tunajulisha kuwa tunawajibika kutafuta elimu hata kwa umbali wa Uchina (Mfano unaokusudia popote duniani hata kama patakuwa mbali vipi). Maswali ni moja ya njia za kuelimishana. SI kwa muulizaji tu, bali na kwa wasikilizaji, na hata wanaojibu.

Ama maandishi ya ajabu ambayo ndugu yetu H. Nassor umekutana nayo kwenye ujumbe ulioambatanisha, pamoja na elimu yangu ndogo, naweza kutoa maelekezo haya kwa ufupi:

Ni hisia zangu kuwa haya ni maneno ya kiarabu, ambayo kwa bahati mbaya baada ya kuwa yametumwa, browser yangu na yako zimeshindwa kuyafungua katika herufi za kiarabu zilizo halisi. Hii hutokea mara nyingi. Hata hivyo hisia zangu zinanipa kuwa maneno hayo yatakuwa kama yafuatavyo (kiarabu ktk alfabeti za kiswahili na maana zake za kimatumizi kwa kiswahili).

  1. Kila anapo tajwa Mungu ni kawaida kufuatanisha na maneno SUBHANA-HU-WA-TAALA (S.W.T). Maana yake ni Ametakasika Mwenyezi Mungu aliye juu.
  2. Kila anapotajwa Mtume ni kawaida kufuatanisha na maneno SWALLA-LLAHU ALAIH WA SALLAM. Maana yake ni Rehema na Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake.
  3. Kila anapotajwa sahaba yeyote wa Mtume (S.A.W) hufuatanishwa na maneno RADHIALLAHU ANHU/ANHUM. Maana yake radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake/ yao.

Ni tabia nzuri kujizowesha kila majina haya yanapotajwa kufuatanisha na maneno hayo hapo juu.

Mwenyezi Mungu ni mjuzi zaidi.

Lupande S. S.


From: "hidiya nassor" <alghafry25@...>
Reply-To: jifunzeuislamu-owner@yahoogroups.com
To: jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Subject: [jifunzeuislamu] RE: FW: FADHILA ZA SIKU KUMI ZA DHUL HIJJA
Date: Sun, 28 Aug 2005 10:53:06 +0300

ASALLAAM ALEYKUM WARAHMATU LLAHH.

Kwa kifupi nashukuru ndugu zangu kwa kupata mtandao wenu. mimi ni mpekuaji sana wa mambo ya elimu ya dini yetu na sababu sikujaaliwa kusoma dini tangu mdogo basi nitakuwa mwenzenu ili mnielimishe zaidi kwa kile mkijuacho.kwa leo ninaswali katika hii msg niliwatumia hapa chini. hii msg ninayo siku nyingi sana na inanihangaisha kichwa changu kwa swali kuwa kwa nini kila mahali palipo andikwa MTUME au neno ALLAH wameandika herufi ambazo hazieleweki kabisa hasa kwa watu kama sisi ambao hata elimu ya duniani tu kwetu ni ndogo.sasa ninachiomba msaada ndugu zangu mnifahamishe chochote mlicho kifaham katika msg hii. maana twasikia kuwa kuna webs hutumiwa na makafir kutupotosha.

wasaal aleykum


FADHILA ZA SIKU KUMI ZA DHUL-HIJJA

 

 ÈÓã Çááå ÇáÑÍãä ÇáÑÍíã  ÇáÍãÏ ááå æÇáÕáÇÉ æÇáÓáÇã Úáì ÃÔÑÝ ÇáÃäÈíÇÁ æÇáãÑÓáíä æÚáì Âáå æÃÕÍÇÈå ÃÌãÚíä

Inatupasa tumshukuru Allaah ÓÈÍÇäå æÊÚÇáì    kwa neema Aliyotujaaliya ya kutuwekea miezi mitukufu, au siku tukufu au nyakati tukufu  ambazo vitendo vyake vyema huwa na thawabu nyingi sana .  Na hivi tunakaribia kabisa kuingia katika mwezi mwingine mtukufu wa Dhul-Hijja (mategemeo ya mwezi mpya ni tarehe 11 au 12 January 2005) .  Katika mwezi huu, siku kumi za mwanzo ni siku bora kabisa katika dunia na zina fadhila  kubwa kutokana na aya na hadithi zifuatazo:

 

·        Allaah Ameziapia  . {Naapa kwa alfajiri -  Na kwa masiku kumi }  Suratul-Fajr 89:1-2

 

·        {Ili washuhudie manufaa yao na kulitaja jina la Allaah katika siku zinazojulikana}  Suratul-Haj 22:28

Ibn Abbas kasema hizo ni siku kumi  za Dhul-Hijja 

 

Hadithi Inatokana  na Ibn Abbas ÑÖí Çááå ÚäåãÇ  . Mjumbe wa Mwenye Enzi Mungu amesema:  Hakuna  siku ambazo  vitendo vyake vyema  Anavipenda  Allaah kama siku kumi hizi (siku kumi za mwanzo wa mwezi wa Dhul-Hijja) Akaulizwa  je, hata  Jihaad katika njia ya Allah?  Akajibu  Õáì Çááå Úáíå æÓáã  “hata jihaad katika njia ya Allaah isipokuwa mtu aliyekwenda  na maisha yake na mali yake ikawa  hakurudi na kimojawapo”  (Al Bukhari)

 

Vitendo  vyema vya kufanya katika siku kumi hizi

 

1.                       Kutimiza Hajj na Umra (kwa mwenye uwezo)

 

2.                       Kuomba Toba ya kweli

 

3.                       Kumkumbuka sana Allaah kwa Tasbih, Tahmid,  Tahlil, , Takbir yaani

Subhana Allaah, Alhamdulillah,  Laa Ilaaha Illa Allah,  Allaahu Akbar

Inavyopasa kufanya takbir : “Allahu Akbar, Allahu Akbar, Laa Ilaha Illa Allaah Wa-Allaahu Akbar, Allahu Akbar Walillahil-hamd”

Takbir hii ni aina mbili :

1)  Wakati wote usiku au mchana  tokea unapoingia mwezi wa Dhul-Hijja na inaendelea mpaka  siku ya mwisho ya siku za Tashriq.  

2)  Takbir baada ya kila swala na huanza asubuhi ya siku ya Arafat  mpaka siku ya mwisho ya Tashriq .

 Wanaume  waseme kwa sauti ili kuwakumbusha wengine kurudisha sunna ya Mtume  Õáì Çááå Úáíå æÓáã  na wanawake waseme kimya kimya isipokuwa wakiwa na mahaarim wao.    

Hadithi : Mtume Õáì Çááå Úáíå æÓáã kasema {Atakayemuongoza mwenzake  kufanya jambo jema atapata thawabu sawa sawa na za yule atakayetenda hilo jambo jema } Muslim .

 Imesemekana kuwa ukiandama mwezi wa Dhul-Hijja Ibn 'Umar na Abu Hurayrah walikuwa wakienda sokoni na kufanya takbir kwa sauti ili kuwakumbusha watu.

 

4.                       Kufunga siku hizi hasa siku ya Arafah.

 

5.                       Kuzidisha vitendo vyema mbali mbali kama kusali sunna zaidi, kusoma Qur’an, sadaqa, duaa , kutii wazazi, kuwasiliana na jamaa (kuunga undugu), kufanya wema na jirani, kuambizana yaliyo mema na kukatazana yaliyo maovu, kufanyiana wema na ihsani .

 

 

6.        Kuchinja  baada ya swala ya Eid  Kasema Allaah ÓÈÍÇäå æÊÚÇáì {{ Basi Swali kwa ajili ya Mola wako na uchinje }} Suratul Kawthar 108:2   Ibada  hii ya kuchinja ni sunna iliyosisitizwa hata baadhi ya wanachuoni wameona kuwa ni wajib kwa kila aliyekuwa na uwezo.

 

Yanayompasa kufanya mwenye kutaka kuchinja

 

Baada ya kutia nia ya kuchinja, usikate nywele wala kucha mpaka umalize kuchinja kutokana na hadithi:  “Ukiandama mwezi wa Dhul-Hijja  na ikiwa  yuko anayetaka kuchinja basi asikate kucha wala nywele wala kutoa kitu katika ngozi yake mpaka akimaliza kuchinja" Muslim

Hii ni fadhila na neema kwetu kuwa tuwe katika hali ya ‘ihraam’ kama waliyokuwa  kwenye Hijja. Ikiwa umesahau na mfano ukakata kucha basi endelea tu na nia yako mpaka umalize kuchinja.

 

7.                       Kuhudhuria sala ya Idi  -  Mtume Õáì Çááå Úáíå æÓáã  amewahimiza mpaka

Wanawake walio katika hedhi na wazee kwenda kusikiliza hutba ya swala,  wakati wa swala ukifika wanawake hao wenye hedhi wajitenge kando hadi itakapomalizika na kisha wajiunge na wenzao kusikiliza khutba. 

 

SIKU YA ARAFAH  ni siku ya tisa ya Dhul-Hijja

Siku hii tukufu ni siku iliyokamilika dini yetu.    Thawabu za kufunga siku hii ni kufutiwa madhambi ya miaka miwili.  Imetoka kwa Abi Qatada ÑÖí Çááå Úäå   (Kasema mjumbe wa Mwenye Enzi Mungu Õáì Çááå Úáíå æÓáã  kuhusu saumu ya Arafah  kuwa inafuta madhambi ya mwaka uliopita na  uliopo) Muslim

Vile vile inapasa kumtaja sana Allaah siku hii kama alivyosema Mtume Õáì Çááå Úáíå æÓáã kuwa "Dua bora kabisa ni katika siku ya Arafah,  na yaliyo bora kabisa niliyosema mimi na Mitume kabla yangu ni ‘ Laa Ilaaha Illa Allaah Wah-dahu la sharika lahu, lahul-mulku walahul-hamdu wa huwa 'alaa kulli shay-in qadir’ }

 

SIKU YA KUCHINJA  ni siku ya Eid Kubwa

 Kasema Mtume Õáì Çááå Úáíå æÓáã  : "siku iliyo tukufu kabisa kwa Mwenye Enzi Mungu ni siku ya kuchinja, kisha siku ya kutulia"  (yaani siku ya kukaa Mina)  Abu Dawud

 

SIKU ZA TASHRIQ : Siku ya kumi na moja na kumi na mbili na kumi na tatu ya Dhul-Hijja yaani baada ya siku ya Eid.   Na siku hizi tatu zimeitwa siku za Tashriiq kwa sababu watu walikuwa wakikatakata nyama na kuzianika juani. Siku za kuanika (nyama) juani. Na pi siku hizi hujulikana kwa 'siku za Minaa'.

 

Namuomba Allaah atupe umri na afya na uwezo wa kuweza kufanya mengi ya kumridhisha katika siku hizi tukufu na siku zote nyingine    ili tujipatie thawabu nyingi na  Atujaaliye tuwe  katika wale wanaosikiliza kauli  na daima wakafuata zile zilizo njema  .     Amin.

 

Ummu-Iyyad

 

 

 

 

 

 




Express yourself instantly with MSN Messenger! MSN Messenger Download today it's FREE!

TUANDIKIE KWA MAIL; jifunzeuislamu@yahoogroups.com PIA UNAWEZA KUANGALIA PAGE YETU http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu




YAHOO! GROUPS LINKS






#482 From: jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Date: Thu Sep 1, 2005 11:19 pm
Subject: File - Karibu
jifunzeuislamu@yahoogroups.com
Send Email Send Email
 
Aoozu-Billahi-Minushaita-Nirrajim
Bismillah Hirahmaan Niraheem
Laa ilaa-ha il-lal-laa-hu Muhammadur-rasuulul-laah "HAPANA MOLA MWENYEKUABUDIWA
KWA HAKI ILA ALLAH Subhanahu wah ta'ala NA MUHAMMAD(Sallallaahu Alayhi
Wasallam)NI MJUMBE WAKE"

    Asalamu alaikum wa rahmatullahi wa barakatuh
HAkika hapana mafanikio ya hapa duniani na kesho akhera ila ALLAH Subhanahu wah
ta'ala ameyaweka katika njia iliyo kamili njia hiyo ni UISLAMU.
    Jifunze uislamu ni mtandao unaowajumuisha waislamu wanaoongea kiswahili
katika kufundishana juu ya uislamu .
    kikundi hiki kina karibisha waislamu wote walio kila mahali,wenye limu kubwa
za dini au wastani au wasio na elimu za dini ili kujifunza kupitia mtandao huu
mambo mengi yanayohusu uislamu angalia mail zilizotangulia 
http://groups.yahoo.com/group/jifunzeuislamu/messages .
    Tunakukaribisha ili ufaidike na elimu tunayoitoa pia kama unataka kuchangia
katika maada unakaribishwa tuandikee kwa mail jifunzeuislamu@yahoogroups.com
    TAFADHALI WAJULISHE WAISLAMU WENGINE.
  W'ssalaamu'alaykum wa rahmatullahi wa barakatuh

Messages 451 - 482 of 2676   Oldest  |  < Older  |  Newer >  |  Newest
Add to My Yahoo!      XML What's This?

Copyright © 2010 Yahoo! Inc. All rights reserved.
Privacy Policy - Terms of Service - Guidelines NEW - Help